Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Mwamba umeongea kitu kikubwa sana...ndomana mi huwa nahis kama hawa anunaki../Miungu..kila m1 ana project yake..perhaps sis weus tuna mungu wetu..yupo alietengeza wanyama....Aisee Mathanzua Unamwamini Huyo El/YHW/Elohim/Jehovah/Jesus halafu unamtenganisha na Accient gods wa Summeria una akili kweli?
Hivi unajua Huyo El ni Moja ya wale Miungu wa ANNUNAK aliowaabudu Abraham kutoka Mesopotamia?
Kabla ya Abraham YHW aliwahi julikana popote ulivyosoma Kwenye Bible?
Hujiulizi kwanini huyo YHW/JEHOVAV/EL
Alijitambulisha kwa mara ya kwanza Kwa Ibrahimu pale Kaanan ya Kwamba Ndio Mungu mkuu muumbaji na akaingia agano nae?
Baada ya hapo kwanini huyo Mungu YHW alianza kudeal na familia Moja tu ya Ibrahim na uzao wake pekee huoni alikua ni Mungu wa ukoo Mmoja tu Hapa Duniani?
Miaka elfu nyingi alideal na familia Moja tu ya Ibrahim baasi mpaka pale walipomsnitch Ndio akajifanya anaanza deal na mataifa mengine huoni huyo Mungu wao ni mbaguzi na jinsi Gani alivyo kigeu geu?
Soma Kwa kuelewa Mathanzua hiki nikuambiacho Leo
Huyo Ibrahimu na mwanaye Isaka aliingia mkataba na Annunak El akiwa kama Merchizedec mtawala
wa Salem ya Kwamba uzao wake Wote na watakua watu special wa kuwakusanyia Dhahabu pale middle east na Ndio maana utapata story za kutembelewa na miungu mara Kwa mara sababu iliyofanya jamaa kukubalika na ANNUNAK ni Kwamba alikua na ujuzi mkubwa Sana wa kuzichimba na Ndio maana alikua tajiri mkubwa Sana na alimiliki nguvu Kazi kubwa Hata kile kisa Cha kumtoa kafara mwanae lengo Ilikua kuonesha uaminifu Kwa El ya Kwamba atafanya Kila kitu Kwa uaminifu na hatavunja makubaliano Kwa kuingia mkataba na Annunak wengine
Na El akampiga mkwara Kwamba Hilo litakua agano lake la milele Kwa uzao wake na atawafundisha watoto zake Juu ya agano Hilo kizazi na kizazi,
Annunak El alijitanabaisha ni Mungu wa Ibrahimu na ana hasira na wivu endapo atavunja makubaliano na atamwangamiza maana ana ujuzi na nguvu kama zote,
Huo Ndio ukawa mwanzo wa Abraham religion Kwa Uzao wake Ili wawe wanaabudu Mungu
El/YHW/JEHOVAH/
Kila siku Ili wasije sahau agano lao na Ndipo kizazi Cha Israelites hawakuacha kumwomba mwamba EL daima wakiogopa Sana kumsahau maana watapata taabu Sana,
Haya mambo yalianzia mbali Sana mpaka Hapa yalipofikia!
Mathanzua najua utanipinga Sana pamoja na wafia dini wengine ila huu Ndio ukweli mnaabudu msichokijua!
Yaan kama ilivyo sasa ulimwengun hapa..kuna sie tuko vzur kwenye kutengeneza vitu vya asili...kunaa wachina wanakuja na product zao za kichina..kuna wazungu wao wanatengeneza mchines tu..etc..so naamin nahis..perhaps..yupo mtaalam yeye ni kutengeneza mimea tu..ndo sekta yake .perhaps. yupo mwingne yeye ni mtenngeneza maj. N all water bodies etc....
Uskute yupo anunaki/mungu yeye watu wake ni jamii ya wachina. Japan..korea etc[emoji3]
Na ndo ile tafsi ya ndimi bwana mungu wako usiabudu miungu mingne... Inamaana miungu mingne ipo[emoji3]
Sasa hapo mlokole ukimwambia nipe tafsir ya miungu mingne..ataanza bla blaa kibao..mara miungu mingne ni tamaa..ulevi.uzinz.[emoji3]
Hawa jamaa bana...sasa mtu kama masanja au shila na akili ndogo vile atakuchambulia nn uelewe..hahahah