Tafsiri yake ya kusaliti nchi ni ipi?Mtawala kwa kunywa Chale alishawaji kusema Mara Nyingine Kuwa mnyaruanda yeyote atakayesaliti nchi watamfuaya sehemu yoyote duniano, na tumeshuhudia majenerali kadhaa waliotoroka na kujificha nchi za Watu wakiuawa mfono jeAfrika kusini na Zambia na Mara zote SERIKALI ilikanusha, sasa jumlisha sentesi hii Mwamba tutamfuata sehemu yoyote duniani MTU msaliti halafu unganisha na matukio, haiitaji Kuwa na elimu ya chuo Kikuyu kujua nini kipo Nyuma ya pazia ni akili ya kuzaliwa tu
Maslahi ya US huko Congo yanayolindwa na Kagame ni yapi?Niliwahi kusikia kuwa PK ni pandikizi la CIA! Analinda maslahi ya US kule Congo. Na hata siku moja hutasikia US imemsema PK!
Kwa wale wanaomfahamu sijui kama ni kweli.
Mbona Hamas hawataki kuheshimu mamlaka ya Israel??Mtume Muhamad (saw) anatufundisha baada ya Mwenyezimungu tunapaswa tuziheshimu mamlaka, sio mtu unapata viji cent kidogo tu unahis unapaswa kutawala,.
Utawala unatoka kwa Mungu, na huja kwa machoz, jasho na damu. We jiulize maching za kagame akiingia kigali kuchukua madaraka akitoka porini alisucrifice watu wangapi then pisi kali moja inqtaka imtoe kwa vijembe na matusi.
Mkuu usitukane mtu,mama ya mtoa hoja hahusiki hapa.Au sio ? Angefinywa mama yako ungefurahi ?
Wauwajiiii @ work mmh hiinchihatabodatunaogopaaaaView attachment 2856263
View attachment 2856340
Anne Rwigara wa Rwanda amefariki dunia huku Mamake Anne alinukuliwa akisema kifo cha bintiye kilikuwa "fumbo" kwani hakuwa mgonjwa.
Vyanzo kadhaa vinashiriki maelezo ya kuhuzunisha ya kifo chake, vikidai kwamba baada ya masaa nane ya kulalamika kuhusu maumivu ya tumbo, viungo vingi vya mwili wake vilishindwa kifanya kazi. Hatua hiyo inachochea uvumi wa sumu kuwa huenda aliwekewa sumu
Huku uchaguzi wa Rwanda ukikaribia, Watumiaji wengi wa mitandao ya Kijamii wanaelezea wasiwasi wao kwamba kifo chake kinaweza kuwa jaribio la kuzima sauti za upinzani kabisa, hata kama Jumuiya ya Kimataifa inaangalia kwa karibu maendeleo katika nchi ya Rwanda
Hii Familia ya Rwigara iliingia kwenye mgogoro mkubwa zaidi na Rais Kagame baada ya Diane ambaye ni Dada wa Anne kutangaza nia ya Kumpinga kwenye uchaguzi. Kwanza walikamatwa na kuwekwa gerezani, walinyang’anywa utajiri wa familia yao ikiwa ni pamoja na Kiwanda chao cha Tumbaku. Na wakowa gerezani inadaiwa walikuwa wakipatiwa mateso
Historia Fupi
Baba yake inadaiwa aliuawa katika ‘ajali ya gari iliyotengenezwa’ Mwaka 2015, baadaye dada yake mkubwa Diane Rwigara aliingia katika siasa za Rwanda na kutangaza kugombea urais; kwa bahati mbaya aliwekwa gerezani na Kagame kwa kujaribu kumpinga; baadae Mama yake na Anne mwaka 2017 pia waliwekwa gerezani kwa kusema juu ya mateso ya familia yao na baada ya hapo Waliachiwa na kukimbilia uhamishoni, Marekani.
Mwenyezi Mungu aipe haki familia ya Rwigara na Wanyarwanda wote wanaoteseka mikononi mwa utawala wa Kagame Rwanda.
View attachment 2856264
Madini ya Kongo yamemfanya Kagame awe mtu hatari sana. Laiti Kongo ingekuwa na serikali thabiti; ndiyo madhara ya kuwa na viongozi wabinafsi kama Mobutu. Aliua nchi nzima na sasa raslimali zake zinaliwa na Kagame.Kagame kaua familia nzima asee
Tofautisha Anne na DianneNaomba isiwe kweli, huyu dada namkubali sana jamani!
Ila amekaa ndani kipindi kirefu sana, hadi nilishasahau story yake.
Sifikiri kama nimetukana mahali popote ila nimeuliza swali . Wewe binafsi ni wapi ulipoona tusi ?Mkuu usitukane mtu,mama ya mtoa hoja hahusiki hapa.
Maudhui ya swala ulilouliza ni matusi kwa wengine.Sifikiri kama nimetukana mahali popote ila nimeuliza swali . Wewe binafsi ni wapi ulipoona tusi ?
Yan Kagame anawatesa hawa mabinti kisa nini?
Magufuli pia aliua!!Si mchezo.
Anaua sana
Hii ndio moja ya sababu ya Mimi binafsi kutokukubaliana na tawala nyingi za ki-Afrika. Bara la Afrika Lina Tawala nyingi sana za kidhalimu, kiasi kwamba haziwezi kuvumilika.View attachment 2856263
View attachment 2856340
Anne Rwigara wa Rwanda amefariki dunia huku Mamake Anne alinukuliwa akisema kifo cha bintiye kilikuwa "fumbo" kwani hakuwa mgonjwa.
Vyanzo kadhaa vinashiriki maelezo ya kuhuzunisha ya kifo chake, vikidai kwamba baada ya masaa nane ya kulalamika kuhusu maumivu ya tumbo, viungo vingi vya mwili wake vilishindwa kifanya kazi. Hatua hiyo inachochea uvumi wa sumu kuwa huenda aliwekewa sumu
Huku uchaguzi wa Rwanda ukikaribia, Watumiaji wengi wa mitandao ya Kijamii wanaelezea wasiwasi wao kwamba kifo chake kinaweza kuwa jaribio la kuzima sauti za upinzani kabisa, hata kama Jumuiya ya Kimataifa inaangalia kwa karibu maendeleo katika nchi ya Rwanda
Hii Familia ya Rwigara iliingia kwenye mgogoro mkubwa zaidi na Rais Kagame baada ya Diane ambaye ni Dada wa Anne kutangaza nia ya Kumpinga kwenye uchaguzi. Kwanza walikamatwa na kuwekwa gerezani, walinyang’anywa utajiri wa familia yao ikiwa ni pamoja na Kiwanda chao cha Tumbaku. Na wakowa gerezani inadaiwa walikuwa wakipatiwa mateso
Historia Fupi
Baba yake inadaiwa aliuawa katika ‘ajali ya gari iliyotengenezwa’ Mwaka 2015, baadaye dada yake mkubwa Diane Rwigara aliingia katika siasa za Rwanda na kutangaza kugombea urais; kwa bahati mbaya aliwekwa gerezani na Kagame kwa kujaribu kumpinga; baadae Mama yake na Anne mwaka 2017 pia waliwekwa gerezani kwa kusema juu ya mateso ya familia yao na baada ya hapo Waliachiwa na kukimbilia uhamishoni, Marekani.
Mwenyezi Mungu aipe haki familia ya Rwigara na Wanyarwanda wote wanaoteseka mikononi mwa utawala wa Kagame Rwanda.
View attachment 2856264
Shemeji yenu jamani roho inaumaaNi Nani huyo dada mkuu?
Seriously?Kawaida ukiona mtu analeta hofu unamfinya tu kimtindo maisha yanaenda.
Ni kweli kabisa unachosema.Kuna nafuu kidogo asee Rwanda ni zaidi ya jehanamu
Je, Unamfahamu vizuri Paul Kagame pamoja na mitandao yake ya kuwaangamiza Wapinzani wake hata wale waliopo nje ya Taifa hilo la Rwanda????Doubt kama Kagame anahusika, Kagame alimwachia zamani sana na kufutiwa kesi zote, na alihamia US miaka mingi sana iliyopita na alishaacha kujihusisha na siasa pia, sioni connection yeyote
Maislam banaKawaida ukiona mtu analeta hofu unamfinya tu kimtindo maisha yanaenda.
Tulia weweee unachanganyikiwa na mambo madogo tu?Makamba alisema wazuri hawafi, sasa mnatuchanganya.
Mbona una wivu sana ? Lile ni jukwaa la watu maarufu kwahiyo lazima wachambuliwe sasa na hata wenyewe wanalijua hiloVipi huja ubuyu wake? Hasagani huyo? Mzushie basi mleta ubuyu wa JF.😀😆😁