Anna Mghwira: Tuendeleze mjadala wa Mikopo ya Elimu ya Juu na tuchukue hatua

Habar ya asbh wana jm! Kuhusu hili suala jaman Naona kimya kimekuwa kirefu. Hili muhimu sana kwa kufanikisha ndoto za wengi, tumuunge mkono mama yetu.
 
Kididimo, hiyo ndiyo roho ya nia hii...hakuna zaidi wala pungufu.!
Ninashukuru kwa kulifanyia kazi wazo langu. Post yako imewezeshwa "kuwa sticky thread".Tutaweza kuiaccess kwa wepesi katika kutoa michango yetu. Tutaomba mrejesho wa kila hatua. Ubarikiwe
 
naunga mkono mama yangu.tuendelee kupigania suala hili
Asante sana. Kwa sasa tunaandaa tangazo la kuweka mtandaoni. ninaomba maoni ya wadau lini tuanze kuchangia? tunawasiliana na mitandao ya simu tupate namba maalum za michango.
 
Asante sana. Kwa sasa tunaandaa tangazo la kuweka mtandaoni. ninaomba maoni ya wadau lini tuanze kuchangia? tunawasiliana na mitandao ya simu tupate namba maalum za michango.
Tangazo litasaidia walengwa kuleta majina yao licha ya wale tuliopokea awali. Tukianza kuchangia na kusaidia wanafunzi wachache ndipo tutaweka tarehe ya uzinduzi rasmi.
 
Tangazo litasaidia walengwa kuleta majina yao licha ya wale tuliopokea awali. Tukianza kuchangia na kusaidia wanafunzi wachache ndipo tutaweka tarehe ya uzinduzi rasmi.
Hii ni fursa pekee kwa wanajamii forum kuonesha njia katika jambo hili kisha wengine wafuate. Asanteni sana na Karibuni sana. Nilitingwa kidogo na mukitano ndio sababu nilipotea lakini tupo vijana wanaandaa tangazo kisha mchakato uanze.
 
Hata mimi nilikuwa kimya kwa lengo la kuweka mikakati sawa, kukutana na wadau mbalimbali na kuona uwezekano wake kila eneo. Watu wengi wanaunga mkono. Tuanze mara tangazo litakapotoka wiki hii.
 
Aliepo madarakan kila siku anazid kuongeza vigezo vya kupata mikopo ili mrad wanafunz wng wasiipate hyo mikopo...
 
Hata mimi nilikuwa kimya kwa lengo la kuweka mikakati sawa, kukutana na wadau mbalimbali na kuona uwezekano wake kila eneo. Watu wengi wanaunga mkono. Tuanze mara tangazo litakapotoka wiki hii.
Hongera mama mungu yupo pamoja nasi kwenye hili....
 
Asante Kitukuu. Katika kuendelea kupata mkono wa umma nimeendesha vipindi vya luninga azam, chanel ten na star tv. Mwitikio ni mzuri. Ninaomba tangazo likitoka tuanze kutoa si
Habar ya asbh wana jm! Kuhusu hili suala jaman Naona kimya kimekuwa kirefu. Hili muhimu sana kwa kufanikisha ndoto za wengi, tumuunge mkono mama yetu.

Ndugu Mkwepa Kodi, naona umekwepa na maneno sasa. Sijui kama wengine wamekuelewa. Mimi nimetoka kapa.
Kna dogo masoma y kata Tena science yupo udsm.. Conas... Hana hata v0%
 
Maoni ya ziada: Baada ya kupata muda wa vipindi na Luninga za Star, Azam,Ch Ten, mwaoni ya wadau yanaomba tuangalie pia kada la kundi la chini lililo kubwa zaidi na ambalo madhara yake kwa jamii ni makubwa zaidi: Kidato cha 4, 6, na hata darasa la 7 wasio na ujuzi wowote. Wadau / wasikilizaji wa vipindi waliomba tuliangalie hili kwa jicho tofauti. Ni vizuri kuweka rekodi sawa ili tutakapoanza tusisahau jambo hili. Asanteni
 
Ila mama Ndalichako ujue una wanao huku nyuma umewakanyagia chini bila huruma na misingi yao n mizuri tu,,fikiria Mara mbili mbili Tafadhali sana angalia hata mashuleni na mavyuoni pia angalia na uwezo wa familia,,,kwanini OD umeamua kuibagua!?
 
Naomba Dada Anna mfikishie hiyo message mama Ndalichako
 
Mngekuwa mnakuja na hoja hizi majukwaani mngekuwa mmeshashika dola kitambo ila kwa siasa za matukio na kuwa vigeugeu, upinzani mtakesha.
 
Hata mimi nilikuwa kimya kwa lengo la kuweka mikakati sawa, kukutana na wadau mbalimbali na kuona uwezekano wake kila eneo. Watu wengi wanaunga mkono. Tuanze mara tangazo litakapotoka wiki hii.

Mama, asante na hongera kwa wazo hilo la kujenga. Mimi ninaomba nitoe ombi langu mahsusi kwako/kwenu kama taasisi, katika utoaji wa hiyo mikopo, muwaangalie kwa jicho la huruma pia na wanafunzi wanaojiunga na elimu ya juu kwa sifa linganifu (equivalents). Kwa kweli imekua ni vigumu mno kupata mkopo toka bodi kama umetokea diploma, imekua ni kana kwamba kuwa na diploma maana yake una ajira tayari au una hela tayari, ninakuomba sana katika vigezo vyenu visibague eti tu kwa sababu mtu katokea diploma ndio asipate mkopo. Ninaongea kama mhanga niliyekwama kuendelea na masomo na ninawajua wenzangu wengi mno waliokumbwa na kadhia hiyo.
Kila la heri, Mungu atalisimamia hili na ninaamini litafanikiwa.
 
Wazo ni la kialinacha,haya mambo yaliwezekana kwenye vyama vya ushirika vya uchagani na haikuwa bure bali kwa members against makato yao.pia kwa watoto wenye akili sio mabumbumbu, waulize kina mengi, sasa huyu anna anataka mimi nikachangia watoto.wawatu kwa uchungu gani wakati tayari nakatwa.kodi? Hawa ndio wanataka kuongoza nchi kwa misingi ya ujamaa karne hii? Eti huyu mama ndio awe.fund manager wetu, deci? Pole anna this is a daylight.dream, anather project failure, cont me out
 
Wazo zuri sanaa asante kwa kutoa progress, huu uzi ungekua wa kuikejelii serikali zingekua page 1000plus za replies lakini cha ajabu kitu cha msingi kwa taifa letu watu wanapita tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…