Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

ukosoma between the lines hata sikumaanisha ila niliqote tu msemo wa bibi @faizafox [emoji16]
Nisamehe basi ila nilikua naweka msisitizo tu ile kiutani kumbe umekasirika na wewe,
Relax basi hata sijamaanisha Aisee sorry!
,[emoji851][emoji851]
wala nmeshangaa tu, mi huwaga sina hasira mwaya
 
Hakuna Elimu uchwara hapa kamanda hiyo Elimu ipo long time before abrahamic Religion,Hizo dini unazojinasibu ni za Mungu wako waanzilishi ni hao Hao Annunak halafu Leo unakuja kunyamba nyamba hapa
Au hujui Abraham na baba yake Terra walitoka Uru ya Ukaldayo Huko Mesopotamia ambako ndio kulikua ustaarabu wa kuabudu Miungu na Mungu wa Abraham anaitwa El Moja ya Miungu Annunak?
Pumbaf kasome historia ndio uje ubishane na Mimi
Eboooo!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji457]
 
wewe elewa ya Kwamba Annunak ndio waliowaongezea DNA Babu zako Zamadam wakawa Homo Sapiens kimili na kuwapa mission ya kuchimba dhahabu Kule kush na Huko Zimbabwe ya kale
Hujiulizi kwanini Oldupai gorge waligundua fuvu na nyayo za kale sana Kuliko historia ya vitabu vya dini vinavyodai Binadamu kaumbwa Miaka 6000 BC Hapo nyuma na hao Zamadam walikuwepo millions of years nyuma?
Unajua nani aliyeanza kuwapa Binadamu ujuzi mkubwa Hapo kale?
Unajua dhahabu zote zilizochimbwa Toka Miaka maelfu na maelfu Kwa billion of Tani zilipotelea wapi ghafla tu?
Kaa Kwa kutulia upate elimu kijana soon utakuja kupata maarifa ni nani aliyejenga Pyramids zote duniani Miaka elfu nyingi Huko nyuma na still hazina hata ufa,
Utaelewa tu subiri movie kamili!
Mpe mpe huyoooo [emoji16][emoji16][emoji16]

Africa bado Kuna mijitu mijinga jinga mingi sana
 
Japo hizi ni story tu kama zile za kwenye kahawa.

Lakini mimi huwa siamini kabisa haya madhahabu yote yanayochimbwa duniani yanatumika kutengeneza mikufu, saa, cheni and the likes pekee.

Tani zote zile ni kwa ajili ya vito vya thamani pekee. Hapana kuna sehemu hawa wazungu wanapeleka.
Mmhh hili neno kabisa , deep thinking hii
 
Mpe mpe huyoooo [emoji16][emoji16][emoji16]

Africa bado Kuna mijitu mijinga jinga mingi sana
Tutaelewana mpaka mwisho wa Uzi,na nashukuru Kuna watu wameanza kufunguka akili maana walikaririshwa vitabu vya dini vyenye story nusu Huku wakisahau waliowaandikia hivyo vitabu walikua wajanja flani pale Nicea comitee wakaweka vitu vyepesi ambavyo wanaweza vipambanua Kwa zama zao ila Leo watu wanaingiza kutafiti wanakutana na mambo makubwa Sana,
Mfano hapo mwanzo tuliaminishwa Pyramids za Giza ni makaburi ya mafarao
Leo wanasayansi wanathibitisha Yale sio makaburi ni power Plants za kuzalisha umeme zilizojengwa na ANNUNAK pre human civilization yaani Yale madude yalikua ni ya zamani Sana kiasi kwamba Hata wa misri waliyakuta yashajengwa miaka maelfu nyuma Yao
Sasa utajiuliza ni technology Gani ilitumika mpaka Leo hayana Hata ufa na ukiingia kwenye chambers kule ndani Bado mpo fresh kama yamejengwa miaka ya 90 tu yaani
Huo ujuzi wa kushangaza Sana,
Ila watu wa dini hasa wakristo wa buza wanaamini yalijengwa na Waisrael waliokua watumwa 😁
Na wakati Babu za Waisrael Mzee Abraham naye aliyakuta
yashajengwa miaka zaidi ya 5000BC nyuma yake kule misri alipoenda na mkewe Sarai mpaka akajifanya ni dadaake na akachapiwa na Pharao!
 
Tutaelewana mpaka mwisho wa Uzi,na nashukuru Kuna watu wameanza kufunguka akili maana walikaririshwa vitabu vya dini vyenye story nusu Huku wakisahau waliowaandikia hivyo vitabu walikua wajanja flani pale Nicea comitee wakaweka vitu vyepesi ambavyo wanaweza vipambanua Kwa zama zao ila Leo watu wanaingiza kutafiti wanakutana na mambo makubwa Sana,
Mfano hapo mwanzo tuliaminishwa Pyramids za Giza ni makaburi ya mafarao
Leo wanasayansi wanathibitisha Yale sio makaburi ni power Plants za kuzalisha umeme zilizojengwa na ANNUNAK pre human civilization yaani Yale madude yalikua ni ya zamani Sana kiasi kwamba Hata wa misri waliyakuta yashajengwa miaka maelfu nyuma Yao
Sasa utajiuliza ni technology Gani ilitumika mpaka Leo hayana Hata ufa na ukiingia kwenye chambers kule ndani Bado mpo fresh kama yamejengwa miaka ya 90 tu yaani
Huo ujuzi wa kushangaza Sana,
Ila watu wa dini hasa wakristo wa buza wanaamini yalijengwa na Waisrael waliokua watumwa 😁
Na wakati Babu za Waisrael Mzee Abraham naye aliyakuta
yashajengwa miaka zaidi ya 5000BC nyuma yake kule misri alipoenda na mkewe Sarai mpaka akajifanya ni dadaake na akachapiwa na Pharao!
Inafikirisha
 
Still u hav a lot to learn mr Duman
Nimesoma Sana kamanda Tena in deep kuhusu hayo mambo ya ulimwengu wa roho na third dimensions na nimeahafanya majaribio mengi Sana
Imagine nilishawahi kua Hadi mlokole na nilikua nasali Sana Sana yaani nilikua deep in religion but mwisho hiyo wanayoita ulimwengu wa roho na kuongea na roho mtakatifu nikaona ni chai tu maana nilianza kupata kitu kama Hallucinations Kwa kuwa na ma imagination fake fake yaliyo nisababishia msongo wa mawazo tu nikaja pokea Nuru mwishoni baada ya kuona maswala hayo ni ukanjanja nikafunguka akili niaacha kua mtumwa wa vitu vya kufikirika pasipo uhalisia wowote

Leo Ndio nipo hivi
Atheist grade one!
 
hahahahaah unajua Tatizo ni hizi Dini za Abrahamic kuwahadaa Hawa watu na simulizi nusu nusu,na wao walivyo majuha wanaamini kile kilichoandikwa kwenye bible ni kweli tupu na hakuna Cha kuongeza Wala kupunguza
Kumbe hawajui ni jinsi Gani wahuni wa Rome kina Constantine pale Nicea ujanja walioufanya,walichomoa vitabu vyenye Kila kitu,historia zote na mwanzo wa mwingiliano wa jamii za watu na viumbe nyota za mbali
Pia wakafichwa Siri za hii Dunia na historia yake Toka mwanzo,

Wakaja letewa Bible nyepesi yenye story za kubumba na inayoelea Elea bila ufafanuzi wowote
Maajabu yake jamaa washakua Brain washed hawaambiliki Wala hawaoni
Wao na nyumbu hawana utofauti

Hua nacheka na
Kusikitika Sana!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwanini Abraham Ali form hizi dini !? Lengo na madhumuni kilikuwa Ni Nini !?
 
Labda nikuulize swali kila kitu lazima kiwe na chanzo....je umeshawahi kujiuliza nini chanzo cha MUNGU wako....na je alitokea wapi na je ilikuwaje mpaka akawepo.......nothing is from no where mkali......??????
Hawawezi kujibu , hawa wafia dini Ni mtihani hawatakagi kujifunza beyond the limit
 
Tutaelewana mpaka mwisho wa Uzi,na nashukuru Kuna watu wameanza kufunguka akili maana walikaririshwa vitabu vya dini vyenye story nusu Huku wakisahau waliowaandikia hivyo vitabu walikua wajanja flani pale Nicea comitee wakaweka vitu vyepesi ambavyo wanaweza vipambanua Kwa zama zao ila Leo watu wanaingiza kutafiti wanakutana na mambo makubwa Sana,
Mfano hapo mwanzo tuliaminishwa Pyramids za Giza ni makaburi ya mafarao
Leo wanasayansi wanathibitisha Yale sio makaburi ni power Plants za kuzalisha umeme zilizojengwa na ANNUNAK pre human civilization yaani Yale madude yalikua ni ya zamani Sana kiasi kwamba Hata wa misri waliyakuta yashajengwa miaka maelfu nyuma Yao
Sasa utajiuliza ni technology Gani ilitumika mpaka Leo hayana Hata ufa na ukiingia kwenye chambers kule ndani Bado mpo fresh kama yamejengwa miaka ya 90 tu yaani
Huo ujuzi wa kushangaza Sana,
Ila watu wa dini hasa wakristo wa buza wanaamini yalijengwa na Waisrael waliokua watumwa 😁
Na wakati Babu za Waisrael Mzee Abraham naye aliyakuta
yashajengwa miaka zaidi ya 5000BC nyuma yake kule misri alipoenda na mkewe Sarai mpaka akajifanya ni dadaake na akachapiwa na Pharao!
ila ili pryamids kubwa ukiingia ndani kn chumba juu kule kina km kaburi,nilipouliza walisema alizikwa farao. Ila mada hii najifunza vitu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], aisee nimegundua wapi wazungu wameitoa story ya Adamu na hawa...., aisee..., it could be true ila wameinyumbukisha sana hadithi, ile kusema kula tunda la mti wa katikati kumbe ni kufanya mapenzi yaliyopelekea kuzaana na kuujaza mno mji, ikabidi wengi wafukizwe ili nafasi itoshe huko paradise...
Aiseee ,[emoji16]
 
Lete uzi chafu yangu ila usisahau kuna KUFA NA KUFUFULIWA,kuna PEPO na JAHANAMU (MOTO)

Ukiwafatilia sana wazee wa sayansi watakutoa kwenye Reli ya Imani ya MUNGU MMOJA.
Hakuna kitu Kama hicho
 
Hapa mkuu bana kausha wacha tupoteze mida tu ila najua kuna siku uliumwa sana na ukamkumbuka Mungu na kusema Mungu nisaidie na kuna ndugu zako walikwambia Mungu atakusaidia utapona na ukasema amini....Ukibisha basi wewe utakuwa na undugu na Abujahal [emoji1] [emoji38]
Sasa hizo sihuwa ni illusion tu zinazo sababishwa na kuwa brain washed, akili ya mtu huwa inameza kile anachojazwa kichwani na mazingira ya jamii take inayo mzunguka. So Kama aliwahi kuumwana akamtaja mungu , binafsi sioni tatizo kwasababu jamii yake ili mlisha maneno na mafundisho kuwa Kuna mungu na ndiye mkombozi wake so anapofikwa na Tatizo akili inakuwa inampatia kumbu kumbu ya kuhitaji msaada kwa huyo mungu kwa sababu hicho ndicho ambacho akili ilikuwa imekihifadhi kutokana na mafundisho aliyopewa na jamii yake

Ni sawa sawa nawewe Leo hii unavyo Amini kuwa 1+1 =2 haukuweza kuamini hivyo tu mpaka pale jamii inayo kuzungukwa ilivyokujaza hiyo Imani
 
Kwanini Abraham Ali form hizi dini !? Lengo na madhumuni kilikuwa Ni Nini !?
Abraham yeye hakuform dini ila alikua ana muabudu Mungu El ila baade wajukuu zake nao wakamfanyia ndie Mungu official wa familia Yao baadae Taifa lao,baadae ikaja dini ya Judaism iliyokua inamtukuza El/YHW/Elohim
Hiyo ilikua dini inayoelezea mwanzo wao na mafundisho mengine ya Mesopotamian kama Tarmud wakikopy Hadith na masimulizi ya uumbaji Mwanzo wa mwingiliano wa viumbe vingine ila hayo yote wakikopy Kwa ANNUNAKI writings za Summeria,
Baade ndio dini zetu hizi zikadandia masimulizi na maandiko ya Israelites wakaunda dini ya kikristo baade Uislamu!
 
Hao Annunaki na uwezo wao wote walishindwa kuja kuchukua dhahabu na kuondoka zao mpaka wamtengeneze mtu mmoja ndo awe anawachimbia hiyo dhahabu??

Haya Sasa kabla ya kumtengeneza huyo adampa walikua wanaipataje hiyo dhahabu?
 
Back
Top Bottom