Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Siyo kwmb hawez mnampotezea muda n maswali uchwara, anaona kujibizana n arrogant wa duni kama nyinyi, anajisumbua, mshakariri ya dini, kutoka nje hamtaki.
Siyo kwmb hawez mnampotezea muda n maswali uchwara, anaona kujibizana n arrogant wa duni kama nyinyi, anajisumbua, mshakariri ya dini, kutoka nje hamtaki.
Kwahiyo mkuu ulitaka kwamba jamaa alete kama hivyo habari za Annunaki hapa na watu wakubali tu bila kuhoji kadri ya uelewa wao?

Sidhani kama unataka hivyo mkuu.
 
Naendelea kuonekana niko sahihi sababu maswali yangu mmeshindwa kuyajibu.

Kingine jifunze kuandika Kiswahili kwa ufasaha, siyo kama unavyo tuandikia, nikajua labda ni makosa ya kiuandishi kume hujui kabisa kuandika Kiswahili. Hatuna tamko "Waharabu" katika Kiswahili wala hatuna tamko "hacha" katika Kiswahili.
 
Hebu na wewe ainisha mtu wa kwanza kabisa kuonana na Mungu uso kwa uso, fanya chap utuletee, na sisi tukuletee ili twende sawa.
Naona huna hoja tena.

Mola hakuna aliye muona uso kwa uso ila yupo aliyeongea naye bila kumuona lakini siku ya Kiyama wapo watakao muona wale ambao walifanya mema na watalipwa ziada ya kumuona kama tuonavyo jua la saa sita mchana.

Ama ajabu iliyopo ni kuwa Mola wetu amejielezea mwenyewe na akashusha ufunuo kuthibitisha uwepo wake.

Uwepo wa jambo siyo lazima ulione ila viashiria lazima viwepo. Sasa habari za Annunaki zimekosa sifa zote hizo, hawajajielezea wenyewe, hakuna walio waona wala hakuna mtu wa kwanza anayejulikana kuelezea habari za Annunaki. Zaidi utaambiwa "Inasemekana..." mara "walitoka sayari nyingine..." sasa unajiuliza mambo ya sayari yameanza kuelezewa zama hivi karibuni na zama za kale. Hakuna anayeweza kuthibitisha ya kuwa Solar System ilikuwa inajulikana zama za nabii Issa, halafu muda huo huo mnakuja kutuambia habari za Annunaki zilikuwepo kabla ya nabii Issa.
 
Safi kabisa hapa ndipo nilikuwa nataka ufike, kwetu sisi hasa Waislamu sisi tuna sanadi (Chain) ya habari mpaka kufika kwa mtu wa kwanza, na hii elimu maalumu ya uhakiki wa habari ambayo wengine hamna.
eeeeh 😂😂😂😂, hebu rudia vizur hapa, kwamb nyny Muslim ndiyo mnayo tu wengine hawana, hivi unayo yaandika unayafikiria kwel?
 
Hata wangesoma vitabu elfu kwa maelfu kama hawaelezi habari wamezipata wapi na wamezihakiki vipi bado habari inakuwa haina mashiko.

Natamani sana mngejiua au kuona namna watu wanavyo hakiki habari za kale na kujua ukweli wake.
hebu n ww tuambie habar za mtume Muhammed umezipata vip n umezihakiki vipi?, ikiwiwa njia yako n tofauti n ya huyu, utakuw umeshinda , hebu tuonyeshe
 
eeeeh 😂😂😂😂, hebu rudia vizur hapa, kwamb nyny Muslim ndiyo mnayo tu wengine hawana, hivi unayo yaandika unayafikiria kwel?
Niambie wakina nani wanayo elimu zaidi ya sisi.
 
Mpaka unakufa huwezi kuthibitisha ya kuwa ustaarabu uliletwa na wasio kuwa mitume. Inaonekana hujui maana ya ustaarabu, au kwako wewe ustaarabu ni kupaa angani nini ?
😂😂😂 ww mzee una shida, hawa mitume wa juzi, hebu kuwa siriaz na unayoyaandika, usiandike kw msukumo wa dini, utaibika muno.
 
Fungua akili anu=annunaki =miungu=Mungu, hutaki kuamini, endeleeni kusubiri mabikra mbinguni wa bure.
 
haya mwenzako kakuthibitishia hapa, umeparuka kama ukoma naona Kisai
Sijawahi kuona mtu mjinga kama wewe kwahiyo hapo amethibitisha ? Ndiyo maana unajiita "Annunaki" kilaza sana.

Mimi nitamuuliza athibitishe ya kuwa ni kweli Annunaki walikuwepo miaka 300000 na athibitishe ya kuwa Adamu alikuja kuwepo miaka 450000 iliyo pita.

Hapo hajathibitisha kijana, kuthibitisha ni kuwa aonyeshe ukweli wa hizo namba.
 
😂😂😂 ww mzee una shida, hawa mitume wa juzi, hebu kuwa siriaz na unayoyaandika, usiandike kw msukumo wa dini, utaibika muno.
Wewe unaandika stori zisizo kuwa na ushahidi mimi naandika elimu.
 
Fungua akili anu=annunaki =miungu=Mungu, hutaki kuamini, endeleeni kusubiri mabikra mbinguni wa bure.
Sumerians wamewaona Annunaki ? Jamii ya Sumerians imeanza kuwepo mwaka gani ?
 
hebu n ww tuambie habar za mtume Muhammed umezipata vip n umezihakiki vipi?, ikiwiwa njia yako n tofauti n ya huyu, utakuw umeshinda , hebu tuonyeshe
Nimezipata kupitia "chain" mpaka zimetufikia sisi.
 
Naanzia hapa. Tusiwe tunaongelea mambo juu juu. Tujadili kielimu, mimi ni Muislamu, naomba unionyeshe uongo uliopo kwenye Uislamu na uthibitishe ya kuwa huu nu uongo.
hakuna mabikra wa bure mbinguni n duniani hamna kafiri, sote ni sawa, huu ndiyo uongo mmoja wapo.
 
hakuna mabikra wa bure mbinguni n duniani hamna kafiri, sote ni sawa, huu ndiyo uongo mmoja wapo.
Akili yako ndogo sana, mfano mdogo tu kuna usawa kati ya mwema na muovu ? Au mwenye akili na asiyekuwa na akili ?
 
mkuu s jinsia tofauti, unatakaje tena. Ndiyo hao wengine walikufa.
 
maneno tu yathibitishe uwepo wa Allah n maneno hayo hayo hayathibitishi uwepo wa Annunaki, ww kweli dini imekumaliza kabisa.
 
watu wapoteze muda, kusoma vitabu vinavyofundisha kukata watu vichwa na kuwapiga mawe hadi kufa.
 
Sasa Atheists inakuaje wanakubaliana na hizo habari miungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…