ANIMALS INTELLIGENCE: Nani mwenye busara zaidi hapa?

ANIMALS INTELLIGENCE: Nani mwenye busara zaidi hapa?

kuku anawatanguliza mbele ili awe anawaona vzuri na kuwalinda dhidi ya hatari yoyote inayoweza kujitokeza,pili vifaranga wawe wa kwanza kuona chakula wale chakula hcho....bata nae anawaweka nyuma ili kuwaongoza kwenda sehemu anazotaka yeye mama na sio vifaranga waamue pa kwenda,pili hatari inaweza kutokea ghafla na kutokea mbele so anatangulia ili kulikagua eneo wanalopita kama salama apite na watoto wafuate.

lakini usalama unaweza usiwe big deal,ukiwachunguza vzuri utagundua kuwa bata ni mroho yeye akiona menu anfeed haitii watoto kama afanyavyo kuku,nadhani ndo mana bata anawahi mbele(ili awapge gape watoto wake)ila kuku yeye kwenye chakula anawapa kipaumbele watoto ndo mana anawatanguliza mbele.so kuku ni mlezi bora(mwenye busara) kwa maoni yangu maana naamini kuwa bata anatangulia mbele yeye kwa sababu ya ulafi na ubinafsi tuu basi.
 
lakini mkumbuke kuwa hatuna uhakika kuwa anayepanga ni mama au watoto,namaanisha inawezekana vifaranga vyenyewe ndo psychology yao na sio ya mama mtu,yaani watoto wa bata hubaki nyuma na sio mama yao huwaweka nyuma.na kwa kuku,vifaranga vinapenda kuwa mbele vyenyewe na sio temba anaviweka mbele.
 
Bata hutangulia mbele vifaranga huja nyuma,

Kuku hutanguliza watoto mbele yeye huja nyuma.

Kuna mazingatio makubwa sana ya ulezi kati ya hawa ndege wawili.
hapa ikitokea urukushani bata anakimbia huku akisema "bado nina mayai nitawapata wengine"

yeye kuku ukisogele watoto wake anakuchomoa speed huku anasema "nisipolinda watoto nitachinjwa"

nimejaribu kufikiria tu mjomba
 
Kuna kitu kinaitwa Imprinting.

Ni tabia ya wanyama inayoonekana Masaa machache baada ya kuzaliwa ambapo kitoto kinaBond na chochote atakachoona akizaliwa, na kuanza kuiga tabia zake. sanasana kwa ndege na bata.

so bata akimuona tu mama, atakuwa anamfuata.

kama watoto waliona miguu ya mfugaji katika kipindi kile, watakuwa wanamfuata huyo mfugaji kila mahala wakiona miguu yake.

ikitokea mama hajaonwa katika kile kipindi, mtoto kamwe hatojua yeye ni bata au ndege. kama ni ndege ukimuacha porini, hatofuatana na wenzake.

na ukiokoa kitoto cha ndege, kinaBond na wewe, hatokuacha.

me naona ni uSuper mburulaz. msiwege kama watoto wa bata.
 
Kuna kitu kinaitwa Imprinting.

Ni tabia ya wanyama inayoonekana Masaa machache baada ya kuzaliwa ambapo kitoto kinaBond na chochote atakachoona akizaliwa, na kuanza kuiga tabia zake. sanasana kwa ndege na bata.

so bata akimuona tu mama, atakuwa anamfuata.

kama watoto waliona miguu ya mfugaji katika kipindi kile, watakuwa wanamfuata huyo mfugaji kila mahala wakiona miguu yake.

ikitokea mama hajaonwa katika kile kipindi, mtoto kamwe hatojua yeye ni bata au ndege. kama ni ndege ukimuacha porini, hatofuatana na wenzake.

na ukiokoa kitoto cha ndege, kinaBond na wewe, hatokuacha.

me naona ni uSuper mburulaz. msiwege kama watoto wa bata.

Nimevuta picha ninatembea huku vitoto vya bata vinanifata nyuma,
Teh teh teh.
 
hii inafundisha kila mzazi ana kipaumbele chake katika familia, je wewe ushajiuliza una vipaumbele gani kwenye familia yako au watoto? Hapo kuna ndege/wanyama/samaki wenye kipaumbele ama cha afya/chakula, ama cha ulinzi/usalama, ama cha mafunzo ya kujitegemea. Kuku anaamini katika ulinzi ambavyo ni rahisi kumuona adui ktk kona zote, bata anaamini ktk uongozi na popote anapopita ni salama kwa watoto na ni rahisi kuwaongoza ktk kutafuta chakula, simba nao kwa mtazamo anafundisha kujiamini na kujitegemea, na viumbe wengine pia wana vipaumbele vyao hata sisi binadamu pia tunatofautiana ktk vipaumbele vyetu juu ya familia zetu.
 
duh.....umenivumbua macho na akili ha-a
lakini mkumbuke kuwa hatuna uhakika kuwa anayepanga ni mama au watoto,namaanisha inawezekana vifaranga vyenyewe ndo psychology yao na sio ya mama mtu,yaani watoto wa bata hubaki nyuma na sio mama yao huwaweka nyuma.na kwa kuku,vifaranga vinapenda kuwa mbele vyenyewe na sio temba anaviweka mbele.
duh
 
hii inafundisha kila mzazi ana kipaumbele chake katika familia, je wewe ushajiuliza una vipaumbele gani kwenye familia yako au watoto? Hapo kuna ndege/wanyama/samaki wenye kipaumbele ama cha afya/chakula, ama cha ulinzi/usalama, ama cha mafunzo ya kujitegemea. Kuku anaamini katika ulinzi ambavyo ni rahisi kumuona adui ktk kona zote, bata anaamini ktk uongozi na popote anapopita ni salama kwa watoto na ni rahisi kuwaongoza ktk kutafuta chakula, simba nao kwa mtazamo anafundisha kujiamini na kujitegemea, na viumbe wengine pia wana vipaumbele vyao hata sisi binadamu pia tunatofautiana ktk vipaumbele vyetu juu ya familia zetu.
well said
 
yaani hizo comments hua nacheka tu maana zinamambo mengi unaweza dhani ni ujinga ila ndio maisha hao ndege wanavyoishi... hua nafurahia sn nikiangalia maisha ya wanyama mbali mbali jinsi wanavyofanya katika huu ulimwengu.. mungu anamaajabu yake kwakweli
 
Kila mnyama ana interejensia yake ya kulinda uzao wake.....kwa maana hiyo wote wapo sahihi kutokana na malengo yao kufanana
Hapana mkuu, kuna namna ambayo ukimlinda inaleta usalama zaidi kwa mfano huyo aliowatanguliza wanae mbele endapo kama adui akitokea mbele anamuona na kabla hajaleta dhoruba lolote atajipanga kukabiriana nae hili kujiokoa yeye na watoto wake na pia akitokea kwa nyuma anakuwa wa kwanza kumuona na kujizatiti dhidi ya adui huyo.

Wakati huo huyo aliyetangulia mbele na kuwaacha wanae nyuma hapo adui anaweza kujificha tu kutokea kwa nyuma na kufyeka watoto wote.

Hivi kwanza ni kwanini huwa mtu ukimuudhi mara nyingi anakutukana "bata" wwe na sio kuku wewe?
 
wote wapo sahihi , bata yeye huamini kuwa mbele lazima kuwepo na kiongozi mwenye kuonyesha njia yaani yeye na hii ndo dhana ya neon kiongozi yaani ni muonyesha njia, lakini kwa kuku kutokana na uwepo wa hatari nyingi juu ya wanawe yeye huamini kupitia kuwaona watoto wake ni hii njia huitwa ulinzi imara yaani mwenye siraha kali hukaa nyuma halafu hutangulizwa chambo ambaye ni mdogo. hivyo bila kupepesa macho bata ni kiongozi , kuku ni mlinzi.
 
Kuna kitu kinaitwa Imprinting.

Ni tabia ya wanyama inayoonekana Masaa machache baada ya kuzaliwa ambapo kitoto kinaBond na chochote atakachoona akizaliwa, na kuanza kuiga tabia zake. sanasana kwa ndege na bata.

so bata akimuona tu mama, atakuwa anamfuata.

kama watoto waliona miguu ya mfugaji katika kipindi kile, watakuwa wanamfuata huyo mfugaji kila mahala wakiona miguu yake.

ikitokea mama hajaonwa katika kile kipindi, mtoto kamwe hatojua yeye ni bata au ndege. kama ni ndege ukimuacha porini, hatofuatana na wenzake.

na ukiokoa kitoto cha ndege, kinaBond na wewe, hatokuacha.

me naona ni uSuper mburulaz. msiwege kama watoto wa bata.
hii nimeiona hata kwa baadhi ya wanyama kama tembo
 
wote wapo sahihi , bata yeye huamini kuwa mbele lazima kuwepo na kiongozi mwenye kuonyesha njia yaani yeye na hii ndo dhana ya neon kiongozi yaani ni muonyesha njia, lakini kwa kuku kutokana na uwepo wa hatari nyingi juu ya wanawe yeye huamini kupitia kuwaona watoto wake ni hii njia huitwa ulinzi imara yaani mwenye siraha kali hukaa nyuma halafu hutangulizwa chambo ambaye ni mdogo. hivyo bila kupepesa macho bata ni kiongozi , kuku ni mlinzi.
tunaangalia viashiria vingi pia kama vile nani hupoteza watoto wengi zaidi nk
 
wote wapo sahihi , bata yeye huamini kuwa mbele lazima kuwepo na kiongozi mwenye kuonyesha njia yaani yeye na hii ndo dhana ya neon kiongozi yaani ni muonyesha njia, lakini kwa kuku kutokana na uwepo wa hatari nyingi juu ya wanawe yeye huamini kupitia kuwaona watoto wake ni hii njia huitwa ulinzi imara yaani mwenye siraha kali hukaa nyuma halafu hutangulizwa chambo ambaye ni mdogo. hivyo bila kupepesa macho bata ni kiongozi , kuku ni mlinzi.

Umefiriki nilivyokuwa nikifikiri

Hekima tunayoipata hapa ni
Bata ni kiongozi, kuku ni mlizi

Funzo
Hekma tunayojifunza hapa ktk kuongoza familia zetu inatupasa kuiga ungozi Wa bata watoto wanapaswa kukufuata ww mzazi na sio mzazi kuwafuata watoto kama kuku.

Na ktk kulinda familia zetu inatupasa kuzilinda kama kuku, hii itakufanya uweze kujua watoto wote wamerudi nyumbani na wapo salama. Ktk mfumo Wa ulinzi Wa bata tukiuleta ktk mfumo Wa maisha ya mwanadamu hautokuwa mzur maana hata watoto wasipo kuwa nyumbani mzazi hutoweza kufaham
 
Back
Top Bottom