Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
USISAHAU KUPIMA MIWAYA
Muulize na mkeo kafikisha mingapi huko nje?
Most likely she is enjoying it more huko outside ndio maana Una Amani na mchepuko wako
Angekua loyal ungeshaacha
Ukifa huo mchepuko ni haki ukilazimisha kuhudhuria mazishi, kusoma wosia na kugewa sehemu ya mali zako.
Mmeshatoa mimba ngapi?
Umebarikiwa au umelaaniwa????
Dah!!!!,Mlianzaje?
Mzuri au basi tu ili mradi una mchepuko?Tumetoa tatu ila nahisi kamwisho nika upande huu
Mzuri au basi tu ili mradi una mchepuko?
Ebwana kama hivyo nimekubali mzee wa kazi.Aisee ni mtu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ebwana kama hivyo nimekubali mzee wa kazi.
Kwahiyo ni alikua wako kabla ila maisha yakafosi aanze kuolewa na wewe baada ya kujiunga vyema ukamrudia au ilikuaje?