raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Niite nifanye interview Mkuu kskNafikiri CHADEMA mnahubiri ubepari (every body for himself/herself amnd God for all), na ubepari ni uwanja wazi na uwanja wa fujo. Hakuna cha kuachiana. Kuachiana kwani kimekuwa chaku;la cha familia. You are either in or out. You cannot pick and choose. Ubapari haumjui kijana wala mzee. Ubepari haufuata heshima ya umri katika kutafuta mali. Awe mzee au kijana, wote wan haki kutafuta. Alafu wewe mtoto wa juxzi unataka upewe uenyekiti au ujumbe wa bodi kwa uzoefu upi ulionao. Saasana sana unachojuwa wewe ni kutukana kwa kujificha. Ukiwe kwenye keyboard wewe fundi saana na mjuaji wa kila kitu, lakini think of "real life"! Usauli wenyewe ukliitwa unatetemeka tangu mwanzo wa usaili mpaka mweisho. Ukiikosa kazi, unadai wamependelea. Mimi naona uiendelee na ushujaa wako humu JF.
Kwa sababu nahisi zilikokwapuliwa ni kwenye minyororo ya akaunti za Mafisadi nahisi huko kuna Pengo la hayo MatrioniWizi unauita ni maarifa!? π³π³π³
Mkuu:Angalia picha ya kuchanganya udongo wa muungano nasikia yeye ndo kashika vifaa. Kama alikwisha ingia kwenye connection kipindi hicho mpaka leo ana connection unategemea akose mamilioni? Mi naliona kama mfano wa kuigwa tujifunze kuwekeza badala ya kuendekeza anasa la sivyo tutawapachika watu dhambi wasizokuwa nazo. Na angekuwa kabila fulani uzi ungesema Makinda ana akili ya kutafuta pesa.
Una uhakika?Hao wajukuu amewatoa wapi huku Makinda hana mtoto wa kuzaa,labda wajukuu wa ndugu zake.
Watu wengine hovyo sana wanaamini wasivyoviona. Kidoti si sehem ya hii familia?Unamjua vizuri? una hakika na hili unalomsemea?? Mama Makinda ana mtoto (Binti wa Kumzaa mmoja ) na pia anakaa na watoto wa dada na wadogo zake.Binti ake Jina lake linaanzia na J Spika mimi namfahamu toka Tunakaa nae maeneo ya Seaview Upanga akiwa Waziri wa Wizara ya Wanawake na Watoto.Those Days watoto waliokuwa kwake We where friends and mara nyingi tulikuwa tunashinda kwake during the weekends watching Movies and Recorded CNN news Bulletins from VHS Tapes borrowed at EMPIRE MOVIE THEATER VIDEO LIBRARY Karibu na Mavuno House Posta mpya
Huyu mama ana mtoto na familia yake ipo vizuri chunguza utaleta mrejesho hapa.Kwani ana mtoto hata wakusingiziwa?
acha wivu wa kike , na ww nunua. Au ndo wamwonea wivu spika mstaafu!!!?Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
haya yote yanakuja leo baada ya yeye kusema "nitakuwa wa mwisho kuamini kama mbowe ni gaidi"Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Amekuwa mbunge kwa miaka Arobaini na pia amekuwa spika wa Bunge ana vyeo lukuki pia amekalia vyeo vingi Sana hivyo kwa nafasi alizoshika plus ujasilia Mali alonao hicho kiasi cha kawaifa sanaKuhusu hilo la milioni 900 sina ushahidi nalo.....
Ila.....
Mh.mama Anna Makinda ameanza kuwa mtumishi wa umma toka miaka ya nyuma na MSICHOKIJUA ni kuwa mh.Makinda ni MBANA MATUMIZI KWELIKWELI.....na mwekezaji wa KILIMO ,na vibiashara vingi vidogovidogo toka miaka ya 90......kwa hulka na tabia zake hizo sishangai akiweza kununua NYUMBA YA GHARAMA KUBWA KIDOGO..........
My take:
Tupende kuutafuta ukweli kabla ya KUWACHAFUA WAZEE WETU....WAMELITUMIKIA TAIFA HILI KWA UZALENDO MKUBWA....WAACHWE WAPUMZIKE...
#SiempreJMT
#NchiKwanza
kasevu Milion 900? sio kwa mishahara ya bongo labda mkopoUmbea. Ujumbe wake wa bodi mbalimbali unaweza kumpatia hizo hela. Na ukumbuke huyo ni
Mfanyakazi wa siku nyingi serikalini kwa vyeo vya juu hivyo unaweza kuta alikuwa ana save au kakopa.
Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Superfeo yuko Mwamba Omari Msigwa,Felician Msigwa na Msigwa mwingine.Hiyo ya Makinda kumiliki superfeo labda utuletee Memarts tuone share.Superfeo ni brand ya akina MsigwaAssuming amepangiwa kuishi miaka 77 Kama isemavyo BIBLIA , atakaa humo ndani kwa muda gani?
Hiyo hela angewasaidia watoto wanaoteseka kwenye vituo vya kulelea watoto si njia yake ya Mbinguni ingekua tambarare.....
Asking for a friend. Huyu mama ndio mmiliki wa mabasi ya SUPER FEO?
Jana nimeona Super feo mpya zaidi ya sita Miembe sana kibaha
Ufisadi Tanzania kuisha ni kama kusema maji yaishe Bahati ya HindiHamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.