Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Waongo hao hakuna mwili wa Pharao yeyote uliwahi kutwa ndani ya Pyramids zote 300 ndani ya Misri na kush halafu Kuna vitu hawasemi Mkuu Pyramids Zina bunker kubwa Sana Yaani ule mjengo Kwa nje ni mdogo ila ukianza kuzama chemba huimalizi kamwe na Kuna sehemu hazijawahi kufunguka utaweza ujue ndio mwisho wa ukuta kumbe ukitoboa unakuta Kuna chemba nyingine imeanza,
Now wanasansi wanatumia Robots na drill kutoboa Ili wasonge mbele maana binadamu kupenya kule ni ngumu Sana
Walipovunja Kwa kutumia robots wameanza kuona dalili za kushangaza Kuna maandishi ambayo sio ya kimisri ila Kuna sign na symbol ambazo sio za kawaida zikionesha Mahesabu ya kuzalisha Umeme na Bado wanazidi tafiti mpaka wakifika deap hatujui Nini watakutana nacho na imagine tu
Ukisikia wameona mitambo mikubwa ya power Plant tusishangae watakavyo chapisha taarifa zao ndugu watafiti!
mkuu ile pyramidi kubwa nimeingia ndani.juu kbs kn kichumba na kina km meza,then kabla ya kwenda juu ,kwa chini pia kn shimbo limeenda mita kadhaa. 2010 nilitembelea mji wa giza.naandika nilichokiona kwa macho

Hii mada inanipa mwanga zaidi ya kile nilichoona misri
 
nami nasubiri atupatie source bt i was there 2010. Nina hadi picha nikiwa hapo el giza,
Hongera Mkuu Kwa kufika huko, ila kiuhalisia yale madubwasha ni makubwa sana, haiingii akilini kuwa yalijengwa Kwa main purpose ya kuhifazia pharaohs tu peke yake, hebu we uliefika Kwa jinsi ulivojionea na Kwa Akili ya kawaida ya teknolojia ya zamani unahisi ingewachukua miaka mingapi ili kujenga pyramid 1 ili lije kutumika kama kaburi?

Maana tukisema main purpose ilikuwa yatumike kama makaburi inawezekana huyo pharaoh alie madarakani akazaliwa na hadi akafa na asije kulitumia kaburi lake maana litakuwa bado halijakamilika na linaendelea na ujenzi

ila nachoamini pharaoh wamekuja kuyatumia kama makaburi Yao baada ya kuyakuta tu yana exist na watu hawajui Yana kazi Gani na ataka kama walikuwa wanajua yalikuwa na kazi gani basi wakajua hayana kazi tena, Sasa Kwa uzuri wa hizo pyramid na uspecial wake pharaoh wakaamua kuongezea Thamani maiti zao Kwa kuzikwa mle ndani

ila ukweli ni kwamba Yale madubwana ni makubwa sana kiasi kwamba watafiti hawajui ata yanaishia wapi na yanaelekea wapi, ila watalii ndio wanaishia kwenye maeneo ambayo yanafikika kirahisi then zoezi la utalii linaishia hapo

Na Kumbuka pyramid hazipo Egypt pake yake yapo hadi huko America kusini na huko kulikuwa hakuna ma pharaoh, je na huko yalikuwa yanatumika kama makaburi? Maana huko hakuna mummies/mabaki ya watu ambao unaweza kusema hapa lilikuwa kaburi
 
leo ndo nimeanza kufuatilia huu uzi ... endelea kushusha madini
 
Nimesoma Sana kamanda Tena in deep kuhusu hayo mambo ya ulimwengu wa roho na third dimensions na nimeahafanya majaribio mengi Sana
Imagine nilishawahi kua Hadi mlokole na nilikua nasali Sana Sana yaani nilikua deep in religion but mwisho hiyo wanayoita ulimwengu wa roho na kuongea na roho mtakatifu nikaona ni chai tu maana nilianza kupata kitu kama Hallucinations Kwa kuwa na ma imagination fake fake yaliyo nisababishia msongo wa mawazo tu nikaja pokea Nuru mwishoni baada ya kuona maswala hayo ni ukanjanja nikafunguka akili niaacha kua mtumwa wa vitu vya kufikirika pasipo uhalisia wowote

Leo Ndio nipo hivi
Atheist grade one!
Religion ni kwa watu wanaogopa moto kama ww ulivo kuwa.na kiwa mlokole sio majaribio ya kujiusisha na sprliritual reamls. Viumbe kutoka juu waliwafundisha watu mpaka ritual .
Ok do you beleibe in souls?
 
SEHEMU YA KWANZA.

Ukweli uliofichwa, unaopatikana kwenye vipande vya mawe vyenye jumbe kutoka sumerians, Babylonians, Akkadians.

Ukizungumzia kuhusu watu wa kale, maisha ya kale na viumbe waliofika duniani kutoka sayari nyingine huwezi kuwasahau annunaki. Historia kutoka katika summerian culture inaeleza kwamba, Annunaki waliabudiwa na walihusika katika kuhukumu mema na mabaya, gods and goddesses waliokuja duniani kumtengeneza mtu (modern man) kutoka kwenye ulimwengu mwingine, ambao unasemekana ni sayari ya Nibiru (sumerian God & Goddesses -the Annunaki, 2016).

Annunaki walitawala maisha na mifumo ya imani ya watu wa kale waliojulikana kama Mesopotamia, lakini ambao kwa sasa wanajulikana kama Tigris-Euphrates river system. Je walikuwa Mungu? hili suala ambalo linazua mkanganyiko kwenye hii saga.

Zecharia Sitchin, muhandishi na mtafiti na mtafsiri maandishi ya kale na msomi kutoka chuo kikuu cha London, anasema hawakuwa Mungu, japo walichukuliwa na kuabudiwa kama Mungu. Baada ya kufanya tafiti nyingi za maandiko ya kale aliitimisha kwa kusema kwamba, hawakuwahi kuwa Mungu, bali viumbe wa ajabu wenye nguvu waliokuja duniani kutoka sayari ya mbali Nibiru inayopatikana kwwnye mfumo wa sayari, ambayo uikaribia dunia kila baada ya miaka 3,500 ikiwa kwenye muhimili wake.

Creation of Human Race
Kutokana na ushahidi uliopatikana kutoka kwenye maandiko ya kale, inasemekana zaidi ya mamia ya maelfu ya miaka iliyopita walikuja viumbe waliofanana na Annunaki kwenye sayari ya dunia- Enki na Enlil, ambao walikuwa watoto wa Annunaki, katika kipindi hicho Anu alikuwa bado anaishi hadi millennia karibu na kuzaliwa kwa Jesus Christ.

Viumbe hao walikuwa na ujuzu mkubwa katika genetic manipulation, hivyo kwa kutumia ujuzi huu walifanya majaribio mengi (proto-human) ya kumtengeneza binadamu wa sasa(modern man) kwa kutimia teknolojia ya human cloning. Kivipi?, ntaelezea mbeleni.

Hebu turudi kwanza kwenye biblia na historia ya kuumbwa kwa mwanadamu. Historia ya Biblia ya uumbaji inatueleza kwamba, mwanaume na mwanamke hawakuumbwa kwa wakati mmoja, bali mwanamke alitolewa kwenye ubavu wa mwanaume (Adam), Adam akiwa mtu wa kwanza kuumbwa hapa duniani kutokana na maandiko ya Biblia, Kwahiyo Adam ndiyo mwanadamu wa kwanza kutokana na maandiko matakatifu ya Biblia takatifu. Je mwanamke alitolewaje kwenye ubavu wa mwanaume? (hapa imani ndiyo inatuongoza tuliache kwanza lilivyo).

THE CREATION OF MAN
Ushahidi wa kwanza kabisa, uliotafsiriwa na sumerians unaonyesha ya kwamba mtu (binadamu wa sasa) alitengenezwa/kuumbwa na Nefilim. Ushahidi huu umezua mkanganyiko kuhusu theory of evolution na Judeo-Christian tenets ambayo imeegemea kwenye Biblia, lakini ukweli ni kwamba ujumbe uliopatikana kutoka Sumerian texts, ndiyo unaoweza kudhibitisha hizo nadharia mbili.

Ukisoma kutoka epic of creation ya sumerians, imeelezwa kwamba uwepo wa mtu, ulitokana na uwepo wa Nefilim zama hizo, ambapo matukio mbali mbali yalirekodiwa, ,mfano tukio la Enlil na Ninlil, tukio lililotukia kabla hata ya uumbaji wa mtu, wakati ambao kwenye Nippur waliishi gods tu, vile vile maandishi haya yanaelezea kuumbwa kwa dunia na maendeleo ya mimea na maisha ya wanyama, hii inaweza kudhibitisha theories za mabadiliko (evolution) za sasa.

Sumerians texts zinaeleza kwamba, wakati ambapo Nefilim alikuja duniani kwa mara ya kwanza, sanaa ya kupanda mbegu za mazao, matunda na ufugaji wa wanyama ulikuwa bado haujaanza duniani. Vile vile Biblia inasema hivyo, kuhusu kuumba mtu kwa siku 6. Kitabu cha Genesis kimegusia hatua za kwanza za mabadiliko (earlier evolution stage):

No plant of the cleared field was yet on the earth,

No herb that is planted had yet been grown,

And Man was not yet there to work the soil.

Lakini vile vile Sumerians texts zote zinaeleza kwamba Miungu ilimtengeneza mtu ili afanye kazi yao. Creation of epic imelithibitisha hilo (Nukuu zote nitaziambatanisha zilivyo kwenye vitabu bila kuzitafsiri ili nisipindishe maana kwa msomaji):

I will produce a lowly primitive,

Man shall be his name.

I will create a primitive worker ,

He will be charged with the service of the gods,

that they might have their ease.

Neno mtu(man) limetokana na lugha ya Sumerians na Akkadians, ambalo lilitokana na maneno lulu (primitive ), lulu amelu (primitive worker), an awilum (laborer).

Turudi kwenye biblia, baada ya Mungu kumuumba mwanadamu, akampa bustani ya Eden aitunze na kuitawala dunia na vyote vilivyomo, lakini Adam na Eve wakamkosea Mungu kwa kula tunda la mti wa ufahamu. Mungu akasema tazama, mtu amekuwa mmoja wetu, kufahamu mema na maovu. Je huyo Mungu alikuwa anamwambia nani?, na Mungu anayezungumziwa hapa katika Sumerians ni Elohim (Annunaki).

Agano la kale limeweka wazi ya kwamba mtu hakuwa Mungu wala hakutoka mbinguni. Mtu wa kwanza aliitwa Adam kwa sababu aliumbwa kwa "adama" ambayo ina maana ya udongo wa dunia (mtu akifa tunasema ametoka mavumbini, amerudi mavumbini).

Adam aliumbwa katika picha na ufanano wa Muumba (Mungu), kuumbwa kwa ufanano huo, hakuachi wasiwasi wowote ya kwamba Mtu alifanana na Mungu kimwili, kimuonekano wa nje na ndani. Je mtu angewezaje kufanana na muumba wake? Mtu alitengenezwaje? (Majibu utayapata mbeleni).

Mnamo mwaka 1859 Charles Darwin alichapisha utafiti wake kuhusu evolution "On the Origin of Species by Means of Natural Selection, or the Preservation of Favoured Races in the Struggle for Life". Darwin kutokana na utafiti wake huo, alihitimisha kwa kusema kwamba, viumbe hai wote akiwemo mwanadamu ni matokeo ya mabadiliko(evolution by natural selection). Mwanzoni kanisa lilikuja juu kwa kumpinga lakini badae kadri wanasayansi na watafiti walivyozidi kutoa machapisho yao, kanisa likakubaliana.

Lakini je tumetokana na apes, kama ni hivyo mbona wa sasa hawabadiliki. Evolution kwa ujumla inaweza kuelezea matukio yaliyosababisha mabadiliko ya maisha na aina mbali mbali za maisha zilizokuwepo duniani, kuanzia kwenye kuumbwa kwa mtu, lakini evolution haiwezi kuelezea kuhusu uwepo wa binadamu wa sasa (modern man/Homo sapiens) na haina udhibitisho wowote wa kuonyesha jinsi mabadiliko ya ghafla kutoka Homo erectus kwenda Homo sapiens yalivyotokea.

Hominid ya genus Homo ni matokea ya evolution, lakini Homo sapiens ni matokea ya tukio la mabadiliko na mapinduzi ya haraka sana. Homo sapiens(binadamu wa sasa), ilitokea miaka 300,000 iliyopita, muda ambao ni wa karibu sana.

Watafiti na wanasayansi hawana maelezo ya nini kilitokea, kupelekea mabadiliko ya ghafla hivyo na kutokea kwa binadamu wa sasa, lakini jumbe kutoka sumerians na Babylonian zimeelezea. Agano la kale pia limeelezea.

Homo sapiens-modern man-aliletwa na miungu wa kale (ancient gods).

Aliletwa kivipi? na wapi?. Endelea kufuatilia hapa hapa.

N.B. Andiko hili linaweza lisiishe karibuni kwa sababu nataka niweke kila aina ya ushahidi ili kudhibitisha ukweli huu.

View attachment 2099862
mzee una nondo
 
Kitu ambacho mpaka Sasa natamani nijue man Ni Nani mkali au mkuu mkubwa wa kila kitu kwa vyote yaaani!!
Na maanisha aliyewaumba hao miungu wote akina anunakki(Yesu,Allah,budhaa,etc..) Ni Nani huyo au yupo nje ya fikra zetu?
We jamaa unafuata fuata mtu kipofu kama chawa ,haya shauri yako ..
 
SEHEMU YA KUMI

THE MOON, NASA & THE ANNUNAKI

IMG_20220207_170300_054.jpg


Shmitt's rejected patch, it wood seem based on a previous Apollo mission when they discovered a stonehenge-like structure.

Mnamo July 1969, mtu wa kwanza alifika mwezeni (kama walivyosema NASA, japo siyo kweli), na Neil Armstrong alinukuliwa akisema "Ni hatua kubwa sana hii kwa mwanadamu."

Tumekuwa tukisikia na bado tunasikia stori nyingi kwamba mtu alifika na kutua mwezini na kutembea kabisa mwezini. Naweza sema mtu alifika mwezini mara nyingi, lakini vile vile naweza kusema filamu na picha zilizo onyesha mtu akifika mwezini zilikuwa faked. Kwa nini, ni kwa sababu zifuatazo:

USA alikuwa akishindana na Russia (cold war), hivyo hili aweze kumshinda Mrusi ilibidi atengeneza tukio la kwenda mwezini tena studioni kwa kutumia Apollo crew( iliwahusisha Andrew Collins, Neil Armstrong pamoja na Edwin Buzz Aldrin). Watu hao wote waliitaji ushawishi wa hali ya juu ili kushiriki mpango huo.

Serikali ya Marekani ilikuwa tayari kugharamia gharama zozote zile ili kutimiza mpango wao na kuhakikisha tukio hilo linarushwa moja kwa moja kupitia kwenye runinga za taifa na dunia kwa ujumla bila kujali wanasayansi wa anga (Astronauts) watasema nini kuhusu tukio hilo na siri zote ambazo NASA walikuwa wakizijua.


NASA walikuwa wanafahamu kuhusu ancient structures, track marks & mining all over the moon, hivyo wasingeweza kurekodi filamu na kupiga picha ambazo zingeleta utata wakati wa kuandaa tukio hilo (japo walijichanganya kidogo).

.

Katika video fupi, Buzz Aldrin alitufanya tujue kwamba human race ni kitu kikubwa sana tofauti na tulivyofahamu hapo kabla, hii ni wakati aliposema:

"We Aliens, we certainly are part of a magnificent race." .

Kama ilivyotabiliwa na wataalamu wa NASA, Apollo 11 LEM (Luna Excursion Module) ilitakiwa kurushwa kwenye designated landing zone ambako hakuna structures yeyote, lakini ilikwenda mbali sana hadi sehemu yenye structures.

Wakati Neil na Buzz wanatoka nje na kutembea mwezini, mmoja wao alisema hivi, "Wow, what is that there?".

Hawakuweza kuamini kile walichokiona, na waliendelea kufanya upelelezi kinyume na maelekezo kutoka Mission Control, nani aliwaambia haya yafuatayo:

"Yes, we know about that, go back the other way, back the other way."

IMG_20220207_170336_976.jpg


IMG_20220207_170421_401.jpg

Above, a still from motion reel, followed by a fake moon picture-notice the multiple light sources.


On the Medical chaneli, Neil alirekodiwa akisema, "They are on the opposite side of the crater from us and they are watching us."(Je walikuwa hakina nani hao?, utawafahamu).

Buzz pia ameripotiwa akisema LEM ilikuwa ikifuatiliwa na kile tunachoweza kukiita Unidentified Flying Object(UFO).

Baada ya kurudi duniani kutoka mwezini Apollo 11 crew wote walijiuzuru haraka sana. Kwa nini? Kwa sababu hawakutakiwa kufanya tena uchunguzi na kutoa siri yeyote kwa kile walichokiona kutokana na kula kihapo cha siri.

Katika video fupi hapa chini Neil anasikika akisema kuwa ni matumaini yake kuwa ipo siku NASA itabadili sera zake na kuondoa usiri kuhusu sera hizo.



IMG_20220207_170506_507.jpg


IMG_20220207_170548_403.jpg

AS20 from frame 9625, Rev 15 NASA Apollo 15 mission showing high resolution image of alien craft on the moon.


Picha zilizo chukuliwa na Apollo 15(zikiwemo hizo hapo juu), kutoka mbali kidogo na upande wa mwezi ambao hautazamani na dunia, wachambuzi wa picha hizo, wamesema zinaonyesha uwepo wa ancient spaceship.

IMG_20220207_165953.jpg

Hii document ya siri kutoka NASA.

Kwa kuwa haionekani vizuri, kile kilichoandikwa nimekinukuu:

"Subject: Future Apollo Mission Regarding the discussions of the BLANK subcommittee on the January 27, BLANK on the subject of the future Apollo missions viability, it was determined that missions 18, 19 and 20 would be canceled due to evolving budgetary constraints in the BLANK and BLANK sectors

Those in attending and voting included: BLANK on November 14, BLANK following the directive of BLANK, BLANK the mission status of has been altered.

The revised status shift from cancellation to postponement.

Potential dates of mission reinstatement include: BLANK and if orders to redeploy are received by BLANK, we can confidently expect to lunch BLANK on or before BLANK.

Please refer to the memorandum enclosed herewith outlining of reservations of General BLANK And Colonel BLANK support materials on the subject of security including photographic reconnaissance files requested are forthcoming, expected by BLANK."


Uchunguzi wa ziada kwa kutumia aerial photography of the fuselage ulifanywa na Apollo missions 16 na 17, ulionyesha kwamba ilikuwa fuselage. Ilisemekana kwamba Apollo 17 ingekuwa mission ya mwisho, lakini kama unavyoona hapa chini kwenye picha, Apollo missions 18, 19 na 20 ziliendelea.

IMG_20220207_170631_137.jpg

In 1962, Carl Sagan addressed the American rocket association in Los Angeles and stated"We better be ready to meet someone else on the moon." Hii inaweza kuwa sababu ya Apollo astronauts kuambatana na ulinzi mkali wa kijeshi.

Kutokana na nadharia, Apollo 20 walifika mwezini tarehe 16 August 1976, miaka minne baada ya official Apollo mission. Kituo chao kilikuwa ni Delporte, a lunar impact crater on the moon's dark side.


Crew members wa Apollo 20 walikuwa ni, William Rutledge(US), Leona Synder (US) na Alexei Leonov kutoka USSR, na mpango wao ulikuwa ni kufanya upelelezi kuhusu uwepo wa alien spaceship iliyotambuliwa na Apollo 15 ya mwaka 1971(Apollo 15 rew ilikuwa ni David Scott, Alfred Worden na James Irwin).


Huyu Leonov ndiye mnajimu wa kwanza kutembea mwezini March 18, 1965 kwenye Apollo-Soyuz mission, joint space mission ya kwanza kati ya USA na Soviets.

IMG_20220207_170655_715.jpg

Inside shot of Apollo 20 showing joint US-Russian mission.


Kama tunaweza kumuamini William Rutledge (Apollo 20 mission), astronauts walitembelea mji wa kale na alien spaceship kwenye mwezi. Waliweza kukusanya baadhi ya alien gadgets from the ship na kumleta mmojawapo wa marubani wawili wa alien(waliokutwa wamefariki) to their Lunar Module.

The pilot was female(kama anavyoonekana picha ya mwisho), covered in a type of wax & in an excellent state of preservation(ambaye inasemekana ni Annunaki).

IMG_20220207_170754_681.jpg


IMG_20220207_170827_226.jpg

According to Apollo 20, kwenye picha hii inasemekana ni ANNUNAKI.
 
SEHEMU YA TANO

TURUDI TENA KWENYE NENO MOJA AMBALO NI "GENE"

Uthibitisho kutoka kwenye vitabu vya kale, Mesopotamian unasema kwamba hatua ya kumuumba mtu kutoka kwenye genes za miungu na Homo erectus genes, ulihusisha matumizi ya gene za kiume kama tunu ya maisha(uhai) na uzima na genes za kike kama earthly element.

Katika kumuumba Adam katika ufanano wao, kitabu cha Genesis kinaelezea kuzaliwa kwa Seth mtoto wa Adam katika maneno yafuatayo:

And Adam lived a hundred and thirty years,

and had an offspring in his likeness and after his image,

and he called his name Seth.

Hapa utaona kabisa terminology iliyotumika inafanana kabisa na iliyotumika wakati wa Miungu kumtengeneza Adam. Hii inathibitisha ya kwamba hata Adam aliumbwa kwa kutumia mbegu ya kike na mbegu za kiume through fertilization.

Kama udongo ambao damu ya Miungu ilichanganywa ulikuwa ni earthly element kama vitabu na maandiko yanavyosisitiza, inaweza kuhitimishwa kwamba genetic material ya Miungu iliwekwa kwenye yai la mwanamke ambaye ni ape. Katika Akkadian neno udongo ni TI.TI, likiwa na maana "that which is with life". Katika Waebrania neno udongo ni "tit" likiwa na maana "egg".

Ovum ya Homo erectus wa kike ilikuwa fertilized na genes za Miungu na kuwekwa kwenye tumbo la mke wa Ea , then after the model was obtained, duplicates of it were implanted in the wombs of birth goddesses, to under go the process of pregnancy and birth.

"The Wise and learned,

Double seven birth goddesses had assembled.

Seven brought forth males,

Seven brought forth females

The birth Goddesses brought forth

The Wind of the Breath of Life.

In pairs were they completed,

In pairs were they completed in her presence.

The creatures were people

Creatures of the Mother Goddess.

Homo sapiens had been created"

Watu wa kale, hadithi, habari za kwenye biblia na sayansi ya leo vyote vinatoa ujumbe unaofanana kwa namna moja hama nyingine. Utafiti wa anthropologists wa leo, unasema kuumbwa na chimbuko la mtu wa leo ni kusini-mashariki ya Afrika. Vitabu vya Mesopotamian vinasema kuumbwa kwa mtu na chimbuko lake ni Apsu katika ulimwengu wa chini ambako ardhi ya migodi iliwekwa, vile vile vitabu kadhaa vimemtaja "sacred Amama", mwanamke wa dunia, ambaye makao yake yalikuwa Apsu.


Lakini mwingine anaweza kuhitimisha kwa kusema, kuumbwa kwa mtu, kulileta ufa miongoni mwa Miungu. Pamoja na kwamba mtu aliumbwa hili awe kibarua wao wa kuchimba dhahabu kwa ajili ya kupeleka Mbiguni, Annunaki alikuwa na wasi wasi kuhusu utii wa mtu huyo kwao. Katika "The Myth of the Pickax", Annunaki aliyekaa sumer chini ya Enlil obtained their fair share of the Black-Headed People.

Seeking to re-establish the normal order , Enlil took extreme action of severing contacts between "Heaven"(the 12th planet/spaceships) and Earth, and launched some drastic action against the place "where flesh sprouted forth."

The Lord,
That which is appropriate he caused to come about.
The Lord Enlil,
Whose decision are unalterable,
Verily did speed to separate Heaven from Earth
So that the created ones could come forth.
Verily did speed to separate Earth from Heaven.
In the "Bond-Heaven-Earth" he made a gash,
So that the created Ones could come up
From the Place-Where-Flesh-Sprounted-Forth.

Enlil alitengeneza silaha kubwa na ya hatari ya maangamizi, iliitwa AL.A.NI (ax that produces power) ambayo ilikuwa na jino kubwa kama shoka, ingeweza kutoboa na kuangusha kuta. Enilil alifanya mashumbulizi mengi ya silaha yaliyopelekea kuuwawa kwa viumbe wengi sana wakiwemo black headed people.

Annunaki walimuomba Enlil kama mmoja wapo wa Miungu hiyo kusitisha mashambulizi yake, na kuwachukua Primative Workers wakaendelee na kazi ya kuwatumikia Miungu wao. Kama invyoelezea moja wapo ya tale;

The Annunaki stepped up to him,

Raised their hands in greetings,

Soothing Enlil's heart with prayers.

Black headed Ones they were requesting of him.

To the Black headed people,

they give the pickax to hold.

Vile vile kitabu cha Genesis kinaelezea kwamba Adam alitengenezwa Mesopotamia Magharibi na kuletwa Mesopotamia Mashariki kufanya kazi kwenye bustani ya Eden (Garden of Eden):

And the Deity Yahweh

Planted an orchard in Eden, in the east

And He took the Adam

And placed him in the Garden of Eden

To work it and to keep it.

Hivi ndivyo mwanadamu wa sasa alivyoumbwa. Kilichofuatia baada ya kuumbwa kwake ni "THE END OF ALL FLESH".

Picha ya kwanza inaonyesha ilipo Garden of Eden.

View attachment 2104375

View attachment 2104377

View attachment 2104379

obelisk
Well..hata kama details ztakua znakosewa etc..ila naamin..huu ulimwengu haukutengenezwa kirahis rahis tu et siku moja lets make a man n all creation..naamin watu walikaa wakaumiza sana vichwa..na yalikuepo majaribio mbalimbal..na ndomana mpaka leo..vitu haviko perfectly done..thats y we get sick..we die..wanazaliwa vilema..wanaziliwa wengne hawako compartible na weather etc....naamin pia huu ulimwengu ni wa mda mref saaana kuliko tunavyodhan..perhaps bilions of yeears .pia naaamin we are not alone kwenye hili li universe...pia naamin..we where made by some1 very intelligent amd special...na naamin hii dunia ina siri nying sana na waapo wanaozifaham na usiri huo ndo unakeep hii dunia safe or dumb...pia naamin kuna uwezekano human alipunguzwa uwezaa na maarifa tofaut na yule original..ili ulimwengu huu uwe salama...pia naamin kuna wanadam wanaish foreva..walikuepo na wapo wna waataendelea kuwepo..hao ndo waangaliz wa ulimwengu huu..ni kama keepers...wana monitor..wapo hapa dunian..tunaish nao ila hatuwajui ilaa wao wanajuana
 
Tena wametengeneza morons wa Shetani kwa makusudi maovu ya kuwatenganisha Wanadamu na Mungu wao.
Una elimu gan ndugu...well..navyojua mm..ukiwa uliielewa vzur sayans na pia ukasoma soma vitabu vya dini..both...pia ukasoma hiz maandiko mengne ya udadis..utakua mahala pazur snaa ku argue....na sio tu kushutumu ooh uongo mara ushetan..funny enuf...hata hiz dini ambazo tumezaliwamo..ni tuliletewa tu from..somwea...kama ni mkristo shukuru ulizaliwa mazingira ya kikikristo ndomana ukawa na knowledge hyo..umgezaliwa mazingira ya kiisilam pia ungekua muslim na pia ungekuja hapa kutetea hivyo hvyo kwa upande mwingng...jus see how faith n religion is powerful..so usijinyime kupata knowledge mpya..use logic na elimu uliyonayo kuchambua mambo.
 
umepigwa na kitu kizito eee haiwezekani story zitengenezwe miaka zaidi ya
5000 huko nyuma Tena ziwe Kwa Kila jamii huko kutengenezwa kunaingiaje na wanasayansi Kila siku wanazidi fukua mabaki Kila siku na kupata ushahidi wa tablets za Accient civilization

Hata kama zilitungwa ila kitendo Cha jamii nyingi za kale kua na nadharia Moja licha ya kua mbali mbali Bado inaacha utata iliwezekanaje maandiko waliyoyakuta Babel wayakute Kwa Maya na Aztec kule mexico na Peru?
Pia hayo hayo wayakute Misri na kush Tena wakayakute India na china
Bado unaona ni Uongo mpaka walivyoyakuta Kwa kabila la Dogon kule nchini Mali?
Tena afadhali hata huko Kwa jamii nyingine yalishapotea na watu wake ila Dogon pekee ndio walibaki na kumbu kumbu ya kwamba Babu zao waliotoka misri walitembelewa na Miungu kutoka Sayari za Orion
Mpaka Leo wale Watu Wana tunza tablets zinazoonesha Mifumo na mipangilio ya Sayari za Orion na hizi zetu Tena wanakuonesha mpaka michoro ya Sayari ya Sirius B inayokaliwa na Annunak kitendo kinachowashangaza mpaka Wazungu
Nenda kaangalie Documentary kuwahusu hilo kabila na maajabu yake ndio uje useme ni za kutungwa!
Ebooooo!
Mkuu ukishaona akil ndogo usisumbuke. Yaan hapo unapigia mbuz gitaa...mtu kazaliwa kakuta wazaz wake wako dini fulan iliyokuja na meli unadhan kichwa hko kitakia tayar kupokea knowledge mpya hata kwa kusikiliza tuu?..sia ajab atakwambia ni ushetan?... Ndo walioishia hapo...lakin kutumia logic na maarifa ni mwiko..na ndo hapo unaiona power ya faith n religion ilivyoishika dunia...achana nao hao mkuu
 
wewe Mathanzua Wacha janja janja nimekuuliza wewe unaamini katika Mungu Gani mbona hujibu?
Sidhan hata kama.anajua anaamin katika mungu gan.sabab knowldge yake ni shalow sana ..ni ya kubahatisha tu..wanadam weng wa sasa hawamjui aliewaumba...wanabahatisha tu na kumnafikia hata huyo wanaeamini ndiye ili tu kupata nafas huko walikoahidiwa..lakin kiuhalisia wala hawampend ma kumfaham..jarib tu kuwauliza je ..unaweza kufa kwa ajilo ya Mungu wako..? Utaskia. Majib..tena bora ya muslim..some can..ila upande wa pil huu..atakutolea jusification nyiing na maneno meeng ya vifungu..ohh.." usimjarib bwana mungu wako"..hahahah
 
Nani kakuambia kila kitu lazima kiwe na mwanzo,sio lazima.Hayo ni mawazo potofu kabisa.God Almighty has no beginning,ndivyo alivyojifunua kwetu.He has been and He will be.He is all powerful and Omnipresent and many many other attributes.
Hahah.mlokole katika ubora...yaam hata kufikir kivingne anaona kama dhambi atachomwa moto....bwana duma huyu jamaa usingemuita hapa..naona ni akil ndogo hiz za kina shila.hahahahah
 
Hahah.mlokole katika ubora...yaam hata kufikir kivingne anaona kama dhambi atachomwa moto....bwana duma huyu jamaa usingemuita hapa..naona ni akil ndogo hiz za kina shila.hahahahah
hahahahaha huyu jamaa hua tuna tifuana kweli kweli kwenye maswala ya dini ni mlokole flani brain washed sana,
Kiasi kwamba hua aninifurahisia sana kwenye baadhi ya maada yeye Kila kitu kizuri Duniani huita ni mpango wa Lucifer Hata kama ni vumbuzi yenye faida huishia kuiponda hua ananishangaza sana kuponda technologies mbali mbali huko akitumia vifaa na device za tech kama simu yake iliyotengenezwa na maajent anaodai ni wa Lucifer kutype Pumba za kumponda huyo huyo Lucifer
What a joke
😁😁😁😁😁🔥
 
SEHEMU YA KUMI

THE MOON, NASA & THE ANNUNAKI

View attachment 2111655

Shmitt's rejected patch, it wood seem based on a previous Apollo mission when they discovered a stonehenge-like structure.

Mnamo July 1969, mtu wa kwanza alifika mwezeni (kama walivyosema NASA, japo siyo kweli), na Neil Armstrong alinukuliwa akisema "Ni hatua kubwa sana hii kwa mwanadamu."

Tumekuwa tukisikia na bado tunasikia stori nyingi kwamba mtu alifika na kutua mwezini na kutembea kabisa mwezini. Naweza sema mtu alifika mwezini mara nyingi, lakini vile vile naweza kusema filamu na picha zilizo onyesha mtu akifika mwezini zilikuwa faked. Kwa nini, ni kwa sababu zifuatazo:

USA alikuwa akishindana na Russia (cold war), hivyo hili aweze kumshinda Mrusi ilibidi atengeneza tukio la kwenda mwezini tena studioni kwa kutumia Apollo crew( iliwahusisha Andrew Collins, Neil Armstrong pamoja na Edwin Buzz Aldrin). Watu hao wote waliitaji ushawishi wa hali ya juu ili kushiriki mpango huo.

Serikali ya Marekani ilikuwa tayari kugharamia gharama zozote zile ili kutimiza mpango wao na kuhakikisha tukio hilo linarushwa moja kwa moja kupitia kwenye runinga za taifa na dunia kwa ujumla bila kujali wanasayansi wa anga (Astronauts) watasema nini kuhusu tukio hilo na siri zote ambazo NASA walikuwa wakizijua.


NASA walikuwa wanafahamu kuhusu ancient structures, track marks & mining all over the moon, hivyo wasingeweza kurekodi filamu na kupiga picha ambazo zingeleta utata wakati wa kuandaa tukio hilo (japo walijichanganya kidogo).

.

Katika video fupi, Buzz Aldrin alitufanya tujue kwamba human race ni kitu kikubwa sana tofauti na tulivyofahamu hapo kabla, hii ni wakati aliposema:

"We Aliens, we certainly are part of a magnificent race." .

Kama ilivyotabiliwa na wataalamu wa NASA, Apollo 11 LEM (Luna Excursion Module) ilitakiwa kurushwa kwenye designated landing zone ambako hakuna structures yeyote, lakini ilikwenda mbali sana hadi sehemu yenye structures.

Wakati Neil na Buzz wanatoka nje na kutembea mwezini, mmoja wao alisema hivi, "Wow, what is that there?".

Hawakuweza kuamini kile walichokiona, na waliendelea kufanya upelelezi kinyume na maelekezo kutoka Mission Control, nani aliwaambia haya yafuatayo:

"Yes, we know about that, go back the other way, back the other way."

View attachment 2111661

View attachment 2111663
Above, a still from motion reel, followed by a fake moon picture-notice the multiple light sources.


On the Medical chaneli, Neil alirekodiwa akisema, "They are on the opposite side of the crater from us and they are watching us."(Je walikuwa hakina nani hao?, utawafahamu).

Buzz pia ameripotiwa akisema LEM ilikuwa ikifuatiliwa na kile tunachoweza kukiita Unidentified Flying Object(UFO).

Baada ya kurudi duniani kutoka mwezini Apollo 11 crew wote walijiuzuru haraka sana. Kwa nini? Kwa sababu hawakutakiwa kufanya tena uchunguzi na kutoa siri yeyote kwa kile walichokiona kutokana na kula kihapo cha siri.

Katika video fupi hapa chini Neil anasikika akisema kuwa ni matumaini yake kuwa ipo siku NASA itabadili sera zake na kuondoa usiri kuhusu sera hizo.



View attachment 2111671

View attachment 2111673
AS20 from frame 9625, Rev 15 NASA Apollo 15 mission showing high resolution image of alien craft on the moon.


Picha zilizo chukuliwa na Apollo 15(zikiwemo hizo hapo juu), kutoka mbali kidogo na upande wa mwezi ambao hautazamani na dunia, wachambuzi wa picha hizo, wamesema zinaonyesha uwepo wa ancient spaceship.

View attachment 2111676
Hii document ya siri kutoka NASA.

Kwa kuwa haionekani vizuri, kile kilichoandikwa nimekinukuu:

"Subject: Future Apollo Mission Regarding the discussions of the BLANK subcommittee on the January 27, BLANK on the subject of the future Apollo missions viability, it was determined that missions 18, 19 and 20 would be canceled due to evolving budgetary constraints in the BLANK and BLANK sectors

Those in attending and voting included: BLANK on November 14, BLANK following the directive of BLANK, BLANK the mission status of has been altered.

The revised status shift from cancellation to postponement.

Potential dates of mission reinstatement include: BLANK and if orders to redeploy are received by BLANK, we can confidently expect to lunch BLANK on or before BLANK.

Please refer to the memorandum enclosed herewith outlining of reservations of General BLANK And Colonel BLANK support materials on the subject of security including photographic reconnaissance files requested are forthcoming, expected by BLANK."


Uchunguzi wa ziada kwa kutumia aerial photography of the fuselage ulifanywa na Apollo missions 16 na 17, ulionyesha kwamba ilikuwa fuselage. Ilisemekana kwamba Apollo 17 ingekuwa mission ya mwisho, lakini kama unavyoona hapa chini kwenye picha, Apollo missions 18, 19 na 20 ziliendelea.

View attachment 2111681
In 1962, Carl Sagan addressed the American rocket association in Los Angeles and stated"We better be ready to meet someone else on the moon." Hii inaweza kuwa sababu ya Apollo astronauts kuambatana na ulinzi mkali wa kijeshi.

Kutokana na nadharia, Apollo 20 walifika mwezini tarehe 16 August 1976, miaka minne baada ya official Apollo mission. Kituo chao kilikuwa ni Delporte, a lunar impact crater on the moon's dark side.


Crew members wa Apollo 20 walikuwa ni, William Rutledge(US), Leona Synder (US) na Alexei Leonov kutoka USSR, na mpango wao ulikuwa ni kufanya upelelezi kuhusu uwepo wa alien spaceship iliyotambuliwa na Apollo 15 ya mwaka 1971(Apollo 15 rew ilikuwa ni David Scott, Alfred Worden na James Irwin).


Huyu Leonov ndiye mnajimu wa kwanza kutembea mwezini March 18, 1965 kwenye Apollo-Soyuz mission, joint space mission ya kwanza kati ya USA na Soviets.

View attachment 2111683
Inside shot of Apollo 20 showing joint US-Russian mission.


Kama tunaweza kumuamini William Rutledge (Apollo 20 mission), astronauts walitembelea mji wa kale na alien spaceship kwenye mwezi. Waliweza kukusanya baadhi ya alien gadgets from the ship na kumleta mmojawapo wa marubani wawili wa alien(waliokutwa wamefariki) to their Lunar Module.

The pilot was female(kama anavyoonekana picha ya mwisho), covered in a type of wax & in an excellent state of preservation(ambaye inasemekana ni Annunaki).

View attachment 2111686

View attachment 2111687
According to Apollo 20, kwenye picha hii inasemekana ni ANNUNAKI.


Siasa mbaya sana
Tutor B
obelisk
Anigrain
Norshad
Dumas the terrible

Ila baadhi ya videos naona zimeshindwa kuwa uploaded ,ila ntajitahidi nione kama zitakubali.
 
Back
Top Bottom