Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Nitapitia
 
ila ili pryamids kubwa ukiingia ndani kn chumba juu kule kina km kaburi,nilipouliza walisema alizikwa farao. Ila mada hii najifunza vitu
Waongo hao hakuna mwili wa Pharao yeyote uliwahi kutwa ndani ya Pyramids zote 300 ndani ya Misri na kush halafu Kuna vitu hawasemi Mkuu Pyramids Zina bunker kubwa Sana Yaani ule mjengo Kwa nje ni mdogo ila ukianza kuzama chemba huimalizi kamwe na Kuna sehemu hazijawahi kufunguka utaweza ujue ndio mwisho wa ukuta kumbe ukitoboa unakuta Kuna chemba nyingine imeanza,
Now wanasansi wanatumia Robots na drill kutoboa Ili wasonge mbele maana binadamu kupenya kule ni ngumu Sana
Walipovunja Kwa kutumia robots wameanza kuona dalili za kushangaza Kuna maandishi ambayo sio ya kimisri ila Kuna sign na symbol ambazo sio za kawaida zikionesha Mahesabu ya kuzalisha Umeme na Bado wanazidi tafiti mpaka wakifika deap hatujui Nini watakutana nacho na imagine tu
Ukisikia wameona mitambo mikubwa ya power Plant tusishangae watakavyo chapisha taarifa zao ndugu watafiti!
 
[emoji457][emoji375][emoji375][emoji375]
 
Aiseee umenifungulia kitu Leo hii

Daahh dunia Ina Mambo hii [emoji16][emoji16]
 
Aah Kenzy!!

Tumia perspective ya sasa Elon Musk, ESA, Nasa and Co wanatengeneza robots kuingia, kutransform na kuisawazisha Mars lakini kwa nini wasitengeneze sayari nyingine tuitakayo?
Words
 
Umeandika utumbo
[emoji16][emoji16] unapinagana na ukweli history ya Jesus Ni history iliyoporwa misri Kisha akapachikwa huyo Jesus was mchongo , haimuhusu kabisaaa , kila kitu kinachozungumziwa kuhusu yesu kuanzia utabiri wa kuzaliwa kwake tayari kilisha andikwa na miungu wa kale wa misri , hebu amkeni basiii mnapigwa ,
 
Mkuu hivi hao majamaa walivyokuja huku hawakukuta hata bahari au ardhi yenye majani? Kama wamekuta viliumbwa na nani?
Huyu hakuzungumzia kuwa Annunaki ni Mungu mkuu, wala hakusema Annunaki anaweza yote au kafanya yote.
Amezungumza kuwa wewe binadamu umeumbwa na Annunaki.
Hiyo mada yako ya majani, nyota , bahari n.k kuna mada zake tutakuletea.
Soma chapter zote
 
[emoji16][emoji16][emoji16] hawajui kuhusu evolution
 
We Jamaa mbona kama ni jinga sana , ni kitu gani ambacho siyo heresy,[emoji1787][emoji1787][emoji1787], umekazana na heresy utazani Kuna kitu umekishuhudia kuhusu Dunia ambacho sio heresy,
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mkuu wala haihitaji akili mingi kufahamu kuwa MUNGU yupo. Huku kubishana ni kwa sababu tumeshiba na hatupo mahututi. Ila vizia pagani mojawapo likiwa mahututi uone kama litakana MUNGU hayupo.
Huyo mungu hayupo kwa sababu sifa aliyopewa katika vitabu vyenu zina contradiction nyingi , yaani sifa alizo pachikwa zina onyesha kwamba hayupo kwa mtu mwenye akili timamu ,

1 ya sifa zinaso bainisha kuwa hayupo kwa mtu mwenye high Iq ni hiyo concept inayosema kila kitu lazima kiwe na source

Then at the same Mkiulizwa Mungu chanzo chake Ni Nini mnaleta blaaa blaaaa mixer mahubiri
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji457][emoji375]
 
[emoji457][emoji375][emoji375]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tena itakuwa akina hawa ndio walikuwa wanawashawishi wanaume kula tunda la katikati ya mapaja [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2375][emoji2375]
[emoji16][emoji16][emoji16] nikweli huwa Wana sumbuliwa na genye Sana wale viumbe
 
Wewe ndo una bla bla ubongoni. Huu ulimwengu uliumbwa na baba yako?

Hujui hata nguvu iliyokuamsha asubuhi ya leo chanzo chake ila unakuja na bla bla za kila kitu kina chanzo, MUNGU hayupo bla bla bla
 
Mkuu tupe Source ya haya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…