Anna Abdallah ana historia ndefu ya utumishi serikalini (ukuu wa wilaya, mkoa n.k) na uongozi wa kisiasa (ubunge, waziri wa uhamishaji makao makuu, waziri wa ujenzi, waziri wa afya, uenyekiti wa u.w.t n.k.). Sijamsikia mtu akimkosoa kuhusu utendaji wake humo bali watu ambao inadaiwa alitembea nao, zaa nao na kuolewa nao! Yaani kweli kipimo cha ufanisi katika uongozi wake ni watu aliotembea nao? Kweli sisi ni misogynists!
Mkuu, inawezekana uko sawa.
Au sio sawa.
Kabla ya soo la Richmond, Lowassa aliwahi kukosolewa katika historia yake ya Uwaziri? Na ile miaka, sijui kumi ya AG Chenge, aliwahi kukosolewa kikazi, kabla hajageuka mbogo na kuwa blatantly malfeasant in the later years? Waziri Mkapa aliwahi kukosolewa wakati wote ule yuko surrogate wa Nyerere? Kanali Kikwete wa Wizara ya Nishati kesha wahi kukosolewa enzi zile? Na Mramba wa the '80s and '90s na Director General Mkulo wa NPF, na Waziri wa Utalii, Meghji na mafisadi wengi tu wa leo walio kuwa former "Mr and Mrs clean"?
What's the point? Wote hawa, Fundi, walizawadiwa vyeo vya juu baada ya rekodi zao za huko nyuma zisizo julikana, na wakaja kuonyesha incompetence kubwa kuliko. Kama walikuwa incompetent miaka ya baadae, what should stop me from wondering whether they were just as mafeasant and incompetent in their early careers when nobody said anything negative about them?
Nadhani, Fundi Mchundo, Tanzania hakuna rekodi, utandawazi, kuchunguzana chunguza kikazi, wala performance review za kila mwaka. Ukishapata kazi umepata, labda uharibu vibaya mno. Kiufupi, hakuna unoko. Mafaili ya viongozi wengi hayana madoa. Ni vigumu kujua performance ya mtu Tanzania kwa kutegemea kusikia public criticism. Hatujuia mazuri wala mabaya. Kwa hiyo, kama hujasikia mtu kawa criticized I would not assume anything, positive or negative.
Nani anaweza kuniambia perfomance record ya Foreign Minister Kikwete kwa miaka kumi ya kuongoza ile wizara, na kwenda nyuma toka 1988 Mwinyi alipo mteu deputy Energy minister? Amewekwa namba 11 katika list of shame kwa kusaini SAMAX na Kahama Mining, lakini zaidi ya lalamiko kwamba FFU waliondoa raia sehemu za machimbo aliyotia saini Kanali Kikwete, hakuna details za malfeasance yake. Nani ana faili la Kikwete la Foreign Affairs au Nishati miaka hiyo? Authoritative criticism, sio "dataz" za watu wasio na credibility. Sijaona mimi. Who the heck knows anything about our leaders anyway? Ha ha aaaa...It's a shame.
And then, think about this. Amidst all this total and absolute mystery and darkness due to absence of public records, tunalaumu Wanavijiji kwamba wanawapa kura mafisadi na watu incompetent kwa asilimia 80%. Tunasema ni wajinga sisi, ndivyo tulivyo. Extremely unfair and a total misconception of the details here. What the heck do we know?
Na hili la Anna Abdallah kutembea tembea na Wanaume, kama lipo, ni kweli Fundi, halipimi ufanisi wa mtu. Lakini, labda utakubaliana na mimi kwamba angekuwa yuko nchi za watu, mwanasiasa kama Abdallah watu wangesha mmaindi long time ago. Kwa nini? Wakina
Anna Abdallah ni mfano mbaya wa maadili ya jamii.
Ndio maana kila siku nabishana na marafiki zangu kwamba, tusiwe wepesi kusema social values zetu za Kiafrika ni bora kulilo tamaduni za magharibi japo zimebobea kwenye decadence ya kila aina, ikiwemo usenge, pornography industry, high crime rates, divorce rate kubwa, teen sex, pamoja na watoto wanao ua walimu na wenzao madarasani, yote hayo.
Lakini, niambie Fundi, Governor Eliot Spitzer wa New York angejiuzulu kama angekuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Tanzania amekutwa na ki skandali eti cha ku cheat kwenye hoteli? (Sorry to get a little bit off topic).