Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Hivi hizo nyayo zinazokutwa kwenye jiwe ina maana ya kwamba mawe ya zamani walipokanyaga yalikuwa yanabonyea ?

Mbona hakuna nyayo nyingi kuna nyayo moja moja tu ?

Hao watu walikuwa na mguu mmoja ?
Dunia inabadirika kila leo kulingana na majira mkuu!! ndo maana watu wanafanya uchunguzi/vumbuzi kila leo!! haya tunayo yajua ni theluthi ya theluthi tu!!....kwa kulijua hili!

sehemu niliyo zaliwa miaka 25 ilopita imebadirika sana! hata uoto wa asili hakuna tena!! Uyoga Uliojiotea wenyewe kule kwetu mfano; nyasanka, Moghuu,iryobha nk, havipo tena!!

ndege wengi wa bure km kong'ai, sorokobhwe!! iri huntuntuu (huyu ndege nimweusi ni mkubwa hatare)!! na fisi nilio wazoea kulia lia wamekwisha kabisaaaa!! kifupi leo hii kule kwetu ni mjini!

Dunia inabadirika kwa kasi, robo ya mji mkuu wa Misri ya kale ulimezwa na maji, sasa huko chini ya bahari nako pia ulimezwa na tope ila wataalamu wanachimba na kujua meengi sana!

Mfano giant of the old walichimba chini futi kadhaa!! waka pata mifupa yao ikaunganishwaaa!! ikawa!! imo humu itafute...ebi jiulize tu ile mijusi mikubwaaa kama ghorofa saba, yaani Dynasour ilopatikana bonde la iringa ikapelekwa ujermani mpaka leo! tunaitaka!

kwa nini ilipatikana hiyo tuu !!! kwingine kote hakn tena Tanzania hihihiiiii! lkn nchi nyingine ilipatikana pia! huo unyayo wa soth siyo huko tuu bali na kwingine pia!
 
ArtificialIntelligence

Unaona hapo ni kwa ajiri ya afrika ili watutawale.
 
Kwa lugha rahisi basi sema ni kwa mujibu wa vitabu vya dini wanaitwa malaika
Na aseme ni kitabu gani cha dini.

Kwa sababu katika uislamu malaika hawana matamanio wao wana akili za kufuata maamrisho ya mungu tu.

Hivyo akitoa reference ajue kwamba kuna dini zingine zinamtqzamo tofauti juu ya reference fulani
 
Mkuu nishkuru nimepata kitu.

Ila nilichouliza ni kuwa hizi nyayo zilizopatikana kwenye mawe ama mapango ina maana hayo mawe 2akati hao watu wanayakanyaga yalibonyea ndio ukapatikana unyayo ?

Na kama yalikuwa yanabonyea kwa nini hakuna nyayo nyingi zinazovumbuliwa badala yake kuna nyayo moja moja zinakutwa ?

Na kama mawe yalikuwa hayabonnyei hizo nyayo zimekuwaje mpaka zionekane ?
 
Sawa mkuu. Kwahiyo watoto wanamjua baba yao, ila baba yao hakuwahi kuzaa?. Wakristu wanasali kwa "jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu". Nguvu ya utatu huo mtakatifu katika nadharia nzima ya imani ya mwanadamu ni ipi?
Tunamwita Baba kwa sababu Yeye ndiye aliyetuumba! Ametuumba kwa mfano wake! Kama ambavyo watoto katika dunia hii wanafanana na wazazi wao ndivyo na watoto wa Mungu wanavyofanana na Baba yao, Mungu wa mbinguni! Kwa mfano, Mungu ni Pendo hivyo na watoto wake pia hufanana naye katika hilo! Nao wana roho ya UPENDO! Ikitokea huna upendo, wewe hukutoka kwa Mungu! Kama umejaa uongo, wewe si mtoto wa Mungu! Baba yako ni ibilisi soma YOHANA 8:44 Ninyi ni watoto wa baba yenu ibilisi, nanyi mnataka kutimiza matakwa ya baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo, wala hakushikana na kweli maana hamna kweli ndani yake. Asemapo uongo husema yaliyo yake mwenyewe kwa maana yeye ni mwongo na baba wa huo uongo.
 
Hongera mno, umesoma maandiko na kuyaelewa. Ila niulize tena Mungu anaweza kuonekana kwa macho au ni kwa ishara & miujiza tu?
Hii ishu kuhusu Mungu kuonekana katika uislamu kuna madhehebu yamega2anyika.

Kuna wanaoamini mungu haonekani.

Na kuna wanaoamini kwamba Mungu ataonekana lakini mpaka siku ya kiama,na watakaomuona ni wale waumini walioingia peponi
 
Huu ni ukweli mchungu. Ila niseme kwamba hatukuletewa sisi tu bali hata kwingine europe, America n.k na kwahiyo kama ni kutawala basi walitaka kutawala ulimwengu wote na siyo Afrika tu.
 
Huu ni ukweli mchungu. Ila niseme kwamba hatukuletewa sisi tu bali hata kwingine europe, America n.k na kwahiyo kama ni kutawala basi walitaka kutawala ulimwengu wote na siyo Afrika tu.
Kivipi dini iliwasaidia wao kutawala watu ?
 
"Ametuumba kwa mfano wake", katika mafundisho ya dini, maana/ukweli wa haya maneno ni upi. Aliyetuumba kwa mfano wake yeye siyo mwili bali watoto wake ni mwili, katika utofauti huu, unaelezeaje hii nadharia.
 
Hii ishu kuhusu Mungu kuonekana katika uislamu kuna madhehebu yamega2anyika.

Kuna wanaoamini mungu haonekani.

Na kuna wanaoamini kwamba Mungu ataonekana lakini mpaka siku ya kiama,na watakaomuona ni wale waumini walioingia peponi
Kwa kuzingatia haya yako ya mwisho, maana yake Mungu hajulikani mpaka sasa.
 
Kivipi dini iliwasaidia wao kutawala watu ?
Mimi nakujibu kwa ufupi sana, Kwa kuwafanyia psychological manipulation kupitia imani juu ya uumbwaji wao na huu ulimwengu, hii ikawafanya watu wawe watumwa wa kifkra huku hofu na woga ukitawala ndani yao juu ya matendo yao na maisha yao ya kila siku. Alafu naomba nikuulize pia, hivi uoni kama dini inatumika kuwatawala watu?, na je utangulizi wa ukoloni ni upi, wamisionari wapo au hawapo?
 
 
Kwa kuzingatia haya yako ya mwisho, maana yake Mungu hajulikani mpaka sasa.
Hiyo ni maana yako mkuu sio maana ya yangu ya mwisho.

Labda unaposema hajulikani unakusudia nini ?

Hajulikani kwa sifa zake ?

Hajulikani alipo mpaka sasa ?

Au hajulikani kivipi,maana kwuli yako iko pana mkuu
 
Na aseme ni kitabu gani cha dini.

Kwa sababu katika uislamu malaika hawana matamanio wao wana akili za kufuata maamrisho ya mungu tu.

Hivyo akitoa reference ajue kwamba kuna dini zingine zinamtqzamo tofauti juu ya reference fulani
Wanasema hivyo vitabu vyengine vimecopy kwenye biblia ndio maana hapa reference ni kutoka kwenye biblia tu.
 
Vipi kuhusu Europe na kwingine zilipo hizi dini hawakutaka kupatawala huko ndugu. Hii unaizungumziaje.
Wenyewe wenye kudai hivyo kuwa hizo dini ni kwa ajiri ya kuja kututawala afrika ndio watakuwa na majibu kwa swali lako ila mimi siamini hilo suala la dini kutawala watu.
 
Huu ni ukweli mchungu. Ila niseme kwamba hatukuletewa sisi tu bali hata kwingine europe, America n.k na kwahiyo kama ni kutawala basi walitaka kutawala ulimwengu wote na siyo Afrika tu.
Ni nani hao ambao walitaka kutawala ulimwengu wote kwa kutumia dini?
 
OK. Kwa mujibu wa maelezo yako kwamba hao Annunaki ni (WATU), vina saba vyao vinafanana na vyetu. kwa maana hiyo wanafanana na sisi (Mimi, wewe na binadamu wengine).

Kwa muktadha huo, Je hao viumbe Annunaki wanazaliana kama sisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…