Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Na hao anunaki wameumbwa na MUNGU mmoja....Mkuu tukutane kwenye hesabu...usinilaumu sjakwambia tuHao mitume ni uzao wa Annunaki pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao anunaki wameumbwa na MUNGU mmoja....Mkuu tukutane kwenye hesabu...usinilaumu sjakwambia tuHao mitume ni uzao wa Annunaki pia.
Na huyo Mungu mkuu mmoja basi atakuwa ANU.Na hao anunaki wameumbwa na MUNGU mmoja....Mkuu tukutane kwenye hesabu...usinilaumu sjakwambia tu
Mkuu baada ya kuipitia hii umegundua nini kutokana na objective ya hii thread.Since the Luciferian Covenant, the Fallen Annunaki Luciferian lineages have been involved in perpetuating lies about humanities origins,
because they hijacked the original human 12 strand DNA template and modified some of the human tribes through genetic hybridization programs to digress humans into 10 strand DNA.
This was to modify human bodies to be compatible with their race lines, so they can take over the incarnation process and control human evolution towards servicing their agendas.
During the Essenes Massacre the female high council members and females that had higher DNA codes were taken to Nibiru by Thoth and Annunaki hybrids for forced breeding.
This was at the time when Thoth broke the Emerald Covenant agreement with the Guardians and stole one of the holographic historical plates, called the CDT plates. He translated the CDT plate and wrote the well-known distorted version of the Emerald Tablets, from the Nibiruian Annunaki perspective.
The Fallen Annunaki narrative is that humanity has descended from animals and apes, which they modified during the Neanderthal era to make us more advanced, therefore they are our Alien Gods.
Neanderthals went extinct because they had no human DNA, they were an Annunaki experiment that died out. They have presented themselves as the original progenitors of the human race, inserting themselves in the place of the original Lyrans, in order to continue their breeding programs and experiment with the human gene pool.
The Annunaki Hybrid Fallen Angelics were created to counteract and destroy the Krystic Human Guardian Race for control and domination of this timeline in the Universal Time Matrix. These entities are also called the Sons of Belial or Belial Group.
Fallen Angelic Annunaki Groups:
All of these groups have a seriously vested interest in the United Kingdom as their headquarters of global domination and control.
- Alpha Omega Order Templar Melchizedeks, Fallen Seraphim
- Samjase Annunaki from Pleiades, Alcyone
- Jehovian Annunaki from Sirius A, designers of the Crucifixion Implant network on earth.
- Thoth, Enki, Enlil Collectives from Nibiru and Sirius A
- Marduk Necromiton, Enlil Odedicron alliance with Nibiruians
- Michael Family Nephilim Hybrids, cloned Michael bodies of the Annunaki hybrids from Orion, Sirius, Andromeda, as result of Michael Wars on Aldebaran. Many of these Michael bodies were claimed or cloned by Family of Set lines.
Thoth, Enki, Enlil Collectives are Annunaki hybrid Fallen Angelics that are from Nibiru and formed alliances in the NAA with Necromitons, Odedicrons that serve Nibiruian interests in capturing territory on earth and in this Solar System.
Most of their main harvesting networks are located in the United Kingdom, and thus they have a heavy presence in the land mass that is known as reptilian central.
In recent months, it has been brought to my attention to observe the recruitment and grooming techniques of the Thoth, Enki, Enlil Collectives which are Annunaki Fallen Angelic Hybrids.
These groups are contacting their preferred bloodlines on the earth for the express purpose of creating the next generation Mind Control program that the Guardian Host refers to as the building of Enki's Army, with it’s New Age flavor of worship.
Source: Ascension glossary:
Nimepitia sana kuanzia mwanzo hadi mwisho ila nagundua hii ni kama masimulizi ya ALUFU LELA ULELANa huyo Mungu mkuu mmoja basi atakuwa ANU.
Mkuu Mimi sijawahi kuamini kwamba malaika walimuasi Mungu tokea nazaliwa.Ila nikuulize tena kama unaamini malaika walihasi kwa Mungu
Hilo haliwezekani kwa sababu malaika hajawahi kumuasi Mungu.kwa nini na hilo useme haliwezekani?
Mkuu malaika hajawahi kumuasi Mungu,siamini kama malaika anaweza kumuasi Mungu.Ila nikuulize tena kama unaamini malaika walihasi kwa Mungu
Nasema haliwezekani kwa sababu hata malaika hawajawahi kumuasi Mungu.kwa nini na hilo useme haliwezekani?
Mkuu nimekuuliza huko juu kwwmba kuna ushahidi ungine unaoonesha kwwmba annunaki kamuumba binaadamu zaidi ya ushahidi wa maandiko ?Na huyo Mungu mkuu mmoja basi atakuwa ANU.
Na kama eliumba binadamu kwajili ya kumsaidia kuchimba dhahaubu basi ingekuwa ndio mwisho wa dunia baada ya kumaliza shughuli za kuchimba hizo dhahabu...Mkuu Mimi sijawahi kuamini kwamba malaika walimuasi Mungu tokea nazaliwa.
Malaika hawamuasi Mungu kamwe.
Hilo haliwezekani kwa sababu malaika hajawahi kumuasi Mungu.
Hata ingelikuwa malaika ndo kamuasi Mungu bado haiwi ni ishara ya kwwmba annunaki ndio atakuja kumshambulia binadamu ambaye kamuumba mwenyewe(kwaa mujibu wa uzi).
Haiyumkini kwamba Mungu anunaki ndio katuumba alafu baadae aje alete fujo hapa duniani,kiakili tu haiji hii.
Idea kwamba Annunaki wametuumba binadamu wa sasa bado ina ukinzani, Kwa kusoma kwangu na kupitia source mbali mbali, hawa Annunaki ni sehem ya viumbe/fallen angels wanao control Earth affairs, kwa kufanya mind control, genetic manipulation kwa binadamu ili waweze ku incarnate kwenye ulimwengu wetu, na kuweza kuproject concsousness zao kwenye mind za watu,Mkuu baada ya kuipitia hii umegundua nini kutokana na objective ya hii thread.
ndo ivo kabisaa!! Apocryphas, judith. thobit Ni baadhi ya vitabu walivyo vitoa vitafute humu vimoo!! hivi vitabu vinaonyesha ubaya na asili ya watu weupe wote Duniani yaani mweupe ni mnyama hayawani hasa!Inawezekana vitabu vya dini viko sahihi kwa baadhi ya mambo, huku baadhi yakiwa ya uongo, hao waanzilishi wa hizi dini inawezekana kabisa walichomoa baadhi ya mambo nyeti na yenye ukweli na kupachika mengine yenye mlengo wao, ndiyo maana habari kama hizi zinazidi kuibuliwa.
Ok.Nimepitia sana kuanzia mwanzo hadi mwisho ila nagundua hii ni kama masimulizi ya ALUFU LELA ULELA
Sijui tuliwakosea nini hawa wenzetu, nenda kwa wazungu, wahindi, wachina, waarabu wote wanatuchukia, ila sisi wala hatuna chuki nao.ndo ivo kabisaa!! Apocryphas, judith. thobit Ni baadhi ya vitabu walivyo vitoa vitafute humu vimoo!! hivi vitabu vinaonyesha ubaya na asili ya watu weupe wote Duniani yaani mweupe ni mnyama hayawani hasa!
hebu jiulize mtu mweusi hana madhara nao!! ka bisaaa!! lkn eti wanamchukia Dunia nzima wajameni kweli!! Wahindi hapo kariakoo wamekaa na sisi wakichuma mali tangu zama lkn kujichanganya nasie ni mtihani!
bado wakituona tu hivi damu zao zina sisimka km wameona nyoka, hawatupendikiviiiile!! hii ni kwa sababu Mungu aliweka uadui taaangu Bustanini palee Eden!! kuwa utamponda kichwa na yeye atakuponda kisigino!
hebu angalia sasa kisigino kiko chini nyayoni huko, tena nyuma huko! na ya nyuma huyajui! ivi cha nyuma mtu unakiona kweli?? hukioni!!.....yaani kinakunyemelea tu kina nga'ata!!
ndo maana weusi wengi hawaoni ubaya wa watu weupe, pamoja na kuwadanganya live yesu ni mzungu weusi wanaona ni sawa tu!..pamoja na Biblia kukana wazi.....
waafrica hawajiulizi swali rahisi tu km yesu ni mzungu sisi weusi tulitoka wapi??? hakuna mzungu Duniani anaeweza zaa mtu mweusi!! lkn weusi wanazaa weupe albino wengi tu!
Wa- Israel walipewa onyo kabisaaa kuwa mkimuhasi Mungu mtarudishwa utumwani Misri kwa mitumbwi, na huko mtakuwa watumwa tena namnukuu Musa ''the journey that you shall never make it again''
kama ni ivo hawa wa leo weupe wenye Mapesa wametoka wapi?????
Ok. Nikuulize tena una amini kuna miungu au hakuna?Mkuu Mimi sijawahi kuamini kwamba malaika walimuasi Mungu tokea nazaliwa.
Malaika hawamuasi Mungu kamwe.
Hilo haliwezekani kwa sababu malaika hajawahi kumuasi Mungu.
Hata ingelikuwa malaika ndo kamuasi Mungu bado haiwi ni ishara ya kwwmba annunaki ndio atakuja kumshambulia binadamu ambaye kamuumba mwenyewe(kwaa mujibu wa uzi).
Haiyumkini kwamba Mungu anunaki ndio katuumba alafu baadae aje alete fujo hapa duniani,kiakili tu haiji hii.
Ushahidi upi hasa unaoutaka kuwa specific labda.Mkuu nimekuuliza huko juu kwwmba kuna ushahidi ungine unaoonesha kwwmba annunaki kamuumba binaadamu zaidi ya ushahidi wa maandiko ?
Kwa nini unaamini ungekuwa mwisho wa dunia.Na kama eliumba binadamu kwajili ya kumsaidia kuchimba dhahaubu basi ingekuwa ndio mwisho wa dunia baada ya kumaliza shughuli za kuchimba hizo dhahabu...
Na pia vipi kuhusu chakula walikuwa wanakula chakula gani enzi hizo...
Sawa, kutokana na haya maelezo, je binadamu wa sasa ametokana na Annunaki au hajatokana na Annunaki?Idea kwamba Annunaki wametuumba binadamu wa sasa bado ina ukinzani, Kwa kusoma kwangu na kupitia source mbali mbali, hawa Annunaki ni sehem ya viumbe/fallen angels wanao control Earth affairs, kwa kufanya mind control, genetic manipulation kwa binadamu ili waweze ku incarnate kwenye ulimwengu wetu, na kuweza kuproject concsousness zao kwenye mind za watu,
Kuhusu Annunaki kuumba binadamu wa sasa, nadhani walichofanya na wanacho endelea kufanya ni ku manipulate human DNA ziendane na za kwao, ili waweze ku control Earth na solar system affairs, pia wapate cheap labour, mfano wa majaribio yao yalio fail siku za nyuma ni kuunganisha DNA zao na neanderthal ili wapate cheap labour wa kuwanyisha kazi na kwa ajili ya kuwapeleka kwenye sayari yao ya Nibiru.
Kuna inshu ya Royal family zilizopo hapa Duniani mfano England na viongozi kalibia wote wa Mataifa makubwa, hawa DNA zao zina mchanganyiko na hawa Annunaki/Reptilia, ndio wanatumiwa kutekeleza agenda za hawa Annunaki/ Draconians apa Duniani.
Pia kuna Dhana kwamba hawa annunaki/reptilians/draconias wana vuna negative energy/Adrenaline kutoka kwa wanadamu wanayo i release wanapo kuwa na hofu,. Ndio maana utaona nchi za magharibi kila kukicha wao ni kuanzisha vita, tetesi za vita, maginjwa ya mlipuko watu wawe na hofu, wana chochea umaskini watu wawe na hofu ya kukosa chakula, na mengine mengi.
ndo ivo kabisaa!! Apocryphas, judith. thobit Ni baadhi ya vitabu walivyo vitoa vitafute humu vimoo!! hivi vitabu vinaonyesha ubaya na asili ya watu weupe wote Duniani yaani mweupe ni mnyama hayawani hasa!
hebu jiulize mtu mweusi hana madhara nao!! ka bisaaa!! lkn eti wanamchukia Dunia nzima wajameni kweli!! Wahindi hapo kariakoo wamekaa na sisi wakichuma mali tangu zama lkn kujichanganya nasie ni mtihani!
bado wakituona tu hivi damu zao zina sisimka km wameona nyoka, hawatupendikiviiiile!! hii ni kwa sababu Mungu aliweka uadui taaangu Bustanini palee Eden!! kuwa utamponda kichwa na yeye atakuponda kisigino!
hebu angalia sasa kisigino kiko chini nyayoni huko, tena nyuma huko! na ya nyuma huyajui! ivi cha nyuma mtu unakiona kweli?? hukioni!!.....yaani kinakunyemelea tu kina nga'ata!!
ndo maana weusi wengi hawaoni ubaya wa watu weupe, pamoja na kuwadanganya live yesu ni mzungu weusi wanaona ni sawa tu!..pamoja na Biblia kukana wazi.....
waafrica hawajiulizi swali rahisi tu km yesu ni mzungu sisi weusi tulitoka wapi??? hakuna mzungu Duniani anaeweza zaa mtu mweusi!! lkn weusi wanazaa weupe albino wengi tu!
Wa- Israel walipewa onyo kabisaaa kuwa mkimuhasi Mungu mtarudishwa utumwani Misri kwa mitumbwi, na huko mtakuwa watumwa tena namnukuu Musa ''the journey that you shall never make it again''
kama ni ivo hawa wa leo weupe wenye Mapesa wametoka wapi?????