Nimepita huko sijaona majibu ya hilo swali, ndiyo maana nikakakwambia mjadala wako hauna majibu ya maswali unayo ulizwa ndiyo maana unakimbia maswali.Sehemu yam1 hadi ya 4, utakuwa umeishayapata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepita huko sijaona majibu ya hilo swali, ndiyo maana nikakakwambia mjadala wako hauna majibu ya maswali unayo ulizwa ndiyo maana unakimbia maswali.Sehemu yam1 hadi ya 4, utakuwa umeishayapata.
Ametokana na kuumbwa kwa udongoAmetokana na nini
Umesoma kweli wewe? Au umejiandaa kubishana.Tungekuwa hatuamini vingine kama unavyodai tusingekuwa hivi tulivyo, bali tofauti yetu na sisi ni kuwa sisi tuna misingi madhubuti ya kuutafuta ukweli na kuhoji kwa usahihi.
Kuna swali nilikuuliza unahakikisha vipi kama Annunaki wamemuumba mwanadamu na mtu wa kwanza kuleta habari za Annunaki ni nani ? Sasa hili swali lilitakiwa lijibiwe na mada yako ya kwanza kabisa lakini hakuna popote ulipo jibu swali hili wala hakuna mada inayo jibu swali hili.
Sio haina mantiki. Ni ya uwongo. Alie tuumba sisi ndo kiongoz wetu. Ivi hnajua zaid ya 70% ya genes mwilim mwako ni uncoded??Ni kweli binadamu ni kiumbe local sana & less intelligence ukiliganisha na viumbe wengine kama aliens, annunaki n.k wenye akili na maarifa makubwa ukilinganisha na binadamu, kwahiyo nadharia ya kwamba Mungu ameumba mwanadamu pekee kama kiumbe mwenye akili na maarifa hapa duniani, haina mantiki.
Sawa.Nimepita huko sijaona majibu ya hilo swali, ndiyo maana nikakakwambia mjadala wako hauna majibu ya maswali unayo ulizwa ndiyo maana unakimbia maswali.
Ivi kwel inakuingia akilini?Ametokana na kuumbwa kwa udongo
Kwa maana hiyo amejitengeneza mwenyewe auAmetokana na kuumbwa kwa udongo
Ametengenezwa na Mungu mmoja kwa mujibu wa vitabu takatifu....Kwa maana hiyo amejitengeneza mwenyewe au
Nimesoma ndiyo maana nimeuliza swali, nani wa kwanza kuelezea habari za Annunaki ?Umesoma kweli wewe? Au umejiandaa kubishana.
Kingine nilicho ona ni kuwa hata maswali yangu huenda hujayaelewa.Umesoma kweli wewe? Au umejiandaa kubishana.
Kuna kitu kinachoweza kujitengeneza chenyewe ?Kwa maana hiyo amejitengeneza mwenyewe au
Kwanini isiingie akilini ? Hapo shida iko wapi ?Ivi kwel inakuingia akilini?
Mkuu inaonesha ni mtu mwenye hasira sana ila ulikuwa unajizuia tu, toka vile ulivyonijibu kuwa huna muda wa kufanya summary nikaachana na wewe sikuhitaji tena majadiliano na wewe. Uandishi wako ni mtihani mwenyewe umekubali ila pia hata kujibu maswali nako shida.Ndugu yngu kwanza nikuambie kwamba una mnunguniko na huu uzi na sijuhi kwa nini, Pili naomba utuonyesha huo uandishi wako mzuri hapa na wewe, tatu una umimi mwingi sana kwamba wewe unachokiamini ndiyo sahihi na unapenda ujibiwe vile unataka, mwisho ni kweli mimi uhandishi wangu kulingana na wewe unaweza kuwa mbovu, ila nazani content ambayo ndiyo ya msingi imeeleweka na nimalizie kwa kusema samahani sana kwa uhandishi wangu mbovu na huu ndiyo mwisho wa mimi na wewe kufanya argument, watakuja wale wenye majibu unayoyataka/kuyaamini na uhandishi mzuri uendelee nao, mimi kwa uhandishi wangu huu mbovu nimejitoa.
Sawa Mkuu, najua hayo maelezo unayosema lakini naomba unijibu swali nililouliza kwamba kuna kiumbe ambae yupo physically in shape ambae anaweza kujiunda/kujiumba mwenyewe?Sawa mkuu. Kwanza nikufahamishe kwamba kama kitu hujakitafiti wewe au kukiona wewe hata kama unakiamini usijiaminishe kwa 100% kina ukweli, kwahiyo ndiyo maana watu wanazidi kuhoji juu ya dini na hizi habari za Annunaki, habari hizi hizi zinaweza kuwa za kweli au siyo za kweli kulingana na perception ya mtu na mtu kwa sababu zinapatikana kwa reference.
Pengine nikuulize wewe ulitaka nitumie maneno yapi?
Hakuna mahali popote niliposema Annunaki wamejiumba. Na ikiwa hivi najua utauliza waliumbwa na nani, jibu ni rahisi ndiyo maana tunasema kuna grand architect wa hii universe.
Ila kuuliza sio ujinga mkuu.Your too slow my friend
Nakujibu kwa ufupi sana kwamba ni Sumerians.Nimesoma ndiyo maana nimeuliza swali, nani wa kwanza kuelezea habari za Annunaki ?
Narudia tena hujasoma na kuelewa na hii yote ni kwa sababu unaamini katika dini tu. Hayo maswali yako yote yamejibiwa tena vizuri, ila kama una jibu lako unalolikusudia ni wazi kwamba labda hujalipata, utuambie hapa tujue.Kingine nilicho ona ni kuwa hata maswali yangu huenda hujayaelewa.
Nimekuuliza ni nani wa kwanza kuelezea habari za Annunaki ? Unaniuliza kwamba nimesoma kweli ? Ukianza na sehemu ya kwanza haijibu swali hili, unanukuu tu habari ambayo haionyeshi asili ya habari ni wapi zaidi ya kusema "Walitokea sayari nyingine..." mara "Mtafiti fulani amesema kadha ...".
Katika elimu ya uhakiki wa habari habari yako haipati mashiko sababu haina chain na haijulikani hao wametoa wapi hizo habari. Maana yake hitimisho ya habari hizi ni katika kundi la "Visasili".
Unaniuliza mimi muuliza swali au nani?. Pili unaamini kwamba hakuna kinachoweza kujitengeneza, hapo hapo una amini Mungu alijitengeneza. Mna shida sana watu wa dini kwakweli.Kuna kitu kinachoweza kujitengeneza chenyewe ?
Ndiyo maana tunawauliza hao Annunaki wameumbwa na nani ?
Asante sana nikutakie kila la heri nguli wa uhandishi na kutafsiri duniani.Mkuu inaonesha ni mtu mwenye hasira sana ila ulikuwa unajizuia tu, toka vile ulivyonijibu kuwa huna muda wa kufanya summary nikaachana na wewe sikuhitaji tena majadiliano na wewe. Uandishi wako ni mtihani mwenyewe umekubali ila pia hata kujibu maswali nako shida.
Kila la kheri.