TANZIA Anne Rwigara afariki dunia. Ni dada wa Diane aliyejaribu kugombea Urais dhidi ya Kagame. Mama asema kifo hicho ni fumbo

TANZIA Anne Rwigara afariki dunia. Ni dada wa Diane aliyejaribu kugombea Urais dhidi ya Kagame. Mama asema kifo hicho ni fumbo

Mtawala kwa kunywa Chale alishawaji kusema Mara Nyingine Kuwa mnyaruanda yeyote atakayesaliti nchi watamfuaya sehemu yoyote duniano, na tumeshuhudia majenerali kadhaa waliotoroka na kujificha nchi za Watu wakiuawa mfono jeAfrika kusini na Zambia na Mara zote SERIKALI ilikanusha, sasa jumlisha sentesi hii Mwamba tutamfuata sehemu yoyote duniani MTU msaliti halafu unganisha na matukio, haiitaji Kuwa na elimu ya chuo Kikuyu kujua nini kipo Nyuma ya pazia ni akili ya kuzaliwa tu
Tafsiri yake ya kusaliti nchi ni ipi?
 
Niliwahi kusikia kuwa PK ni pandikizi la CIA! Analinda maslahi ya US kule Congo. Na hata siku moja hutasikia US imemsema PK!

Kwa wale wanaomfahamu sijui kama ni kweli.
Maslahi ya US huko Congo yanayolindwa na Kagame ni yapi?
Sababu zipi za msingi US wamtumie Kagame badala ya kwenda moja kwa moja DRC?
 
Mtume Muhamad (saw) anatufundisha baada ya Mwenyezimungu tunapaswa tuziheshimu mamlaka, sio mtu unapata viji cent kidogo tu unahis unapaswa kutawala,.
Utawala unatoka kwa Mungu, na huja kwa machoz, jasho na damu. We jiulize maching za kagame akiingia kigali kuchukua madaraka akitoka porini alisucrifice watu wangapi then pisi kali moja inqtaka imtoe kwa vijembe na matusi.
Mbona Hamas hawataki kuheshimu mamlaka ya Israel??
 
View attachment 2856263
View attachment 2856340

Anne Rwigara wa Rwanda amefariki dunia huku Mamake Anne alinukuliwa akisema kifo cha bintiye kilikuwa "fumbo" kwani hakuwa mgonjwa.

Vyanzo kadhaa vinashiriki maelezo ya kuhuzunisha ya kifo chake, vikidai kwamba baada ya masaa nane ya kulalamika kuhusu maumivu ya tumbo, viungo vingi vya mwili wake vilishindwa kifanya kazi. Hatua hiyo inachochea uvumi wa sumu kuwa huenda aliwekewa sumu

Huku uchaguzi wa Rwanda ukikaribia, Watumiaji wengi wa mitandao ya Kijamii wanaelezea wasiwasi wao kwamba kifo chake kinaweza kuwa jaribio la kuzima sauti za upinzani kabisa, hata kama Jumuiya ya Kimataifa inaangalia kwa karibu maendeleo katika nchi ya Rwanda

Hii Familia ya Rwigara iliingia kwenye mgogoro mkubwa zaidi na Rais Kagame baada ya Diane ambaye ni Dada wa Anne kutangaza nia ya Kumpinga kwenye uchaguzi. Kwanza walikamatwa na kuwekwa gerezani, walinyang’anywa utajiri wa familia yao ikiwa ni pamoja na Kiwanda chao cha Tumbaku. Na wakowa gerezani inadaiwa walikuwa wakipatiwa mateso

Historia Fupi

Baba yake inadaiwa aliuawa katika ‘ajali ya gari iliyotengenezwa’ Mwaka 2015, baadaye dada yake mkubwa Diane Rwigara aliingia katika siasa za Rwanda na kutangaza kugombea urais; kwa bahati mbaya aliwekwa gerezani na Kagame kwa kujaribu kumpinga; baadae Mama yake na Anne mwaka 2017 pia waliwekwa gerezani kwa kusema juu ya mateso ya familia yao na baada ya hapo Waliachiwa na kukimbilia uhamishoni, Marekani.

Mwenyezi Mungu aipe haki familia ya Rwigara na Wanyarwanda wote wanaoteseka mikononi mwa utawala wa Kagame Rwanda.

View attachment 2856264
Wauwajiiii @ work mmh hiinchihatabodatunaogopaaaa
 
View attachment 2856263
View attachment 2856340

Anne Rwigara wa Rwanda amefariki dunia huku Mamake Anne alinukuliwa akisema kifo cha bintiye kilikuwa "fumbo" kwani hakuwa mgonjwa.

Vyanzo kadhaa vinashiriki maelezo ya kuhuzunisha ya kifo chake, vikidai kwamba baada ya masaa nane ya kulalamika kuhusu maumivu ya tumbo, viungo vingi vya mwili wake vilishindwa kifanya kazi. Hatua hiyo inachochea uvumi wa sumu kuwa huenda aliwekewa sumu

Huku uchaguzi wa Rwanda ukikaribia, Watumiaji wengi wa mitandao ya Kijamii wanaelezea wasiwasi wao kwamba kifo chake kinaweza kuwa jaribio la kuzima sauti za upinzani kabisa, hata kama Jumuiya ya Kimataifa inaangalia kwa karibu maendeleo katika nchi ya Rwanda

Hii Familia ya Rwigara iliingia kwenye mgogoro mkubwa zaidi na Rais Kagame baada ya Diane ambaye ni Dada wa Anne kutangaza nia ya Kumpinga kwenye uchaguzi. Kwanza walikamatwa na kuwekwa gerezani, walinyang’anywa utajiri wa familia yao ikiwa ni pamoja na Kiwanda chao cha Tumbaku. Na wakowa gerezani inadaiwa walikuwa wakipatiwa mateso

Historia Fupi

Baba yake inadaiwa aliuawa katika ‘ajali ya gari iliyotengenezwa’ Mwaka 2015, baadaye dada yake mkubwa Diane Rwigara aliingia katika siasa za Rwanda na kutangaza kugombea urais; kwa bahati mbaya aliwekwa gerezani na Kagame kwa kujaribu kumpinga; baadae Mama yake na Anne mwaka 2017 pia waliwekwa gerezani kwa kusema juu ya mateso ya familia yao na baada ya hapo Waliachiwa na kukimbilia uhamishoni, Marekani.

Mwenyezi Mungu aipe haki familia ya Rwigara na Wanyarwanda wote wanaoteseka mikononi mwa utawala wa Kagame Rwanda.

View attachment 2856264
Hii ndio moja ya sababu ya Mimi binafsi kutokukubaliana na tawala nyingi za ki-Afrika. Bara la Afrika Lina Tawala nyingi sana za kidhalimu, kiasi kwamba haziwezi kuvumilika.
 
Kawaida ukiona mtu analeta hofu unamfinya tu kimtindo maisha yanaenda.
Seriously?
Unavyoona wewe kweli hawa Wanawake wa familia hii wamekuwa ni kitisho cha Usalama wa nchi ya Rwanda kiasi cha kufikia hatua kwamba wanastahili kuwa assassinated ?????? Is it??????????
 
Doubt kama Kagame anahusika, Kagame alimwachia zamani sana na kufutiwa kesi zote, na alihamia US miaka mingi sana iliyopita na alishaacha kujihusisha na siasa pia, sioni connection yeyote
 
Kuna nafuu kidogo asee Rwanda ni zaidi ya jehanamu
Ni kweli kabisa unachosema.
Mgeni ukifika Rwanda kuna Polisi wa Siri, wenyewe Wanyarwanda wanawaita kwa jina la kifupi SEPO (yaani Secret Police Officer) ambao wanakufuatilia kila mahali unapokwenda ili kujua kwamba umeenda kufanya nini huko. Wanataka kujua kwamba unajihusisha na siasa za kumkosoa Paul Kagame au la.
 
Doubt kama Kagame anahusika, Kagame alimwachia zamani sana na kufutiwa kesi zote, na alihamia US miaka mingi sana iliyopita na alishaacha kujihusisha na siasa pia, sioni connection yeyote
Je, Unamfahamu vizuri Paul Kagame pamoja na mitandao yake ya kuwaangamiza Wapinzani wake hata wale waliopo nje ya Taifa hilo la Rwanda????
 
Back
Top Bottom