Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Halafu jamaa uandishi wake pia ni tatizo si muandishi mzuri.
Ndugu yngu kwanza nikuambie kwamba una mnunguniko na huu uzi na sijuhi kwa nini, Pili naomba utuonyesha huo uandishi wako mzuri hapa na wewe, tatu una umimi mwingi sana kwamba wewe unachokiamini ndiyo sahihi na unapenda ujibiwe vile unataka, mwisho ni kweli mimi uhandishi wangu kulingana na wewe unaweza kuwa mbovu, ila nazani content ambayo ndiyo ya msingi imeeleweka na nimalizie kwa kusema samahani sana kwa uhandishi wangu mbovu na huu ndiyo mwisho wa mimi na wewe kufanya argument, watakuja wale wenye majibu unayoyataka/kuyaamini na uhandishi mzuri uendelee nao, mimi kwa uhandishi wangu huu mbovu nimejitoa.
 
DHANA YA UTOFAUTI WA MAKUNDI TOFAUTI YA DAMU (BLOOD GROUP)

Kuna njia ya Zaidi ya 33 ya kuyagawa makundi ya damu, lakini njia ya kutumia ABO na Rhesus ndio zinazotumika ivi sasa.

Kugawanya haya makundi ya damu hufanyika kwa kuangalia uwepo wa antijeni katika seri nyekundu za damu(RBCs)

Kupata kundi la damu tunaangalia uwepo au kutokuwepo kwa antijeni A au B, kwenye uso wa chembe chembe nyekundu za damu.

Katika makundi ya damu, group O ndio kundi lipo kwa wingi miongoni mwa wanadamu, na kundi la damu la AB ndio kundi lipo kwa watu wachache.

Njia ya kuyagawa makundi ya damu kwa kutumia rhesus system, tuna angalia uwepo/kutokuwepo kwa antijeni D, katika uso wa seli nyekundu za damu.

Kama mtu anazo antijeni D katika uso wa seli nyekundu za damu atakuwa na Rh-postive, na kama hana antijeni D, atakuwa na Rhesus negative.

Ina kadiliwa 85% ya wana damu wana rhesus positive katika makundi yao ya damu.

Inadhaniwa kwamba kundi la watu wenye Rh negative walianza kuonekana miaka 25,000-35,000 iliyo pita uko Bara la Ulaya.

Baadae watu wenye Rh- negative group walisambaa nchi jirani na Duniani kote.

Kuna kitu cha ajabu kuhusu watu wenye makundi ya damu yenye Rh-negative,

Mama mwenye kundi la damu lenye Rh-negative, akibeba mtoto mwenye Rh-positive(Kutoka kwa Baba), antibodies za mama zinazishambulia seli nyekundu za mtoto aliyeko tumboni, na kusababisha ugonjwa unao itwa kitaalamu hydrops fetalis (mwili wa mtoto kujaa maji akiwa tumboni/EDEMA) na inaweza kusababisha kifo kwa mtoto kama asipowekwa kwenye uangalizi maalum wa kitabibu.

Hii hari ya damu ya mama kuikataa damu ya mtoto/Rhesus incompatibility ipo kwa wanadamu pekee, kwa wanyama hakuna.

Katika dhana hii, mwili wa mama unakataa mtoto aliyeko tumboni kwa sababu ni species/viumbe tofauti.

Kama wote wana wanadamu tumotokana na Adam na Hawa, kwanini tuwe na utofauti mkubwa katika makundi ya damu?

Kwanini mama mwenye kundi la Damu lenye Rh negative akibeba mimba ya kwanza mtoto akawa na kundi damu lenye Rh positive, mama anatengeneza antibodies/Kinga dhidi ya mimba zinazofuata, endapo mimba zinazofuata mtoto akiwa na Rh positive na damu zao zikaingiliana pindi mtoto akiwa tumboni mtoto anadhurika, kama kweli wote chanzo chetu ni kimoja, Adam na Hawa?


KUTOKANA NA MAELEZO HAYO APO JUU NI DHAHIRI KUWA WANADAMU/WATU WANA ASILI TOFAUTI.
 
DHANA YA UTOFAUTI WA MAKUNDI TOFAUTI YA DAMU (BLOOD GROUP)

Kuna njia ya Zaidi ya 33 ya kuyagawa makundi ya damu, lakini njia ya kutumia ABO na Rhesus ndio zinazotumika ivi sasa.

Kugawanya haya makundi ya damu hufanyika kwa kuangalia uwepo wa antijeni katika seri nyekundu za damu(RBCs)

Kupata kundi la damu tunaangalia uwepo au kutokuwepo kwa antijeni A au B, kwenye uso wa chembe chembe nyekundu za damu.

Katika makundi ya damu, group O ndio kundi lipo kwa wingi miongoni mwa wanadamu, na kundi la damu la AB ndio kundi lipo kwa watu wachache.

Njia ya kuyagawa makundi ya damu kwa kutumia rhesus system, tuna angalia uwepo/kutokuwepo kwa antijeni D, katika uso wa seli nyekundu za damu.

Kama mtu anazo antijeni D katika uso wa seli nyekundu za damu atakuwa na Rh-postive, na kama hana antijeni D, atakuwa na Rhesus negative.

Ina kadiliwa 85% ya wana damu wana rhesus positive katika makundi yao ya damu.

Inadhaniwa kwamba kundi la watu wenye Rh negative walianza kuonekana miaka 25,000-35,000 iliyo pita uko Bara la Ulaya.

Baadae watu wenye Rh- negative group walisambaa nchi jirani na Duniani kote.

Kuna kitu cha ajabu kuhusu watu wenye makundi ya damu yenye Rh-negative,

Mama mwenye kundi la damu lenye Rh-negative, akibeba mtoto mwenye Rh-positive(Kutoka kwa Baba), antibodies za mama zinazishambulia seli nyekundu za mtoto aliyeko tumboni, na kusababisha ugonjwa unao itwa kitaalamu hydrops fetalis (mwili wa mtoto kujaa maji akiwa tumboni/EDEMA) na inaweza kusababisha kifo kwa mtoto kama asipowekwa kwenye uangalizi maalum wa kitabibu.

Hii hari ya damu ya mama kuikataa damu ya mtoto/Rhesus incompatibility ipo kwa wanadamu pekee, kwa wanyama hakuna.

Katika dhana hii, mwili wa mama unakataa mtoto aliyeko tumboni kwa sababu ni species/viumbe tofauti.

Kama wote wana wanadamu tumotokana na Adam na Hawa, kwanini tuwe na utofauti mkubwa katika makundi ya damu?

Kwanini mama mwenye kundi la Damu lenye Rh negative akibeba mimba ya kwanza mtoto akawa na kundi damu lenye Rh positive, mama anatengeneza antibodies/Kinga dhidi ya mimba zinazofuata, endapo mimba zinazofuata mtoto akiwa na Rh positive na damu zao zikaingiliana pindi mtoto akiwa tumboni mtoto anadhurika?

KUTOKANA NA MAELEZO HAYO APO JUU NI DHAHIRI KUWA WANADAMU/WATU WANA ASILI TOFAUTI.
Nop why all of them hav the same anatomy?
 
Mkuu nimeuliza swali naomba unijibu kisha na wewe ndio uniulize,hii ya kwwmba hujanijibu kisha unataka ujibiwe wewe haitoleta tija.


Unaniulizaje wakati swali langu hujajibu kaka ?

Usiwe na machale sana kaka utaharibu ladha ya mjadala huu,jibu swali nawe uliza ndio ustaarabu
Sawa. Na mimi niseme kwanza kama hupendi kuulizwa na kujibu maswali yangu pia kama wewe unavyopenda kuuliza, ni wazi kwamba umejiandaa kushinda ila siyo kujadili.
 
Sawa. Na mimi niseme kwanza kama hupendi kuulizwa na kujibu maswali yangu pia kama wewe unavyopenda kuuliza, ni wazi kwamba umejiandaa kushinda ila siyo kujadili.
Huu uzi wako ulikuwa mzuri sana kama ungekuwa unajibu maswali unayo ulizwa. Mimi pia ni mmoja wapo ambaye niliona sifaidiki na mjadala huu nikaachana nao na kuupuza, sababu nilikuuliza zaidi ya maswali sita ila hukujibu hata moja, kwa madai umejibu na mtu akisoma hakuti majibu.

Kwa ufupi ulichokiandika chote huwezi kukijibu kielimu.

Kingine huu uzi unatambea kiasi sasa kuna mtu anaukuta uzi uko mbele ila ana swali au hoja sasa unapi mwambia ushajibu, hii haitoshi aidha umpe namba ya post au umpe muongozo hapa ndipo kutaleta maana ya mjadala kinyume chake unajilosesha elimu wewe mwenyewe kwa ujinga wako.

Mwanadamu hajaumbwa na kiumbe zaidi ya kuumbwa na Mola, ndiyo maana nyuzi zako zimekaa katika msingi wa mashaka na maoni ya watu na si ushahidi na uhalisia.
 
Huu uzi wako ulikuwa mzuri sana kama ungekuwa unajibu maswali unayo ulizwa. Mimi pia ni mmoja wapo ambaye niliona sifaidiki na mjadala huu nikaachana nao na kuupuza, sababu nilikuuliza zaidi ya maswali sita ila hukujibu hata moja, kwa madai umejibu na mtu akisoma hakuti majibu.

Kwa ufupi ulichokiandika chote huwezi kukijibu kielimu.

Kingine huu uzi unatambea kiasi sasa kuna mtu anaukuta uzi uko mbele ila ana swali au hoja sasa unapi mwambia ushajibu, hii haitoshi aidha umpe namba ya post au umpe muongozo hapa ndipo kutaleta maana ya mjadala kinyume chake unajilosesha elimu wewe mwenyewe kwa ujinga wako.

Mwanadamu hajaumbwa na kiumbe zaidi ya kuumbwa na Mola, ndiyo maana nyuzi zako zimekaa katika msingi wa mashaka na maoni ya watu na si ushahidi na uhalisia.
Sawa kabisa. Na mimi niseme kwamba uko sahihi kuamini kile ambacho imani yako ya dini inakuongoza, nyinyi watu wafia dini hamuamini katika chochote zaidi ya Mungu.

Mwisho kabisa ndiyo maana thread ilikuwa na muendelezo, kwa kama hukufuatilia umerukia juu kwa juu, niseme samahani sana.
 
Huu uzi wako ulikuwa mzuri sana kama ungekuwa unajibu maswali unayo ulizwa. Mimi pia ni mmoja wapo ambaye niliona sifaidiki na mjadala huu nikaachana nao na kuupuza, sababu nilikuuliza zaidi ya maswali sita ila hukujibu hata moja, kwa madai umejibu na mtu akisoma hakuti majibu.

Kwa ufupi ulichokiandika chote huwezi kukijibu kielimu.

Kingine huu uzi unatambea kiasi sasa kuna mtu anaukuta uzi uko mbele ila ana swali au hoja sasa unapi mwambia ushajibu, hii haitoshi aidha umpe namba ya post au umpe muongozo hapa ndipo kutaleta maana ya mjadala kinyume chake unajilosesha elimu wewe mwenyewe kwa ujinga wako.

Mwanadamu hajaumbwa na kiumbe zaidi ya kuumbwa na Mola, ndiyo maana nyuzi zako zimekaa katika msingi wa mashaka na maoni ya watu na si ushahidi na uhalisia.
Alafu kingine ninayemwambia nimeshaelezea nampa kabisa na sehemu, siwezi kukumbuka kila namb ya post, ndiyo maana nawaambie sehemu ya ngapi.
 
Sawa kabisa. Na mimi niseme kwamba uko sahihi kuamini kile ambacho imani yako ya dini inakuongoza, nyinyi watu wafia dini hamuamini katika chochote zaidi ya Mungu.
Tungekuwa hatuamini vingine kama unavyodai tusingekuwa hivi tulivyo, bali tofauti yetu na sisi ni kuwa sisi tuna misingi madhubuti ya kuutafuta ukweli na kuhoji kwa usahihi.
Mwisho kabisa ndiyo maana thread ilikuwa na muendelezo, kwa kama hukufuatilia umerukia juu kwa juu, niseme samahani sana.
Kuna swali nilikuuliza unahakikisha vipi kama Annunaki wamemuumba mwanadamu na mtu wa kwanza kuleta habari za Annunaki ni nani ? Sasa hili swali lilitakiwa lijibiwe na mada yako ya kwanza kabisa lakini hakuna popote ulipo jibu swali hili wala hakuna mada inayo jibu swali hili.
 
Vipi kuhusu individual spiritual abilities thinking potential?. Humans inaoneka a ni viumbe local sana
Ni kweli binadamu ni kiumbe local sana & less intelligence ukiliganisha na viumbe wengine kama aliens, annunaki n.k wenye akili na maarifa makubwa ukilinganisha na binadamu, kwahiyo nadharia ya kwamba Mungu ameumba mwanadamu pekee kama kiumbe mwenye akili na maarifa hapa duniani, haina mantiki.
 
Alafu kingine ninayemwambia nimeshaelezea nampa kabisa na sehemu, siwezi kukumbuka kila namb ya post, ndiyo maana nawaambie sehemu ya ngapi.
Unao ushahidi ya kuwa Annunaki wamemuumba mwanadamu ? Nani wa kwanza kutoa habari za Annunaki ? Hili swali unaweza kuniambia majibu yake nayapata wapi katika mada yako hii ?
 
Sawa same anatomy, kwanini kuwe na variations kubwa kwenye blood groups, na tunasema origin yetu ni moja kutoka kwa Adam na Hawa?
Kwanini mama mwenye Rh negative mwili wake ukatae mtoto ambae ni the same species?
Alie sema origin yako ni ya adamu na hawa ni nan?
 
Back
Top Bottom