Anna Makinda: Kuna Mawaziri walikuwa wanapinga Serikali kuhamia Dodoma, bila Hayati Magufuli isingewezekana

Anna Makinda: Kuna Mawaziri walikuwa wanapinga Serikali kuhamia Dodoma, bila Hayati Magufuli isingewezekana

JackisonDubai

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2023
Posts
537
Reaction score
1,282
Spika wa bunge msitaafu Mh Anna Makinda ambaye pia amehudumu serikalini Kwa zaidi ya miaka 40, akiwa kwenye Misa ya kumbukizi ya hayati Magufuli ametoa sifa nyingi kuhusu Rais huyo wa awamu ya tano, na akatoa Siri kwamba Kuna viongozi wengi walikuwa hawataki serikali kuhamia Dodoma na walikuwa wanaona ni upuuzi tu

Lakini alipoingia Rais Magufuli serikali ilihamia na ikajengwa Ikulu bora kabisa na kubwa kwenye ukanda wote wa Afrika mashariki na ya kati.

Anne Makinda ameonya kuwa mwanasiasa yoyote anayepotosha kwamba Magufuli hakuwa chochote Tanzania atashindwa tu.

 
Huyu bibi ni mjinga sn, kwa umri wake kuhangaika na mawigi kama vile yupo F2 ni aibu kwa taifa, je hao mawaziri sahivi wapo Dodoma au Dar? kuhamia Dodoma ndiyo kumaliza shida za wananchi?
mjinga kwa kuwa katoa hisia zake ni haki yake kikatiba hivyo msimtukane.kama una hoja mjibu kwa hoja lkn kutukana ni dalili ya kuishiwa kihoja.
 
Ukubwa wa ikulu unasaidiaje maendeleo ya nchi? Tuna ukumbi wa Bunge mkubwa karibia mara 4 ya ukumbe wa Bunge la Uingereza, je, tumeizidi maendeleo Uingereza, au hata wabunge wetu wetu wanajadili mambo ya maana kuliko wabunge wa UK?

Tunahangaika na na umaarufu wa kijinga, kwenye vitu visivyo na msaada kwa wananchi tukiyaacha mambo ya maana mengi ambayo tungeweza kuyafanya.
 
Back
Top Bottom