FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Tena itakuwa akina hawa ndio walikuwa wanawashawishi wanaume kula tunda la katikati ya mapaja ππππππ€·π½ββοΈπ€·π½ββοΈAiseee ,[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena itakuwa akina hawa ndio walikuwa wanawashawishi wanaume kula tunda la katikati ya mapaja ππππππ€·π½ββοΈπ€·π½ββοΈAiseee ,[emoji16]
NitapitiaNilishawahi kuandika humu kuhusu ulimwengu wa roho na wadau mbali mbali walitoa maoni na mitazamo yao.
Ulimwengu wa Roho
ULIMWENGU WA ROHO Ni sehemu ambayo nafsi (soul's) mbili hukutana pamoja. Ni kweli kwamba kila nafsi hurudi kwenye ulimwengu wa roho Ila dini imetufanya tufikirie zaidi kuhusu mbingu na peponi na hiyo nadharia ndiyo inayo tufanya tushindwe kufikiria kwamba kuna uwezekano mkubwa wa nafsi mbili...www.jamiiforums.com
Waongo hao hakuna mwili wa Pharao yeyote uliwahi kutwa ndani ya Pyramids zote 300 ndani ya Misri na kush halafu Kuna vitu hawasemi Mkuu Pyramids Zina bunker kubwa Sana Yaani ule mjengo Kwa nje ni mdogo ila ukianza kuzama chemba huimalizi kamwe na Kuna sehemu hazijawahi kufunguka utaweza ujue ndio mwisho wa ukuta kumbe ukitoboa unakuta Kuna chemba nyingine imeanza,ila ili pryamids kubwa ukiingia ndani kn chumba juu kule kina km kaburi,nilipouliza walisema alizikwa farao. Ila mada hii najifunza vitu
[emoji457][emoji375][emoji375][emoji375]Issue sio kwamba hakuna Mungu, issue ni maandiko kutuaminisha kuwa ye hana sababu ya kutokea kwake, hii haimake sense katika akili tu ya kawaida, kama tunaamini Kila kitu kina sababu why ye awe hana sababu? Kwanini awe peke yake?
Na ukiangalia hii mada aliyoileta mtoa mada hii sio story maana Kuna facts pia na baadhi ya proof ila maandiko ya dini ndio tunaweza sema ni hadithi maana hakuna facts Wala proof juu ya uwepo wa Mungu, sa inashangaza mtu hii anaita Hadith ila anakubali maandiko ambayo yapo kwenye maandiko
Aiseee umenifungulia kitu Leo hiiAisee Mathanzua Unamwamini Huyo El/YHW/Elohim/Jehovah/Jesus halafu unamtenganisha na Accient gods wa Summeria una akili kweli?
Hivi unajua Huyo El ni Moja ya wale Miungu wa ANNUNAK aliowaabudu Abraham kutoka Mesopotamia?
Kabla ya Abraham YHW aliwahi julikana popote ulivyosoma Kwenye Bible?
Hujiulizi kwanini huyo YHW/JEHOVAV/EL
Alijitambulisha kwa mara ya kwanza Kwa Ibrahimu pale Kaanan ya Kwamba Ndio Mungu mkuu muumbaji na akaingia agano nae?
Baada ya hapo kwanini huyo Mungu YHW alianza kudeal na familia Moja tu ya Ibrahim na uzao wake pekee huoni alikua ni Mungu wa ukoo Mmoja tu Hapa Duniani?
Miaka elfu nyingi alideal na familia Moja tu ya Ibrahim baasi mpaka pale walipomsnitch Ndio akajifanya anaanza deal na mataifa mengine huoni huyo Mungu wao ni mbaguzi na jinsi Gani alivyo kigeu geu?
Soma Kwa kuelewa Mathanzua hiki nikuambiacho Leo
Huyo Ibrahimu na mwanaye Isaka aliingia mkataba na Annunak El akiwa kama Merchizedec mtawala
wa Salem ya Kwamba uzao wake Wote na watakua watu special wa kuwakusanyia Dhahabu pale middle east na Ndio maana utapata story za kutembelewa na miungu mara Kwa mara sababu iliyofanya jamaa kukubalika na ANNUNAK ni Kwamba alikua na ujuzi mkubwa Sana wa kuzichimba na Ndio maana alikua tajiri mkubwa Sana na alimiliki nguvu Kazi kubwa Hata kile kisa Cha kumtoa kafara mwanae lengo Ilikua kuonesha uaminifu Kwa El ya Kwamba atafanya Kila kitu Kwa uaminifu na hatavunja makubaliano Kwa kuingia mkataba na Annunak wengine
Na El akampiga mkwara Kwamba Hilo litakua agano lake la milele Kwa uzao wake na atawafundisha watoto zake Juu ya agano Hilo kizazi na kizazi,
Annunak El alijitanabaisha ni Mungu wa Ibrahimu na ana hasira na wivu endapo atavunja makubaliano na atamwangamiza maana ana ujuzi na nguvu kama zote,
Huo Ndio ukawa mwanzo wa Abraham religion Kwa Uzao wake Ili wawe wanaabudu Mungu
El/YHW/JEHOVAH/
Kila siku Ili wasije sahau agano lao na Ndipo kizazi Cha Israelites hawakuacha kumwomba mwamba EL daima wakiogopa Sana kumsahau maana watapata taabu Sana,
Haya mambo yalianzia mbali Sana mpaka Hapa yalipofikia!
Mathanzua najua utanipinga Sana pamoja na wafia dini wengine ila huu Ndio ukweli mnaabudu msichokijua!
WordsAah Kenzy!!
Tumia perspective ya sasa Elon Musk, ESA, Nasa and Co wanatengeneza robots kuingia, kutransform na kuisawazisha Mars lakini kwa nini wasitengeneze sayari nyingine tuitakayo?
[emoji16][emoji16] unapinagana na ukweli history ya Jesus Ni history iliyoporwa misri Kisha akapachikwa huyo Jesus was mchongo , haimuhusu kabisaaa , kila kitu kinachozungumziwa kuhusu yesu kuanzia utabiri wa kuzaliwa kwake tayari kilisha andikwa na miungu wa kale wa misri , hebu amkeni basiii mnapigwa ,Umeandika utumbo
Huyu hakuzungumzia kuwa Annunaki ni Mungu mkuu, wala hakusema Annunaki anaweza yote au kafanya yote.Mkuu hivi hao majamaa walivyokuja huku hawakukuta hata bahari au ardhi yenye majani? Kama wamekuta viliumbwa na nani?
[emoji16][emoji16][emoji16] hawajui kuhusu evolutionShule ulienda kusomea ujinga bi mkubwa?
Hivi formation ya madini yote si ipo kisayansi zaidi kuliko unavyofikiria Hata kama ulikimbia jogi na physics Ndio useme dhahabu ziliumbwa?
Mada ya formation za miamba ulikimbia wewe [emoji16][emoji16]
Stop dreaming and joking aisee
Hivi waafrika hizi elimu zetu za hapa na pale Ndio zinatufanya tuaamini Kila kitu kilitokea kimiujiza kumbe sometimes ni Phsycs imeaply simple and crear na ushahidi upo!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]We Jamaa mbona kama ni jinga sana , ni kitu gani ambacho siyo heresy,[emoji1787][emoji1787][emoji1787], umekazana na heresy utazani Kuna kitu umekishuhudia kuhusu Dunia ambacho sio heresy,
Huyo mungu hayupo kwa sababu sifa aliyopewa katika vitabu vyenu zina contradiction nyingi , yaani sifa alizo pachikwa zina onyesha kwamba hayupo kwa mtu mwenye akili timamu ,Mkuu wala haihitaji akili mingi kufahamu kuwa MUNGU yupo. Huku kubishana ni kwa sababu tumeshiba na hatupo mahututi. Ila vizia pagani mojawapo likiwa mahututi uone kama litakana MUNGU hayupo.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji457][emoji375]Mzee wewe ndo zuzu kweli kwa sababu haiwezekani kila kitu useme heresy, heresy. Kwani hiyo bible uliishuhudia ikiandikwa, au ni mapokeo tu , ambayo yameandikwa na kufundishwa kanisani, acha ujinga kila kitu ni mapokeo , inabidi kutafuta ukweli, ukweli utakuweka huru
[emoji457][emoji375][emoji375]Mimi hapa ndio binadamu wananifurahisha sana, Yani unahoji nani amewaumba Annunaki kwakuwa inasemekana wameumba binadamu, ila Kila mwenye akili sawa sawa ana nature ya kujua kuwa Kila kitu kina mwanzo wake na ndomana mnahoji nani kawaumba Annunaki
ila kitu Cha ajabu ni kwamba sio Annuaki peke Yao ndio inasemekana wameumba wanadamu, Kuna Mungu pia tunajua ameumba Dunia na vyote vilivyomo
Sasa inakuaje watu mnahoji juu ya uumbwaji wa Miungu Annunaki ila hamuhoji juu ya uumbwaji wa Mungu Allah na Mungu wa Nazareth? Mtoa mada akikwambia kwamba Annunaki hawajaumbwa Wala hawajazaliwa utamuamin?
Ukiambiwa kuwa Annunaki hawajaumbwa wala hawajazaliwa sidhani kama utaamini ila cha ajabu unaamini kuwa Kuna Mungu ambae ye hajazaliwa Wala hajaumbwa na ajabu zaidi ni kwamba Yuko peke Yake tu, at least hawa Annunaki wako wengi ina make Sense, ni kipi hasa kinafanya tunakubali tu hili jibu bila kuhoji kama unavohoji kwa Annunaki?
Kwahiyo kama wewe msingi wa swali lako umelenga kuwa Annunaki wameumbwa na Mungu ambae sie tunamjua basi sio mbaya na mkajiuliza pia Mungu alieumba akina Annunaki na wao wakatuumba sisi yeye aliumbwa na nani? Nini chanzo chake?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Inawezekana maana likifika swala la Israelites kuabudu miungu mingine anakua mkali na mwenye wivu atawapatiliza wewe na kizazi chako Hadi Cha Saba
Sasa unajiuliza kwanini kama yeye ni the all aogope watu wake kuabudu miungu mingine Ina maana ipo na Ina nguvu ila ni marufuku kuifuata baada ya kuingia agano nae,Hapo unapata picha halisi ya YWH ni mungu mdogo Sana Tena mwoga mkubwa akiogopa watu kuabudu vinyago walivyojichongea
Laaa! laaa!laaaa!
Huyo ni Mungu wa mchongo!
[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16] nikweli huwa Wana sumbuliwa na genye Sana wale viumbeTena itakuwa akina hawa ndio walikuwa wanawashawishi wanaume kula tunda la katikati ya mapaja [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2375][emoji2375]
Wewe ndo una bla bla ubongoni. Huu ulimwengu uliumbwa na baba yako?Huyo mungu hayupo kwa sababu sifa aliyopewa katika vitabu vyenu zina contradiction nyingi , yaani sifa alizo pachikwa zina onyesha kwamba hayupo kwa mtu mwenye akili timamu ,
1 ya sifa zinaso bainisha kuwa hayupo kwa mtu mwenye high Iq ni hiyo concept inayosema kila kitu lazima kiwe na source
Then at the same Mkiulizwa Mungu chanzo chake Ni Nini mnaleta blaaa blaaaa mixer mahubiri
Mkuu tupe Source ya haya?Waongo hao hakuna mwili wa Pharao yeyote uliwahi kutwa ndani ya Pyramids zote 300 ndani ya Misri na kush halafu Kuna vitu hawasemi Mkuu Pyramids Zina bunker kubwa Sana Yaani ule mjengo Kwa nje ni mdogo ila ukianza kuzama chemba huimalizi kamwe na Kuna sehemu hazijawahi kufunguka utaweza ujue ndio mwisho wa ukuta kumbe ukitoboa unakuta Kuna chemba nyingine imeanza,
Now wanasansi wanatumia Robots na drill kutoboa Ili wasonge mbele maana binadamu kupenya kule ni ngumu Sana
Walipovunja Kwa kutumia robots wameanza kuona dalili za kushangaza Kuna maandishi ambayo sio ya kimisri ila Kuna sign na symbol ambazo sio za kawaida zikionesha Mahesabu ya kuzalisha Umeme na Bado wanazidi tafiti mpaka wakifika deap hatujui Nini watakutana nacho na imagine tu
Ukisikia wameona mitambo mikubwa ya power Plant tusishangae watakavyo chapisha taarifa zao ndugu watafiti!