Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,265
- 2,252
- Thread starter
-
- #941
Sawa. Ila nikuulize tena kama unaamini malaika walihasi kwa Mungu, kwa nini na hilo useme haliwezekani?Wao ndio walimuumba binadadamu(kwa mujibu wa mada)
Hivyo hawawezi kuja kumfanyia ubaya kiumbe waliyemuumba wao wenyewe,kiumbe aliyetokana na wao wenyewe.
Kiakili tu haiwezekani wajw dunia i kufanya fujo hata siku moja,pengine na sisi binaadamu tutapata vibarua vya kuchimba dhahabu tukapata viajira na kuendesha maisha yetu.
Nshaelezea ndugu sehemu ya 12.Mkuu hili neno lina maana gani ?
Kumbe ni issue ya kuamini au kutoamini.Kama unaziamini stori za dini, kwa nini hizi usiziamini?
Annunaki walikuwepo na hilo limethibitishwa kutoka sumerian tablets, na hao hao giants ni family of Annunaki, haya yote yame elezewa na epic of creation from Sumerian.
Chimbuko la hizo stori za dini unajua ni wapi?, Ukweli wote juu ya huu ulimwengu unapatikana sumerian tablets, civilization ya mwanadamu imeanzia sumer, hebu fikria unayoayajua leo kuhusu hii dunia ni 20%, 80% tablets hazitafsiriwa kutokana na ugumu wa code ya lugha.
Hivyo basi kama huyaamini haya ila unayaamini ya dini, well ni utashi na maamuzi pia ndugu.
Mada lazima ziibuke mkuu, uzuri ni kwamba zinaleta fikra mpya.Mada juu ya mada
Huu mkanasha umebeba ilmu na maaarifa ya kutosha
"Zecharia Sitchin, muhandishi na mtafiti na mtafsiri maandishi ya kale na msomi kutoka chuo kikuu cha London, anasema hawakuwa Mungu, japo walichukuliwa na kuabudiwa kama Mungu. Baada ya kufanya tafiti nyingi za maandiko ya kale aliitimisha kwa kusema kwamba, hawakuwahi kuwa Mungu, bali viumbe wa ajabu wenye nguvu waliokuja duniani kutoka sayari ya mbali Nibiru"Sumerian walitumia neno DIN GIR, likiwa na maana ya Mungu/Allah wao yaani Anu the righteous one of the sky chamber, Anu ni mjumuisho wa Annunaki yaani Miungu/miungu.
Ungeifanyia summary hiyo sehemu ya 12 pengine ingekuwa rahisi kuelewa japo nimeisoma.Nshaelezea ndugu sehemu ya 12.
Haya mambo aisee hatari, ndiyo maana wao wanakwambia ni mambo ya imani.Kwamba Mwafrika alilaaniwa baada ya kumchungulia Nuhu alipokuwa amelewa divai baada ya kutoka kwenye safina, akalaaniwa akawa mweusi kama mpingo, na atakuwa chini , na ndugu zake wazungu/waarabu, watamtawala kwa sababu wao wali barikiwa,
Dah! Kwamba washenzi wa Afrika waombewe. Bado watu watauliza kwamba dini inatumikaje kumtawala mtu.Mambo kama haya na mengine mengi, imefikia wakati sisi Wa Afrika tuanze kutafakari upya kuhusu hizi Dini zetu, nadhani wengi wenu mmeshawahi kukutana na hii post.
View attachment 2123808
Inawezekana vitabu vya dini viko sahihi kwa baadhi ya mambo, huku baadhi yakiwa ya uongo, hao waanzilishi wa hizi dini inawezekana kabisa walichomoa baadhi ya mambo nyeti na yenye ukweli na kupachika mengine yenye mlengo wao, ndiyo maana habari kama hizi zinazidi kuibuliwa.na mzungu hakutaka mweusi asome Biblia kabisaaaaaaaaa!! ukikutwa utayamba kifukuto!!! hata mtumwa kujua kusoma Tu marufuku! lkn walipenyaaa mpaka wakajua! meengi kuwahusu!! hasa kwa nini wako utumwani!!!
ilipotokea wakajua tu!! kibao kika badilika sasa wakalazimishwa kusali na Wazungu pamoja!! walikaa mabenchi ya nyuma! lkn weusi wakiwa peke yao mashamabani walifundishana ukombozi wa fikra....na kujua kuwa wao Black americans, na wafrica woote! ndo wayahudi original! wana wa Mungu yaani father Abraham offspring! kuwa utumwani ni kwa sbabu walihasi sheria ya Mungu!
wazungu kuona kuwa hawa sasa wameanza kujitambua ..... wakaanzisha Uzayonism movement ulaya na USA haraka sana.....na kujifanya KM wazungu wenzao wa Ulaya hasa Wajermani ndo watesi wao,
na wajermani walifanywa mbuzi wa kafara tu mauaji ya HOLOCOUST ni changa la macho lile kuhadaa ulimwengu wazungu waarabu lao moja wanapendana bana wee!! hawawezi kuuana ivo! Ahmad Nijad alijua kitambo sana mtafute hata humu yumo!
kwa maana kuwa wao wao ni uyahudi ya leo wanapaswa kurudi nchi yao hiyo ya ahadi, wakaenda kuomba hiyo ridhaa Huko UNO chini ya mwamvuri wa USA, na tena eti wanafaa Dunia kuwaonea huruma.
eti Dunia inawachukia, Sababu wao wamebarikiwa na Mungu, mpaka leo wanajifanya ivo matajiri wale waliouza watumwa km mbuzi wa kafar na Meli walizo tumia kuuza watumwa zinajulikana ni zao!! kuuumbe changa la macho tu!
Ndugu unaposema maajabu, una maanisha maajabu yapi/maajabu katika nini/kuhusu nini.Artificial intelligence mkuu unaweza kutupa maajabu ya mnara wa babeli,
jamaa unaakili nyingi sana wewe nipunguzieMimi hapa ndio binadamu wananifurahisha sana, Yani unahoji nani amewaumba Annunaki kwakuwa inasemekana wameumba binadamu, ila Kila mwenye akili sawa sawa ana nature ya kujua kuwa Kila kitu kina mwanzo wake na ndomana mnahoji nani kawaumba Annunaki
ila kitu Cha ajabu ni kwamba sio Annuaki peke Yao ndio inasemekana wameumba wanadamu, Kuna Mungu pia tunajua ameumba Dunia na vyote vilivyomo
Sasa inakuaje watu mnahoji juu ya uumbwaji wa Miungu Annunaki ila hamuhoji juu ya uumbwaji wa Mungu Allah na Mungu wa Nazareth? Mtoa mada akikwambia kwamba Annunaki hawajaumbwa Wala hawajazaliwa utamuamin?
Ukiambiwa kuwa Annunaki hawajaumbwa wala hawajazaliwa sidhani kama utaamini ila cha ajabu unaamini kuwa Kuna Mungu ambae ye hajazaliwa Wala hajaumbwa na ajabu zaidi ni kwamba Yuko peke Yake tu, at least hawa Annunaki wako wengi ina make Sense, ni kipi hasa kinafanya tunakubali tu hili jibu bila kuhoji kama unavohoji kwa Annunaki?
Kwahiyo kama wewe msingi wa swali lako umelenga kuwa Annunaki wameumbwa na Mungu ambae sie tunamjua basi sio mbaya na mkajiuliza pia Mungu alieumba akina Annunaki na wao wakatuumba sisi yeye aliumbwa na nani? Nini chanzo chake?
na jaribu kuunga dots,story hii ya annunak na bible juu binadamuMada lazima ziibuke mkuu, uzuri ni kwamba zinaleta fikra mpya.
Kwa references zangu mimi nilizozipitia mpaka sasa ntakwambia sijaona palipo andikwa Annunaki waliondoka na binadamu.kwaiyo kuna uwezekano anunaki waliondoka na baadhi ya binadamu
Kipi ambacho hujaelewa hapo."Zecharia Sitchin, muhandishi na mtafiti na mtafsiri maandishi ya kale na msomi kutoka chuo kikuu cha London, anasema hawakuwa Mungu, japo walichukuliwa na kuabudiwa kama Mungu. Baada ya kufanya tafiti nyingi za maandiko ya kale aliitimisha kwa kusema kwamba, hawakuwahi kuwa Mungu, bali viumbe wa ajabu wenye nguvu waliokuja duniani kutoka sayari ya mbali Nibiru"
Nimekunukuu hapo maana ndio kwenye msingi wa swali langu ni sehemu ambayo sijaielewa niweke sawa.
Huo muda sina kwa sasa, utanisamehe .Ungeifanyia summary hiyo sehemu ya 12 pengine ingekuwa rahisi kuelewa japo nimeisoma.
Safi ni jambo jema. Ila niseme kwamba Annunaki ni Miungu iliyoabudiwa kama Mungu wao, kama ilivyokuwa huku Afrika mlivyoabudu Miungu yenu tena kwa majina kama Mungu wenu, kabla ya wamisionari kuwaambia kuna huyo Mungu unayemuamini atakaye leta kihama kwa watu wake.Mimi katika imani yangu asee naamini Mungu ni mmoja tu hakuna hao majamaa annunaki...Najua Mungu yupo mwenye uwezo wa kupeleka Jua na mwezi kutokea MASHARIKI kuelekea MAGHARIBI....na Kiyama kipo.
Mimi nitaendelea kumuamini Mungu mmoja tu hadi kifo changu...
Na stori iendelee pale ilipoishia......
Uzuri ni kwamba wakati waafrika wanaabudu hizo ibada hatukuziona....Safi ni jambo jema. Ila niseme kwamba Annunaki ni Miungu iliyoabudiwa kama Mungu wao, kama ilivyokuwa huku Afrika mlivyoabudu Miungu yenu tena kwa majina kama Mungu wenu, kabla ya wamisionari kuwaambia kuna huyo Mungu unayemuamini atakaye leta kihama kwa watu wake.
Hao mitume ni uzao wa Annunaki pia.Uzuri ni kwamba wakati waafrika wanaabudu hizo ibada hatukuziona....
Kwahiyo hainichanganyi...
Niseme tu hao majamaa walikuwa wanaabudiwa na hao watu wa kale kabla ya Mitume na Manabii kuletwa...kwahiyo Manabii na Mitume wamekuja kuwaelimisha watu juu ya MUNGU mmoja...
Kuna ambao wameelewa na bado wabishi wa kuelewa juu ya MUNGU mmoja.