econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hahitaji kusafishwa ukipanda ndege zake tayar umesafisha
Ndege zipi za kwake?. Hizi zilizokamatwa Uholanzi au zilizopo garage.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahitaji kusafishwa ukipanda ndege zake tayar umesafisha
Timu gaidi mtateseka sana
Mahakama ilimkuta na kesi ya kujibuTanzania Hakuna ugaidi labda ulete wewe.
Mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu
Alijitetea akashinda kesi ya ugaidi?Kesi ya kujibu ni procedure tu kwamba mahakama isikilize upande mwingine unavyojitetea. Sasa mahakama kumruhusu mtuhumiwa kujitetea imekuwa nongwa. Mlitaka asijitetee?.
Halafu Ni lini ugaidi ulifanyika Tanzania?. Yani Tanzania hakujafanyika ugaidi ila mnakamata watu kwa ugaidi.
Sawa mamaKama dingi ako
Jikiteni hojaSawa mama
Sawa wachanijikiteJikiteni hoja
Ndege zilizoingia hasara taifa sh billions 35 kwa mujibu wa CAG!Hahitaji kusafishwa ukipanda ndege zake tayar umesafisha
Kauliza swali ambalo liko very straight, kwa aina ya jibu lako kama ndiyo upeo wa akili yako basi kama taifa bado tuna safari ndefu sana.Mnashindana Kwa kuishi Ubelgiji kwenye geto la Amsterdam
Wewe pia nadhani utakuwa mpumbavu, kwa sababu unawaza kumaliza shida. Ni nchi gani hakuna shida?Huyu bibi ni mjinga sn, kwa umri wake kuhangaika na mawigi kama vile yupo F2 ni aibu kwa taifa, je hao mawaziri sahivi wapo Dodoma au Dar? kuhamia Dodoma ndiyo kumaliza shida za wananchi?
Spika wa bunge msitaafu Mh Anna Makinda ambaye pia amehudumu serikalini Kwa zaidi ya miaka 40, akiwa kwenye Misa ya kumbukizi ya hayati Magufuli ametoa sifa nyingi kuhusu Rais huyo wa awamu ya tano, na akatoa Siri kwamba Kuna viongozi wengi walikuwa hawataki serikali kuhamia Dodoma na walikuwa wanaona ni upuuzi tu
Lakini alipoingia Rais Magufuli serikali ilihamia na ikajengwa Ikulu bora kabisa na kubwa kwenye ukanda wote wa Afrika mashariki na ya kati.
Anne Makinda ameonya kuwa mwanasiasa yoyote anayepotosha kwamba Magufuli hakuwa chochote Tanzania atashindwa tu.
Ilishahamia Sasa ,kama hutaki jinyonge1. Yeye anaishi Dar na kwa pesa ya kodi amejenga jumba la kifahari sana Dar! Kwa nini yeye hajahamia Dodoma? Kimsingi kulikuwa hakuna uharaka wa Taifa kuhama Dar wakati kwa miaka 20 hivi serikali na balozi zimewekeza pesa ndefu sana katika miundombinu Dar!
2. Kuhamia Dodoma kwa haraka ni matumizi mabovu katika raslimali za Taifa hili!
3. Hata leo hii kazi nyingi za serikali zinafanyika Dar! Raisi, mawaziri, maafisa bado wanpenda Dar kuliko Dodoma na huo ni ukweli!
4. Mbaya sana kuweka mayai yote katika kapu moja! yaani Dodoma! why? Angalia kwa mfano Afrika ya Kusini Serikali iko Pretoria, Bunge Cape Town na Mahahaka Pietzmarisburg! Sisi tz tunasema kila kitu kiwe Dodoma!
5. Mambo kama ya kuhamia Dodoma kama nchi tulihitaji utafiti, na upembuzi makini, na pia kura ya maoni kwa wananchi wote na sii mtu mmoja kuamka tu na kutumia raslimali za taifa hili changa na maskini kuahamia Dodoma
Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoniMakinda aache majukwaa tangu sijazaliwa namsikia, apumzike sasa.
Lini mtahama Ubelgiji?Kauliza swali ambalo liko very straight, kwa aina ya jibu lako kama ndiyo upeo wa akili yako basi kama taifa bado tuna safari ndefu sana.
Jinyonge sasa..fedha zilizotumika kujenga ikulu na maofisi ya serikali Dodoma zingesaidia zaidi kama zingetumika kwenye ujenzi wa industrial parks, au miradi ya uzalishaji kama yakilimo, uvuvi, na ufugaji.