Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Nitatiririka baadae. Mambo ya udini kando
 
Nnimesoma uzi wote wa mtoa mada,ni uzi mzuri sana huu,najiifunza vitu vipya japokuwa mimi ni muislamu ila naendele akusoma.

Ila nina swali moja kwa mtoa mada ndugu Artificial intelligence

Kama hao annunaki walikuwa na technolojia kubwa sana ya mpaka kupasua mawe kwa miale ya moto,vipi teknolojia haikuweza kuwasaidia kuchimba dhahabu hapa duniani ?

Why wamtengeneze mtu wakati huyu mtu ni dhaifu hata kupasua kokoto hawezi sembuse hizo dhahabu ambazo zinapatikana kwa shida ?

Why waliona mtu ndio atawasaidia kuchimba dhahabu wakati huyu mtu hana teknolojia yoyote.

Why wasitumie technolojia yao hiyo hiyo kubwa kuchimba dhahabu badala yake wamuumbe mtu ati aje kusaidia kuchimba ?
 
Unapouliza swali lako, hakikisha umesoma sehemu zote 10 mpaka sasa na michango mbali mbali ya wadau humu, kwa sababu mengi yameshajibiwa na kujadiliwa. Usisome sehemu moja ukakimbilia kuuliza swali. Na maswali yenu nayatunza ntayajibu nkimaliza sehemu ya mwisho, maswali ntakayojibu ni yale ambayo nina uhakika wa majibu yake, ambayo sina uhakika nayo nitayaacha, ila namatumaini yangu kuwa humu wapo wenye maarifa ya kutosha, basi mtapata majibu mujarabu kabisa.
 
Hahah.mlokole katika ubora...yaam hata kufikir kivingne anaona kama dhambi atachomwa moto....bwana duma huyu jamaa usingemuita hapa..naona ni akil ndogo hiz za kina shila.hahahahah
Jina lako tu la kimtandao linaonyesha kwamba una shida:wewe ni moron wa Shetani.Mswahili unajiita Napoleone,shameful indeed.So unataka na sisi tuamini au tuhusudu ujinga ulioaminishwa na morons wenzio,no way.Your attempts to make me Satans' moron kama ulivyo wewe has miserably failed,mimi ni Mwana wa Mungu!
 
hahahahaha huyu jamaa hua tuna tifuana kweli kweli kwenye maswala ya dini ni mlokole flani brain washed sana,
Kiasi kwamba hua aninifurahisia sana kwenye baadhi ya maada yeye Kila kitu kizuri Duniani huita ni mpango wa Lucifer Hata kama ni vumbuzi yenye faida huishia kuiponda hua ananishangaza sana kuponda technologies mbali mbali huko akitumia vifaa na device za tech kama simu yake iliyotengenezwa na maajent anaodai ni wa Lucifer kutype Pumba za kumponda huyo huyo Lucifer
What a joke
😁😁😁😁😁🔥
I am glad you know who I am and that I hate Satan and this Satanic World.Mimi sio wa Dunia hii kama wewe,napita tu,how can I love the World and what is in it.Na si ajabu unanichukia,kwa kuwa hata Baba yangu unamchukia.
 
I am glad you know who I am and that I hate Satan and the Satanic World.Mimi sio wa Dunia hii kama wewe,napita tu,how can I love the World and what is in it.Na sia ajabu unanichukia,kwa kuwa hata Baba yangu unamchukia.
You Sound like Prophet
Mathanzua but uko na ujinga Sana kichwani hahaha
Who is Satan?
Wapi unaweza kutupeleka tukaonane nae maana unamponda Sana,natamani nikamwone niuone ubaya wake Ili ni prove wrong isije kua one side story kumchukia kiumbe asiye na ugomvi na wewe!
Show me the way to Satan I promise nitakupa malipo ya udalali ukinifikisha kwake!
😁😁😁
 
Nnimesoma uzi wote wa mtoa mada,ni uzi mzuri sana huu,najiifunza vitu vipya japokuwa mimi ni muislamu ila naendele akusoma.

Ila nina swali moja kwa mtoa mada ndugu Artificial intelligence

Kama hao annunaki walikuwa na technolojia kubwa sana ya mpaka kupasua mawe kwa miale ya moto,vipi teknolojia haikuweza kuwasaidia kuchimba dhahabu hapa duniani ?

Why wamtengeneze mtu wakati huyu mtu ni dhaifu hata kupasua kokoto hawezi sembuse hizo dhahabu ambazo zinapatikana kwa shida ?

Why waliona mtu ndio atawasaidia kuchimba dhahabu wakati huyu mtu hana teknolojia yoyote.

Why wasitumie technolojia yao hiyo hiyo kubwa kuchimba dhahabu badala yake wamuumbe mtu ati aje kusaidia kuchimba ?
Mkuu ngoja nikujibu hivi
Ushakiri Annunak Wana ujuzi na Teknolojia kubwa Kwanini wasiitumie kuchimba Dhahabu Hapo Hapo unasahau wametumia Teknolojia hiyo hiyo kubwa kuunda mtu kama man power wa kuchimba Dhahabu,huoni Teknolojia Yao kubwa ya kuumba mtu Ndio imerahisisha kazi?
Yaani watu nao walikua sehemu ya Teknolojia kwao
Ni SAWA Leo tuunde robots zitusaidie kuchimba Dhahabu halafu baadae tukatowekaz ghafla na kuziacha zikijiendesha zenyewe halafu ziwe zinatusoma kama hivi halafu zijue kumbe Binadamu Alikua na technolojia kubwa Kwanini asingeitumia kuchimba Dhahabu badala ya kuziunda zenyewe,
Huoni contradiction Hapo?
Binadamu nae Alikua sehemu ya tech kamanda Kumbuka wao walikua wachache wasingeweza kuiendesha Kila kitu lazima walihitaji robots ambao Ndie kina sie kuiendesha mambo kiurahisi!
😁😁😁😁😁
 
You Sound like Prophet
Mathanzua but uko na ujinga Sana kichwani hahaha
Who is Satan?
Wapi unaweza kutupeleka tukaonane nae maana unamponda Sana,natamani nikamwone niuone ubaya wake Ili ni prove wrong isije kua one side story kumchukia kiumbe asiye na ugomvi na wewe!
Show me the way to Satan I promise nitakupa malipo ya udalali ukinifikisha kwake!
😁😁😁
I am indeed a Prophet,God has sent me to tell you that He loves you and He wants you to change your ways,receive Jesus Christ as your personal Saviour and be saved.Brother, there is no other way to eternal life except through Jesus. Yeye ndiye njia,kweli na uzima.Wengine wote wanakudanganya.
 
Mkuu ngoja nikujibu hivi
Ushakiri Annunak Wana ujuzi na Teknolojia kubwa Kwanini wasiitumie kuchimba Dhahabu Hapo Hapo unasahau wametumia Teknolojia hiyo hiyo kubwa kuunda mtu kama man power wa kuchimba Dhahabu,huoni Teknolojia Yao kubwa ya kuumba mtu Ndio imerahisisha kazi?
Yaani watu nao walikua sehemu ya Teknolojia kwao
Ni SAWA Leo tuunde robots zitusaidie kuchimba Dhahabu halafu baadae tukatowekaz ghafla na kuziacha zikijiendesha zenyewe halafu ziwe zinatusoma kama hivi halafu zijue kumbe Binadamu Alikua na technolojia kubwa Kwanini asingeitumia kuchimba Dhahabu badala ya kuziunda zenyewe,
Huoni contradiction Hapo?
Binadamu nae Alikua sehemu ya tech kamanda Kumbuka wao walikua wachache wasingeweza kuiendesha Kila kitu lazima walihitaji robots ambao Ndie kina sie kuiendesha mambo kiurahisi!
😁😁😁😁😁
nakuelewa vzr sana mkuu
 
Hongera Mkuu Kwa kufika huko, ila kiuhalisia yale madubwasha ni makubwa sana, haiingii akilini kuwa yalijengwa Kwa main purpose ya kuhifazia pharaohs tu peke yake, hebu we uliefika Kwa jinsi ulivojionea na Kwa Akili ya kawaida ya teknolojia ya zamani unahisi ingewachukua miaka mingapi ili kujenga pyramid 1 ili lije kutumika kama kaburi?

Maana tukisema main purpose ilikuwa yatumike kama makaburi inawezekana huyo pharaoh alie madarakani akazaliwa na hadi akafa na asije kulitumia kaburi lake maana litakuwa bado halijakamilika na linaendelea na ujenzi

ila nachoamini pharaoh wamekuja kuyatumia kama makaburi Yao baada ya kuyakuta tu yana exist na watu hawajui Yana kazi Gani na ataka kama walikuwa wanajua yalikuwa na kazi gani basi wakajua hayana kazi tena, Sasa Kwa uzuri wa hizo pyramid na uspecial wake pharaoh wakaamua kuongezea Thamani maiti zao Kwa kuzikwa mle ndani

ila ukweli ni kwamba Yale madubwana ni makubwa sana kiasi kwamba watafiti hawajui ata yanaishia wapi na yanaelekea wapi, ila watalii ndio wanaishia kwenye maeneo ambayo yanafikika kirahisi then zoezi la utalii linaishia hapo

Na Kumbuka pyramid hazipo Egypt pake yake yapo hadi huko America kusini na huko kulikuwa hakuna ma pharaoh, je na huko yalikuwa yanatumika kama makaburi? Maana huko hakuna mummies/mabaki ya watu ambao unaweza kusema hapa lilikuwa kaburi
Basi tulikuwa tulidanganywa sana kuhusu haya ma pyramids.
 
Yaani watu nao walikua sehemu ya Teknolojia kwao
Nimeuliza hivi mkuu..

Kwa nini wasitumie technolojia kubwa waliyonauo kuchimba dhahabu kwa urahisi badala yake wamuumbe binadamu ambaye iliwachukua miaka ?

Kumbuka kuwa walikuwa hawajashindwa kuchimba,ila walitaka msaidizi wa kuichimba.

So huyu binadamu aliyeumbwa alikuwa na ufundi gani,na uharaka gani wa kuchimba dhahanu kuliko ile technolojia yao kubwa ambayo walikuwa nayo ?
kuchimba Dhahabu badala ya kuziunda zenyewe,
Mkuu mimi sihoji kuhusu anunnaki kuumba dhahabu,nahoji kuhusu ufanisi wa binadamu aliyeumbwa kuwa na ufanisi zaidi wa kuchimba dhababu kuliko hyo technolojia yao
Ni SAWA Leo tuunde robots zitusaidie kuchimba Dhahabu
Roboti maana yake arahisishe kazi,awapunguzie mzigo.

Why anunnaki waliona kama binadamu atarahisisha kazi kwao wakati walitumia miaka tele kupata toleo walilopendezwa nalo ?

Miaka ambayo wameipoteza kumuumba mtu walikuwa wamwsitisha zoezi la kuchimba dhahabu au lilikuwa likiendelea kwa kasi yao ya kawaida ?
Huoni contradiction Hapo?
Contradiction ipo kwenye hoja yako kwa sababu haiwezekani tuambiwe kwamba annunaki alikuwa anataka dhahabu,alafu alikuwa na technolojia kubwa,kisha hapo hapo wamuumbe mtu ambaye atakuwa hana technolojia yoyote ya kuchijimba dhahabu.
 
Nimeuliza hivi mkuu..

Kwa nini wasitumie technolojia kubwa waliyonauo kuchimba dhahabu kwa urahisi badala yake wamuumbe binadamu ambaye iliwachukua miaka ?

Kumbuka kuwa walikuwa hawajashindwa kuchimba,ila walitaka msaidizi wa kuichimba.

So huyu binadamu aliyeumbwa alikuwa na ufundi gani,na uharaka gani wa kuchimba dhahanu kuliko ile technolojia yao kubwa ambayo walikuwa nayo ?

Mkuu mimi sihoji kuhusu anunnaki kuumba dhahabu,nahoji kuhusu ufanisi wa binadamu aliyeumbwa kuwa na ufanisi zaidi wa kuchimba dhababu kuliko hyo technolojia yao

Roboti maana yake arahisishe kazi,awapunguzie mzigo.

Why anunnaki waliona kama binadamu atarahisisha kazi kwao wakati walitumia miaka tele kupata toleo walilopendezwa nalo ?

Miaka ambayo wameipoteza kumuumba mtu walikuwa wamwsitisha zoezi la kuchimba dhahabu au lilikuwa likiendelea kwa kasi yao ya kawaida ?

Contradiction ipo kwenye hoja yako kwa sababu haiwezekani tuambiwe kwamba annunaki alikuwa anataka dhahabu,alafu alikuwa na technolojia kubwa,kisha hapo hapo wamuumbe mtu ambaye atakuwa hana technolojia yoyote ya kuchijimba dhahabu.
Una swali zuri Mkuu na una logic katika swali lako, labda niulize unafahamu namna vile dhahabu inachimbwa au ata idea tu vile inachimbwa katika migodi popote pale duniani?

Kama unajua nadhani kwa namna Moja au ingine unaweza kupata logic au mwanga Kwanini labda watu waliumbwa ili kusaidia hilo zoezi

Na kama hufahamu tafuta mtu ambae anajihusisha na uchimbaji alafu muulize vile wanachimba na atakwambia limitations za any advanced technology katika uchimbaji

Maana ata leo hii kuna Advanced technology pia ambazo zingeweza kuchimba zenyewe, ila jiulize Kwanini ata kwetu katika migodi mikubwa nguvu kazi ya kuchimba dhahabu bado wanatumika binadamu na process zingine ndio technology inatumika
 
Una swali zuri Mkuu na una logic katika swali lako, labda niulize unafahamu namna vile dhahabu inachimbwa au ata idea tu vile inachimbwa katika migodi popote pale duniani?

Kama unajua nadhani kwa namna Moja au ingine unaweza kupata logic au mwanga Kwanini labda watu waliumbwa ili kusaidia hilo zoezi

Na kama hufahamu tafuta mtu ambae anajihusisha na uchimbaji alafu muulize vile wanachimba na atakwambia limitations za any advanced technology katika uchimbaji

Maana ata leo hii kuna Advanced technology pia ambazo zingeweza kuchimba zenyewe, ila jiulize Kwanini ata kwetu katika migodi mikubwa nguvu kazi ya kuchimba dhahabu bado wanatumika binadamu na process zingine ndio technology inatumika
Jibu zuri na Mimi nilitaka nimjibu Kwa style Hii Hii,Kila kitu kina limitations mfano Kwa hiyo Teknolojia kubwa walionao Kuna mdau alihoji kwanini wasingetengeneza Dhahabu huko huko kwao kiufupi Kuna limit ya kufanya baadhi ya vitu Hata ukiwa na technology kubwa Ndio maana Hata kwenye dhana ya Mungu tunaambiwa ni muweza wa Kila kitu ila aliumba baadhi ya viumbe kama Malaika,maserafi mpaka kina Lucifer Ili wawe wasaidizi wa kazi zake japo ni mwenye ujuzi Wote na maarifa yote ambayo yasingemlazimu kufanya Hivyo,

Kwahiyo Ndio upate mwanga mkuu safuher
 
Nimeuliza hivi mkuu..

Kwa nini wasitumie technolojia kubwa waliyonauo kuchimba dhahabu kwa urahisi badala yake wamuumbe binadamu ambaye iliwachukua miaka ?

Kumbuka kuwa walikuwa hawajashindwa kuchimba,ila walitaka msaidizi wa kuichimba.

So huyu binadamu aliyeumbwa alikuwa na ufundi gani,na uharaka gani wa kuchimba dhahanu kuliko ile technolojia yao kubwa ambayo walikuwa nayo ?

Mkuu mimi sihoji kuhusu anunnaki kuumba dhahabu,nahoji kuhusu ufanisi wa binadamu aliyeumbwa kuwa na ufanisi zaidi wa kuchimba dhababu kuliko hyo technolojia yao

Roboti maana yake arahisishe kazi,awapunguzie mzigo.

Why anunnaki waliona kama binadamu atarahisisha kazi kwao wakati walitumia miaka tele kupata toleo walilopendezwa nalo ?

Miaka ambayo wameipoteza kumuumba mtu walikuwa wamwsitisha zoezi la kuchimba dhahabu au lilikuwa likiendelea kwa kasi yao ya kawaida ?

Contradiction ipo kwenye hoja yako kwa sababu haiwezekani tuambiwe kwamba annunaki alikuwa anataka dhahabu,alafu alikuwa na technolojia kubwa,kisha hapo hapo wamuumbe mtu ambaye atakuwa hana technolojia yoyote ya kuchijimba dhahabu.
Hili swali hawatakujibu zaidi ya bla bla

Yaani Annunaki waunde mtu ambaye ni dhaifu kuliko wao wawafanyie kazi ya uchimbaji dhahabu 🤣

Waulize kabla ya kuumba huyo mtu walikua wanaipataje hiyo dhahabu?
 
Hili swali hawatakujibu zaidi ya bla bla

Yaani Annunaki waunde mtu ambaye ni dhaifu kuliko wao wawafanyie kazi ya uchimbaji dhahabu [emoji1787]

Waulize kabla ya kuumba huyo mtu walikua wanaipataje hiyo dhahabu?
Tatizo hamtaki kujifunza vitu vipya na mnakuja kwenye mada mmejiandaa kubisha tu, hulazimwishi kuamini kinachoongelewa hapa ila unaweza kusoma na kuongeza kitu kipya katika Ubongo wako then ukapuuzia na usipungukiwe chochote

Unashangaa Annunaki kuumba kiumbe amabae ni dhaifu kuliko yeye ili awe msaidizi wake ila hushangai Mungu mwenye kujua Kila kitu, mwenye uwezo wa kuumba Kwa kunena, mwenye uwezo wa kuona Kila sehemu ila pamoja na uwezo huo wote alionao akaumba Malaika ili wawe wasaidizi wake Sasa alikuwa ana ulazima Gani wa kuwa na wasaidizi kama ye ni muweza wa yote?

Muwe mnatumia vizuri akili mlizopewa na Muumba wenu na sio kupelekwa na mihemko tu na kukurupuka, mwisho wa siku unaonekana kituko, Ukiona kitu hukielewi ujue hakipo Kwa ajili yako unaweza pita Kimya Kimya tu

Eti waulize kabla ya uumbaji wa huyo mtu dhahabu walikuwa wanaipaje" alafu we ulivo kiazi unajiona umeuliza swali la akili kweli, kwahiyo kabla mtu hajaajili mfanyakazi wa ndani inamaana alikuwa haoshi vyombo? Alikuwa hapiki? alikuwa hafui? Kinachofanya mtu aajili msaidizi ni kurahisisha shughuri zake na ziende Kwa wakati
 
Hongera Mkuu Kwa kufika huko, ila kiuhalisia yale madubwasha ni makubwa sana, haiingii akilini kuwa yalijengwa Kwa main purpose ya kuhifazia pharaohs tu peke yake, hebu we uliefika Kwa jinsi ulivojionea na Kwa Akili ya kawaida ya teknolojia ya zamani unahisi ingewachukua miaka mingapi ili kujenga pyramid 1 ili lije kutumika kama kaburi?

Maana tukisema main purpose ilikuwa yatumike kama makaburi inawezekana huyo pharaoh alie madarakani akazaliwa na hadi akafa na asije kulitumia kaburi lake maana litakuwa bado halijakamilika na linaendelea na ujenzi

ila nachoamini pharaoh wamekuja kuyatumia kama makaburi Yao baada ya kuyakuta tu yana exist na watu hawajui Yana kazi Gani na ataka kama walikuwa wanajua yalikuwa na kazi gani basi wakajua hayana kazi tena, Sasa Kwa uzuri wa hizo pyramid na uspecial wake pharaoh wakaamua kuongezea Thamani maiti zao Kwa kuzikwa mle ndani

ila ukweli ni kwamba Yale madubwana ni makubwa sana kiasi kwamba watafiti hawajui ata yanaishia wapi na yanaelekea wapi, ila watalii ndio wanaishia kwenye maeneo ambayo yanafikika kirahisi then zoezi la utalii linaishia hapo

Na Kumbuka pyramid hazipo Egypt pake yake yapo hadi huko America kusini na huko kulikuwa hakuna ma pharaoh, je na huko yalikuwa yanatumika kama makaburi? Maana huko hakuna mummies/mabaki ya watu ambao unaweza kusema hapa lilikuwa kaburi
Ngoja nikazie kidogo kwenye swala la Pyramid maana wengi hudhani yalikua makaburi kumbe sivyo mfano hizo za Giza zimejengwa miaka Pre human civilization yaani kipindi ambacho kina Pharao Bado hawajaexist Wala misri kuwa kama falme kubwa ila na wao waliyakuta yashajengwa miaka mingi kama Mimi na wewe tuonavyo Leo na tunavyoshangaa ni jinsi Gani ya muda mrefu,
Pia haya madude ni makubwa mno kiasi Kwamba Wanasayansi Kila siku wanatafuta namna ya kuendelea kufungua chembers za Siri yaani Pyramids Kwa Nje ni jengo dogo ila Sasa kule ndani Kuna Bunkers kubwa Sana Kila unavyozidi kuzama Ndio unazama zaidi na Kuna sehemu yanafunguka Kwa code maalumu na wanasayansi wanazidi zisoma Ili iwe rahisi kusonga
Mfano wa Pyramid kubwa kuliko zote Duniani ipo kule mexico
The great Pyramid of Cholula
Au wanaiita Tlachihualtepel,

Hii ipo huko Puebla Mexico na inakadiliwa ilijengwa
3rd Century BC
Sasa imagine ndugu zanguni Ina miaka mingapi na imegwengwa Kwa blick na Haina Hata ufa na ni kubwa waliichongea kwenye mlima hii Ina chembers ambazo hazihesabiki na wanasayansi wanazidi tafiti ila Ina underground yenye urefu wa
Km 35 😲😲
Utaweza ushangae yaani hiyo km 35 ni road chamber njia iliyo pita chini Kwa chini na kuenda kutokeza km 35 mbele
What a great Technology ilitumika pale inashangaza Sana,
Na wamexico wanasema ilijengwa na deit Quetzalcoatl
Unajiuliza Huyo mungu wanaedai alijenga Alikua na ujuzi Gani maana ukiona wale jamaa wanasema alijenga deit ujue Huyo Alikua ni Mmoja wa ANNUNAK aliyeweka makazi pale zama hizo,
Maswali ni mengi kuliko majibu!
 
I am indeed a Prophet,God has sent me to tell you that He loves you and He wants you to change your ways,receive Jesus Christ as your personal Saviour and be saved.Brother, there is no other way to Heaven except through Jesus. Yeye ndiye njia,kweli na uzima.Wengine wote wanakudanganya.
Huna ulijualo kumhusu huyo Mungu wako na unaelimu nyepesi Sana kumhusu believe me,ungekua umesoma theolojia angalau,usingekua na akili hizo
Ulipo hapo
Hujui historia kumhusu El/YWH/Elohim/Jehovah/Jesus

Hujui pia kumhusu mwanzilishi wa hiyo Imani unayoitumiania upo upo tu Hata
Abrahamic Religion Huna historia nayo
Unaonekana kituko tu hapa jamvini
Umekazana namtumainia Mungu sijui Yesu na nani sijui ila hujui Hata hao unaoabudu walianzia kuabudiwa wapi kabla Wakoloni hawajakuletea through Babu zako
Hahahahaah!
 
Huna ulijualo kumhusu huyo Mungu wako na unaelimu nyepesi Sana kumhusu believe me,ungekua umesoma theolojia angalau,usingekua na akili hizo
Ulipo hapo
Hujui historia kumhusu El/YWH/Elohim/Jehovah/Jesus

Hujui pia kumhusu mwanzilishi wa hiyo Imani unayoitumiania upo upo tu Hata
Abrahamic Religion Huna historia nayo
Unaonekana kituko tu hapa jamvini
Umekazana namtumainia Mungu sijui Yesu na nani sijui ila hujui Hata hao unaoabudu walianzia kuabudiwa wapi kabla Wakoloni hawajakuletea through Babu zako
Hahahahaah!
Theology ni mpango muovu wa Ibilisi kuchakachua the true knowledge of God,wala siihitaji.Ni mjinga tu na aliyechakachuliwa na Shetani anayeweza kudhani kwamba Theology ni true spiritual knowledge.
 
Una swali zuri Mkuu na una logic katika swali lako, labda niulize unafahamu namna vile dhahabu inachimbwa au ata idea tu vile inachimbwa katika migodi popote pale duniani
Mkuu badala ya kuuliza,unatakiwa uweke hizo ideas ili uwe na nafasi mzuri ya kujenga hoja zako na sisi tupate kujifunza,isiwe kuuliza tu k2a sababu sio kila mtu yupo katika hizo field za mining.
Kama unajua nadhani kwa namna Moja au ingine unaweza kupata logic au mwanga Kwanini labda watu waliumbwa ili kusaidia hilo zoezi
Mkuu weka wazi hapa hayo mambo na sisi tujifunze,mimi sio mtu wa hizo mambo za mining.

Na kama hufahamu tafuta mtu ambae anajihusisha na uchimbaji alafu muulize vile wanachimba na atakwambia limitations za any advanced technology
Kama wewe unafahamu basi uelezee hapa mkuu ili na sisi tujifunze kwa sababu mjadala uko hapa haiwezekani unitupie k2a mtu mwingine.

Weka hizo limitations za uchimbaji ili tuzidi kujifunza na kuuliza panapobidi kuulizwa.
Maana ata leo hii kuna Advanced technology pia ambazo zingeweza kuchimba zenyewe, ila jiulize Kwanini ata kwetu katika migodi mikubwa nguvu kazi ya kuchimba dhahabu bado wanatumika binadamu na process zingine ndio technology inatumika
Hii technology yetu ya sasa ya uchimbaji inafanana na technolojia ya anunaki wakati ule kabla ya binadamu ?
 
Back
Top Bottom