Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Thenkyuu veree macheee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulwa JilalaMnashindana Kwa kuishi Ubelgiji kwenye geto la Amsterdam
Amefanyaje?
unataka tushindane kwa tozo na ushoga?Kwahiyo tunashindana kwa ukubwa wa ikulu, Kanda ya Kati na afrika mashariki?
Anyway hicho ndo tunachoweza.
Hili Taifa tuna vijana wa ovyo. Kwahiyo kwasababu kamzungumzia JPM ndio matusi na kebehi zinamuandama? Alichosema ni fact sasa kama hutaki hana cha kufanya maana ukweli ni ukweli na haupendi kupuuzwa.Huyu mstaafu apumzike sasa
Mwezi mtukufu huu nakwaresma juuSemaaaaaa
Vipi tena hizo chuki? sasa comment yake ina uhusiano gani na hayo maneno yako? Yeye kama mwananchi kafanya comment, sasa ujinga unatoka wapi hapo?Huyu bibi ni mjinga sn, kwa umri wake kuhangaika na mawigi kama vile yupo F2 ni aibu kwa taifa, je hao mawaziri sahivi wapo Dodoma au Dar? kuhamia Dodoma ndiyo kumaliza shida za wananchi?
Mdukuzi, this is too low Sir, for you!!So what,alitaka kila mtu asaport mawazo yake???mawazo mmbadala ni muhimu,kama vipi amfuate yo hell
Hahitaji kusafishwa ukipanda ndege zake tayar umesafishaMnamsafisha Magufuli
Jibu swali: serikali kuhamia Dom ndiyo kumaliza matatizo ya wananchi au tumeongeza gharama za uendeshaji? sahivi Waziri lazima awe na nyumba Dodoma na Dar vinginevyo alipiwe five star hotel na serikali na hapo nje na dereva, katibu wake, msaidizi wake, huoni kama tumeongeza gharama za uendeshaji mara 2 ya mwanzo? muda mwingi Rais na Mawaziri wapo Dar.Vipi tena hizo chuki? sasa comment yake ina uhusiano gani na hayo maneno yako? Yeye kama mwananchi kafanya comment, sasa ujinga unatoka wapi hapo?
Timu gaidi mtateseka sanaSo what,alitaka kila mtu asaport mawazo yake???mawazo mmbadala ni muhimu,kama vipi amfuate yo hell
Mkuu serikali yenyewe sahivi ipo Dar au Dom? tumeongezewa mzigo tupuSo what,alitaka kila mtu asaport mawazo yake???mawazo mmbadala ni muhimu,kama vipi amfuate yo hell
Ndege zake? Kama ni zake alithishe wanaeHahitaji kusafishwa ukipanda ndege zake tayar umesafisha
We sukumagenge tulia mi nko na mamaTimu gaidi mtateseka sana
Kwahiyo mawaziri hawapo maofisini kwao? Wapo wapi? Je boss wao anajua kuwa mawaziri wake hawapo ofisini ?Huyu bibi ni mjinga sn, kwa umri wake kuhangaika na mawigi kama vile yupo F2 ni aibu kwa taifa, je hao mawaziri sahivi wapo Dodoma au Dar? kuhamia Dodoma ndiyo kumaliza shida za wananchi?
Uko sahihi kabisa, huoni CHADEMA wana kiofisi kidogo kama makao makuu yake lakini wanasaidia wananchi mno. Kuliko wenye ofisi kubwa - CUF!Ukubwa wa ikulu unasaidiaje maendeleo ya nchi? Tuna ukumbi wa Bunge mkubwa karibia mara 4 ya ukumbe wa Bunge la Uingereza, je, tumeizidi maendeleo Uingereza, au hata wabunge wetu wetu wanajadili mambo ya maana kuliko wabunge wa UK?
Tunahangaika na na umaarufu wa kijinga, kwenye vitu visivyo na msaada kwa wananchi tukiyaacha mambo ya maana mengi ambayo tungeweza kuyafanya.
Ikiwa Dar watakaa kwenye ofisi zipiMkuu serikali yenyewe sahivi ipo Dar au Dom? tumeongezewa mzigo tupu