Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,265
- 2,252
- Thread starter
-
- #601
Ni kweli kabisa.naungana na wewe hata Mimi nimeacha kumwaga details wafia dini wananiandama sana,now sitaki Tena kuendeleza ligi na wajinga Fulani wanaotaka kunitoa kwenye reli nimejua hawapo kujifunza ila kutetea Imani zao Kwa Nguvu sana,
Ila wenye fahamu watie akilini Haya tulioshare mpaka hapa,wajiongeze mbele Kwa mbele Kwa mbele tushagusia baadhi ya maswala KAZI ni kwao!
Nimesoma hadi nikaogopa mpaka nikawaza haya mambo yalitokeaje? Inaonekana hao viumbe walokuwa against Mungu nao walikuwa na nguvu maana nao waliweza kujaribu kufanya alichofanya MUngu dah.Ndyo ukweli huu ambao ukiwauliza wachungaj, mashekhe, na wanasayansi, watakupa majibu mepesi ambayo yanaficha ukweli, na pengine hata wamaweza kukushughulikia mapema ili usisambaze ujumbe huo kwa wngine, mimi nina ushahidi wa hawa wamiliki wa mitandao kujaribu kuzuia accounts kadhaa za social network zilizokuwa zikihoji ukweli wa mambo haya.
Chaajabu mpka viongoz wa dini wanaungana ktk kuupoteza ukweli huu, kuna bwana mmoja alishughulikiwa na watu wa dini, sabbu ya kutoa ukweli ambao kamwe hausemwi wala kufundishwa mashuleni, mimi pia ni muhanga wa kufungiwa akaunti zaid ya mara4
Hongera sana ndugu, haya majibu yameshiba na yanajitosheleza.Mkuu iko Hivi, ni Kweli Bible na Quran hazina tofauti kubwa kwenye maandiko Yao na nilichokuja kugundua ata hizo tofauti ambazo Zipo kwenye Quran ni kwa sababu waliona kwenye bible kama hazimake sense so wakawa wanachange, kumbuka Quran/Islam ndo kwanza una miaka 1500 tu
Mfano angalia story ya kuzaliwa Kwa yesu katika Bible na Quran utakuja kuona kwamba kwenye Quran walitwist ili story imake sense, turudi kwenye swali lako la msingi Kwanini reference inatoka sana kwenye bible na sio Quran
1. Dhana ya kwamba bible na Quran ni kitu kimoja, Yani copy and paste pia hupelekea bible kutumika Zaid kama reference, Kwa maana kwamba ukisoma huku ni sawa na huko
2. Fame, Bible ni maarufu kuliko Quran, ata katika maisha ya kawaida we hapo ukiwa una mfanano na Diamond platinum, watu watasema we jamaa umefanana na Diamond na hawatosema s Diamond kafanana na wewe
3. Kusambaa/kuenea, Bible Ina Zaidi ya miaka 100 tangu itafsiriwe kiswahili na ina miaka Zaidi ya 500 tangu itafsiriwe katika lugha zingine, Bible/Christin wamekuwa hawaoni tabu kumrahisishia mtu yoyote yule kujua maandiko ila Quran wamechelewa sana kuja kufanya tafsiri ya kiarabu kwenda lugha zingine
Kuna wakristo wengi sana wanajua vifungu maarufu katika Bible kutokana na wengi wao kupitia mafundisho enzi za utoto maana wanasoma Kwa kiswahili, pamoja na kwamba watoto wa kiislam pia wanaenda madrasa ila wanafanya kukremu tu ila hawaelewi hadi watafsriwe na mwalimu wao Kuwa haya hii Kwa kiswahili Ina maana hii
Hiyo hali inawafanya waislamu wengi Hadi kufkia hatua ya ukubwa hawajui haya nyingi za Quran Zina maana Gani Kwa kiswahili ispokuwa wamemeza tu kiarabu, Muslim walikuwa wanahisi kama ni kuishusha hadhi/Thamani Quran kama ikitafriwa, wamekuja kushtuka Kuwa translation inasaidia kusambaa na kueleweka muda kidogo umeenda
4. Matumizi, Bible inatumika sana kwenye kila jamii, angalia mifano misibani, harusi,sherehe mbali mbali maneno yatakayo ongewa hapo ni kwa kiswahili kwahiyo awepo, budha,muhindi,Muslim,mpagani lazima ataelewa tu kinaongelewa nini, ila issue ya kiislam ata waislamu wenyewe tu wengi hawaelewi kinaongelewa nini hadi ipite tafsiri
5. Urahisi, ili kuisoma bible achilia mbali kuielewa inakubidi uwe umesoma alphabet tu za A-Z ambazo ndio utatumia shule na ata katika maongezi ya Kila siku, ila kuisoma Quran inabidi uwe umesoma symbols/Arabic alphabet ambazo huzitumii shule, Nyumbani Wala katika maongezi ya Kila siku
6. Population, kumbuka christian ni wengi kuliko Muslim katika Dunia, target lazima iwe katika idadi kubwa ya watu then badae ndio katika idadi ndogo ya watu, though mara nyingi ukifanikiwa kueleweka Kwa wengi hao wachache wanaweza kujua kupitia Kwa walio wengi sio lazima nawao uwape kipaumbele
7. Elimu, Kuna mahusiano makubwa sana katika elimu ya mtu na kuhoji juu ya haya mambo ya uumbaji na Uungu, hiyo iko wazi Muslim wengi ambao wanaijua vizuri Quran hawana shule Kichwani, hivo hawana maarifa ya kutosha kuweza kuwaza nje ya box, wao Kila kitu ni laana na hawawezi kubishana Kwa points na facts sana sana utataka upigwe albadir tu
Kwa christian ni tofaut sana, viongozi wa dini ndio asilimia Kubwa wamesoma sana hivo Wana maarifa mengi Kichwani na wanaweza ku argue Kwa fact na kutumia maandiko kama reference, hizi mada zinataka uwe free minded ila pia Kichwa iwe inachaji lasivyo utakuwa unaongea utumbo tu
Kwahiyo Mkuu Kwa mifano hiyo sidhani ata kama ungekuwa ni wewe ungekuwa unatumia Quran kama reference ilhali ni inferior almost kwenye Kila kitu dhidi ya Imani ambayo inafanana nayo, Kwa uelewa wangu me naona hizo ndio sababu Kwanini mara nyingi Quran haitumiki kama reference
Wametanguliza hisia na Imani zao mbele na sio facts, Kuna maswali wanauliza alafu wao wanajazana upepo eti hili swali gumu sana kwao hawawezi kukujibushukrani mkuu umemjibu vema,ujue now nishachoka kujibu humu naona watu wanauliza maswali mepesi ya kujiongeza tu sijui ndio ubishi au ndio kukaza mishipa kutetea dini zao,maana unaona kabisa Mtu anauliza swali Ili kushindana na Sio kujifunza now nawapuuzia nishachoka kujibishana na Brain washed!
Usiogope endelea kumtolea Mungu sadaka, Yaani uwe unatoa hata laki kila sadaka, ni ya Mungu hiyo anaipokea, yaani inapaa hadi inamfuata huko alipo😃Nimesoma hadi nikaogopa mpaka nikawaza haya mambo yalitokeaje? Inaonekana hao viumbe walokuwa against Mungu nao walikuwa na nguvu maana nao waliweza kujaribu kufanya alichofanya MUngu dah.
Aisee Mkuu unajua sometimes napitia comments zao nabaki kucheka tu,hua najaribu kuimagine mpaka Leo ningekua kwenye kundi lao sijui ningekua na akili Gani Yaani😁Wametanguliza hisia na Imani zao mbele na sio facts, Kuna maswali wanauliza alafu wao wanajazana upepo eti hili swali gumu sana kwao hawawezi kukujibu
ila kiuhalisia me sijaona swali gumu kutoka kwao ata Moja, ispokuwa ugumu wa swali unakuja kwenye mindset zao na Kwakuwa wao hawawezi kujibu wanahisi wote hawawezi
Swali la kijinga kabisa ambalo wao wanaona ni gumu na limejirudia mara nyingi humu kuliko swali lingine lolote ni nani kawaumba hao Annunaki?
ili ujue ugumu upo kwenye mindset zao, mtu anaeuliza Annunaki wameumbwa na nani, hajawahi kuuliza Wala kujiuliza Mungu anaemuabudu yeye kaumbwa na nani?
Ana hofu nikiuliza au kujiuliza natenda dhambi/nakufuru. ila ndo unakuta wanapongezana wenyewe eti ni swali gumu, kwahiyo ni vizuri tu kujua kwenye mada kama hizi utadeal na watu wa aina nyingi sana
Shukrani sana mkuu, ila haya majibu yanaweza Kuwa yameshiba na kujitosheleza kwako tu ila sio kwao waliouliza maana wanauliza wakiwa na majibu yao teyari na ubaya zaidi ni majibu fakeHongera sana ndugu, haya majibu yameshiba na yanajitosheleza.
Sawa, umesema tunakuona wewe ni wakala wa Shetani,ambaye is associated with all evil,na kwa kuwa wewe ni mtoto wa Shetani, you must also be evil.Sisi unatuona ni wakala wa nani na tuko associated na uovu gani?Aisee Mkuu unajua sometimes napitia comments zao nabaki kucheka tu,hua najaribu kuimagine mpaka Leo ningekua kwenye kundi lao sijui ningekua na akili Gani Yaani😁
Sometimes japo hua Siamini Katika nadharia Zao za miujiza ila mpaka nikatoka kua brain washed hua Nakubali ya kwamba miujiza ipo maana Toka nitoke Huko najiona ni mbarikiwa sana na amani moyoni kiasi kwamba wanavyonishangaa humu imekuaje nakua hivi na kuona kama Nina pepo au wakala wa shetani
( according to Mathanzua)hata Mimi nawaona wanachelewa sana kuiona Nuru na kutoka walipo na kua free!
hii Dunia Ina wajinga sana hahahahhaUsiogope endelea kumtolea Mungu sadaka, Yaani uwe unatoa hata laki kila sadaka, ni ya Mungu hiyo anaipokea, yaani inapaa hadi inamfuata huko alipo😃
Mkuu umenipeleka mbali sana kwa sababu swali langu lilikuwa linalenga kwenye hii mijadala yetu humu JF na si kwa mtazamo wa kidunia kama ulivyofanya wewe, hapa Tz dini kubwa ni ukristo na uislamu hivyo ndio zenye waumini wengi. Sasa tunaambiwa kuwa biblia nayo imecopy kwenye maandiko ya zamani sana kabla ya ukristo huko na kwamba qur'an ikaja kucopy kwenye biblia, hivyo nilitegemea kwamba kama vinatumika vifungu vya biblia basi si na vya qur'an navyo vikatumika maana si wote wenye ufahamu na biblia hivyo wale wenye kuamini qur'an nao wakapata mwanga.Mkuu iko Hivi, ni Kweli Bible na Quran hazina tofauti kubwa kwenye maandiko Yao na nilichokuja kugundua ata hizo tofauti ambazo Zipo kwenye Quran ni kwa sababu waliona kwenye bible kama hazimake sense so wakawa wanachange, kumbuka Quran/Islam ndo kwanza una miaka 1500 tu
Mfano angalia story ya kuzaliwa Kwa yesu katika Bible na Quran utakuja kuona kwamba kwenye Quran walitwist ili story imake sense, turudi kwenye swali lako la msingi Kwanini reference inatoka sana kwenye bible na sio Quran
1. Dhana ya kwamba bible na Quran ni kitu kimoja, Yani copy and paste pia hupelekea bible kutumika Zaid kama reference, Kwa maana kwamba ukisoma huku ni sawa na huko
2. Fame, Bible ni maarufu kuliko Quran, ata katika maisha ya kawaida we hapo ukiwa una mfanano na Diamond platinum, watu watasema we jamaa umefanana na Diamond na hawatosema s Diamond kafanana na wewe
3. Kusambaa/kuenea, Bible Ina Zaidi ya miaka 100 tangu itafsiriwe kiswahili na ina miaka Zaidi ya 500 tangu itafsiriwe katika lugha zingine, Bible/Christin wamekuwa hawaoni tabu kumrahisishia mtu yoyote yule kujua maandiko ila Quran wamechelewa sana kuja kufanya tafsiri ya kiarabu kwenda lugha zingine
Kuna wakristo wengi sana wanajua vifungu maarufu katika Bible kutokana na wengi wao kupitia mafundisho enzi za utoto maana wanasoma Kwa kiswahili, pamoja na kwamba watoto wa kiislam pia wanaenda madrasa ila wanafanya kukremu tu ila hawaelewi hadi watafsriwe na mwalimu wao Kuwa haya hii Kwa kiswahili Ina maana hii
Hiyo hali inawafanya waislamu wengi Hadi kufkia hatua ya ukubwa hawajui haya nyingi za Quran Zina maana Gani Kwa kiswahili ispokuwa wamemeza tu kiarabu, Muslim walikuwa wanahisi kama ni kuishusha hadhi/Thamani Quran kama ikitafriwa, wamekuja kushtuka Kuwa translation inasaidia kusambaa na kueleweka muda kidogo umeenda
4. Matumizi, Bible inatumika sana kwenye kila jamii, angalia mifano misibani, harusi,sherehe mbali mbali maneno yatakayo ongewa hapo ni kwa kiswahili kwahiyo awepo, budha,muhindi,Muslim,mpagani lazima ataelewa tu kinaongelewa nini, ila issue ya kiislam ata waislamu wenyewe tu wengi hawaelewi kinaongelewa nini hadi ipite tafsiri
5. Urahisi, ili kuisoma bible achilia mbali kuielewa inakubidi uwe umesoma alphabet tu za A-Z ambazo ndio utatumia shule na ata katika maongezi ya Kila siku, ila kuisoma Quran inabidi uwe umesoma symbols/Arabic alphabet ambazo huzitumii shule, Nyumbani Wala katika maongezi ya Kila siku
6. Population, kumbuka christian ni wengi kuliko Muslim katika Dunia, target lazima iwe katika idadi kubwa ya watu then badae ndio katika idadi ndogo ya watu, though mara nyingi ukifanikiwa kueleweka Kwa wengi hao wachache wanaweza kujua kupitia Kwa walio wengi sio lazima nawao uwape kipaumbele
7. Elimu, Kuna mahusiano makubwa sana katika elimu ya mtu na kuhoji juu ya haya mambo ya uumbaji na Uungu, hiyo iko wazi Muslim wengi ambao wanaijua vizuri Quran hawana shule Kichwani, hivo hawana maarifa ya kutosha kuweza kuwaza nje ya box, wao Kila kitu ni laana na hawawezi kubishana Kwa points na facts sana sana utataka upigwe albadir tu
Kwa christian ni tofaut sana, viongozi wa dini ndio asilimia Kubwa wamesoma sana hivo Wana maarifa mengi Kichwani na wanaweza ku argue Kwa fact na kutumia maandiko kama reference, hizi mada zinataka uwe free minded ila pia Kichwa iwe inachaji lasivyo utakuwa unaongea utumbo tu
Kwahiyo Mkuu Kwa mifano hiyo sidhani ata kama ungekuwa ni wewe ungekuwa unatumia Quran kama reference ilhali ni inferior almost kwenye Kila kitu dhidi ya Imani ambayo inafanana nayo, Kwa uelewa wangu me naona hizo ndio sababu Kwanini mara nyingi Quran haitumiki kama reference
Mkuu sisi hatujui kiarabu na Kiquraish kama vipi wewe weka reference Yako kutoka Kwa hicho kitabu itapendeza sana!Mkuu umenipeleka mbali sana kwa sababu swali langu lilikuwa linalenga kwenye hii mijadala yetu humu JF na si kwa mtazamo wa kidunia kama ulivyofanya wewe, hapa Tz dini kubwa ni ukristo na uislamu hivyo ndio zenye waumini wengi. Sasa tunaambiwa kuwa biblia nayo imecopy kwenye maandiko ya zamani sana kabla ya ukristo huko na kwamba qur'an ikaja kucopy kwenye biblia, hivyo nilitegemea kwamba kama vinatumika vifungu vya biblia basi si na vya qur'an navyo vikatumika maana si wote wenye ufahamu na biblia hivyo wale wenye kuamini qur'an nao wakapata mwanga.
Qur'an na Biblia ni vitabu ambavyo vinatajwa sana humu kwa pamoja utasikia hivi mara vile, ila ajabu ni vifungu vya biblia tu ndio utaona vinatajwa tajwa.
hahahaha naikumbuka vikinq.nimecheka hayo mazungumzohii Dunia Ina wajinga sana hahahahha
Nilikua nacheki series ya Vikings Kuna character anaitwa flok jamaa walitoka kwao Huko Scandinavian kwenda kuvamia great Britain wakafika Huko kituo Cha kwanza church mwenye cathedral Moja hivi Sasa wale vikings ni Pagans na hawajui taratibu za Christian,wakaua na kupora treasures zote za kanisa,mwisho aakamteka father,
Flock akamuuliza father mbona kwenye mahekalu yenu mnajaza vitu vya thamani kama gold,fedha nk Kwa wingi?
Father:Watu wanamtolea Mungu sadaka
Flok:Kwahiyo Mungu wenu anapenda Mali?
Father:Hapana Yaani tunaamini dhahabu na vyote ni Mali yake hivyo tunamrudishia yeye Mungu mtukufu aliyeumba vyote
Flok:😂😂😂😂 nyie wajinga sana Yaani Mungu kawapa halafu nyie mnamrudushia Tena,ina maana hampendi utajiri ama?
Father:😲😲😲😲
Flock:Sisi Vikings tunatafuta Mali Kwa shida nyie mnajaza kwa mahekalu yenu bila matumizi yoyote et mnamtolea Mungu wenu,Sasa tutawaonesha vikings hatupendi ujinga!
Flok: jamaa(anaonesha msalaba Kwa father)
Huyu ndie Mungu wenu?
Father:hapana ni Yesu kristo mwana wa Mungu alikuja duniani kutukomboa dhambi zetu,alikufa msalabani Ili binadamu tupate ukombozi
Flok:😲😲😲
Ina maana Mungu wenu alikufa?
Father:ndio ila alifufuka siku ya tatu na akapaa mbinguni
Flok:😂😂😂😂😂😂
Hapo utajifunza kitu,Kupitia wale Nordic people nilijifunza kitu japo ni movie ila wale vikings walikua na hoja sana na ndio maana utaona wafalme wao walikataa kupokea dini za kigeni,mpaka mmoja wa mfalme wao aliwahi sema
" Ni Bora nife nikiwa mpagani nikachomwe moto kuzimu na Babu zangu,Kuliko Kuliko niwe mkristo niende mbinguni nikakutane na maadui zangu"
Religion is Opium!
Mbona kama umepanic mkuu? Tunajadiliana tu hapa wala si ugomvi kama nakukwaza tusameheane.Mkuu sisi hatujui kiarabu na Kiquraish kama vipi wewe weka reference Yako kutoka Kwa hicho kitabu itapendeza sana!
Ila hizi mada zinanifanya nijiulize hivi neno Mungu linakusudia nini au lina maana gani hasa?Nimesoma hadi nikaogopa mpaka nikawaza haya mambo yalitokeaje? Inaonekana hao viumbe walokuwa against Mungu nao walikuwa na nguvu maana nao waliweza kujaribu kufanya alichofanya MUngu dah.
Mimi staki kujua Mungu yupo au hayupo, nilichagua kumuamini kuwa yupo, nitakapoenda kwake nikimkuta sawa, nisipomkuta sawa. Sadaka natoa kile nilicho nacho.Usiogope endelea kumtolea Mungu sadaka, Yaani uwe unatoa hata laki kila sadaka, ni ya Mungu hiyo anaipokea, yaani inapaa hadi inamfuata huko alipo😃
Ok.Kwa sababu zipi mkuu?
Embu elezea huenda unawajua kuna kitu nakiona unataka kukisema kuhusu wanao sali msikitini.Mkuu hivi hao watu wanaoabudu misikitini unawajua vizuri kweli?
Nina ba mdogo amesoma seminari ndogo na kubwa nearly to be padri safari yake ikakatishwa akafukuzwa (basi tu) aliwahi kusema hakujawahi kua na Adam na Eva.Well..mim nmesoma seminari so biblia niliisoma kuanzia page ya kwanza had ya mwisho..na hapo ndipo nikaanza kugundua something is missing somewhere..or kuna ukwel fulan umefichwa...then nilivyoanza fatilia mbo fulan ya kisayans na kusoma baadh nikagundua **** kitu logicaly kuhusu mambo ya faith n religion hayako sawa ni either tumeshindwa yangamua au tumedanganywa or tafsir zake watu wanatafsir wrong..so from there nikaanza kusoma historia ya imani na religion..huko ndo kabisaa...kukanionyesha things are not the way they r...then nikaanza jifunza dini za kale b4 ukristu na uislam nikaja gundua hiz din ni za juzi tu hazizid hata miaka 2000...wakat zipo dini ziliexist zaid ya miaka 10000 nyuma so nkawa najiuliza maswal meng...nkaanza connect dots etc....sasa kwa mfano mdogo tu..ukienda uyahudi..hakuna hiz dini zetu mbili kwa asili....na pale ndo kitovu chenyew sasa unajiuliza whats goin on..mfano..wayahud hawaamin kwa yesu yule tunaemjua sis..wao bado wanaamin hajaja..sasa unajiuliza kama kitovu cha iman wanaamin tofaut..mim wa kwa maparange huku tena ngoz nyeus kama mkaa najifanya kujua nn?...so maswal ni meng unapojifunza na kutafakar kwa kina..soma bible use logics na akil utagundua something fishy huko...na hatukatai kwamba Mungu hayuko..ila tunachoamini..tulichoaminishwa kuhusu mambo ya Mungu asilimia kubwa si kwel..kuna ukwel mwing umefichwa kwa sababu fulan..
Perfect perfect very niceMimi staki kujua Mungu yupo au hayupo, nilichagua kumuamini kuwa yupo, nitakapoenda kwake nikimkuta sawa, nisipomkuta sawa. Sadaka natoa kile nilicho nacho.
Dini zilizokuepo huko kale kabla ya ukristo ni zipi,Well..mim nmesoma seminari so biblia niliisoma kuanzia page ya kwanza had ya mwisho..na hapo ndipo nikaanza kugundua something is missing somewhere..or kuna ukwel fulan umefichwa...then nilivyoanza fatilia mbo fulan ya kisayans na kusoma baadh nikagundua **** kitu logicaly kuhusu mambo ya faith n religion hayako sawa ni either tumeshindwa yangamua au tumedanganywa or tafsir zake watu wanatafsir wrong..so from there nikaanza kusoma historia ya imani na religion..huko ndo kabisaa...kukanionyesha things are not the way they r...then nikaanza jifunza dini za kale b4 ukristu na uislam nikaja gundua hiz din ni za juzi tu hazizid hata miaka 2000...wakat zipo dini ziliexist zaid ya miaka 10000 nyuma so nkawa najiuliza maswal meng...nkaanza connect dots etc....sasa kwa mfano mdogo tu..ukienda uyahudi..hakuna hiz dini zetu mbili kwa asili....na pale ndo kitovu chenyew sasa unajiuliza whats goin on..mfano..wayahud hawaamin kwa yesu yule tunaemjua sis..wao bado wanaamin hajaja..sasa unajiuliza kama kitovu cha iman wanaamin tofaut..mim wa kwa maparange huku tena ngoz nyeus kama mkaa najifanya kujua nn?...so maswal ni meng unapojifunza na kutafakar kwa kina..soma bible use logics na akil utagundua something fishy huko...na hatukatai kwamba Mungu hayuko..ila tunachoamini..tulichoaminishwa kuhusu mambo ya Mungu asilimia kubwa si kwel..kuna ukwel mwing umefichwa kwa sababu fulan..