Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tetete dada angu bhanaMumeo Amsterdam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tetete dada angu bhanaMumeo Amsterdam
Mmh ebu fafanuaTetete dada angu bhana
Ofisi za Dar nani anawalipia?Baba ako, huoni kama ni gharama kubwa mawaziri wanakuwa na ofisi Dar na Dom?
Spika wa bunge msitaafu Mh Anna Makinda ambaye pia amehudumu serikalini Kwa zaidi ya miaka 40, akiwa kwenye Misa ya kumbukizi ya hayati Magufuli ametoa sifa nyingi kuhusu Rais huyo wa awamu ya tano, na akatoa Siri kwamba Kuna viongozi wengi walikuwa hawataki serikali kuhamia Dodoma na walikuwa wanaona ni upuuzi tu
Lakini alipoingia Rais Magufuli serikali ilihamia na ikajengwa Ikulu bora kabisa na kubwa kwenye ukanda wote wa Afrika mashariki na ya kati.
Anne Makinda ameonya kuwa mwanasiasa yoyote anayepotosha kwamba Magufuli hakuwa chochote Tanzania atashindwa tu.
Ni nyumbu +Kwani yeye Alitaka Kila kitu iwe ndio Mzee? Kwani wao ni nyumbu?
Spika wa bunge msitaafu Mh Anna Makinda ambaye pia amehudumu serikalini Kwa zaidi ya miaka 40, akiwa kwenye Misa ya kumbukizi ya hayati Magufuli ametoa sifa nyingi kuhusu Rais huyo wa awamu ya tano, na akatoa Siri kwamba Kuna viongozi wengi walikuwa hawataki serikali kuhamia Dodoma na walikuwa wanaona ni upuuzi tu
Lakini alipoingia Rais Magufuli serikali ilihamia na ikajengwa Ikulu bora kabisa na kubwa kwenye ukanda wote wa Afrika mashariki na ya kati.
Anne Makinda ameonya kuwa mwanasiasa yoyote anayepotosha kwamba Magufuli hakuwa chochote Tanzania atashindwa tu.
FafafanuaDhana Tata "Forbidden knowledge na Forbidden Archeology"
"Forbidden knowledge"ni maarifa au habari ambazo haziruhusiwi kufikiwa au kutumiwa na watu fulani au kundi la watu kwa sababu za kisiasa, dini, kimaadili au kulinda siri za kibiashara. Habari hizi zinaweza kuwa hatari kwa wale wanaozitumia kwa sababu zinaweza kusababisha madhara au kuhatarisha...www.jamiiforums.com
Spika wa bunge msitaafu Mh Anna Makinda ambaye pia amehudumu serikalini Kwa zaidi ya miaka 40, akiwa kwenye Misa ya kumbukizi ya hayati Magufuli ametoa sifa nyingi kuhusu Rais huyo wa awamu ya tano, na akatoa Siri kwamba Kuna viongozi wengi walikuwa hawataki serikali kuhamia Dodoma na walikuwa wanaona ni upuuzi tu
Lakini alipoingia Rais Magufuli serikali ilihamia na ikajengwa Ikulu bora kabisa na kubwa kwenye ukanda wote wa Afrika mashariki na ya kati.
Anne Makinda ameonya kuwa mwanasiasa yoyote anayepotosha kwamba Magufuli hakuwa chochote Tanzania atashindwa tu.
Wapo pia wanaopingaVipi kuhusu kuuzwa kwa bandari?
@Kulwa Jilala unajiuliza na kujijibu mwenyeweVipi kuhusu kuuzwa kwa bandari?
Rais Samia ameanza kufoka ati "stupid"?@Kulwa Jilala unajiuliza na kujijibu mwenyewe
Huna akili , mlamba makalio ya warabu wewe..maofisi na majumba ya kifahari ya viongozi yaliyojengwa Dodoma yametusaidia nini wananchi?
..fedha zilizotumika kujenga Dodoma zisingetosha kuboresha BANDARI zetu?
..Kati ya kujenga Dodoma na kuboresha bandari kipi kingeleta tija na manufaa zaidi?
Paul Makonda in the houseHuyu bibi ni mjinga sn, kwa umri wake kuhangaika na mawigi kama vile yupo F2 ni aibu kwa taifa, je hao mawaziri sahivi wapo Dodoma au Dar? kuhamia Dodoma ndiyo kumaliza shida za wananchi?
Hapana tunashindana na ukubwa wa makao makuu ya chademaKwahiyo tunashindana kwa ukubwa wa ikulu, Kanda ya Kati na afrika mashariki?
Anyway hicho ndo tunachoweza.
Basi sawa mkuuPaul Makonda in the house
Mama amenifurahisha sana kulirudisha hili jembePaul Makonda in the house