Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

YAHWEH mwenyenye anakiri kwamba hawa viumbe uliowataja "The Annunaki" kuwepo, na amewaita kwa majina mengi kama "malkia wa mbinguni" au "Jeshi la mbinguni" au "mkuu wa uajemi" au "miungu ya misri" lakini kwanini awachukie sana na kukataa kabisa wahebrania kushirikiana nao ???
Hawa ni wale Malaika wenye tamaa walitumwa kuja Duniani kumlinda Mwanadamu mweusi ktk Bustani ya edeni sasa wao badala ya kulinda! si mijamaa ikaanza kuwatamani wanawake warembo wa kibinadamu!

Yaani mzee walikuwa wakiangalia hivi ile mitikisiko ya kota na mikito ya ke wanadamu Mama weee!! wakashindwa kujizuia!! badala yake wakazaa midude ya ajabu sana mnoo! hayo hayakuzaa! ila yalikula kila kitu! juu ya ardhi!

Baadae Mungu akashuka kwa hasira kafuta kile kizazi choooote!
 
SEHEMU YA TANO

TURUDI TENA KWENYE NENO MOJA AMBALO NI "GENE"

Uthibitisho kutoka kwenye vitabu vya kale, Mesopotamian unasema kwamba hatua ya kumuumba mtu kutoka kwenye genes za miungu na Homo erectus genes, ulihusisha matumizi ya gene za kiume kama tunu ya maisha(uhai) na uzima na genes za kike kama earthly element.

Katika kumuumba Adam katika ufanano wao, kitabu cha Genesis kinaelezea kuzaliwa kwa Seth mtoto wa Adam katika maneno yafuatayo:

And Adam lived a hundred and thirty years,

and had an offspring in his likeness and after his image,

and he called his name Seth.

Hapa utaona kabisa terminology iliyotumika inafanana kabisa na iliyotumika wakati wa Miungu kumtengeneza Adam. Hii inathibitisha ya kwamba hata Adam aliumbwa kwa kutumia mbegu ya kike na mbegu za kiume through fertilization.

Kama udongo ambao damu ya Miungu ilichanganywa ulikuwa ni earthly element kama vitabu na maandiko yanavyosisitiza, inaweza kuhitimishwa kwamba genetic material ya Miungu iliwekwa kwenye yai la mwanamke ambaye ni ape. Katika Akkadian neno udongo ni TI.TI, likiwa na maana "that which is with life". Katika Waebrania neno udongo ni "tit" likiwa na maana "egg".

Ovum ya Homo erectus wa kike ilikuwa fertilized na genes za Miungu na kuwekwa kwenye tumbo la mke wa Ea , then after the model was obtained, duplicates of it were implanted in the wombs of birth goddesses, to under go the process of pregnancy and birth.

"The Wise and learned,

Double seven birth goddesses had assembled.

Seven brought forth males,

Seven brought forth females

The birth Goddesses brought forth

The Wind of the Breath of Life.

In pairs were they completed,

In pairs were they completed in her presence.

The creatures were people

Creatures of the Mother Goddess.

Homo sapiens had been created"

Watu wa kale, hadithi, habari za kwenye biblia na sayansi ya leo vyote vinatoa ujumbe unaofanana kwa namna moja hama nyingine. Utafiti wa anthropologists wa leo, unasema kuumbwa na chimbuko la mtu wa leo ni kusini-mashariki ya Afrika. Vitabu vya Mesopotamian vinasema kuumbwa kwa mtu na chimbuko lake ni Apsu katika ulimwengu wa chini ambako ardhi ya migodi iliwekwa, vile vile vitabu kadhaa vimemtaja "sacred Amama", mwanamke wa dunia, ambaye makao yake yalikuwa Apsu.


Lakini mwingine anaweza kuhitimisha kwa kusema, kuumbwa kwa mtu, kulileta ufa miongoni mwa Miungu. Pamoja na kwamba mtu aliumbwa hili awe kibarua wao wa kuchimba dhahabu kwa ajili ya kupeleka Mbiguni, Annunaki alikuwa na wasi wasi kuhusu utii wa mtu huyo kwao. Katika "The Myth of the Pickax", Annunaki aliyekaa sumer chini ya Enlil obtained their fair share of the Black-Headed People.

Seeking to re-establish the normal order , Enlil took extreme action of severing contacts between "Heaven"(the 12th planet/spaceships) and Earth, and launched some drastic action against the place "where flesh sprouted forth."

The Lord,
That which is appropriate he caused to come about.
The Lord Enlil,
Whose decision are unalterable,
Verily did speed to separate Heaven from Earth
So that the created ones could come forth.
Verily did speed to separate Earth from Heaven.
In the "Bond-Heaven-Earth" he made a gash,
So that the created Ones could come up
From the Place-Where-Flesh-Sprounted-Forth.

Enlil alitengeneza silaha kubwa na ya hatari ya maangamizi, iliitwa AL.A.NI (ax that produces power) ambayo ilikuwa na jino kubwa kama shoka, ingeweza kutoboa na kuangusha kuta. Enilil alifanya mashumbulizi mengi ya silaha yaliyopelekea kuuwawa kwa viumbe wengi sana wakiwemo black headed people.

Annunaki walimuomba Enlil kama mmoja wapo wa Miungu hiyo kusitisha mashambulizi yake, na kuwachukua Primative Workers wakaendelee na kazi ya kuwatumikia Miungu wao. Kama invyoelezea moja wapo ya tale;

The Annunaki stepped up to him,

Raised their hands in greetings,

Soothing Enlil's heart with prayers.

Black headed Ones they were requesting of him.

To the Black headed people,

they give the pickax to hold.

Vile vile kitabu cha Genesis kinaelezea kwamba Adam alitengenezwa Mesopotamia Magharibi na kuletwa Mesopotamia Mashariki kufanya kazi kwenye bustani ya Eden (Garden of Eden):

And the Deity Yahweh

Planted an orchard in Eden, in the east

And He took the Adam

And placed him in the Garden of Eden

To work it and to keep it.

Hivi ndivyo mwanadamu wa sasa alivyoumbwa. Kilichofuatia baada ya kuumbwa kwake ni "THE END OF ALL FLESH".

Picha ya kwanza inaonyesha ilipo Garden of Eden.

View attachment 2104375

View attachment 2104377

View attachment 2104379

obelisk
huyu ndo Girgamesha mwenyewe sasa!!
 
Hawa ni wale Malaika wenye tamaa walitumwa kuja Duniani kumlinda Mwanadamu mweusi ktk Bustani ya edeni sasa wao badala ya kulinda! si mijamaa ikaanza kuwatamani wanawake warembo wa kibinadamu!

Yaani mzee walikuwa wakiangalia hivi ile mitikisiko ya kota na mikito ya ke wanadamu Mama weee!! wakashindwa kujizuia!! badala yake wakazaa midude ya ajabu sana mnoo! hayo hayakuzaa! ila yalikula kila kitu! juu ya ardhi!

Baadae Mungu akashuka kwa hasira kafuta kile kizazi choooote!
mkuu nimesoma post zako.zimenipa kitu.shusha nondo zaidi
 
Hawa ni wale Malaika wenye tamaa walitumwa kuja Duniani kumlinda Mwanadamu mweusi ktk Bustani ya edeni sasa wao badala ya kulinda! si mijamaa ikaanza kuwatamani wanawake warembo wa kibinadamu!

Yaani mzee walikuwa wakiangalia hivi ile mitikisiko ya kota na mikito ya ke wanadamu Mama weee!! wakashindwa kujizuia!! badala yake wakazaa midude ya ajabu sana mnoo! hayo hayakuzaa! ila yalikula kila kitu! juu ya ardhi!

Baadae Mungu akashuka kwa hasira kafuta kile kizazi choooote!
Ndugu nimependa sana angle ya hoja zako, ila kama hutojali naomba nikuulize kidogo"Mungu ni nani?, uwepo wa Annunaki umethibitishwa kwa facts, Mungu tunamthibitishaje kwa mwanadamu kuwa huyu mdiye Mungu kama ilivyothibitishwa kwa Annunaki uwepo wao hapa duniani.
 
Mwafrika mweusi ndo yuko na rangi km udongo... wala siyo mzungu sema mwenyewe wapi kuna udongo mweupe?, muhindi mchina wala muarabu never!! na ukizaa na hawa tu hawawi weusi bali weupe machotara!!.........hivi umewahi kujiuliza kwa nini mwafrica hapendwi anachukiwa na watu weupe Duniani??

tena kwanza hana madhara mtu wa watu ni mtumwa tu maskini! lkn anachukiwa mnooo! na ngozi nyeupe!!...Mungu alitamka wazi kuwa Nitaweka uadui kati ya uzao wako Hawa na Uzao wa nyoka!!

chunguza ngozi nyeupe tu!! haya majamaa meupe uzao wa annunaki hayatupendi weeeee!!...pamoja na kujitahidii kutuma misaada huku saaaana lkn wapi!....sasa jichanganye uoe au uolewe huko!! heee!

ni vizuri umuulize Remmy ongala sijui kama bado yupo ukweni kwake alivo fanyiwa!

popote pale huwezi kukaa kwa amani na ngozi nyeupe!! hata hapo Bongo tu wahindi, waarabu wako kivyao sana! wao ni karikaoo, Upanga, Posta tu baaasi!! na huko wana hotel zao, chips zao ,Hosp.zao km al jumaa, mitaa yao, makanisa yao, kipawa, vingunguti, changombe nk kule wanaishi viwandani mwao wako huko kibiashara zaidi,

siyo rahisi kumkuta mweupe muhindi, muarabu, amejichanganya uswahilini, hii ni kwa sababu Mungu alitamkakupitia Nabii Daniel kuwa namnukuu ''kamwe udongo na chuma havita shikamana daima!'' ndo sisi na hao!

hata ukizaa na muarabu, au mzungu atakwenda kwa ngozi nyeupe tu!! ni km wapemba weupe yaani hao ndo hawataki kusikia muungano! kabisaaa! japo mama zao ni wadengereko!
Kwahiyo ndugu, mtu mweupe siyo uzao wa Mungu?, mtu mweusi ndiye uzao wa Mungu?, kwa lugha nyingine Annunaki ni Mungu wa mtu mweupe, na kwa maana hiyo Mungu anayesemwa kwenye vitabu vitakatifu siyo Mungu wa wote bali ni Mungu wa mtu mweusi tu?
 
Hawa ni wale Malaika wenye tamaa walitumwa kuja Duniani kumlinda Mwanadamu mweusi ktk Bustani ya edeni sasa wao badala ya kulinda! si mijamaa ikaanza kuwatamani wanawake warembo wa kibinadamu!

Yaani mzee walikuwa wakiangalia hivi ile mitikisiko ya kota na mikito ya ke wanadamu Mama weee!! wakashindwa kujizuia!! badala yake wakazaa midude ya ajabu sana mnoo! hayo hayakuzaa! ila yalikula kila kitu! juu ya ardhi!

Baadae Mungu akashuka kwa hasira kafuta kile kizazi choooote!
Safi sana, kingine ningependa kuuliza tunathibitishaje uwepo wa Mungu bila kutumia nadharia tu.
 
wewe elewa ya Kwamba Annunak ndio waliowaongezea DNA Babu zako Zamadam wakawa Homo Sapiens kimili na kuwapa mission ya kuchimba dhahabu Kule kush na Huko Zimbabwe ya kale
Hujiulizi kwanini Oldupai gorge waligundua fuvu na nyayo za kale sana Kuliko historia ya vitabu vya dini vinavyodai Binadamu kaumbwa Miaka 6000 BC Hapo nyuma na hao Zamadam walikuwepo millions of years nyuma?
Unajua nani aliyeanza kuwapa Binadamu ujuzi mkubwa Hapo kale?
Unajua dhahabu zote zilizochimbwa Toka Miaka maelfu na maelfu Kwa billion of Tani zilipotelea wapi ghafla tu?
Kaa Kwa kutulia upate elimu kijana soon utakuja kupata maarifa ni nani aliyejenga Pyramids zote duniani Miaka elfu nyingi Huko nyuma na still hazina hata ufa,
Utaelewa tu subiri movie kamili!
Kweli hii ni movie tu kama movie zingine, ila in case of reality non!! Ni porojo tu kama porojo zingine!!
 
SEHEMU YA TATU

Hatimaye mtu aliweza kutengenezwa ambaye Enki alimuita Adapa, ambaye kwenye biblia ni Adam, ambaye ni Homo sapiens wa leo (binadamu wa leo). Kiumbe huyo alifanana sana na miungu kiasi cha kwamba andiko moja lilikwenda mbali zaidi na kusema Mother Goddess ametoa mtu kama yeye, aliyekuwa na ngozi kama yake, hana manyoya, tofauti kabisa na wale shaggy ape-man wa kwanza.

Nefilim alikuwa compatible na watoto wa kike wa mtu huyo aliyeumbwa, angeweza kuwaoa na kuzaa watoto nao. Lakini compatibility ingewezekana kama mtu angekuwa ametengenezwa kutokana na mbegu ya maisha kama ya Nefilim, ndivyo maandiko ya kale yanavyosema.

Kama mesopotanians texts zinavyosema na kama ilivyo kwenye biblia pia, mtu aliumbwa kwa chembe chembe za miungu(gods), damu ya miungu na udongo wa dunia. Kama ilivyo andikwa wakati wa uumbaji, mother goddess aliosha mikono yake, akachukua udongo na kuufinyanga na kuuchanganya kwenye steppe. Hapa unaona kabisa "aliosha mikono", hizi ni hatua ambazo tumekuwa tukizifanya kila siku, kama tunataka tusichafue kitu.

Mesopotamian text zinaelezea ya kwamba alichanganya udongo huo na damu ya uponyaji ili kutengeneza protype man. Enki hakuona tabu kukamilisha kazi ya kutengeneza vibarua wa miungu. Alimpa maelekezo Mother goddess kama ifuatavyo:

"Mix to a core the clay

from the Basement of Earth,

just above the Abzu and shape into the form of core.

I shall provide good, knowing your gods

who will bring that clay to the right condition.

Vile vile sehemu ya pili ya kitabu cha Genesis pia, imetoa maelezo kama hayo:

And Yahweh, Elohim, fashioned the Adam of the clay soil,

and He blew in his nostrils the breath of life,

and the Adam turned into a living soul.

Katika waebrania neno "nephesh" limetafsiriwa kama soul, soul ambayo inaweka uhai kwa viumbe hai walioumbwa, ambayo uiacha pale wanapofariki. Vitabu vitano vya kwanza vya agano la kale vimezungumzia "shedding of human blood" na "eating of animal blood" kwa sababu damu ni uhai na kwenye mistari ya Biblia inayoelezea uumbaji wa mtu, imegusia nephish (soul/sprit) na damu.

Agano la kale pia limeweka wazi kazi ya damu katika uumbaji wa mtu, ambaye kwenye biblia ameitwa Adam, neno adam alikumanisha udongo wa dunia moja kwa moja bali udongo mweusi-mwekundu. Adam katika waebrania ni adama (adom) (rangi nyekundu) na katika Akkadian ni adamatu (dark-red earth).

Katika kitabu cha Genesis neno Adam limeleta maana sawa na lugha ya sumerian. Adam ilimanisha ni "mmoja wa ulimwengu, aliyetengenezwa kwa udongo mwekundu na aliyetengenezwa kwa damu".


Uhusiano uliopo kati ya damu na uumbaji umeendelea kuonekana hadi mesopatamian. Nyumba iliyofanana hospitali ambayo Ea na Mother Goddess walikwenda kumchukua mtu, iliitwa shimti. Shimti maana yake "the house where the wind of life is breathed in".

Miungu walimuita Mother Goddesses(Midwife of the gods, the knowing Mami) na kumwambia:

Thou art the mother womb,

The one who Mankind can create.

Create the Lulu, let him bear the yoke!

Ea alifahamu mahitaji yote yanayohitaji, ili kumtengeneza mutu

"I will prepare a purifying bath.

Let one god be bled..

From his flesh and blood, let Ninti mix the clay".

Ili kumtengeneza mtu kutoka kwenye udongo, ilipaswa awepo mtu wa kubeba mimba na kuweza kuzaa, hivyo Enki akamtoa mke wake:

Ninki, my goddess-spouse, will be the one for labor.

Seven goddesses of birth will be near to assist.

Baada ya kuchanganya damu na udongo, epic of creation inaendelea kusema:

The newborn's fate thou shalt pronounce.

Ninki would fix upon it the image of the gods.

And what it will be is "Man".

Kuhusika kwa mke wa Enki, Ninki katika kutengeneza kiumbe mtu, inaturudisha sehemu ya kwanza na ya pili kuhusu Adapa, ambayo nimeshaelezea.

"In those days, in those years. The wise one of Eridu, Ea, created him as a model of men".

Watafsiri maandiko ya kale, wanasema kwa kumuhusisha Adapa kama mtoto wa kiume wa Ea, inamaamisha god alimpenda sana huyo mtu na aliendana naye. Kuhusika kwa Enki spouse(Ninki) katika kumtengeneza mtu ambaye ni Adapa(the model Adam) ilitengeneza"genealogical relationship" kati ya mtu mpya na muumbaji wake.

Hapa chini nimeambatanisha picha (2 za kwamza) kutoka Assyrian seals, zikimuonyesha Mother Goddess na Ea wakiandaa mchanganyiko wa kumtengeneza mtu na kushauriana jinsi gani wafanye. Picha ya tatu ni Ninki akimbariki kiumbe mpya na kumuwasilisha kwa Ea, vile vile inaonyesha goddess nyuma yake akiwepo mti wa maisha (Tree of Life) na zikiwepo flasks za maabara huku akiwa amembeba mtoto aliye zaliwa. Picha nyingine ni za kuonyesha Assyrian cylinder seals zinavyofanana.

View attachment 2102978

View attachment 2102983

View attachment 2102985

View attachment 2102988

View attachment 2102989
Sasa biblia inahusikaje tena mkuu na haya mashudu yako!! Hebu fanya yajitegemee bwana maana mlishasema Hakuna Mungu sasa inakuaje tena???
 
Story za kufurahishana tuu hizi na siamini na niweke clear sina tatizo na wanaoamini, ni mambo ya imani tuu lakini ukiangalia vizuri vitabu vyote vya dini na idea nzima ya mungu dont make any sense, story hapa zinafurahisha and sometimes very challenging keep em coming, ila naamini binadamu tunaishi forever na kifo ni wengine ndio wanaona umekufa lakini wewe huwezi kujua kama umekufa ni kama kuzaliwa wengine ndio wanajua umezaliwa ila mtoto mchanga akizaliwa hajui, tuendelee
 
Musa alipotuma wapelelezi wa kwanza kwenda kujua hali ya nchi yao ya ahadi hao wapepelezi walikuja na habri mbaya za kuwatisha wana wa israel kuwa wamekuta majitu manene marefuuuu!! wao ni km panzi tu kwao!!

Kitendo hiki cha uoga , vitisho kilimkasirisha Mungu!! akawaambia hamtaingia nchi ya ahadi! hata Musa kwa sababu aliwasikiiza hakuingia nchi ya aahadi, Musa akamlilia Mungu, Mungu akasema basi nitakuonyesha tu lkn hufiki!

na kweli MUsa hakuingia nchi ile!! alifia mlimani!! .....majitu hayo kisyansi yanaitwa Neandethals, na mpaka leo yapo masalia yao (wazungu) ndo pekee enye DNA za Neandethals amabao ndo ANNUNAKI yaani Nefilims kibiblia!

na wazungu walizuka ghafla kutokea CAuccas mountain takribani mika 600 iliyo pita wamegaini prominence ya kutawala Dunia! hawakuwepo mwanzo! na kibiblia walitabiriwa na James isome yoote hiyo!

alisema namnukuu'' watu wenye nguvu na watawala wa Dunia watatokea upande wa kaskazini!! '' kumbuka huyu aliongea haya akiwa middle east ya leo! ndo hao giant of the old!
Umechanganya kitu hapo Neanderthals na nephilim ni viumbe viwili tofauti.

Neanderthals hawa walikuwa na mili mikubwa kidogo kama ya binadamu wa sahiv tu na nguvu na walikuwa primitive sana.

Nephilim hawa ndio walikuwa na mili mikubwa kupita kiasi (giant) na walikuwa na akili na sio primitive
 
Hawa ni wale Malaika wenye tamaa walitumwa kuja Duniani kumlinda Mwanadamu mweusi ktk Bustani ya edeni sasa wao badala ya kulinda! si mijamaa ikaanza kuwatamani wanawake warembo wa kibinadamu!

Yaani mzee walikuwa wakiangalia hivi ile mitikisiko ya kota na mikito ya ke wanadamu Mama weee!! wakashindwa kujizuia!! badala yake wakazaa midude ya ajabu sana mnoo! hayo hayakuzaa! ila yalikula kila kitu! juu ya ardhi!

Baadae Mungu akashuka kwa hasira kafuta kile kizazi choooote!
Kwahyo malaika hao ambao tena unasema ni anunaki ni wana ngoz nyeupe ama?

Kwahyo hao viumbe wa mungu malaika ni ngoz nyeupe na wenye nywele zao zile au sio...

Arabs..jews ni asili nyeus au nyeupe..?

Jesus ana asili gan?nyeus au nyeupe?

Kama the true human was black...that means adam was black....?

So habar za mungu ambae ziko connected na jews zmetoka wap?..ni huyo mungu alieumba blacks?

Kama asili ya mwnaadam ni ngoz nyeus..huu weupe walionao jews ambao tunaamin kwenye kitab cha bible uzao wao ndio umesogea had kwa jesus..why mwana wa Mungu asitoke pure black akatoka mweupe?..au mungu wa jews sio mungu wa blacks?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa biblia inahusikaje tena mkuu na haya mashudu yako!! Hebu fanya yajitegemee bwana maana mlishasema Hakuna Mungu sasa inakuaje tena???
Acha kudandia dandia mada za watu kama Malaya kaona Hela,kitu kama huelewi Kaa mbali nacho Sasa hiyo biblia Ina kipi special kuliko vitabu vingine wewe zuzu,au kisa kina Constantine pale Nicea committee walikukusanyia baadhi ya vistory vichache na kuiweka pamoja basi na na wewe ulivyosoma ukaona umemaliza Kila kitu au Sio?
Funguka akili Acha ufala
Tafuta maarifa nje hicho kitabu chenye story nusu nusu Soma Accient writings za Sumerians zenye story kamili Acha kua brain washed,
Nanukuu
"Watafiti wamesoma vitabu zaidi ya 500 ila Bado Wana kiu ya maarifa"
Watu was Dini wamesoma kijitabu kimoja wanajiona wanajua Kila kitu"
Mwisho wa kunuu!
Mada facka!
 
Hawa ni wale Malaika wenye tamaa walitumwa kuja Duniani kumlinda Mwanadamu mweusi ktk Bustani ya edeni sasa wao badala ya kulinda! si mijamaa ikaanza kuwatamani wanawake warembo wa kibinadamu!
Kwa lugha rahisi basi sema ni kwa mujibu wa vitabu vya dini wanaitwa malaika

Lakini kulingana na mtoa mada hiki ni kikundi cha wahuni kutoka anga za mbali waliokuja kwa madhumuni yao binafsi na keshayaelezea

Yaani mzee walikuwa wakiangalia hivi ile mitikisiko ya kota na mikito ya ke wanadamu Mama weee!! wakashindwa kujizuia!! badala yake wakazaa midude ya ajabu sana mnoo! hayo hayakuzaa! ila yalikula kila kitu! juu ya ardhi!
Sasa hapa ndio yapaswa kuwa na mazingatio kama ikiwa wewe ni mtu wa kidini na hupendi kujihusisha na utafiti au kusumbua akili kidogo, yapaswa ujiulize hivi

1.Kingdom za wanyama_jinsi zilivyoachana kwa umbali wa muonekano wa maumbile na ufahamu_'hivi inawezekana kweli binadamu akatamani kila alichonacho fisi.? Jibu hapana, labda uwe ni binadamu asiyekamilika, tena ni afadhali kwa nyani kidogo kwa kuwa tunalandana nae

Lakini tunaona hadithi kwenye vitabu vya dini za viumbe waliotamani makalio ya hayawani binadamu na kilakitu walichonacho, Halafu wanaitwa malaika.! ?

2.Chembe za urithi_si rahisi kwa binadamu kuzaa na nyani hata kama wanashabihiana, kwa sababu ya mifumo yao ya kijenetik waliyonayo

Labda kwa wanyama wa kingdom moja unaweza pata hybrid kutokana kingdom husika

Lakini hawa jamaa wanaoitwa kwa jina la heshima malaika (ili kututofautisha na sisi) waliweza kuzaa na sisi japo si viumbe wa kingdom moja.! Hii ni shida

Lazima tukubaliane na mtoa mada kuwa hii ilikuwa ni project maalum kwa kazi maalum japo mtoa mada kajaribu kudodosa baadhi kwa muono wake

Baadae Mungu akashuka kwa hasira kafuta kile kizazi choooote!
Hapa ndio inadhirisha kwamba madai ya mtoa mada kwamba hawa ni viumbe wa kawaida tu ila sema wapo juu kidogo tu na wana utawala kamatulivyo hapa binadamu duniani.. hawana maajabu
 
Kwa lugha rahisi basi sema ni kwa mujibu wa vitabu vya dini wanaitwa malaika

Lakini kulingana na mtoa mada hiki ni kikundi cha wahuni kutoka anga za mbali waliokuja kwa madhumuni yao binafsi na keshayaelezea

Sasa hapa ndio yapaswa kuwa na mazingatio kama ikiwa wewe ni mtu wa kidini na hupendi kujihusisha na utafiti au kusumbua akili kidogo, yapaswa ujiulize hivi

1.Kingdom za wanyama_jinsi zilivyoachana kwa umbali wa muonekano wa maumbile na ufahamu_'hivi inawezekana kweli binadamu akatamani kila alichonacho fisi.? Jibu hapana, labda uwe ni binadamu asiyekamilika, tena ni afadhali kwa nyani kidogo kwa kuwa tunalandana nae

Lakini tunaona hadithi kwenye vitabu vya dini za viumbe waliotamani makalio ya hayawani binadamu na kilakitu walichonacho, Halafu wanaitwa malaika.! ?

2.Chembe za urithi_si rahisi kwa binadamu kuzaa na nyani hata kama wanashabihiana, kwa sababu ya mifumo yao ya kijenetik waliyonayo

Labda kwa wanyama wa kingdom moja unaweza pata hybrid kutokana kingdom husika

Lakini hawa jamaa wanaoitwa kwa jina la heshima malaika (ili kututofautisha na sisi) waliweza kuzaa na sisi japo si viumbe wa kingdom moja.! Hii ni shida

Lazima tukubaliane na mtoa mada kuwa hii ilikuwa ni project maalum kwa kazi maalum japo mtoa mada kajaribu kudodosa baadhi kwa muono wake

Hapa ndio inadhirisha kwamba madai ya mtoa mada kwamba hawa ni viumbe wa kawaida tu ila sema wapo juu kidogo tu na wana utawala kamatulivyo hapa binadamu duniani.. hawana maajabu
Na kama waliwataman na waliweza zaa nao..manake hao malaika wana via vya uzazi...si ndio...kama wana via vya uzaz na matamanio bas kuna ukwel mchungu sana umejificha kuhusu mambo haya ya imani na dini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kama waliwataman na waliweza zaa nao..manake hao malaika wana via vya uzazi...si ndio...kama wana via vya uzaz na matamanio bas kuna ukwel mchungu sana umejificha kuhusu mambo haya ya imani na dini

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika.. ila jamaa wanazuga tu

Naweza ungana mdau mmoja alisema hawa jamaa walifanya gene manipulation kati ya spices yao na hii dhaifu waliyoikuta huku kwa malengo yao

Na kwa ishu ya ngono inawiana ikiwa wapo labda waliochoshwa na masheria ya uko kwao ya kupata wenza wakaona isiwe tabu mbona hata wa duniani wapo kama wa huko kwao(maana wanafanana tofauti ni ndogo tu) wakaamua kuchukua mitulinga ya kupoza roho..wakisema hivi kidogo nitawaelewa, kwa mujibu wa vitabu vyao
 
Yaani kama vile leo umenipa mwanga miki miaka yote, nilikuwa najiuliza kama mungu wetu mmoja kwa nini sisi ni weusi na wazungu ni weupe?

Pili najiuliza ilikuwa kuwaje continent zikajigawa wazungu wakawa kule na weusi kule.

Achilia mbali mambo ya sayansi na geography hii kitu ilikuwa inanipa shida ,natamani uelezee zaidi.
Yaani siku zote hizo ilikuwa haujashtuka kuwa Dini Ni false assumption !?
 
hii Dunia Ina wajinga sana hahahahha
Nilikua nacheki series ya Vikings Kuna character anaitwa flok jamaa walitoka kwao Huko Scandinavian kwenda kuvamia great Britain wakafika Huko kituo Cha kwanza church mwenye cathedral Moja hivi Sasa wale vikings ni Pagans na hawajui taratibu za Christian,wakaua na kupora treasures zote za kanisa,mwisho aakamteka father,
Flock akamuuliza father mbona kwenye mahekalu yenu mnajaza vitu vya thamani kama gold,fedha nk Kwa wingi?
Father:Watu wanamtolea Mungu sadaka
Flok:Kwahiyo Mungu wenu anapenda Mali?
Father:Hapana Yaani tunaamini dhahabu na vyote ni Mali yake hivyo tunamrudishia yeye Mungu mtukufu aliyeumba vyote
Flok:[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie wajinga sana Yaani Mungu kawapa halafu nyie mnamrudushia Tena,ina maana hampendi utajiri ama?
Father:[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
Flock:Sisi Vikings tunatafuta Mali Kwa shida nyie mnajaza kwa mahekalu yenu bila matumizi yoyote et mnamtolea Mungu wenu,Sasa tutawaonesha vikings hatupendi ujinga!
Flok: jamaa(anaonesha msalaba Kwa father)
Huyu ndie Mungu wenu?
Father:hapana ni Yesu kristo mwana wa Mungu alikuja duniani kutukomboa dhambi zetu,alikufa msalabani Ili binadamu tupate ukombozi
Flok:[emoji44][emoji44][emoji44]
Ina maana Mungu wenu alikufa?
Father:ndio ila alifufuka siku ya tatu na akapaa mbinguni
Flok:[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hapo utajifunza kitu,Kupitia wale Nordic people nilijifunza kitu japo ni movie ila wale vikings walikua na hoja sana na ndio maana utaona wafalme wao walikataa kupokea dini za kigeni,mpaka mmoja wa mfalme wao aliwahi sema
" Ni Bora nife nikiwa mpagani nikachomwe moto kuzimu na Babu zangu,Kuliko Kuliko niwe mkristo niende mbinguni nikakutane na maadui zangu"

Religion is Opium!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom