Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Safi kabisa labda huelewi nini maanisha. Nitajie watu kumi tu walioelezea habari za Annunaki kutoka katika hiyo jamii.

Kingine ushahidi wa mtu mmoja unaaminika na kukubaliwa pia ukipimwa katika mizani ya kuhakiki habari.

Unaposema watu wa jamii fulani walisema kadha, huku ni kuficha ukweli sababu katika kusema huwa kuna kauli zinazo onyesha ukweli wa habari hiyo mathalani unaweza kuniletea nukuu ya watu hao ikianza na tamko hili "Sisi Sumerians tuliwaona Annunaki au habari zao tumezitoa sehemu fulani ?"

Zaidi ya nyinyi kutuambia ya kuwa Sumerians ndiyo waliandika habari hizi ? Hivi habari huwa mnazihakiki vipi vijana ?
 
Mpaka unakufa huwezi kuthibitisha ya kuwa ustaarabu uliletwa na wasio kuwa mitume. Inaonekana hujui maana ya ustaarabu, au kwako wewe ustaarabu ni kupaa angani nini ?
Wewe tuthibitishie bila kutumia reference yeyote kwamba uliletwa na mitume. Naona hata unachotaka kiaminike kwetu wewe mwenyewe hukijuhi.
 
Ndiyo hawajamkuta Adam, uwepo wa Adam ni less than 300000 yrs ago , Annunaki ni greater than 450000 yr ago.
Asipokuelewa hapa Huyu mpuuzie,Hawa watu ,Hivi kumbe historical chatline kwao ni shida mno daaaaa utakuta mtu anakuja kukuambia Pyramids za Giza zilijengwa na Israelites yaani hua nabaki nashangaa na kusema ama kweli Afrika Elimu Bado duni sana,
Hiyo mifano ndio tunakutana nayo hapa
Et Annunak walimkuta Adam seriously?

Tuache masikhara basi Watanzania hebu ingieni field mjisomee,maarifa mbona ni Bure Aisee hizo simu janja mnaangalia porn na kufuatilia umbea badala muingize material kama haya mbona rahisi tu!

Mkuu Artificial intelligence kazi tunayo hakyanani,
😁😁😁😁😁
 
Hizo nukuu niweke mara ngapi?, sehemu zote zimejaa nukuu kutoka sumerians n.k. Mimi nimekuuliza ulishawahi kumuona mtume Muhammed?
 
Nasubiri hoja zake kuhusu hilo.
 
Nanukuu

Sisi summeria tuliwaona Annunak au habari zao tumezitoa sehemu Fulani?"

Hahahahaha Wewe jamaa una vioja sana Hivi unajua hao Summerians ni kina nani?

Ifike pahali kabla hujadandia kitu nenda kajirudhishe nacho kwanza je hao Summerias walikuaje katika hii Dunia nakuambia
Tu kitendo Cha kuwagugu hao Summerias na kuanza kuwasoma hutawamaliza Mpaka mwaka unaisha maana wao ndio waanzishi wa hii Dunia Mpaka imefika hapa ingia field utatuepushia mzigo wako wa maswali maana Kila kitu utajibiwa na kukipata Huko huko hapa tutakudanya Bure!

Goo goo dude!
 
Jamaa inaonekana hajuhi chochote kuhusu hii dunia zaidi ya masimulizi ya mtume Muhammed na Quran yake.
 
Wengine ukifatilia wanasema walikuwa majini, na hawa kidogo wanakaribia ukweli. Sasa utajiuliza lini Jini aliumba au akaweza kuumbwa.

Hizi ni nadharia ambazo zimebuniwa na watu ndiyo maana haina asili, yaani wanachukua habari za kwenye vitabu vya dini wanabumba bumba kudai wao ndiyo wameumba.
 
Jamaa inaonekana hajuhi chochote kuhusu hii dunia zaidi ya masimulizi ya mtume Muhammed na Quran yake.
Sasa wewe huwa unatumia njia gani kujia ukweli wa mambo ya kae au hata mambo yaliyopita hivi karibuni. Unafikiri kwanini huwa kuna mashahidi na wanaulizwa kwamba je ulimuoja fulani akifanya kadha wa kadha au umesikia kwa nani hizi habari ? Mpaka zinarudi kwa mtu wa kwanza.
 
Kwa muktadha huo ndugu, basi na mimi ninachoelezea hapa ni cha kweli. Kwahiyo naomba kufunga mjadala na wewe.
Ndio maana nikakuuliza kwambw tukubaliane kilw mtu aamini maandiko yake ?

Kwa sababu hata wewe huna ushahidi wowote zaidi ya maandiko uliyoyaleta hapa kama ambavyo watu wa dini wanayaamini maandiko na wewe umepita mule mule kuyaamini maandiko ambayo ndio hayo hayo unayaona kama ushahidi.

Hivyo mjadala wetu tumekibaliana kwwmba umeishia hapa kila mtu achukue maandiko yake ayaamini,habari ya kujw na maandiko ukwyapamba kwamba sijui ni fact sijui ni ukweli basi imekatika hapa.

Kila la heri
 
Kwa hiyo tunakubaliana kwamba maandishi ndio uthibitisho wa jambo letu ?
Hatukubaliani, maandishi ambayo hayana physical aspects evidence kwangu mimi siyaamini. Ukitoa maandishi, mmi humu nimekuwa physical aspects za mabaki, nyayo, mafuvu n.k.

Je wewe unaweza kuteletea nyayo, fuvu la Mungu, Yesu au Muhammed.
 
Mpaka unakufa huwezi kuthibitisha ya kuwa ustaarabu uliletwa na wasio kuwa mitume. Inaonekana hujui maana ya ustaarabu, au kwako wewe ustaarabu ni kupaa angani nini ?
Ndugu zanguni Wana JF na great Thinkers mnakubaliana na Huyu bwana kwamba ustaarabu uliletwa na mitume?

Mimi nimemshindwa na na surrender Mpaka hapa Sina msaada nae maana Naona ustaarabu kwake ni kwenda na kopo la maji chooni,kuvaa kanzu na kilemba,kula tende na biryani na kusoma vitabu vya kiarabu na kuswali ijumaa,

"Sipo hapa kukashifu dini au ustaarabu wa jamii Fulani ila nataka tu nimtoe mtu shimoni asiwe brain washed ila atambue maana ya ustaarabu kiujumla!

Elimu Haina mwisho tuendelee kuelimishana!
😁😁😁😁πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Nimecheka sana, haijalishi ni kina nani. Nachojua mimi ni viumbe, waliploishi katika Iraqi ya zamani. Sasa mpaka wananukuu hizo habari maana yake wana akili na wanatunza kumbukumbu, swalo langu halikwepeki, na ukisema hawakuwa watu au mfano wake tutakuulzliza je walikuwa miti au wadudu au mbwa na kama ni katika hayawani habari hizo walizitunza vipi.

Ajabu marejeo mengi ya hizi habari yapo katika michoro, sasa unajiuliza michoro mbona kila mtu akoamua kuchora ana chora tu anachojisikia.
Hizo nukuu niweke mara ngapi?, sehemu zote zimejaa nukuu kutoka sumerians n.k. Mimi nimekuuliza ulishawahi kumuona mtume Muhammed?
Nukuu ulizo ziweka wewe ni nukuu za Watafiti nao wanaanza kwa kusema "Walishuka toka sayari nyingine..." mara "Imesemwa kadha wa kadha..." sasa hili ni tatizo katika kunukuu habari. Usirudie jambo ambalo liko wazi, unapoteza muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…