Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Mkuu badala ya kuuliza,unatakiwa uweke hizo ideas ili uwe na nafasi mzuri ya kujenga hoja zako na sisi tupate kujifunza,isiwe kuuliza tu k2a sababu sio kila mtu yupo katika hizo field za mining.

Mkuu weka wazi hapa hayo mambo na sisi tujifunze,mimi sio mtu wa hizo mambo za mining.


Kama wewe unafahamu basi uelezee hapa mkuu ili na sisi tujifunze kwa sababu mjadala uko hapa haiwezekani unitupie k2a mtu mwingine.

Weka hizo limitations za uchimbaji ili tuzidi kujifunza na kuuliza panapobidi kuulizwa.

Hii technology yetu ya sasa ya uchimbaji inafanana na technolojia ya anunaki wakati ule kabla ya binadamu ?
To make the story short Mkuu hapa tupo Kwa ajili ya kujifunza na kuongeza maarifa na lengo sio kubishana na kujifanya tunajua sana

Elimu ya dini au Imani ni kama elimu zingine, hazina mwisho wa kujifunza na ni ruhusa kuhoji na wakati unajifunza, kwahiyo kama mnapata maswali na hoja za kuuliza Kwa Miungu Annunaki basi sio mbaya mkauliza na Kwa Miungu mingine maana sitaki kuamini Kwamba huko kwingine hamna maswali ya kuuliza

Turudi kwenye point ya kuuliza kama unafahamu au una idea na uchimbaji wa dhahabu, nitaeleza Kwa elimu yangu ndogo kuhusu uchimbaji wa dhahabu, dhahabu ni kama vile ina connection ya Moja Kwa Mojana na binadamu katika upatikanaji wake

Ukiwa unachimba dhahabu Kuna masharti mengi ya kufata ambayo mchimbaji anatakiwa kufata na mengi Yao ni pamojana na usafi wa mwili na nafsi na Ina involve hadi nguvu za giza na hadi viumbe wengine ndomana kupata dhahabu sio rahisi na sio kwa Kila Mtu, na ndomana wengine hufukiwa na vifusi endapo masharti yanakuwa yamekiukwa japokuwa Kuna wachache wanaweza kupata Kwa ndondokela

Watu wanachimba dhahabu kwa kufata Mwamba wake, na Mwamba Waga unahama kadri unavojiskia wenyewe na pia Mwamba unaweza kuhamishwa makusudi kulingana na nguvu ya mchimbaji

kwahiyo hadi hapo utaona kwamba ata iweje huwezi kuingiza vifaa ndani ya tunnel ili uchimbe dhahabu kwakuwa teyari by nature ina connection na binadamu, technology itakuja kusaidia kwenye kuichakata dhahabu,kuosha,kuigrade,kusafirisha ila sio kuichimba

Kwa upande wangu naishia hapa Mkuu na nafunga mjadala wangu na wewe, wengine wataendelea kujibu maswali yako kadri ya uwezo wao
 
dhahabu kwakuwa teyari by nature ina connection na binadamu,
Kama ina connection na binadamu katika kuichimba mbona hawa anunnaki waliichimba na waliipata kabla ya kumuumba binadamu ?

Au nawao anunnaki wana connection na dhahabu ndio maana waliipata kabla ya uwepo wa msaidizi wake binadamu ?

Au connection yake na binadamu haimaanishi kwamba asiyekuwa binadamu akiichimba haipati ?
Elimu ya dini au Imani ni kama elimu zingine, hazina mwisho wa kujifunza na ni ruhusa kuhoji na wakati unajifunza, kwahiyo kama mnapata maswali na hoja za kuuliza Kwa Miungu Annunaki basi sio mbaya mkauliza na Kwa Miungu mingine maana sitaki kuamini Kwamba huko
Nashkuru sana mkuu,ila hapa nadhani mjadala ni anunnaki sio hao Mungu wengine.

Ukifika mjadala wa Mungu tutauliza,ila hapaacha tuulize ya annunaki.
Ukiwa unachimba dhahabu Kuna masharti mengi ya kufata ambayo mchimbaji anatakiwa kufata na mengi Yao ni pamojana na usafi wa mwili na nafsi na Ina involve hadi nguvu za giza na hadi viumbe wengine ndomana kupata dhahabu sio rahisi na sio kwa Kila Mtu, na ndomana wengine hufukiwa na vifusi endapo masharti yanakuwa yamekiukwa japokuwa Kuna wachache wanaweza kupata Kwa ndondokela
Je haya ndio masharti ambayo yaliwafanya anunnaki wamuibue binadamu ili atimize haya masharti ?

Je hao annunaki waliyashindwa masharti haya wakaona wamletw binadamu ambaye ana coonnection na dhahabu ?
 
Kama ina connection na binadamu katika kuichimba mbona hawa anunnaki waliichimba na waliipata kabla ya kumuumba binadamu ?

Au nawao anunnaki wana connection na dhahabu ndio maana waliipata kabla ya uwepo wa msaidizi wake binadamu ?

Au connection yake na binadamu haimaanishi kwamba asiyekuwa binadamu akiichimba haipati ?

Nashkuru sana mkuu,ila hapa nadhani mjadala ni anunnaki sio hao Mungu wengine.

Ukifika mjadala wa Mungu tutauliza,ila hapaacha tuulize ya annunaki.

Je haya ndio masharti ambayo yaliwafanya anunnaki wamuibue binadamu ili atimize haya masharti ?

Je hao annunaki waliyashindwa masharti haya wakaona wamletw binadamu ambaye ana coonnection na dhahabu ?
Mkuu me sifanyi ligi ya ubishani nadhani hapo ndio tunaposhindwa kuelewana na nikasema me nafunga huu mjadala, nilikwambia Kuwa nitajibu Kulingana na ujuzi wangu mdogo kuhusu uchimbaji wa dhahabu lengo likiwa ni kukupa mwanga ili kama upo kwa ajili ya kujifunza basi utatafuta namna ya kujiongezea elimu Kwa wajuzi zaidi

Kuhusu kusema Ina connection na binadamu ni kwa sababu tuliongelea technology ambayo ata Leo ipo ila haitumiki ispokuwa rasilimari watu ndio ambao wanatumika

lakini pia nimegusia Kuwa uchimbaji wa dhahabu una involve nguvu za giza na viumbe wengine, kwahiyo Kwa Akili tu ya kawaida ulipaswa kuelewa kuwa hao viumbe wengine ndio kama hao Annunaki, na inajulikana kwamba lengo la kuajiri au kutengeneza msaidizi ni kurahisisha shughuri zako ili ziishe Kwa wakati na upate muda wa kufanya shughuri zingine

Kuna sehemu nilitolea mfano kama unahoji Annunaki kuumba kiumbe dhaifu kuliko yeye ilihali yeye ana uwezo mkubwa je uliwahi kujiuliza Kwanini Mungu aliumba Malaika ili wawe wasaidizi wake ilihali ye Anajua kila kitu,Anaona Kila sehemu,Anaumba Kwa kunena na mkamilifu kwa kila kitu Sasa kulikuwa na haja Gani ya kuumba Malaika ili wamsaidie kazi zake ilhali uwezo wake hauna limitations?

Kwahiyo sio kwamba Annunaki walishindwa kuchimba tu wenyewe dhahabu inawezekana ingewachukua muda mrefu zaidi, inawezekana walikuwa wachache na kama ni kweli kuwa dhahabu Ina connection na kiumbe na sio technology katika uchimbaji wake basi iliwalazimu wao kama wao kuingia kwenye tunnel na kuchimba Sasa ili wawe wengi na project iishe Kwa wakati wakahitaji msaidizi (mawazo yangu)

Kwa kujibu hivo naomba utunze maswali Yako kama alivosema mleta mada na akimaliza andiko lake then uliza na inawezekana akakujibu Kwa ufasaha zaidi kuliko sie ambao pia ni wasomaji kama wewe ulivo, Kwa uwezo wangu Mzee mwenzangu nimeishia hapa na sitokuwa na majibu tena ya maswali Yako. Enjoy Uzi mkuu
 
Unapouliza swali lako, hakikisha umesoma sehemu zote 10 mpaka sasa na michango mbali mbali ya wadau humu, kwa sababu mengi yameshajibiwa na kujadiliwa. Usisome sehemu moja ukakimbilia kuuliza swali. Na maswali yenu nayatunza ntayajibu nkimaliza sehemu ya mwisho, maswali ntakayojibu ni yale ambayo nina uhakika wa majibu yake, ambayo sina uhakika nayo nitayaacha, ila namatumaini yangu kuwa humu wapo wenye maarifa ya kutosha, basi mtapata majibu mujarabu kabisa.
Suala la Hawa jamaa waliotuumba, walikuwa Wana uwezo wa kusafiri Toka universe nyingine, walikuwa Wana uwezo wa kufanya genetic manipulation etc.. hiyo inamaana walikuwa vizuri kwenye fani zote za elimu tunazozijua...

Sasa walishindwaje kutengeneza excavator za kuchimbia dhahabu mpaka wakaona njia rahisi ni kumtengeneza Binadamu?
 
Soma Uzi kiundani Kila kitu kipo humo,hao Annunak walishamaliza mission miaka elfu nyingi huko nyuma maana hawakuja Jana Wala juzi ni miaka zaidi ya 5000 Bc huko mwanzo kabisa mwa human civilization
Na kumbuka lengo Ilikua gold na walizivuna Sana na kuondoka nazo na ndio maana walivyotoka baada ya miaka kibao Watu wakaanzisha Nadharia za kuwaabudu na kuwatolea sadaka na kafara wakiamini Ipo siku watarudi hao Miungu,
Nadharia za Dini zikazaliwa hapo
Sasa jiulize mwenyewe miaka Hiyo walikuja na spaceships Leo kiteknolojia watakuaje
Na ndio maana Leo Kuna Nadharia za aliens inadaiwa ndio hao Hao ila wamekuwa invisible sababu ya teknolojia Yao ni kubwa mno kiasi kwamba mpaka wao wakupe access ya kuwaona,

Kuhusu wao kuumbwa Hiyo ni Siri Yao ila wao ndio walioufanya cloning project ya Homo sapiens Sapiens!
So hao jamaa annunaki wako wapi sasa!!?
na kama ni kwelit walituumba mbona wametuacha binadamu tujiachie sana duniani bila control yyte?
 
Suala la Hawa jamaa waliotuumba, walikuwa Wana uwezo wa kusafiri Toka universe nyingine, walikuwa Wana uwezo wa kufanya genetic manipulation etc.. hiyo inamaana walikuwa vizuri kwenye fani zote za elimu tunazozijua...

Sasa walishindwaje kutengeneza excavator za kuchimbia dhahabu mpaka wakaona njia rahisi ni kumtengeneza Binadamu?
hivi unajua process za uchimbaji wa Dhahabu Kuna hatua ukifika huitaji machine kufanya Kazi inahitaji manpower,Hata Leo licha ya kua na tech kubwa ila migodi inahitaji watenda Kazi wanaozama live kuitoa mule ndani then mashine zinatumika kuichanjua na kuichakata!
 
Mkuu naomba kujua je hawa anunnaki waliumbwa na nani ?
The almighty God himself.Mungu aliumba miungu......
na ndio maana bible inatuambia Mungu wetu ni mwenye wivu sana......
ole
wako uabudu miungu wakati Mungu wa kweli yupo
 
Tatizo hamtaki kujifunza vitu vipya na mnakuja kwenye mada mmejiandaa kubisha tu, hulazimwishi kuamini kinachoongelewa hapa ila unaweza kusoma na kuongeza kitu kipya katika Ubongo wako then ukapuuzia na usipungukiwe chochote

Unashangaa Annunaki kuumba kiumbe amabae ni dhaifu kuliko yeye ili awe msaidizi wake ila hushangai Mungu mwenye kujua Kila kitu, mwenye uwezo wa kuumba Kwa kunena, mwenye uwezo wa kuona Kila sehemu ila pamoja na uwezo huo wote alionao akaumba Malaika ili wawe wasaidizi wake Sasa alikuwa ana ulazima Gani wa kuwa na wasaidizi kama ye ni muweza wa yote?

Muwe mnatumia vizuri akili mlizopewa na Muumba wenu na sio kupelekwa na mihemko tu na kukurupuka, mwisho wa siku unaonekana kituko, Ukiona kitu hukielewi ujue hakipo Kwa ajili yako unaweza pita Kimya Kimya tu

Eti waulize kabla ya uumbaji wa huyo mtu dhahabu walikuwa wanaipaje" alafu we ulivo kiazi unajiona umeuliza swali la akili kweli, kwahiyo kabla mtu hajaajili mfanyakazi wa ndani inamaana alikuwa haoshi vyombo? Alikuwa hapiki? alikuwa hafui? Kinachofanya mtu aajili msaidizi ni kurahisisha shughuri zake na ziende Kwa wakati
Sasa Kama binaadamu anamuajiri binaadamu mwenzake kuosha vyombo kwanini hao Annunaki wasipeane hiyo kazi ya kuchimba dhahabu wao kwa wao?
 
Historia nzuri lakini nina maswali kadhaa! Kwanza hao annunaki na hao viumbe wengine wao waliumbwa na nani..?
Pili ktk maelezo inaonyesha hao annunaki walikuwa na teknolojia kubwa sana na maarifa makubwa sana,mpaka kuweza kuumba mtu na lengo la kuumba mtu ni ili wawe vijakazi wao wakusanye dhahabu!. Mkanganyiko wangu ni hapa inawezekana vipi wawe na uwezo wa kuunda mtu ila washindwe kuunda dhahabu ambayo ndio waliihitaji zaidi..??
Hili swali nadhani annunaki wenyewe ndio wanaweza kujibu kwa maoni yangu ni swali gumu sana
 
So hao jamaa annunaki wako wapi sasa!!?
na kama ni kwelit walituumba mbona wametuacha binadamu tujiachie sana duniani bila control yyte?
una uhakika Kwamba haupo chini ya control?😁🔥
Yaani wao Ndio Waasisi wa sheria zote hapa Duniani kuanzia Maisha Yako,Tiba, Engineering,Elimu zote ikiwemo Mahesabu yote mpaka kuhesabu Hela 😁
Astronomy,Dini zooote Ndio wao waliofanya ziwepo yaani bila ANNUNAK Leo tusingekua hivi Leo maana Ndio foundation wa Kila kitu Toka Hapo kale na tupo chini ya mfumo wa maarifa Yao!
 
una uhakika Kwamba haupo chini ya control?😁🔥
Yaani wao Ndio Waasisi wa sheria zote hapa Duniani kuanzia Maisha Yako,Tiba, Engineering,Elimu zote ikiwemo Mahesabu yote mpaka kuhesabu Hela 😁
Astronomy,Dini zooote Ndio wao waliofanya ziwepo yaani bila ANNUNAK Leo tusingekua hivi Leo maana Ndio foundation wa Kila kitu Toka Hapo kale na tupo chini ya mfumo wa maarifa Yao!
Dah hapa ndio nazidi kuchanganyikiwa kabisa manake nimewahi kusikia habari za free mason na jinsi wanavyopanga mpango wa kumkontro binadamu kupitia mpango wao wa new world order isije kuwa ndio annunaki hao hao?
 
Tatizo hamtaki kujifunza vitu vipya na mnakuja kwenye mada mmejiandaa kubisha tu, hulazimwishi kuamini kinachoongelewa hapa ila unaweza kusoma na kuongeza kitu kipya katika Ubongo wako then ukapuuzia na usipungukiwe chochote

Unashangaa Annunaki kuumba kiumbe amabae ni dhaifu kuliko yeye ili awe msaidizi wake ila hushangai Mungu mwenye kujua Kila kitu, mwenye uwezo wa kuumba Kwa kunena, mwenye uwezo wa kuona Kila sehemu ila pamoja na uwezo huo wote alionao akaumba Malaika ili wawe wasaidizi wake Sasa alikuwa ana ulazima Gani wa kuwa na wasaidizi kama ye ni muweza wa yote?

Muwe mnatumia vizuri akili mlizopewa na Muumba wenu na sio kupelekwa na mihemko tu na kukurupuka, mwisho wa siku unaonekana kituko, Ukiona kitu hukielewi ujue hakipo Kwa ajili yako unaweza pita Kimya Kimya tu

Eti waulize kabla ya uumbaji wa huyo mtu dhahabu walikuwa wanaipaje" alafu we ulivo kiazi unajiona umeuliza swali la akili kweli, kwahiyo kabla mtu hajaajili mfanyakazi wa ndani inamaana alikuwa haoshi vyombo? Alikuwa hapiki? alikuwa hafui? Kinachofanya mtu aajili msaidizi ni kurahisisha shughuri zake na ziende Kwa wakati
Huyo mfanya kazi wa ndani anaumbwa na huyo binaadamu? Akija hapo ndani anafundishwa jinsi ya kufanya hizo kazi ? Au anakua anajua toka alikotoka?

Ulitakiwa utoe mfano wa binaadamu kutengeneza kiumbe kingine kama hao Annunaki mnavyodai walivyofanya
 
Tatizo hamtaki kujifunza vitu vipya na mnakuja kwenye mada mmejiandaa kubisha tu, hulazimwishi kuamini kinachoongelewa hapa ila unaweza kusoma na kuongeza kitu kipya katika Ubongo wako then ukapuuzia na usipungukiwe chochote

Unashangaa Annunaki kuumba kiumbe amabae ni dhaifu kuliko yeye ili awe msaidizi wake ila hushangai Mungu mwenye kujua Kila kitu, mwenye uwezo wa kuumba Kwa kunena, mwenye uwezo wa kuona Kila sehemu ila pamoja na uwezo huo wote alionao akaumba Malaika ili wawe wasaidizi wake Sasa alikuwa ana ulazima Gani wa kuwa na wasaidizi kama ye ni muweza wa yote?

Muwe mnatumia vizuri akili mlizopewa na Muumba wenu na sio kupelekwa na mihemko tu na kukurupuka, mwisho wa siku unaonekana kituko, Ukiona kitu hukielewi ujue hakipo Kwa ajili yako unaweza pita Kimya Kimya tu

Eti waulize kabla ya uumbaji wa huyo mtu dhahabu walikuwa wanaipaje" alafu we ulivo kiazi unajiona umeuliza swali la akili kweli, kwahiyo kabla mtu hajaajili mfanyakazi wa ndani inamaana alikuwa haoshi vyombo? Alikuwa hapiki? alikuwa hafui? Kinachofanya mtu aajili msaidizi ni kurahisisha shughuri zake na ziende Kwa wakati
Ungeanza wewe kupita kimya kimya kwenye comment yangu humu kila mtu anao Uhuru wa kuchangia mada.
 
Dah hapa ndio nazidi kuchanganyikiwa kabisa manake nimewahi kusikia habari za free mason na jinsi wanavyopanga mpango wa kumkontro binadamu kupitia mpango wao wa new world order isije kuwa ndio annunaki hao hao?
hizo za free mason ni Conspiracy theory tu hazina uhalisia wowote!
 
Unashangaa Annunaki kuumba kiumbe amabae ni dhaifu kuliko yeye ili awe msaidizi wake ila hushangai Mungu mwenye kujua Kila kitu, mwenye uwezo wa kuumba Kwa kunena, mwenye uwezo wa kuona Kila sehemu ila pamoja na uwezo huo wote alionao akaumba Malaika ili wawe wasaidizi wake Sasa alikuwa ana ulazima Gani wa kuwa na wasaidizi kama ye ni muweza wa yote?
Kumbe unaujua ukweli..
 
Jina lako tu la kimtandao linaonyesha kwamba una shida:wewe ni moron wa Shetani.Mswahili unajiita Napoleone,shameful indeed.So unataka na sisi tuamini au tuhusudu ujinga ulioaminishwa na morons wenzio,no way.Your attempts to make me Satans' moron kama ulivyo wewe has miserably failed,mimi ni Mwana wa Mungu!
Hyo knowledge ya kuwa wew ni mwana wa Mungu umeitoa wap..kama ni kwa mtu mweupe bas hata hii ya hapa jukwaan imetoka kwa huyo huyo..tatzo mkuu una uelewa ule wa kilokole ni ngum sana kuelewana hapa...haya mambo ni mazito sana kwako mkuu..wewe hustahil hata kuwa hapa..huyu jamaa kafanya makosa sana kukuita hapa.. samahan kama nakukosea...
 
I am glad you know who I am and that I hate Satan and this Satanic World.Mimi sio wa Dunia hii kama wewe,napita tu,how can I love the World and what is in it.Na si ajabu unanichukia,kwa kuwa hata Baba yangu unamchukia.
Hakuna sehem bora ya kuish mwanadamu zaid ya dunia...alietengeneza dunia ..spent all his time ili iwe nzur kwa mwanadam kuish..sasa ni ujinga kudhan yeye huyo alietengeneza anakuhitaj wew ukaish kwake..angetaka hvyo angeshakuita kitambo...huwe elewa sabab ni akil ndogo mkuu...wew ni type za kina masanja..shila etc..hahahah
 
Mkuu ngoja nikujibu hivi
Ushakiri Annunak Wana ujuzi na Teknolojia kubwa Kwanini wasiitumie kuchimba Dhahabu Hapo Hapo unasahau wametumia Teknolojia hiyo hiyo kubwa kuunda mtu kama man power wa kuchimba Dhahabu,huoni Teknolojia Yao kubwa ya kuumba mtu Ndio imerahisisha kazi?
Yaani watu nao walikua sehemu ya Teknolojia kwao
Ni SAWA Leo tuunde robots zitusaidie kuchimba Dhahabu halafu baadae tukatowekaz ghafla na kuziacha zikijiendesha zenyewe halafu ziwe zinatusoma kama hivi halafu zijue kumbe Binadamu Alikua na technolojia kubwa Kwanini asingeitumia kuchimba Dhahabu badala ya kuziunda zenyewe,
Huoni contradiction Hapo?
Binadamu nae Alikua sehemu ya tech kamanda Kumbuka wao walikua wachache wasingeweza kuiendesha Kila kitu lazima walihitaji robots ambao Ndie kina sie kuiendesha mambo kiurahisi!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tena ni very advanced robots wenye uweza wa kufanya creation yao wenyew..ndomana unaona madaraja..ndege..barabara..simu..umeme...very advanced robots mwenye kujua good or bad. Mwenye mwil wa nyama...that level ya intelligence ni beyond..ila naamin mwanadam itafika point ataweza fanya high tech kama hzo..ni swala la muda tu

People wanaamin we are alone kwenye hil li universe..hahah..
 
Marejeo toka vitabu kama vile "The greatest secret"? Au mmekutana na Annunaki wakawapa umbea huu?
 
Back
Top Bottom