Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Ok ila biblia pia imecopy kama msemavyo, ndio maana nikauliza lengo la kutolea mifano biblia ni lipi maana nayo ni copy? Dhumuni hasa ya kutoa mifano kwenye biblia ni nini?
Mpaka wewe umejua ya kwamba tumetolea bible mifano Hilo nalo ni dhumuni,japo upate mwanga ya kile tunachokieleza maana Wengine hawajasoma maandiko nje ya Bible kwahiyo lazima tu reference Ili twende Sawa pamoja kujua Nini tunamaanisha!
 
Mpaka wewe umejua ya kwamba tumetolea bible mifano Hilo nalo ni dhumuni,japo upate mwanga ya kile tunachokieleza maana Wengine hawajasoma maandiko nje ya Bible kwahiyo lazima tu reference Ili twende Sawa pamoja kujua Nini tunamaanisha!
Vizuri kabisa, sasa kwanini usitolee na mifano kwenye Qur'an ili wale wanaoijua Qur'an tu na hawajui biblia nao wapate mwanga? Maana huwa mnazitaja kwa pamoja kuwa hizi dini mbili zinapotosha na kusema Qur'an ni copy tu ya biblia, sasa kwanini msitoe na mifano kwenye Qur'an maana si ndio yaleyale ila lengo yule anayeijua Qur'an tu naye apate mwanga.
 
Umeelezea kama vile maisha yako ni kutafuta chakula na kula basi basi.
 
Hao waliyowapa uungu wakati huo walikuwa wanakusudia nini kuwaita miungu au neno mungu lilikuwa na maana gani hadi wakaamua kuwaita miungu na ndio tunasema waliwapa uungu?
Na idea ya kuwaabudu waliipata wapi na kuabudu kulikuwa na maana gani kwao?
 
Majuzi tu, yani siku kama 5 zimepita, nimesoma habari ya BBC, Serikali ya Marekani (NASA)
Wameamua kuachia siri na kukubari ama
Kukikiri juu ya uwepo wa Alliens, na Uthibitisho wa Video....!
 
Samahani mkuu, unaweza ukatupa experience yako katika kutafuta knowledge mpya? yani mpaka kuwa na mitazamo tofauti na mwanzo na kuwa unajua hayo unayoyajua sasa ulifikaje hapo?

Maana si rahisi mtu kuacha mitazamo ambayo amekuwa nayo toka anakuwa kama ambavyo unaona wengine humu, hivyo pengine ukielezea experience yako inaweza ikawa msaada kwa wengine.
 
Nilikuwa najiuliza mbona uzi haujachangamka? Ndo unachangamka sasa😂😂😂😂
 
Kuna mitazamo mingi sana kuhusiana na kinachoitwa Mungu/mungu/miungu, mi ningependa kuuliza hili neno Mungu lina maana gani au linakusudiwa nini pale linapotumika?
 
Majuzi tu, yani siku kama 5 zimepita, nimesoma habari ya BBC, Serikali ya Marekani (NASA)
Wameamua kuachia siri na kukubari ama
Kukikiri juu ya uwepo wa Alliens, na Uthibitisho wa Video....!
Unaongelea oumuamua?
 
Hamna marefu yasiyo na ncha.
Wataficha ila ipo siku ukweli utakuwa peupe na ndipo misikiti na masinagogi yatatumika kucheza kamari
Mkuu hivi hao watu wanaoabudu misikitini unawajua vizuri kweli?
 
Acha unafiki wewe wala aukua mlokole kweli ndomana umeshindwa kuuwelewa ukristo
 
Well..mim nmesoma seminari so biblia niliisoma kuanzia page ya kwanza had ya mwisho..na hapo ndipo nikaanza kugundua something is missing somewhere..or kuna ukwel fulan umefichwa...then nilivyoanza fatilia mbo fulan ya kisayans na kusoma baadh nikagundua **** kitu logicaly kuhusu mambo ya faith n religion hayako sawa ni either tumeshindwa yangamua au tumedanganywa or tafsir zake watu wanatafsir wrong..so from there nikaanza kusoma historia ya imani na religion..huko ndo kabisaa...kukanionyesha things are not the way they r...then nikaanza jifunza dini za kale b4 ukristu na uislam nikaja gundua hiz din ni za juzi tu hazizid hata miaka 2000...wakat zipo dini ziliexist zaid ya miaka 10000 nyuma so nkawa najiuliza maswal meng...nkaanza connect dots etc....sasa kwa mfano mdogo tu..ukienda uyahudi..hakuna hiz dini zetu mbili kwa asili....na pale ndo kitovu chenyew sasa unajiuliza whats goin on..mfano..wayahud hawaamin kwa yesu yule tunaemjua sis..wao bado wanaamin hajaja..sasa unajiuliza kama kitovu cha iman wanaamin tofaut..mim wa kwa maparange huku tena ngoz nyeus kama mkaa najifanya kujua nn?...so maswal ni meng unapojifunza na kutafakar kwa kina..soma bible use logics na akil utagundua something fishy huko...na hatukatai kwamba Mungu hayuko..ila tunachoamini..tulichoaminishwa kuhusu mambo ya Mungu asilimia kubwa si kwel..kuna ukwel mwing umefichwa kwa sababu fulan..
 
Kuna mitazamo mingi sana kuhusiana na kinachoitwa Mungu/mungu/miungu, mi ningependa kuuliza hili neno Mungu lina maana gani au linakusudiwa nini pale linapotumika?
Mwanadam alijiangalia na mazingira yake na ulimwengu kwa ujumla ulivyo complex akaamin kwamba kama yeye ni nafsi na mwili bas theres something bigger than him/her ambae amfanya yeye na amefanya yote..so katika kutaftatafta ndo ikabid wamwite mungu..ana majina meng sanaa
 
Ok vizuri sana mkuu, ila mkuu unafikiri kwanini kwenye mada hizi huwa inatumika sana biblia kwenye kutolea mifano na kwa nadra kuona ikitumika qur'an, kwanini unadhani iko hivyo kwa experience yako?

Nina shauku tu ya kujua hili maana nimelifuatilia sana.
 
Kwahiyo mungu ilikuwa na maana gani sasa hapo? Nauliza hivyo ili pia nilinganishe na hii issue ya binaadamu kuumbwa na Annunaki na kisha binaadamu kuwaita hao Annunaki kuwa ni miungu.
 
Nakumbuka tuliwahi kujadili hili tukaishia pale nilipokuuliza kwamba je Vatican walimsaidia vp Muhammad hadi akafanikisha lengo lililokusudiwa?
 
Kwanza wachambuz weng ni sis chriatian wenyew so unakuta mtu amesoma biblia zaid kuliko quran..muslim weng wana iman ya uoga hata kujadil chochote kuhusu wao..infact..islam ndio iko shalow zaid kuliko ukristu...ina vitu ving haviko logicaly correct..so wachambuz weng hawaiangalii sana sabab ina false nying zaid kuliko bible ..yaan kama ukilinganisha ukwel uliomo kwenye bible n quran ..ni sawa na tuseme bible ina angalau 60 na quran ina 20...so wachumbuz weng hawaikumbuk kabisaaa
 
Kwahiyo mungu ilikuwa na maana gani sasa hapo? Nauliza hivyo ili pia nilinganishe na hii issue ya binaadamu kuumbwa na Annunaki na kisha binaadamu kuwaita hao Annunaki kuwa ni miungu.
Well..wakat wazungu wamekuja africa...watu wa kwanza kuwaona waazungu walihis hawa lazima ni malaika au majin...well...sabab ya mambo waaliyoweza fanya makubwa ambayo huwez imagine..ikatokea wao kuwaita miungu...baadh ya wahind wanaita ngombe mungu ushawai jiuliza ni kwann?

Same meaning.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…