Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Na baada ya kukisoma hiki kitabu na kukielewa, nadharia yako ni ipi juu ya uumbwaji wa mwanadamu.
 
Kwahiyo mkuu lengo la uwepo wetu duniani ilikuwa ni kuwa watumishi wa Annunaki?
 
Mkuu tafsiri ya kiswahili ya kitabu cha "The book of Enock" nadhani haipo, nimetumia google translate kutafsiri kuja kwenye kiswahili.
ok.mkuu kitabu kinaonekana kina madini adimu.tupatie verse zingine mkuu
 
Tatizo hawa jamaa huwa wanajiona wana akili sana mimi huwa nawachora tu, kinacho watatiza ni ile hali ya kutaka kuridhisha tu nafsi kwamba kwa kujipa matumaini kwamba wapo sahihi kwa kutokuamini Mungu au vitabu vya dini.

Mimi mwenyewe nilikuwa nashangaa atheist kuamini haya masimulizi inawezekanaje!
 
Sawa sasa kwanini hatuoni humu kutolea mifano kwenye hiyo Qur'an kama tunavyoona ikifanyika kwenye biblia au ndio watu hawajui kiarabu?
Mkuu huyu mchambuzi yeye amesoma bible tu ndio mana anatoa huko kwenye hiko kitabu....Na neno bible ni muunganiko wa vitabu takatifu vinne....Torat ya Mussa,Zaburi ya Daud,Injiri ya Issa/Yesu aley salaam na Quran tukufu ya Mtume Muhammad Swala Allahu Aleysalaam.

Kwahiyo japo kuwa bibili kaisoma yote ndio mana anatoa huko tu....Kama Quran angeisoma basi lazima angekuwa anatoa vifungu vyake....Hivyo basi wala usimlaumu.

Kul yaa ayuhal kafiruna laa abudu matabuduna
 
😂😂😂😂😂 mkuu wao bado wanaimani zao ila wakijua kwamba kuna Mungu mmoja mbona wataamini tu..

Mwazo hizi dini zilikuwa hazipo na watu bado walikuwa wanaishi kama kwaida...

Kwahiyo muda wao ukifika mbona wataamini tu...Mimi binafsi naamini wapo ambao wanamuabudu Mungu mmoja katika hizo nchi ulizo zitaja na pia huko china mbona makanisa na misikiti ipo kama kawaida.
 
Wewe Tatizo lako hujaelewa mada na hujaisoma yote,Tatizo lako ni Moja tu ni ufahamu wa uchambuzi wa mada,Huu Uzi unawahusu Annunak waliomtemgeneza Modern man,Soma kichwa Cha mada uelewe,pia Soma maandiko yote Humu tuliyojadili Mimi kusema Annunak Ndio walimuumba binadamu Ndio nikubali kuwa wao ni Mungu?
Kule nilibishana na wewe binadamu hajaumbwa na Mungu sababu dhana ya Mungu inabase Kwa Annunak kitu ambacho ningeanza kujadili na wewe ungenibeza kama ulivyo nibeza hapa
Sasa iko Hivi kamanda kuhusu Ile nadharia nilikwambia kwenye Ile mada Mpaka tukabishana Mimi nilibase Kwa pre human cloning project ya viumbe wale Annunak maana kabla yake kulikuwepo na Primitive au kwenye maandiko ya Accient Sumerian au Epic of Girgamesh wanawaita Enkidu Hawa ni viumbe waliofanana na viumbe watu wakiishi Duniani Miaka millions nyingi kabla ya human manipulation na Ndio hao hao waliofanyiwa majaribio mengi
Mpaka wakawa modern human!

Kwahiyo tuelewane misimamo ya kule na huku ipo vile vile haibafiliki hakuna ndumilakuwili hapa kama unavyosema ila hapa nimeeleza kiundani tu,
Halafu wewe jamaa una vituko sana kwahiyo unaona Bible Ndio boonge la kitabu kilichoelezea uumbaji na wewe ukaridhika kabisa na kunyoosha mikono Juu na kusema hakika ni kweli!😁

Pole Sana kama Bado hujajua hiyo bible ya kina Constantine waliomtemgeneza pale Nicea committee Constantinople Uturuki ni ya kijanja na kikanjanja Kwa kucopy maandiko Toka Accient writings za Mesopotamian huko huko ambako Mimi na wenzangu Haya mambo tumeyapata in deep zaidi nakupa pole Sana Kwa kua
brain washed na huyo Mungu wenu mnaedhania yupo na ni Mungu wenu yaani
El/YWH/Jehova ambae Israelites na Babu Zao kina Abraham walimuabudu ni mmoja wa miungu wale wale wa Sumerians usingejihangaisha kuja kumpa maujiko kama Muumbaji wa Mbingu na Dunia na Ndie alimuumba Humanoids yeyote hizo ni hekaya za kiyahudi tu
Hata yeye huyo Mungu yupo Ndani ya sycle ya ANNUNAK!

Nimeishia hapa!
Lecheminduroi
 
ndiyo!
 
Ndiyo watarudi na mimi nshasema humu. Kwahiyo wazungu na wa Asia wameisha hukumiwa milele na Mungu ila weusi bado?. Kwahiyo Mungu alimuumba mtu mweusi tu?. Hapa ndipo vitabu vitakatifu vinapo onyesha uwalakini sasa.
Mungu alimuumba mtu mweusi tu, watu wa Asia na wa magharibi walitokana na Muingiliano baina ya watchers/Annunaki na Wanawake weusi,
Wazungu na Wa Asia sio wote wamekwisha hukumiwa, ivyo ivyo kwa watu weusi kuna ambao wamesha ziuza nafsi zao kuzimu/underworld, hawa tayari hukumu yao imeisha pita.
Waliokwisha kuhukumiwa ni wale watchers/Annunaki na kizazi chao kilicho angamizwa enzi za Gharika ya nuhu.
Yesu, naongelea kwa imani ya Ukristo alikuja kukikoboa kizazi Kilicho tokana na Muingiliano wa watchers na watu weusi(kizazi cha Nyoka) ili nacho kipate kukombelewa siku za mwisho,
Ukiangalia dhambi nyingi apa duniani zimeletwa na watu wa magharibi, tukirejea kwenye biblia agano la kale, mfano kuharibiwa kwa miji ya sodoma na gomola, pompei, nk yote haya walikuwa wanaletewa kwa sababu ya uovu wao.
Tukija kwa upande wa Afrika, hakuna historia iliyo rekodiwa ya kuharibiwa kwa miji/watu weusi kutokana na dhambi kama ilivyo kwa watu wa magharibi na Asia, hivyo hivyo kwenye majanga ya asili, kama matetemeko, vimbunga ni nadra kuzikumba nchi za Afrika.
 
Na baada ya kukisoma hiki kitabu na kukielewa, nadharia yako ni ipi juu ya uumbwaji wa mwanadamu.
Uumbwaji wa binadamu/watu umegawanyika kwenye makundi mawili, kuna walio umbwa mwanzo( watu weusi) na walio tokana na watchers/Annunaki.
Ukisoma theory za wazungu kuna ile ya out of Afrika, kwamba wao wametokana na mtu mweusi, baadae wakaama bara la Afrika na kukimbilia Asia/Europe. hapa kuna kitu huwa kinafichwa hakiwekwi wazi.
Pia kuna nadharia ya kugawanyika kwa Dunia/Pangea., kutoa mabara mbali mbali, pia hii nadharia inakitu kilicho sababisha, Mungu hakutaka jamii ya watu weusi iingiliane na jamii za Asia na Ulaya, kutunza uzao wa asili alio uumba. Pia alijua tukichangamana nao lazima tutaanza kutanga mbali na kufanya dhambi kama ilivyo hivi sasa, dhambi nyingi na matendo wa ajabu yamekuja baada ya kuanza kuchangamana na jamii za watu wa Ulaya na Asia.
 
Ok. kwahiyo Mungu anayeabudiwa hajulikani?
Mkuu inategeme nani ana muabudu huyo mungu!! wapi na wakati gani!!! Biblia inatamka wazi kabisaaa kuwa ''Imani ya Mungu siyo Mali ya kila mtu, yeye aliumba viumbe vyote vilivyomo hii ikiwa ni pamoja na shetani majini, nk kumbuka shetani alikuwa ni malaika wa sifa kabla ya uasi!! yaani ''Lucifer"

huyu Alikuwa na uwezo vibaya sana, tena akiongoza mammilioni ya Malaika mbinguni!! ambao hao walikuwa ni theluthi mbili ya malaika wote walio muunga mkono shetani. ivo walimuamini sana.

Pia hakuna sehemu yeyote kwenye Biblia inayoonyesha kuwa shetani alipokonywa uwezo huo maridhawa! anao mpaka leo, tena anapiga story na Mungu km kawaida, si unakumbuka kisa cha ayubu?

Mfano Kibiblia Cain!! huyu Bwana ni mtoto wa shetani kabisaaa!! tena baada ya kutoka Bustanini kuelekea Kaskazini mwa Bustani! hakutajwa tena kizazi chake,, kwa hiyo hao wapo mpaka leo wanasumbua humu Duniani!

Mungu hakumuua alienda akazaaa huko vizazi na vizazi..... ambavyo havikusikika tena, Bali kizazi kilichoendelea kusikika ni cha Seth!! Mpaka wkt wa Nuhu!...Abrahamu na hadi Wana wa Israel !

kwa Muktadha huo nasema hivi ''Mungu wa kweli anayeabudiwa anajulikana sana tu!! kwa walio wake'' km nilivyosema hapo juu yeye mwenyewe aliwahi sema ivi ''siyo kila aniitae Bwana bwana ataingia ktk ufalme wa Mungu''

Hao ni wale wanao mtaja sembuse wasio mjua?? Hata Biblia yeyenyewe imewataja miungu wengi tu na iliwasaidia wanao iabudu mfano ni mungu Dagoni, hata mungu wa wafilisti aliwasaidia kumtia Samsoni adui yao mikononi mwao!

Na wakasherehekea kweli na mfalme wao hao wafilisti wkt huo samsoni anasota kwa kuwasagia nafaka, siku mbili tatu vinywele vya samsoni vikaota tena. Samsoni huyuhuyu akatubu kwa dhati ya moyo!!..Mungu wake akamsikia!

Alikamata zile nguzo za kati kwa mikono yake miwili ambamo wafilisti walikusanyika kumzomea akawaua wooote pamoja na Delila!! hata kuliko alio wahi kuwaua!! .......nakwambia haya ujue kwamba Miungu kibiblia imetajwa na kutambuliwa na Mungu mwenyewe na ni mingi pia imetajwa huko!

Kama kipindi cha Biblica era ilikuwepo miungu!! kwa nini siku hizi isiwepo?? Binadamu mtaokoka ni kwa Neema tu!! lkn kuna mengi yatawachanganya!
 
Kwa kuongezea hapo Mkuu Biblia ukiiangalia sana inahusu watu weusi tu!! Bustani ya Edeni ilikuwa na mito minne''
Euphrates River.
Tigris River
Pishon River.
Gihon River .

Lkn sasa wao wazungu wanaongelea mito miwili tu ya juu!! lkn hii mingine miwili iko wapi?......jibu ni Africa ya leo! sasa hivi! yaani Whites and Blue Nile....(wao wazungu wanasema eti ile mito miwili mingine ilipotea).

Bado E.African Valley tuko ndani ya Bustani ya Eden na hili bonde la ufa kama mko vizuri ki jiogragia mnajua geografia vizuri limeanzia Middle East yoote , Isarael ya leo! linakujaaaa!! linaimeza Tanzania yooote!

then linapandishia ziwa Tanganyika kuelekea Uganda mpaka Misri, huwezi kutaja Isarel Bila E.A! ndo maana mazayoni wana i mind sana Uganda! mpaka kesho idd amini alistuka!!

EA tuko kwenye hati hati za kumezwa na mayahudi kadiri uzayoni unavo sambaa duniani...lkn wao hawataki tujue haya!! Kenya inatumiwa saaaana na Israel, na wamejiimalisha hapo si kawaida.

haya yooote ni kwa sababu tumo ndani ya Ramani ya Bustani ya Edeni! amabayo wayahudi wa leo wanaota kila siku!
..........
 
nakuelewa sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…