Ukisoma kitabu cha Enoko/The book of Enock kwa umakini utaanza kupata majibu ya baadhi ya maswali ambayo uko nyuma yalikuwa hayana majibu hasa kwa jamii za watu weus/Uzao harisi,(nimetumia watu weusi ili niweze kueleweka zaidi)
Kuna mdau uko nyuma aligusia kwanini jamii zote hapa Duniani, Wazungu, Wahindi, Waarabu, Wachina, wanawachukia sana watu weusi.
Magonjwa ya kutengenezwa, HIV, EBOLA, KIMETA, CORONA , CANCER, nk, yote kinaletewa kizazi cha watu weusi, vita, Madawa ya uzazi wa mpango, kutugombanisha tuuane sisi kwa sisi, yote yanafanywa kukifuta kizazi cha watu weusi Duniani.
Wote tulikiskia jinsi Bill Gate alivyo kuwa akitabilia mabaya kipindi cha COVID 19., kwamba watu weusi mamilioni wataangamia.
Hizi chuki hazijaanza leo, ni tangu enzi nyingi, Ukisoma kitabu cha Enoko unaweza kuaunganisha doti na kupata picha harisi.
Kitabu cha Ethiopia Book of Enock,kinaelezea jinsi Watchers/Anunaki/Malaika walio hasi, Walivyo watamani Binti za Watu/watu weusi na wakazaa nao, Hawa watchers wakawafundisha watu siri za mbinguni,/teknolojia mbali mbali, ambazo hawakupasa kuzitoa kwa watu, kwani zingeleta maangamizi kwa watu.
kikatokea kizazi cha Majitu/Giants/Wanefili. Hichi kizazi cha Wanefili ndicho kilikuwa kizazi chenye sifa enzi izo. Yalikuwa majitu makubwa yenye miili ya kutisha, yenye akili. Haya Majitu yakaanza kuwatumikisha watu wa asili wa Dunia hii. Yakaanza kuingiliana kimwili na wanyama, Ndege, na samaki, apa ndio tukatokea kizazi hybrid, nusu mnyama nusu binadamu, samaki mtu, nusu nyoka nusu binadamu. nk
Baadaye hichi kizazi cha Majitu kilikuja kuondolewa kipindi cha gharika, ila kuna yaliyopona, mfano Goliati, Ogu, nk, pia kuna yaliyo kimbilia kwenye mapango ardhini, na miji ya ardhini./Under ground cities
Sasa zile roho za haya majitu, yaliyo kufa kipindi cha Gharika, kutokana na kitabu cha enoko ndio roho zinazotesa watu kwa kuwaingilia kama mapepo.
Pia kuna Roho zinazo reincarnate/kuzaliwa upya kupitia kwa Binadamu wasio na NAFSI, apa naongelea jamii nyingi za watu wa Ulaya na Asia, Wengi mmesha wahi kuzisikia na kuziona hasa kwa jamii za wahindi kupitia Movie zao. Mtu anakufa baadae anazaliwa tena.
Unapo ona jamii za watu wa Magharibi na Asia zinawatendea watu weusi unyama/Utumwa/Chuki/magonjwa ya kutengeneza/ nk, ni zile roho za enzi ya Gharika zinakuja kulipa kisasi kwa kizazi cha watu weusi, wanadai jamii ya watu weusi ndio walisababisha watchers/annunaki wakapata Ukumu ya milele,wakafukuzwa juu ya uso wa Dunia, wasiweze kuona mwanga(Fatilia movie za Vampire wanazo igiza wazungu utanielewa, kwanini vampire hawapatani na mwanga wa jua) na roho za watoto wao/wanefili/giants/ zikafungwa Kuzimu, na wakaondolowa uwezo wa kuishi milele.
Wale malaika waasi/Annunaki/ wengine wakiongozwa na Kiongozi wao Semyaza, wao walifungwa kwa generetion 7, watafiti wanadai walifungwa kwenye Bara la Antarctica, ndio hao wanashirikiana na jamii za watu wa Magharibi na Asia (Vizazi vya watchers) kuwapa teknolojia mbali mbali unazoziona apa Duniani.
Hawa watchers wanajiandaa kurudi Duniani, kuendeleza utawala wao(New World Order), sasa ivi wana wanandaa watu kisaikolojia kupitia Holly Hood/ Television na vyombo vya Habari, mambo ya Alliens/UFO kipindi hiki yameshika kasi tofauti na miaka ya nyuma.
Kwa jicho langu la mbali linaona watu weusi uko mbeleni watapata dhiki ya ajabu ambayo haijawai kutokea toka kuwepo misingi ya Dunia, unganisha doti.