Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Siyo kwmb hawez mnampotezea muda n maswali uchwara, anaona kujibizana n arrogant wa duni kama nyinyi, anajisumbua, mshakariri ya dini, kutoka nje hamtaki.
Siyo kwmb hawez mnampotezea muda n maswali uchwara, anaona kujibizana n arrogant wa duni kama nyinyi, anajisumbua, mshakariri ya dini, kutoka nje hamtaki.
Kwahiyo mkuu ulitaka kwamba jamaa alete kama hivyo habari za Annunaki hapa na watu wakubali tu bila kuhoji kadri ya uelewa wao?

Sidhani kama unataka hivyo mkuu.
 
ww mzee hach kujifany muhakik kumbe umekarir kakitabu kako hak ka kiarabu, hebu tuonyeshe ulivyohakiki hizo taarif ww mwenyew, kama siyo kumeza hayo maandiko yako, yaan upo Tz, umeenda maca, near east na kuhakiki siyo😂😂, hiyo dini itakufny uwe fukara wa fikra.
Naendelea kuonekana niko sahihi sababu maswali yangu mmeshindwa kuyajibu.

Kingine jifunze kuandika Kiswahili kwa ufasaha, siyo kama unavyo tuandikia, nikajua labda ni makosa ya kiuandishi kume hujui kabisa kuandika Kiswahili. Hatuna tamko "Waharabu" katika Kiswahili wala hatuna tamko "hacha" katika Kiswahili.
 
Hebu na wewe ainisha mtu wa kwanza kabisa kuonana na Mungu uso kwa uso, fanya chap utuletee, na sisi tukuletee ili twende sawa.
Naona huna hoja tena.

Mola hakuna aliye muona uso kwa uso ila yupo aliyeongea naye bila kumuona lakini siku ya Kiyama wapo watakao muona wale ambao walifanya mema na watalipwa ziada ya kumuona kama tuonavyo jua la saa sita mchana.

Ama ajabu iliyopo ni kuwa Mola wetu amejielezea mwenyewe na akashusha ufunuo kuthibitisha uwepo wake.

Uwepo wa jambo siyo lazima ulione ila viashiria lazima viwepo. Sasa habari za Annunaki zimekosa sifa zote hizo, hawajajielezea wenyewe, hakuna walio waona wala hakuna mtu wa kwanza anayejulikana kuelezea habari za Annunaki. Zaidi utaambiwa "Inasemekana..." mara "walitoka sayari nyingine..." sasa unajiuliza mambo ya sayari yameanza kuelezewa zama hivi karibuni na zama za kale. Hakuna anayeweza kuthibitisha ya kuwa Solar System ilikuwa inajulikana zama za nabii Issa, halafu muda huo huo mnakuja kutuambia habari za Annunaki zilikuwepo kabla ya nabii Issa.
 
Safi kabisa hapa ndipo nilikuwa nataka ufike, kwetu sisi hasa Waislamu sisi tuna sanadi (Chain) ya habari mpaka kufika kwa mtu wa kwanza, na hii elimu maalumu ya uhakiki wa habari ambayo wengine hamna.
eeeeh 😂😂😂😂, hebu rudia vizur hapa, kwamb nyny Muslim ndiyo mnayo tu wengine hawana, hivi unayo yaandika unayafikiria kwel?
 
Hata wangesoma vitabu elfu kwa maelfu kama hawaelezi habari wamezipata wapi na wamezihakiki vipi bado habari inakuwa haina mashiko.

Natamani sana mngejiua au kuona namna watu wanavyo hakiki habari za kale na kujua ukweli wake.
hebu n ww tuambie habar za mtume Muhammed umezipata vip n umezihakiki vipi?, ikiwiwa njia yako n tofauti n ya huyu, utakuw umeshinda , hebu tuonyeshe
 
eeeeh 😂😂😂😂, hebu rudia vizur hapa, kwamb nyny Muslim ndiyo mnayo tu wengine hawana, hivi unayo yaandika unayafikiria kwel?
Niambie wakina nani wanayo elimu zaidi ya sisi.
 
Mpaka unakufa huwezi kuthibitisha ya kuwa ustaarabu uliletwa na wasio kuwa mitume. Inaonekana hujui maana ya ustaarabu, au kwako wewe ustaarabu ni kupaa angani nini ?
😂😂😂 ww mzee una shida, hawa mitume wa juzi, hebu kuwa siriaz na unayoyaandika, usiandike kw msukumo wa dini, utaibika muno.
 
Mkuu huyo hawezi kukuelewa yani wao wanachokiZingatia ni hilo la kusema kuwa hizo habari zimekuwepo kabla ya biblia na zilipokutwa hizo habari ila suala la kuhoji zilijulikana vp hizo habari kwenye hiyo jamii? Hapo ndio palipo na utata, maana jinsi zinavyo hadithiwa ni kama unaangalia movie vile.

Hao Annunaki mara unaambiwa walikuwa miungu mara sijui hawakuwa miungu ila walichukuliwa kama miungu na kuabudiwa ila walikuwa viumbe tu wenye nguvu, mimi hata sielewi haya masimulizi.
Fungua akili anu=annunaki =miungu=Mungu, hutaki kuamini, endeleeni kusubiri mabikra mbinguni wa bure.
 
haya mwenzako kakuthibitishia hapa, umeparuka kama ukoma naona Kisai
Sijawahi kuona mtu mjinga kama wewe kwahiyo hapo amethibitisha ? Ndiyo maana unajiita "Annunaki" kilaza sana.

Mimi nitamuuliza athibitishe ya kuwa ni kweli Annunaki walikuwepo miaka 300000 na athibitishe ya kuwa Adamu alikuja kuwepo miaka 450000 iliyo pita.

Hapo hajathibitisha kijana, kuthibitisha ni kuwa aonyeshe ukweli wa hizo namba.
 
😂😂😂 ww mzee una shida, hawa mitume wa juzi, hebu kuwa siriaz na unayoyaandika, usiandike kw msukumo wa dini, utaibika muno.
Wewe unaandika stori zisizo kuwa na ushahidi mimi naandika elimu.
 
hebu n ww tuambie habar za mtume Muhammed umezipata vip n umezihakiki vipi?, ikiwiwa njia yako n tofauti n ya huyu, utakuw umeshinda , hebu tuonyeshe
Nimezipata kupitia "chain" mpaka zimetufikia sisi.
 
Naanzia hapa. Tusiwe tunaongelea mambo juu juu. Tujadili kielimu, mimi ni Muislamu, naomba unionyeshe uongo uliopo kwenye Uislamu na uthibitishe ya kuwa huu nu uongo.
hakuna mabikra wa bure mbinguni n duniani hamna kafiri, sote ni sawa, huu ndiyo uongo mmoja wapo.
 
hakuna mabikra wa bure mbinguni n duniani hamna kafiri, sote ni sawa, huu ndiyo uongo mmoja wapo.
Akili yako ndogo sana, mfano mdogo tu kuna usawa kati ya mwema na muovu ? Au mwenye akili na asiyekuwa na akili ?
 
Kwanin picha nyingi zilizokuwa zikionesha mfano wa viumbe waliopatikana kabla wa yule aliyekusudiwa zimekaa katika picha za mapenzi, ukitazama vzr utaona mpka viumbe hao wakibusiana?

Lakin piah hawa viumbe waliokuwa wanakosewa, vip waliuwawa au?


Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu s jinsia tofauti, unatakaje tena. Ndiyo hao wengine walikufa.
 
Maigizo ya CIA na NASA yanajulikana, anzia kwenye tukio la kwenda mwezini na safari za masafa marefu.

NASA si katika marejeo ya kweli zaidi kutaka sifa na mengineyo.

Wewe ukionyeshwa mabaki haya ni ya Annunaki, mathalani unahakiki vipi habari hii ? Je utaridhika tu kisa wamesema CIA au NASA ?

Kuhusu uwepo wa Mola muumba ithibati yake au utambuzi wake unaanzia katika maumbile na hatua zake ni tatu, kisha ufunuo unakuja kithibitisha. Hatua ni hizi zifuatazo :

1. Fitrah (Innate disposition)
2. Maarifa ( Acquaintance)
3. Establishment of the proof, hapa tunakuja kuhitimisha kwa ufunuo toka kwake, baada ya kupitia hizo hatua mbili za mwanzo, kwa ufupi hatua ya kwanza ni kila mwanadamu ameumbwa kwa umbile la kukubali uwepo wwa Mola, ila wazazi wake au walezi wake huja kumbadilisha aidha akawa myahudi au mkristo au mkana Mungu na mfano wake, kwenye kipengele cha pili ule utambuzi baada ya kuona viumbe vya Allah na kuhoji kwa usahihi na kipengele cha tatu ndiyo hicho kinachothibitisha sasa uwepo wake ambacho ufunuo.

Anasema Allah aliye juu :

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji? (at-Turi : 35)

Hiyo aya inathibitisha juu ya uwepo wa Allah, kwa kuwauliza wale wote wanao kataa juu ya uwepo wake, kwamba je wao wamejiumba au wao wametokana pasi na chochote ? Basi leteni masimulizi kinyume na haya kama nyinyi mnasema ukweli.
maneno tu yathibitishe uwepo wa Allah n maneno hayo hayo hayathibitishi uwepo wa Annunaki, ww kweli dini imekumaliza kabisa.
 
Mimi niko kielimu, mimi sijamdiriki Mtume sasa vipi uniulize kama nilimujoji ? Bali ninazo "chain" za masimulizi zilizo hakikiwa mpaka kufikia kwa Mtume na mpaka kutufikia sisi.

Sasa usijifananishe mimi na wewe. Leo hii huwezi kuniambia ya kuwa huna "chain" ya mapokezi ya simulizi kuanzia miaka 300 kuja mbele tokea kwa muhusika wa kwanza, sasa nitakuuliza hizi habari mmezipata wapi ?

Kwenye Qur'aan kuna fani inaitwa "'Ilmu Qiraat" fani hii inaelezea namna ya usomaji tofauti tofauti wa Qur'aan ulivyo pokewa toka kwa mtume mpaka kwetu sisi, na majina ya wapokezi yanedhibitiwa. Rejea kitabu "Al-Itqaan fi Uluumil Qur'aan" cha Imamu Suyuti na Kitabu Matnu Shaatibiya fi Qiraat Sab'a.

Yaani kwa udhibiti wa habari na elimu, usitukinganishe sisi na wengine yaan ihamtufikii hata kwa chembe ndogo ya kokwa la tende.
watu wapoteze muda, kusoma vitabu vinavyofundisha kukata watu vichwa na kuwapiga mawe hadi kufa.
 
Hayo machapisho ya waharabu yatakuua bure kwa itakadi wewe, alafu uruhusu akili kuelewa mengine ya dunia.
Sumerians,akkadians,kush, n.k waliwaona kwa macho wakaach rekodi, ambazo zinatumik had leo, funga safar uende Mari kabila la dogon wakusimulie hili ulizike, wew uliwah kumuon Mungu?, mitume wako wote unaowasujud hakun aliwah kumuona Mungu , ila umekazan hapa et niambie mtu mmoja aliyewaona, yaani utajiwe jina la mtu mmoja?, elimu ya anga inaendelea kuthibtish uwepo wa hao viumbe, et uwaamini, lakini walivyokufundisha mfumo wa nyota n sayar ukawaamini, hv unajielew kwl ww mzee?

Neno Mungu na kuabud yameanzia sumer Mungu=Miungu , walitumia almighty of sky chamber ambaye ni miungu anu, badae lugha ilivyozidi kukua n kubadilika wakaanza kutumia neno God=Mungu=Miungu, dini zenu mnaabudu miungu ila hamjitambuhi kabisa, Miungu ndiyo Mungu wenu, na hiyo miungu ilijiumba hakuumbwa n mtu, ndiyo maana huwez kuta wanasema Mungu aliumba anu, never?
Fuatilia kuanzishw kw dini zenu hizo, zote zimetokana na kuabudu Miungu, Mungu=Miungu, akili umezibana na uhakiki ndiyo maana, umekazana tu, mitume wenu Yesu/Muhammed hawajawah kutokewa na Mungu pamoja n usafi wao wote wa roho, walitokew n miungu (watchers/angels nk), hao wote ni miungu, lakin mumekazn Mungu Mungu, yaan had mnafundishwa kufuga majini sirias?, amkeni kifikra hachen kuzubaa kiakili na uhakiki wako uchwara huo.
Sasa Atheists inakuaje wanakubaliana na hizo habari miungu?
 
Back
Top Bottom