Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

ndiyo walipitia kwny vitabu vya dini kw sababu, vimedanganya, hivyo walitaka waweke wazi ukweli ambao hamuutaki.
 
hujamjib, hebu tuonyeshe majibu yako hapa, usiruke ruke
 
ww nae mbona unakuw kama mgumu kuelew, unajibiw majibu huyataki, alafu umekomalia swali lile lile tu uzi mzima utazan huku tunafany debate za o level, hapa tunajadili kama greater thinkers, hujarizika n majib, anzishia uzi swali lako, maana umekomaa kwl, annunaki hawakuumbwa, walijiumba n ndiyo mungu wenu anu=annunaki =miungu=Mungu, hizi dini hazitak kuwapa ukweli kama huo.
 
No Mungu wenu hajulikani, hawezi kuumba ulimwengu na vilivyomo, na hauna uwezo wa kuthibitisha ilo.
 
Fungua akili anu=annunaki =miungu=Mungu, hutaki kuamini, endeleeni kusubiri mabikra mbinguni wa bure.
Kwanini unasema sitaki kuamini? Hapa si tunajadiliana watu wenye mitazamo tofauti mkuu au ulitaka nikubali kila unachoeleza na kuamini?

Annunaki walikuwa miungu au ni viumbe tu vyenye nguvu?
Fungua akili anu=annunaki =miungu=Mungu, hutaki kuamini, endeleeni kusubiri mabikra mbinguni wa bure.
 
Unaweza kuonesha uthibitisho (Scientifically) kwamba kiumbe chenye mwili, kilichoumbwa na muumbaji kimeumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai wa kuishi?
reproductive cloning, gene cloning ingia mtandaoni usome hapo huone wanachokifanya.
 
hapa lazima apakimbie, au aje na vihoja hoja tu.
 
dini zote ni annunaki.
 
Mungu hatahusikaj ww wakati hazai? Hamumujuh kama n ke/me, au ndo yale kwamb amejiumba.
 
watu wapoteze muda, kusoma vitabu vinavyofundisha kukata watu vichwa na kuwapiga mawe hadi kufa.
watu wapoteze muda, kusoma vitabu vinavyofundisha kukata watu vichwa na kuwapiga mawe hadi kufa.
Hayo ndio unayoyajua kwenye hicho kitabu wengi hamjasoma hicho kitabu hamjui yaliyomo, ina maana wewe hapo katika vitabu vya dini umesoma biblia na kuishia hapo kwahiyo umetoka kuwa mkristo na kuangukia kuamini habari za Annunaki basi.
 
😂😂 jamaa uzi mzima swali moja, anajibiw hatak kuelewa, yaani haelewek anatak nini
 
hap watapakimbia, hawajuh time chart ya dunia kabisa
 
geological time scale nini, lead-uranium, carbon 14 dating n.k technology ni nini hizo? Au siyo teknology hizo, unatak useme ni sayansi
 
Hahaha, haujui history ya dini ya kikristo Mkuu. Ungeijua usingebisha. Roma imeitawara Israel, ugiriki imeitawara Israel, misiri imeitawara Israel, kushi, Ethiopia, wachina, India, America imehusika na shuguli za Israel. Unaijua contact ya kibiashara ya kipindi Cha Ibrahim Hadi Joseph mtoto wa yakobo anauzwa misiri???. Hao wafanyabiashara waliomnunua walikuwa wanatoka wapi na wanaenda wapi?. Roma ilipoitawara Israel ujue kulikuwa na contact baina ya America, ulaya na Asia katika maswala ya kibiashara. Mkuuu Mambo ni mengi ya kukueleza. By the way Mimi nimesomea history of the Earth from it's formation na ujio wa viumbe kuanzia mimea Hadi binadamu. Ukweri ni Kuwa viumbe vya kiroho vipo Hilo sipingi hata kwenye biblia Hilo swala kulikuwa kumuzo ndiyo Paulo katika barua kwa wakolosai alitoa jibu
Wakolosai 1:15-16
[15]naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
Who is the image of the invisible God, the firstborn of every creature:
[16]Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.
For by him were all things created, that are in heaven, and that are in earth, visible and invisible, whether they be thrones, or dominions, or principalities, or powers: all things were created by him, and for him:
Tambua pia ukuu wa binadamu ni mkubwa kuliko viumbe vya kiroho yaani malaika, hao pepo wote majini, alliens, annuanaki etc hivyo hayawezi kuhusika na kumuumba binadamu, original ya viumbe vya kiroho ndiyo original ya binadamu pia. Ote viumbe vilivyoumbwa. SoMo Hilo ni pana Sana. Soma waebrania sura ya 1na ya 2 yote pia utaona ukuu wa binadamu
Waebrania 2:5-6
[5]Maana hakuuweka chini ya malaika ulimwengu ule ujao tunaounena, ila mtu mmoja ameshuhudia hivi mahali fulani, akisema,
For unto the angels hath he not put in subjection the world to come, whereof we speak.
[6]Mwanadamu ni nini hata umkumbuke,
Ama mwana wa binadamu, hata umwangalie?
But one in a certain place testified, saying, What is man, that thou art mindful of him? or the son of man, that thou visitest him?
 
Naenda Google uone hizo migodi za lini. Yaani story za karine ya 15-18 ndiyo unasema civilization ya zamani. Duhu???.
Haya maajabu sasa
 
Kwahiyo mkuu kila alichokieleza

Kwahiyo mkuu kila kilichoelezwa kwenye hizi habari za Annunaki kimehakikiwa na wataalamu?

Habari za anunaki ni dhana iliyo kwenye maandishi kama ilivyo kwa dhana nyenginezo za kiimani

Mtoa anajajaribu kutumia utashi alionao katika kuhakiki dhana azijuazo kupitia nyenzo za uhakiki wa kitaalam ili kupata mtiririko uletao maana

Na sisi tunakubaliana nae katika hili analofanya Hakuna tatizo

Sasa kama una hoja za kupinga mtiririko alioanisha kwenye kutetea hoja yake weka
 
hebu tuambie kwanza sayansi nini?, alafu uwe unasoma mada vzr, hujaona sayans zilizoelezwa kabisaa?
Hiyo sayansi fiction. Mambo ya kale yapo chini ya archeology na hakuna inayozungumuzia viumbe vya kiroho. It's only physical organism Mkuu. Ninachokataa vitu vilivyofanya na binadamu vinalazimishwa Kuwa nilifanya na viumbe vya kiroho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…