Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki


Tatizo lenu hampitii andiko Zima hayo maswali kama Yako yameulizwa post za nyuma na yametolewa ufafanuzi,tatizo hampitii andiko Zima kama kawaida ya wabongo wanaosoma kava nduki kuweka maneno Yao!
 
Nakujibu kwa ufupi sana kwamba muumbaji wa Annunaki hajulikani.
 
Na cha kukuongezea ni kwamba Annunaki ni uzao wa Anu, Anu ni kutoka Sayari ya Nibiru, kwenye reference zangu hakuna mahali panapo onyesha uumbwaji wa Annunaki. Kinachoandikwa ni viumbe kutoka sayari nyingine waliokuja hapa duniani kwa mission maalamu. Mungu wenu mnayemsema ni Yule ambaye mnasema ameumba dunia na vilivyomo kwahiyo hausiki na uwepo wa sayari nyingine kwenye hii solar system. Na kwa nadharia hii inaonyesha kuna Mungu zaidi ya mmoja(Miungu), Miungu inathibitishwa na kuonekana huyo Mungu mmoja mnayemsema hajawahi kuthibitishwa na hakuna namna unaweza kumthibitisha.
 
Hawataki kujifunza nje ya dini yao, ndiyo maana kila sehemu wanalalamika wanaonewa. Akili ya ziada utaitoa wapi kila wakati upo na vitabu vya dini tu.
 
Kwao haiwezikan ila.kwa Mungu inawezekana kwann?
Dini zimetufunga akili sana
 

Tatizo lenu hampitii andiko Zima hayo maswali kama Yako yameulizwa post za nyuma na yametolewa ufafanuzi,tatizo hampitii andiko Zima kama kawaida ya wabongo wanaosoma kava nduki kuweka maneno Yao!
Mimi mtu akiuliza swali najua kabisa huyu kapitia mada au hajapitia. Ndiyo maana nawaambie rudini mkasome, wanaishia kulalamika sijibu maswali.
 
Ni kweli waafrika waliumbwa na anunnaki? Na vipi kuhusu Sumerians kwamba walikua blacks kuna ukweli wowote hapa? Watafiti wa anunnaki naomba msaada wenu please
Ni kweli hata mtu mweusi ni uzao wa Annunaki, vinasaba vyetu vipofanyiwa utafiti, iligundulika vilifanana kabisa na vile vya mabaki ya mwanamke (goddess ambaye ni Annunaki ) yaliopatikana kusini mwa Afrika. Sina hakika kama blacks wote ni Annunaki, ila kuna baadhi ya makabila ya blacks kama Dogon nchini Mali, wale asili yao ni sumerian. Taarifa zaidi kuhusu mtu mweusi alielezea Ushindi victory kwenye huu uzi.
 
Ndiyo uwepo wao hapa duniani umethibitishwa si kwa maandiko tu bali hata ushahidi wa kuonekana.
Nakuja hapa.

Safi kabisa, hili mbona hujathibitisha ? Tuthibitishie ni kina nani waliwaona Annunaki kwa macho.

Kama umeshindwa kuwataja hata Sumerians kumi tutajie wawili walio waona. Hii ziada hivi ushawahi kujiuliza ni kwanini Injili zile nne zina uongo mwingi ? Jibu sahihi ni kuwa sababu waandishi wa hizo Injili hawakumuona Yesu kwa macho.
 
Kwanin picha nyingi zilizokuwa zikionesha mfano wa viumbe waliopatikana kabla wa yule aliyekusudiwa zimekaa katika picha za mapenzi, ukitazama vzr utaona mpka viumbe hao wakibusiana?

Lakin piah hawa viumbe waliokuwa wanakosewa, vip waliuwawa au?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo wewe references zako za ukweli, mimi za kwako hazina ukweli na sote tunatumia vitabu kama reference?
Sababu huu ni mjadala huru, ni juu yako kuzipa nguvu "references" zako kuonyesha ni za kweli na mimi nitazipa nguvu za kwangu kuonyesha ukweli wake, ndiyo maana tunahoji na kuulizana.

Naendelea....
 
Hicho kitabu ninachokiongelea mimi kimekusanya vyanzo zaidi ya mia, na kila kilichoelezewa kimewekewa marejeo. Hizi ndiyo kazi wanazofanya wanazuoni wetu kutukusanyia habati toka vyanzo tofauti na kuzihakiki. Unaweza ukasoma vitabu mia ila vyote vikawa havina marejeo mama, kwahiyo wingi wa vitabu si hoja, hoja kile kilichoandikwa kina ukweli na je kimehakikiwa ?

Kitabu cha dini gani kimeelezea habari za Annunaki ?
 
kumbe muislam, nyie ndo wale mnaosema peponi mtapewa bikra 72[emoji706][emoji706][emoji706][emoji3]
 
Maigizo ya CIA na NASA yanajulikana, anzia kwenye tukio la kwenda mwezini na safari za masafa marefu.

NASA si katika marejeo ya kweli zaidi kutaka sifa na mengineyo.

Wewe ukionyeshwa mabaki haya ni ya Annunaki, mathalani unahakiki vipi habari hii ? Je utaridhika tu kisa wamesema CIA au NASA ?

Kuhusu uwepo wa Mola muumba ithibati yake au utambuzi wake unaanzia katika maumbile na hatua zake ni tatu, kisha ufunuo unakuja kithibitisha. Hatua ni hizi zifuatazo :

1. Fitrah (Innate disposition)
2. Maarifa ( Acquaintance)
3. Establishment of the proof, hapa tunakuja kuhitimisha kwa ufunuo toka kwake, baada ya kupitia hizo hatua mbili za mwanzo, kwa ufupi hatua ya kwanza ni kila mwanadamu ameumbwa kwa umbile la kukubali uwepo wwa Mola, ila wazazi wake au walezi wake huja kumbadilisha aidha akawa myahudi au mkristo au mkana Mungu na mfano wake, kwenye kipengele cha pili ule utambuzi baada ya kuona viumbe vya Allah na kuhoji kwa usahihi na kipengele cha tatu ndiyo hicho kinachothibitisha sasa uwepo wake ambacho ufunuo.

Anasema Allah aliye juu :

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji? (at-Turi : 35)

Hiyo aya inathibitisha juu ya uwepo wa Allah, kwa kuwauliza wale wote wanao kataa juu ya uwepo wake, kwamba je wao wamejiumba au wao wametokana pasi na chochote ? Basi leteni masimulizi kinyume na haya kama nyinyi mnasema ukweli.
 
kumbe muislam, nyie ndo wale mnaosema peponi mtapewa bikra 72[emoji706][emoji706][emoji706][emoji3]
Haswaa ndiyo sisi, na hakuna yeyote anaye weza kupinga haya kwa elimu na hoja zaidi ya dhihaka na mfano wa hayo.

Shukrani.
 
Haswaa ndiyo sisi, na hakuna yeyote anaye weza kupinga haya kwa elimu na hoja zaidi ya dhihaka na mfano wa hayo.

Shukrani.
dhihaka iko wapi hapo so ndo Hadith zenu zinavyosema haya na wanawake watapewa nin peponi
 
Naanzia hapa. Tusiwe tunaongelea mambo juu juu. Tujadili kielimu, mimi ni Muislamu, naomba unionyeshe uongo uliopo kwenye Uislamu na uthibitishe ya kuwa huu nu uongo.
Mabikra utawakuta kweli una uhakika? Unamfahamu Muhammed umewahi kumuona? Huu ndiyo ulaghai wa kwanza.
 
Mbona nshakujibu au hayo majibu huyataki.
 
Na mimi hivyo hivyo tena ni zaidi ya vyanzo mia 50 na marejeo juu. Kwahiyo kama unakiamini hicho na mimi nakiamini cha kwangu, na nazani hapa tumeelewana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…