Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Sipendagi ubishi lakini kwa hili takubishia bure tu!😂
Possibility za kuwepo kwa dhahabu kwenye Galaxy yetu haifit kwenye dunia tu no and never!. Angalau hata ungeniambia quality aidha kiduchu ningekuelewa ila yote kwa yote bado hizi ni nadharia tu bado hata hatujatoka nje ya mfumo wa jua letu!.. nafikiri tuache nadharia sasa tuingie kwenye tafiti.
Hizo tafiti tutaanzi wap man,tuvunge tu tuendelee kujiuliza mpaka tuchoke🤣
 
Do not attack her like this!,anachomaanisha hizohizo process mpk kufikia kufanyika dhahabu. Kama hao annunaki wangekuwa na maarifa zaidi wangeweza pia kuzitengeneza na sio kuzitafuta!.
Kiufupi annunaki hawana sifa ya Uungu kwa asilimia mia.
Ni kweli Hata wao hawajioni kama ni miungu walikua ni viumbe tu huo uungu walipewa na watu waliowaona na ujuzi,maarifa na nguvu kubwa
Wao walikuja Kwa mission Yao ilivyoisha wakasepa huku raia wakaanza kuwatengenezea mapicha na imagination,Hata hizo Sayari zao walizotoka zilikua high advanced technology kiasi kwamba watu walikuona kama Ndio Paradise kutokana na masimulizi ya Sumerian!
 
Mkuu hivi hao majamaa walivyokuja huku hawakukuta hata bahari au ardhi yenye majani? Kama wamekuta viliumbwa na nani?
mkuu Hawa viumbe waliikuta Dunia ikiwa na miaka billions nyingi tu Toka formation ya jua letu na uhai kwenye Sayari ya Dunia upo automatically sababu tupo ukanda wa habitable zone Planetary,
Hii Habitable zone ipo kwenye Kila Galaxies na Sayari inayopatika Kwenye ukanda Huo lazima isapoti uhai wa viumbe mpaka Leo wanasayansi wamagundua Sayari Moja inaitwa Kepler 452-B hiyo Ina sifa kama za Dunia ila ipo mbali mno itatumia 4 light years kuifikia
Kwahiyo angalau hiyo Ndio nadharia yenye mashiko kwenye uhai wa Sayari yetu!
 
Ninachosema mm ni hichi mkuu, uwepo wa ulimwengu na vyote vilivyomo vina sababu, hiyo sababu ni MUNGU, na kama huu ulimwengu hatujauelewa je huyo MUNGU tutamwelewa?

Embu fikiri, mdudu kama inzi kwa utashi wake anaelewa nini kuhusu Amarok, Ford, Mitsubish, Toyota alizounda binadamu? Hawezi sababu hana utashi wa kiwango hicho.

Sasa tunajuaje labda unahitajika utashi mara 100000000000 zaidi ili tuweze mchunguza MUNGU na kujua asili yake.

Ila utashi wa kuhisi uwepo wake tunao kama tu nzi alivyo na utashi wa kuhisi uwepo wa binadamu na kumkimbia, ni sawa na ukiingia kwenye pango usilolijua halafu ukakuta mafiga na kuni na nyama imepakwa chumvi, lazima utahitimisha humu yupo binadamu hata usipomuona kwa muda uliokaa mle pangoni.
Kumbe bado tz tunawatu wenye akili mingi
 
Itachukua gharama kubwa sana ambayo kuimudu ni mzigo wa kubeba jua Kama binadamu akitengeneza mars!.. vivyohivyo kwenye dhahabu inachukua gharama kubwa sana kutengeneza dhahabu kwenye maabara kiasi kwamba hata ukitaka kuiza huwezi pata faida maana hakuna atakaenunua nakuacha hizo zinazojiunda physically ambazo hupatikana kwa sisi kuzitafuta tu.

Sasa swali langu linageuka tena ila hili sijui wanijibu annunaki wenyewe..😂
Ni kivipi na wao hawawezi ku afford gharama za kutengeneza dhahabu..?
Ikiwa wanaweza kutumia gharama kiasi cha kuweza kutoka sayari yao mpk yetu kwa wakati huo kupi Kuna gharama zaidi..??

Haya maswali ngoja nikaushe tu maana kupata majibu mpk niwapate annunaki..😂
Ukifuatilia kwa kila stage unayovuka kuna masuala yaliyo ndani ya uwezo wako lakini inakuwiwa vigumu kuyafanya au kutekeleza ni kutokana na relativity ya mapokeo na kuridhika.


Annunaki maybe hawawezi kuafford tech na principles za kutengeneza dhahabu, au wanashindwa kujitengenezea kwa kuona haitokuwa bora au uwezo upo lakini haiakisi mahitaji na muda. Inaweza kuwa rahisi kusafiri na kutengeneza kiumbe chenye mfano wao let's say 10 years lakini kutengeneza dhahabu ikawa ikachukua 90 years.
 
Tutabaki kudhania haya mpaka lini..? Wasituzingue kila mmoja afanye mitikasi yake!.. wao Kama wanaona dhahabu ni dili waje mara hii waone tunavyowatoa baru Kama mbwai iwe mbwai tu.. wakatafute sayari nyengine wainyonye tumechoka ubepari wao..🤣
Sasa kama miaka hyo walikuwa na teknolijia kubwa kiasi kile wakija sahv unahis watakuwa na teknolojia kubwa kias gan? (Kama ni kweli walikuwepo )
 
Mkuu wala haihitaji akili mingi kufahamu kuwa MUNGU yupo. Huku kubishana ni kwa sababu tumeshiba na hatupo mahututi. Ila vizia pagani mojawapo likiwa mahututi uone kama litakana MUNGU hayupo.
kwa hiyo huo kwako ndo uthibitisho? Mungu yupi Sasa katika wale wengi!?
 
We Jamaa mbona kama ni jinga sana , ni kitu gani ambacho siyo heresy,🤣🤣🤣, umekazana na heresy utazani Kuna kitu umekishuhudia kuhusu Dunia ambacho sio heresy,
Wewe zuzu aisee,hivi unaniona Dunia iko sawa kweli,duh!Sisi wenzio tunatamani kuihama Dunia.
 
Wewe zuzu aisee,hivi unaniona Dunia iko sawa kweli,duh!Sisi wenzio tunatamani kuihama Dunia.
Mzee wewe ndo zuzu kweli kwa sababu haiwezekani kila kitu useme heresy, heresy. Kwani hiyo bible uliishuhudia ikiandikwa, au ni mapokeo tu , ambayo yameandikwa na kufundishwa kanisani, acha ujinga kila kitu ni mapokeo , inabidi kutafuta ukweli, ukweli utakuweka huru
 
Mzee wewe ndo zuzu kweli kwa sababu haiwezekani kila kitu useme heresy, heresy. Kwani hiyo bible uliishuhudia ikiandikwa, au ni mapokeo tu , ambayo yameandikwa na kufundishwa kanisani, acha ujinga kila kitu ni mapokeo , inabidi kutafuta ukweli, ukweli utakuweka huru
Niambie pa kuupata ukweli mkuu.
 
Mzee wewe ndo zuzu kweli kwa sababu haiwezekani kila kitu useme heresy, heresy. Kwani hiyo bible uliishuhudia ikiandikwa, au ni mapokeo tu , ambayo yameandikwa na kufundishwa kanisani, acha ujinga kila kitu ni mapokeo , inabidi kutafuta ukweli, ukweli utakuweka huru
Sio kila ukweli unaweza kukuweka huru mkuu.Ukweli unao weza kuweka huru ni kumjua Mungu na kujua mapenzi yake kwako.The rest is rubbish.
 
SEHEMU YA TISA

DARWIN WAS WRONG

Leo napenda kuzungumzia "evolution" nadharia iliyokuwa proposed na Charles Darwin kuhusu chimbuko la mtu.

Inawezekana kabisa Darwin hakufahamu kile tunachokifahamu leo. Lakini wakati nasema hakuwa sahihi, aliweza kutoa mwanga kwa watu kuhusu imani za kidini na chimbuko la mtu.

Neno evolution nazani halikuwa sahahi, neno ambalo lingekuwa sahihi kutokana na nadharia yake ya natural selection lilitakuwa kuwa "Adaptation theory," kwa nini?, kwa sababu moja kubwa: ili kitu/kiumbe kiweze kutokea (evolve) kinahitaji kuendana na mazingira kwanza (adapt first), na hii inatakiwa kutokea kwenye maisha yake wakati wote ili DNA iweze kuwa re-sequenced.

DNA is passed to it's offsprings, kitu ambacho kinanifanya niamini kwamba hatutakaa tupate rekodi ya hatua za mabadiliko kutoka kwenye mabaki (fossils).

Mfano: Tukichukua wanawake wawili ambao genetically wanafanana kiphysique na wote wawe na uzito sawa 70kg. Kama tukimuweka mmoja kwenye swimming program na mwingine kwenye program ya mbio (marathon), baada ya miaka kadhaa/michache tutagundua ya kwamba watu hawa waliokuwa physically identical wametofautiana.

Yule muogeleaji utakuta amedevelop subcutaneous fat na kupoteza nywele kwenye baadhi ya sehemu zake za mwili na kumfanya awe efficient zaidi kwenye maji, hali hii itamfanya aendane na mazingira(more adept).

Yule marathon runner utakuta emepungua 10-20kg, na kiasi cha mafuta mwilini kama 5% hivi, hivyo naye kumfanya awe efficient zaidi.

Wanawake wote hawa wakizaa, kile walicho reprogrammed kwenye miili yao, kupitia DNA kinaenda hadi kwa watoto (offsprings).

Hii maana yake ni kwamba tunaweza reprogram DNA zetu, na mazingira tunayoishi ndiyo yanayopelekea mabadiliko hayo. Kwa maneno mengine DNA zetu, zinaweza kutazamika sambamba kabisa na njia ambayo computer program can be updated/neglected.

Tumeambiwa kwamba evolution inatokea kwa mechanisms mbali mbali. Moja; Evolution inachukua mamilioni na mamilioni ya miaka, kwa mabadiliko ya taratibu (gradual changes), huku mabadiliko hayo yakiweza kupita kizazi kimoja hadi kingine. Na nyingine ni "punctuated equilibrium," ambayo inasema kwamba baadhi ya species wataonyesha mabadiliko kidogo sana katika geolojia ya historia yao, huku wakibaka katika extended state ijulikanayo kama "Stasis." Kwahiyo siyo Evolution, hapa inaonekana kwamba Darwinists na creotionists wako confused na wote wana fanatical views sawa.

Sir Arthur Conan Doyle aliwahi kusema, " once you eliminate the impossible, whatever remains, no matter how improbable, must be the truth."

Sasa turudi kwenye kile ninachotaka tujadili kuhusu evolution.

Darwinists wanasema kwamba , miaka kadhaa iliyopita, billions of years, maisha yalianzia kwenye "primordial soup"(pool of water), lakini hii siyo sahihi, kwa kifupi tunajua kwamba baada ya solar system kufanyika, prokaryotic bacteria wawili walitokea suddenly duniani wakati huo huo. Inakadiliwa kuwa ni zaidi ya 4 billions years iliyopita, na tunajua hivi kwa sababu bado wanaendelea kuwepo kwa nyakati hizi-they arrived whole & intact.

Hawakutokea duniani, lakini tunaambiwa kwamba, these bacteria slowly evolved into creatures, which then evolve into other creatures & other species, which eventually give rise to humankind.

Turudi kwa Crick na Watson( wagunduzi wa DNA double helix) wanasema kwamba: it would have been impossible to assemble one kind of prokaryotic bacteria, yet alone two different types by chance, and in a very short space of time in the cosmic scheme of things.

Francis Crick yeye alikwenda mbali na kusema,

"You would be more likely to assemble a fully functioning & flying jumbo jet by passing a hurricane through a junk yard than you would be to assemble the DNA molecule by chance in any kind of primeval sea of soup in 5-600 million years. It is just not possible."


Kama nilivyokwisha kusema kwenye sehemu zilizotangulia, geneticists wamegundua kwamba mitochondrial DNA zetu zinaweza kupita kwa mwanamke mmoja hadi kwa mwingine kwa sababu zina baki intact.


Hivyo kuwa traced miaka 250,000 iliyopita to a woman in South Africa. Huu ni sawa na muda ambao sumerians walisema mtu aliweza kuumbwa na Annunaki.

Vile vile wamegundua kwamba nuclear DNA, ambazo tunarithi kutoka kwa Baba na Mama which mixes together kutoka kizazi kimoja kwenda kingine zina umri wa miaka mingi ila siyo kama Darwinists walivyosema kwamba tunaweza kutrace back ancestry wetu miaka 4,000,000 kutoka kwa Australopithecines wa kwanza kabisa.

Darwin mwenyewe kwa maneno yake alisema,

"If we cant find the intermediary species from one to another, then I must be wrong".

Siyo mimi, ni yeye mwenyewe alisema hivyo. Na mpaka leo hatujafanikiwa kupata transitional species yeyote.

Tukija kwenye suala la mtu/binadamu tumeambiwa tulitokana na primates, japo kuwa mtu ni tofauti akiwa na chromosomes 46 ukilinganisha na primate family chromosomes 48.

Kama tulitokana na apes, ingewezekanaje tukapoteza chromosomes 2 according to Darwin's evolution theory?

Vile vile musculoskeletal structures za kwetu ni tofauti kabisa na primates, na hivi karibuni geneticists wamegundua genes za HARI & FoxP2 ambazo zipo kwa mtu tu, primates hawana hizi genes.

How could these two genes suddenly just appear out of nowhere in humans, when there is no trace of any evolution of these two genes seen in any of the primate family?

Kwanini apes wa sasa hawabadiliki kuwa humankind?


Darwin alichofanya ni kuwafungua watu kutoka kwenye imani ya dini na kuwapa mwanga kuhusu chimbuko la mwanadamu. Lakini pia alifungua milango kwa wanasayansi duniani kufanya tafiti zaidi kuhusu chimbuko la mtu.

Mapema kabisa nadharia ya evolution iliandikwa na mfaransa Jean Baptiste Lamarck miaka 50 kabla ya Darwin. Hii ndiyo concept ya kwanza kabisa na valid iliyochapishwa kisayansi. Darwin yeye alikuja kuelezea mechanism ni jinsi gani evolution inatokea kwa kuzingatia alichoandika Lamarck.

Mchango wa Darwin ni nadharia ya "competition & struggle for survival), akimaanisha kwamba evolution ni ongoing struggle for fitness.

Wakati theory of evolution ikitolewa na Lamark, aliye introduce nadharia ya "Natural Selection" alikuwa ni Alfred Russell Wallace aliyemuandikia Darwin ambaye alikuwa anafanyia kazi wazo kama lake, katika manuscript aliyomwandikia, Alfred alimwambia hivi;

"If you think is worthy of publication, would you please submit it for publication to Charles Lyell at the Royal Society?"

Baada ya kupokea ujumbe huo, Darwin alimuuliza unataka nifanyeje?, Alfred akamwambia, "utangazie ulimwengu", hapo ndipo Darwin na Lyell kwa kutumia kazi ya Alfred wakiwa Linnean Society wakawakilisha wazo lao(Darwinism theory) na kuutangazia ulimwengu. Hili nimeliweka wazi kwa sababu kuna msemo mmoja unasema" is the glass half full or is it half empty?"

Maana yake nini, maana yake ni kwamba, the same glass but different perspectives.

Kwahiyo hakuna njia yeyote ile evolution inaweza kuelezea kuumbwa kwa binadamu wa sasa, bali inaweza kuelezea mechanisms na changes zinazoweza kupelekea mabadiliko baada ya kitu/vitu kuumbwa.

heComputer.gif

Evolution of man.

FRANCIS DA DON
mtu chake
Norshad
obelisk
 
annunaki wakati wanahangaika na uumbaji wa mwanadamu ambaye atawatumikia katika mission gold yao, walipata tabu mpaka wakafikia majaribio 40, na katika procces zote walihitaji mchanganyiko wao na udongo ndio wakafanikiwa kumuumba mwanadamu wa sasa, majaribio 39 yaliyo baki yalilenga ku modify viumbe waliokuwepo ambao kwa muundo wao hawakuweza kuwa wafanya kazi migodini, hivyo walihitaji kuchanganya asili yao na udongo ili kuzalisha mwanadamu wa sasa, swali ni je? hao viumbe walio kuwepo, nna refer samaki, farasi na wengineo, chanzo chao ni nini
 
SEHEMU YA TISA

DARWIN WAS WRONG

Leo napenda kuzungumzia "evolution" nadharia iliyokuwa proposed na Charles Darwin kuhusu chimbuko la mtu.

Inawezekana kabisa Darwin hakufahamu kile tunachokifahamu leo. Lakini wakati nasema hakuwa sahihi, aliweza kutoa mwanga kwa watu kuhusu imani za kidini na chimbuko la mtu.

Neno evolution nazani halikuwa sahahi, neno ambalo lingekuwa sahihi kutokana na nadharia yake ya natural selection lilitakuwa kuwa "Adaptation theory," kwa nini?, kwa sababu moja kubwa: ili kitu/kiumbe kiweze kutokea (evolve) kinahitaji kuendana na mazingira kwanza (adapt first), na hii inatakiwa kutokea kwenye maisha yake wakati wote ili DNA iweze kuwa re-sequenced.

DNA is passed to it's offsprings, kitu ambacho kinanifanya niamini kwamba hatutakaa tupate rekodi ya hatua za mabadiliko kutoka kwenye mabaki (fossils).

Mfano: Tukichukua wanawake wawili ambao genetically wanafanana kiphysique na wote wawe na uzito sawa 70kg. Kama tukimuweka mmoja kwenye swimming program na mwingine kwenye program ya mbio (marathon), baada ya miaka kadhaa/michache tutagundua ya kwamba watu hawa waliokuwa physically identical wametofautiana.

Yule muogeleaji utakuta amedevelop subcutaneous fat na kupoteza nywele kwenye baadhi ya sehemu zake za mwili na kumfanya awe efficient zaidi kwenye maji, hali hii itamfanya aendane na mazingira(more adept).

Yule marathon runner utakuta emepungua 10-20kg, na kiasi cha mafuta mwilini kama 5% hivi, hivyo naye kumfanya awe efficient zaidi.

Wanawake wote hawa wakizaa, kile walicho reprogrammed kwenye miili yao, kupitia DNA kinaenda hadi kwa watoto (offsprings).

Hii maana yake ni kwamba tunaweza reprogram DNA zetu, na mazingira tunayoishi ndiyo yanayopelekea mabadiliko hayo. Kwa maneno mengine DNA zetu, zinaweza kutazamika sambamba kabisa na njia ambayo computer program can be updated/neglected.

Tumeambiwa kwamba evolution inatokea kwa mechanisms mbali mbali. Moja; Evolution inachukua mamilioni na mamilioni ya miaka, kwa mabadiliko ya taratibu (gradual changes), huku mabadiliko hayo yakiweza kupita kizazi kimoja hadi kingine. Na nyingine ni "punctuated equilibrium," ambayo inasema kwamba baadhi ya species wataonyesha mabadiliko kidogo sana katika geolojia ya historia yao, huku wakibaka katika extended state ijulikanayo kama "Stasis." Kwahiyo siyo Evolution, hapa inaonekana kwamba Darwinists na creotionists wako confused na wote wana fanatical views sawa.

Sir Arthur Conan Doyle aliwahi kusema, " once you eliminate the impossible, whatever remains, no matter how improbable, must be the truth."

Sasa turudi kwenye kile ninachotaka tujadili kuhusu evolution.

Darwinists wanasema kwamba , miaka kadhaa iliyopita, billions of years, maisha yalianzia kwenye "primordial soup"(pool of water), lakini hii siyo sahihi, kwa kifupi tunajua kwamba baada ya solar system kufanyika, prokaryotic bacteria wawili walitokea suddenly duniani wakati huo huo. Inakadiliwa kuwa ni zaidi ya 4 billions years iliyopita, na tunajua hivi kwa sababu bado wanaendelea kuwepo kwa nyakati hizi-they arrived whole & intact.

Hawakutokea duniani, lakini tunaambiwa kwamba, these bacteria slowly evolved into creatures, which then evolve into other creatures & other species, which eventually give rise to humankind.

Turudi kwa Crick na Watson( wagunduzi wa DNA double helix) wanasema kwamba: it would have been impossible to assemble one kind of prokaryotic bacteria, yet alone two different types by chance, and in a very short space of time in the cosmic scheme of things.

Francis Crick yeye alikwenda mbali na kusema,

"You would be more likely to assemble a fully functioning & flying jumbo jet by passing a hurricane through a junk yard than you would be to assemble the DNA molecule by chance in any kind of primeval sea of soup in 5-600 million years. It is just not possible."


Kama nilivyokwisha kusema kwenye sehemu zilizotangulia, geneticists wamegundua kwamba mitochondrial DNA zetu zinaweza kupita kwa mwanamke mmoja hadi kwa mwingine kwa sababu zina baki intact.


Hivyo kuwa traced miaka 250,000 iliyopita to a woman in South Africa. Huu ni sawa na muda ambao sumerians walisema mtu aliweza kuumbwa na Annunaki.

Vile vile wamegundua kwamba nuclear DNA, ambazo tunarithi kutoka kwa Baba na Mama which mixes together kutoka kizazi kimoja kwenda kingine zina umri wa miaka mingi ila siyo kama Darwinists walivyosema kwamba tunaweza kutrace back ancestry wetu miaka 4,000,000 kutoka kwa Australopithecines wa kwanza kabisa.

Darwin mwenyewe kwa maneno yake alisema,

"If we cant find the intermediary species from one to another, then I must be wrong".

Siyo mimi, ni yeye mwenyewe alisema hivyo. Na mpaka leo hatujafanikiwa kupata transitional species yeyote.

Tukija kwenye suala la mtu/binadamu tumeambiwa tulitokana na primates, japo kuwa mtu ni tofauti akiwa na chromosomes 46 ukilinganisha na primate family chromosomes 48.

Kama tulitokana na apes, ingewezekanaje tukapoteza chromosomes 2 according to Darwin's evolution theory?

Vile vile musculoskeletal structures za kwetu ni tofauti kabisa na primates, na hivi karibuni geneticists wamegundua genes za HARI & FoxP2 ambazo zipo kwa mtu tu, primates hawana hizi genes.

How could these two genes suddenly just appear out of nowhere in humans, when there is no trace of any evolution of these two genes seen in any of the primate family?

Kwanini apes wa sasa hawabadiliki kuwa humankind?


Darwin alichofanya ni kuwafungua watu kutoka kwenye imani ya dini na kuwapa mwanga kuhusu chimbuko la mwanadamu. Lakini pia alifungua milango kwa wanasayansi duniani kufanya tafiti zaidi kuhusu chimbuko la mtu.

Mapema kabisa nadharia ya evolution iliandikwa na mfaransa Jean Baptiste Lamarck miaka 50 kabla ya Darwin. Hii ndiyo concept ya kwanza kabisa na valid iliyochapishwa kisayansi. Darwin yeye alikuja kuelezea mechanism ni jinsi gani evolution inatokea kwa kuzingatia alichoandika Lamarck.

Mchango wa Darwin ni nadharia ya "competition & struggle for survival), akimaanisha kwamba evolution ni ongoing struggle for fitness.

Wakati theory of evolution ikitolewa na Lamark, aliye introduce nadharia ya "Natural Selection" alikuwa ni Alfred Russell Wallace aliyemuandikia Darwin ambaye alikuwa anafanyia kazi wazo kama lake, katika manuscript aliyomwandikia, Alfred alimwambia hivi;

"If you think is worthy of publication, would you please submit it for publication to Charles Lyell at the Royal Society?"

Baada ya kupokea ujumbe huo, Darwin alimuuliza unataka nifanyeje?, Alfred akamwambia, "utangazie ulimwengu", hapo ndipo Darwin na Lyell kwa kutumia kazi ya Alfred wakiwa Linnean Society wakawakilisha wazo lao(Darwinism theory) na kuutangazia ulimwengu. Hili nimeliweka wazi kwa sababu kuna msemo mmoja unasema" is the glass half full or is it half empty?"

Maana yake nini, maana yake ni kwamba, the same glass but different perspectives.

Kwahiyo hakuna njia yeyote ile evolution inaweza kuelezea kuumbwa kwa binadamu wa sasa, bali inaweza kuelezea mechanisms na changes zinazoweza kupelekea mabadiliko baada ya kitu/vitu kuumbwa.

View attachment 2110083
Evolution of man.

FRANCIS DA DON
mtu chake
Norshad
obelisk
Andiko nzuri,, ila bado ni simulation theorist....
 
annunaki wakati wanahangaika na uumbaji wa mwanadamu ambaye atawatumikia katika mission gold yao, walipata tabu mpaka wakafikia majaribio 40, na katika procces zote walihitaji mchanganyiko wao na udongo ndio wakafanikiwa kumuumba mwanadamu wa sasa, majaribio 39 yaliyo baki yalilenga ku modify viumbe waliokuwepo ambao kwa muundo wao hawakuweza kuwa wafanya kazi migodini, hivyo walihitaji kuchanganya asili yao na udongo ili kuzalisha mwanadamu wa sasa, swali ni je? hao viumbe walio kuwepo, nna refer samaki, farasi na wengineo, chanzo chao ni nini
Swali nzuri sana, mkuu
 
Back
Top Bottom