Nina wasiwasi na serikali hii kma kweli ina dhamira ya dhati kuinua elimu na kuwasaidia watoto wa masikini. Nakumbuka kwenye kampeni mjini Tabora mjomba alisema hakuna mtoto atakayekosa mkopo. Sasa sijui kma mjomba anakumbuka. Kwenye majukwaa wanasema hii ni serikali ya wanyonge na maskini, Lkn kwenye utekelezaji ni tofauti kabisa. Huu umaskini wetu ndo viongozi wanajivunia.
Waache wakina mama waamuwe wao,
Mboma unaanza kuwapandikiza chuki zisizo za msingi??
Wamesha liona hilo, ukiendelea kufanya hayo kaanzishe taasisi yako
Toka ulijue hilo ulichukua hatua gani??
Mama anaijua siasa zaidi ya unavofikiria, lakini kaweka kando utumbo wooote uhusuo siasa kaamua kuja kuwasaidia vijana kwa staili hii.
Uzuri hata wale mliopanga foleni kumpigia kura bwana yule mliynadi kwa utajiri wake mtanufaika na mama huyu.
Cha ajabu ni mshindi namba tatu wa uraisi anayeonyesha dhamira ya kweli kumsaidia kijana asiyejiweza,
Mama kaamua kutupa utumbo woooote uhusuo siasa kaja kwa utekelezaji zaidi,
Upinzani si ugomvi, anaonyesha namna upinzani safi unavyopaswa kuwa
Ni kulijenga taifa na si kulibomoa ili upate pa kuongelea.
Mama tuko pamoja, naamini yote utakayoyasikia humu ni kuhusu vijisiasa ambavyo nadhani umevizoea, na pengine una uzoefu navyo zaidi na zaidi ya wengi watakavyovileta humu ndani