Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Asante sana mleta mada though nilikuhaid tutakuwa wote sema ndo hivyo majukumu

Nipende kusema Kwamba kati ya nyuzi bora kuwah kuziona hapa JF na huu humo.
Artificial intelligence amejitahid sana kuandik uzi wenye facts tupu na ushahidi wa kutosh kiasi Kwamba had na sasa weny ideas kuhusu mada tunashindwa tuongeze nin Paw kama inawezekana unganisheni sehem zote mziweke mwanzoni, ili mtu akifungua uzi akutane na mkeka mzima, maana huu uzi unaondoa mawaza kwa watu wenye shida kama sisi😂 na kupanua fikra.

Naona watu wengi wameuliza kwa nini annunaki hawakutumia teknologia yao badala yake wakamuumba mtu

Nichangie kdogo kuhusu hilo, unajua kabla ya ujio wa abrahamic religion kila watu walikuwa na Mungu wao. Afrika tulikuwa na mizimu yetu tena kwa majina ambayo jamii mbali mbali ziliabudu na kubarikiwa vizuri tu.

Annunaki walimuumba binadamu ili awe msaidizi katika operation zao, level yao ya teknologia iliishia pale, kuonyesha kwamba kumuumba mtu ni teknologia ya juu na haitafikiwa, mpaka leo hakuna aliyewahi kumrudishia uhai mtu aliyekufa.

Kulikuwepo na miungu na siyo Mungu, ukisoma katika annunaki mutiny, ilitokea uhasi na machafuko baina yao, Amri ya kwamba msiabudu miungu wengine, ni Amri iliyotolewa baada ya ancients kuanza kuabudu hiyo miungu, ukatokea mmoja ukawapa amri, lengo ni kuwafanya wautii.

Mumeambiwa mungu alikuwa na malaika, Enki stand for God na anu for angels.

Mungu muweza wa yote kama dini zinavyosema, atashindwaje kumumaliza shetani kabisaa, Yaani Mungu atende miujiza na uponyaji hapa hapo na miungu itende miujiza na kuponya watu (hebu jiulizeni).

Mnaambiwa Mungu ni roho, hicho kitu hakipo ilikitu ki exist lazima kievolve bila mwili na damu kiumbe akija kamilika, roho itahukumuje mtu siku ya mwisho kama wanavyosema, hicho kitu hakipo.

Hamuoni china na wahindi wanavyoabudu miungu yao inayoonekana kabisa kwa njia ya sanamu na kubarikiwa tena kwa kutoa hadi sadaka ya damu. Kwani nyama na damu mlizokuwa mnaweka kwa ajili ya mizimu yenu, nani alikuwa anazichukua?,

Sisi tumetokana na kiumbe mwenye mwili kama sisi na si roho tu. Annunaki wakati wanatoweka duniani kutokana na kuabudiwa waliweka agano la kurudi tena duniani baada ya muda mrefu, baada ya kuzisoma code zao zilizoachwa kama ishara zao za kukaribia kurudi tena duniani, hawa wataalamu wa dini wakaja na stori za siku ya kihama.

Ni kweli hawa viumbe watarudi tena duniani, wenzetu wameshajua siri zote, ndiyo maana unaona wanaangaika kutafuta makazi mapya nje ya dunia.

Einstein baada ya kusoma weapons of annunaki na kugundua kwamba walikuwa na silaha za nyukilia, yeye na jopo lake ndiyo ukawa mwanzo wa kutafiti na kuunda siraha za maangamizi lengo si kwa binadamu tu bali hata kwa annunaki ikitokea wamerudi ghafla duniani, huku utafiti wa makazi mapya ya badae kwenye sayari nyingine ukiwa kipaumbele kikubwa, NASA na taasisi dini wanajua kila kitu kuhusu hawa viumbe lakini kamwe hawatakaa waseme kamwe.

Wachina mwanzoni walianza wamepuzia hizi habari licha ya kuwa na taarifa nyeti kuhusu ancient civilisation, baada ya kuanza kuzifanyia kazi, kwa sasa teknologia wameiweka kiganjani mwao na sasa wanachanja mbuga na wao.

Taarifa zozote nyeti ambazo hawazijuhi kuhusu sumerians, wakifahamu unazo ni either ufe au wazichukue wao.
Mumeambiwa mumeumbwa kwa mfano wake, kwahiyo kama yeye ni roho tu, ilitakiwa na sisi sasa hivi tuwe roho tu.

Ndiyo maana mafundisho ya dini kuhusu Mungu na shetani yanafundishwa mkiwa wadogo sana ili kuwa manipulate kisaikolojia na kiakili, hizo habari wangezifundisha mumeshafunguka kiakili kama hivi, dhamira yao ingeshindwa,vibaya sana.

Sisi ni mwili na roho na tumeumbwa na mwili na roho, sisi hatuwezi kuwa roho tu na aliyetuumba siyo roho tu bali na mwili.

Wakiristo tunasali kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu, maana yake baba yetu sisi anazaa pia na ana mwili kama sisi (roho haiwezi kuzaa).

Nawatakia majukumu mema members wote wa JF.
Wenzetu wanajua pamoja na mutiny inayoweza kutokea baina yetu, ukweli ni kwamba hao viumbe huenda wakarudi tena duniani, ndiyo maana unaona wanapambana kutafuta maisha sayari nyingine. Kingine katika projects zao wanaamini vitu na dhahabu walizochukua wanaweza kuzikuta kule, wana siri nyingi kutoka sumerians ambazo hazijulikana ulimwenguni.
 
Kwa hiyo wewe kusema kwamba binadamu kaumbwa na Annunaki,according to Artificial Intelligence ndio umefikiri!Yaani umeshindwa kabisa ku-visualize kwamba a man so magnificently created cannot be the work of simple created beings like the Annunaki.Mkuu the organization of all processes in all ecosystems and their inter-relationships so superbly organized cannot surely be the work of simple "created" beings like the Annunaki!And the Universe?Surely iwe the work of the so called Annunaki,created beings according to Artificial Intelligence?Mkuu Anigrain,acheni ujinga,yote niliyo point out hapo juu na mengine mengi shows clearly that there is a super intelligent organizer,not the Annunaki.

Napenda pia niwafahamishe kwamba hii story ya kwamba the Annunaki ndio walio umba binadamu ninyi sio wa kwanza kuiona.We know it,ila tuliichukulia kwamba ni zile zile stories za morons wa Shetani kujaribu kupotosha binadamu,sasa wenzetu mmeishupalia kweli kweli.Anigrain this story comes from the Devil😈,sasa kama wewe ni mtumishi wake sawa,lakini ujue kwamba unamkosea na kumuudhi Mungu.
kyee! kyeee! kyeee!
Wewe jamaa ni Bonge la kituko Bora nilivyokutag Kupitia huu uzi watu wameshajua wewe ni zuzu first class,
Na ndio maana Kule jukwaa la complain walikuanzishia mada kwamba ni wewe ni
juha,brain washed,Mzee wa conspiracy theories na zile mada zako zilizojaa viroja tupu
Kutwa kumsingizia Lucifer na Satan mambo kibao na hata huna uthibitisho kama yupo zaidi ya porojo tu!
Mathanzua wewe ni zuzu believe me na vingereza vyako vya infact,you know,but,either,nor huna lolote Bora nikuchane ukweli tu
Yaani wewe umesoma kitabu kimoja tu nacho ni Bible ila unajiona unajua sana Kuliko wenzako waliosoma vitabu 500 na Bado Wana kiu ya kupata maarifa
Religious people like you ni wajinga kiwango Cha SGR!
😂😂😂😂
 
Asante sana mleta mada though nilikuhaid tutakuwa wote sema ndo hivyo majukumu

Nipende kusema Kwamba kati ya nyuzi bora kuwah kuziona hapa JF na huu humo.
Artificial intelligence amejitahid sana kuandik uzi wenye facts tupu na ushahidi wa kutosh kiasi Kwamba had na sasa weny ideas kuhusu mada tunashindwa tuongeze nin Paw kama inawezekana unganisheni sehem zote mziweke mwanzoni, ili mtu akifungua uzi akutane na mkeka mzima, maana huu uzi unaondoa mawaza kwa watu wenye shida kama sisi😂 na kupanua fikra.

Naona watu wengi wameuliza kwa nini annunaki hawakutumia teknologia yao badala yake wakamuumba mtu

Nichangie kdogo kuhusu hilo, unajua kabla ya ujio wa abrahamic religion kila watu walikuwa na Mungu wao. Afrika tulikuwa na mizimu yetu tena kwa majina ambayo jamii mbali mbali ziliabudu na kubarikiwa vizuri tu.

Annunaki walimuumba binadamu ili awe msaidizi katika operation zao, level yao ya teknologia iliishia pale, kuonyesha kwamba kumuumba mtu ni teknologia ya juu na haitafikiwa, mpaka leo hakuna aliyewahi kumrudishia uhai mtu aliyekufa.

Kulikuwepo na miungu na siyo Mungu, ukisoma katika annunaki mutiny, ilitokea uhasi na machafuko baina yao, Amri ya kwamba msiabudu miungu wengine, ni Amri iliyotolewa baada ya ancients kuanza kuabudu hiyo miungu, ukatokea mmoja ukawapa amri, lengo ni kuwafanya wautii.

Mumeambiwa mungu alikuwa na malaika, Enki stand for God na anu for angels.

Mungu muweza wa yote kama dini zinavyosema, atashindwaje kumumaliza shetani kabisaa, Yaani Mungu atende miujiza na uponyaji hapa hapo na miungu itende miujiza na kuponya watu (hebu jiulizeni).

Mnaambiwa Mungu ni roho, hicho kitu hakipo ilikitu ki exist lazima kievolve bila mwili na damu kiumbe akija kamilika, roho itahukumuje mtu siku ya mwisho kama wanavyosema, hicho kitu hakipo.

Hamuoni china na wahindi wanavyoabudu miungu yao inayoonekana kabisa kwa njia ya sanamu na kubarikiwa tena kwa kutoa hadi sadaka ya damu. Kwani nyama na damu mlizokuwa mnaweka kwa ajili ya mizimu yenu, nani alikuwa anazichukua?,

Sisi tumetokana na kiumbe mwenye mwili kama sisi na si roho tu. Annunaki wakati wanatoweka duniani kutokana na kuabudiwa waliweka agano la kurudi tena duniani baada ya muda mrefu, baada ya kuzisoma code zao zilizoachwa kama ishara zao za kukaribia kurudi tena duniani, hawa wataalamu wa dini wakaja na stori za siku ya kihama.

Ni kweli hawa viumbe watarudi tena duniani, wenzetu wameshajua siri zote, ndiyo maana unaona wanaangaika kutafuta makazi mapya nje ya dunia.

Einstein baada ya kusoma weapons of annunaki na kugundua kwamba walikuwa na silaha za nyukilia, yeye na jopo lake ndiyo ukawa mwanzo wa kutafiti na kuunda siraha za maangamizi lengo si kwa binadamu tu bali hata kwa annunaki ikitokea wamerudi ghafla duniani, huku utafiti wa makazi mapya ya badae kwenye sayari nyingine ukiwa kipaumbele kikubwa, NASA na taasisi dini wanajua kila kitu kuhusu hawa viumbe lakini kamwe hawatakaa waseme kamwe.

Wachina mwanzoni walianza wamepuzia hizi habari licha ya kuwa na taarifa nyeti kuhusu ancient civilisation, baada ya kuanza kuzifanyia kazi, kwa sasa teknologia wameiweka kiganjani mwao na sasa wanachanja mbuga na wao.

Taarifa zozote nyeti ambazo hawazijuhi kuhusu sumerians, wakifahamu unazo ni either ufe au wazichukue wao.
Mumeambiwa mumeumbwa kwa mfano wake, kwahiyo kama yeye ni roho tu, ilitakiwa na sisi sasa hivi tuwe roho tu.

Ndiyo maana mafundisho ya dini kuhusu Mungu na shetani yanafundishwa mkiwa wadogo sana ili kuwa manipulate kisaikolojia na kiakili, hizo habari wangezifundisha mumeshafunguka kiakili kama hivi, dhamira yao ingeshindwa,vibaya sana.

Sisi ni mwili na roho na tumeumbwa na mwili na roho, sisi hatuwezi kuwa roho tu na aliyetuumba siyo roho tu bali na mwili.

Wakiristo tunasali kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu, maana yake baba yetu sisi anazaa pia na ana mwili kama sisi (roho haiwezi kuzaa).

Nawatakia majukumu mema members wote wa JF.
Jf forever
 
Pia..nahis kila kilichomo dunian kina sababu na maana..either utegemez or vingnevyo..so those intelligent beings waliofanya yote haya .hata kutengeneza earth and all these bodies in the universe naamin walitengeneza pia hata hvyo vitu natural occuring kama elements etc...sabab walijua end product ya chochote wanachofanya ni for the good ya ku drive life huku ulimwenguni....we actualy dont know exactly who created us or all these we see n dont see...lakin mim binafs naamin alietengeneza haya yote must be veeery intelligent na pia naamin sio kiumbe simple minded kama tunavyoaminishwa kwamba ..he judges when you commit sin n bla bla..naamin huyu creator is beyond that...ndomana hata huwa nawambia watu..the tru creator of all this hawez kuwa na muda na et kunichunguza nazini..sjui naiba n bla bla...hta mwanasayans wa kawaida tu yuko busy na hana muda wa ujinga..[emoji1]

Na pia naamin creation hyo ya yote haya haikua ni taaa...imetokea..no no no.naamin ilikua ni process of making things n ilichukua bilion or milions of yrs to accomplish..na naamin ilikua ni system of sio creator m1 pekee bali ni mfumo na taasisi kubwa of intelligent beings...so..perhaps sabab hatujui jina lake hao creator n all that..mayb ndomana wanadam sie tukaita" Mungu".."God"...so wanaotafuta zaid details ndo wakaja sasa kuchambua ni kina nan hao waliocreat ..so wengne wanasema ni anunaki etc wengn watasema ni yahwea..so we are all searching ...finding out who is who
To add on this katika process of making things not accomplished yet. Angalia kwa umakini natural things zinazokuzunguka zipo na consecutive changes.
 
Pia..nahis kila kilichomo dunian kina sababu na maana..either utegemez or vingnevyo..so those intelligent beings waliofanya yote haya .hata kutengeneza earth and all these bodies in the universe naamin walitengeneza pia hata hvyo vitu natural occuring kama elements etc...sabab walijua end product ya chochote wanachofanya ni for the good ya ku drive life huku ulimwenguni....we actualy dont know exactly who created us or all these we see n dont see...lakin mim binafs naamin alietengeneza haya yote must be veeery intelligent na pia naamin sio kiumbe simple minded kama tunavyoaminishwa kwamba ..he judges when you commit sin n bla bla..naamin huyu creator is beyond that...ndomana hata huwa nawambia watu..the tru creator of all this hawez kuwa na muda na et kunichunguza nazini..sjui naiba n bla bla...hta mwanasayans wa kawaida tu yuko busy na hana muda wa ujinga..[emoji1]

Na pia naamin creation hyo ya yote haya haikua ni taaa...imetokea..no no no.naamin ilikua ni process of making things n ilichukua bilion or milions of yrs to accomplish..na naamin ilikua ni system of sio creator m1 pekee bali ni mfumo na taasisi kubwa of intelligent beings...so..perhaps sabab hatujui jina lake hao creator n all that..mayb ndomana wanadam sie tukaita" Mungu".."God"...so wanaotafuta zaid details ndo wakaja sasa kuchambua ni kina nan hao waliocreat ..so wengne wanasema ni anunaki etc wengn watasema ni yahwea..so we are all searching ...finding out who is who
Katika mfumo uundaji seems kuwapo categories na sub categories.

Human
- Sub
- V Sub

Animals
- Sub
- Sub 2
- V Sub

And extra between this still wapo associates yes mwili umeumbwa lakini yupo mtaalamu wa neurons, aesthetic and co. Mfano mzuri ni huu strategically katika dunia na viumbe tulivyonavyo;-

  • Founder/s
  • Heads
  • Leads

  • Enginering Team
  • Design Team
  • Researh Team
  • Marketing Team
  • Security Team
  • Support Team
  • Diversity & Inclusion Team

Sound Technician, Video Technicians and co within these utaona how human na planets and worlds zimekuwa projected na built. How to see, hear, talk and walk even more.

Katika mistakes, errors, crashes na bugs we found disabled people, mental and so called geniuses – geniuses ni matokeo ya bugs. Jua kutochomoza exactly time and place its a bug katika rotation ya planets and so many.
 
kyee! kyeee! kyeee!
Wewe jamaa ni Bonge la kituko Bora nilivyokutag Kupitia huu uzi watu wameshajua wewe ni zuzu first class,
Na ndio maana Kule jukwaa la complain walikuanzishia mada kwamba ni wewe ni
juha,brain washed,Mzee wa conspiracy theories na zile mada zako zilizojaa viroja tupu
Kutwa kumsingizia Lucifer na Satan mambo kibao na hata huna uthibitisho kama yupo zaidi ya porojo tu!
Mathanzua wewe ni zuzu believe me na vingereza vyako vya infact,you know,but,either,nor huna lolote Bora nikuchane ukweli tu
Yaani wewe umesoma kitabu kimoja tu nacho ni Bible ila unajiona unajua sana Kuliko wenzako waliosoma vitabu 500 na Bado Wana kiu ya kupata maarifa
Religious people like you ni wajinga kiwango Cha SGR!
😂😂😂😂
Nimesema,time will tell kama mimi ni mjinga.Nimesema pia kwamba hizo story za akina Annunaki is rubbish,wenzenu tunazijua,ila kwa kuwa we are intelligent tumezidharau.

Dumas,mimi sisomi kitabu kimoja,nasoma kweli kweli,ila heresy kama za akina Anunaki naacha pembeni.Ni upuuzi,hazina chembe ya ukweli.
 
Huna hoja Mkuu ispokuwa maneno yako yamejaa hofu tu as if Kuna mtu alikufa na akarudi akakwambia ni kweli alikutana na mateso ya moto huko jehanam

Wewe hizi mada hazikufai ungeachana nazo tu ndugu yangu, maana hufikilii tena na Kwa Akili ila unaendeshwa na hisia tu, una uhakika Gani kwamba hizo akili za Napoleone amepewa na Mungu unaemfklia wewe? Unaposema akili za God ziko juu mno, first ni God yupi unamuongelea na second umetumia kipimo Gani kujua hilo?

Kama akili ya mtu ambae ana Guts za kuhoji what's behind human creation unaita"Kaakili" je wewe unaeamini Mungu atachoma moto viumbe aliowaumba ye mwenyewe Je utakuwa una Kaakili negative ngapi Mkuu? Awachome moto alafu ye apate faida Gani?

Utanisamee bro, To be honest hii issue ni kubwa sana Kwa uwezo wako wa kufikiri Mkuu,ni kheri ukaipotezea tu maana hutopungukiwa chochote na wapuuze wanaokuita huku maana huna unachochangia kinachofikirisha ili mtu aseme yes mshkaji ana hoja, wenzako wanajadili Kwa facts wewe unaleta hadithi za Imani tu

Mngeanzisha Uzi wenu mkaanza kujadiliana ni maswali gani mtaulizwa kabla ya kuchomwa Moto, ni namna gani unaweza kumshawishi Mungu akakuelewa ata kama umekosea majibu, ni namna gani unaweza kutoroka jehanam,ni namna gani unaweza kupata free pass ya kwenda kumsalimia Mtu alie Peponi, ni nyimbo zipi zitafaa sana kupigwa Peponi ili mzuka wa kusifu usikate nk, huko nadhani ungechangia vingi sana kuliko hapa
Huu uzi wafungwa wa dini hauwafai.
Mimi mwenyewe ni mtu wa dini, nimewahi mpaka kuwa junior pastor na kufanya some miracles lakini ukweli ni kwamba watu wa imani tumepigwa.
 
Nimesema,time will tell kama mimi ni mjinga.Nimesema pia kwamba hizo story zatakina Annunaki is rubbish,wenzenu tunazijua,ila kwa kuwa we are intelligent tumezidharau.

Dumas,mimi sisomi kitabu kimoja,nasoma kweli kweli,ila heresy kama za akina Anunaki naacha pembeni.Ni upuuzi.
Shida yako ni pale unapoona habari za kina anunaki ni upuuzi

Halafu bila ya kuchelewa unawasilisha habari ya vidude vinaitwa Mungu na Shetani

Yawezeka mnakunywa pombe ileile kwenye glasi tofauti
 
Huu uzi wafungwa wa dini hauwafai.
Mimi mwenyewe ni mtu wa dini, nimewahi mpaka kuwa junior pastor na kufanya some miracles lakini ukweli ni kwamba watu wa imani tumepigwa.
Kuwa mtu wa dini Haina maana kwamba ndio Uwe mjinga mjinga, Kuna watu wa dini wako very smart na kwenye hii mada wangeenda toe to toe na mtoa mada Kwa kutoa facts na hoja zenye kufikirisha, Kuna watu wa dini kumuingia na hizi mambo ujipange haswaaa maana unaweza kutoka Kapa Kwa jinsi alivo smart Kichwani

ila huyo Mkuu ye hana points Wala facts anazochangia kwenye huu Uzi ambazo zinaweza kumfikirisha mtu ambae ni free minded, ukisoma comment zake zote ni mtu aliejaa hofu tu na hakuna ata sehemu Moja ambayo ameuliza au kuchangia kitu chenye kufikirisha, ni wazi Kuwa ana matumizi mabaya ya Akili zake

Atakwambia we unaringia uzima huo ulionao sa Kwani Kuna mtu ataishi milele kisa ahoji mambo ya uumbaji? Sa mtu wa namna hii unamweka kwenye kundi la watu Gani ndugu yangu?

Hapo alipo ye ata haelewi objective ya huu Uzi, ye Anajua huu Uzi upo kwa ajili ya kupinga kwamba hakuna Mungu, kwahiyo Kwa lugha nyepesi sana jamaa anauwekea limitations Ubongo wake kwamba hiki siulizi Wala sihoji na hiki acha nibishe tu

Unajiuliza mtu anapata wapi ujasiri wa kuuliza hao Annunaki waliumbwa na nani? ila at the same time anaridhika na jibu la Kuwa Mungu wake ye hajaumbwa Wala hajazaliwa na hana guts za kuuliza viongozi wake wa dini, we mtu wa namna hii unahangaika nae wa nini?

Mtu anauliza sasa kama hao Annunaki walikuwa na technology kubwa ya kuweza kuumba binadamu sa Kwa nini aumbe kiumbe dhaifu kuliko wao kimsaidie kuchimba dhahabu? ila hajawahi kuuliza kama Mungu ameumba Kila kitu tena Kwa kunena,anaona Kila kitu,Anajua kila kitu ilikuaje akaumba viumbe dhaifu kuliko yeye Malika ili wawe wasaidizi wake ikiwa ye ni complete package?

Anasema pyramid zilijengwa Kwa ajili ya kuzikwa pharaohs, sa ilikuaje watumie technology kubwa kiasi kile kwenye makabuli tu na sio makazi Yao? kama pyramid ni kwa ajili ya pharaoh je zile za America kusini Zilikuwa zinazikiwa kina nani?

Mtu ambae anaamini Kuwa unaweza kuchoma moto wa milele watoto wako kisa tu wamedhini, kisa tu wamesema uongo,kisa tu wamemkubali zaidi baba wa Kambo kuliko wewe, na wakati huo huo wanasema we ni baba mwenye huruma na unapenda watoto wako sa hii ni Akili au matope?

Mtu ambae anaamini Imani ambayo ndo kwanza unakuta ina miaka 1500 tangu inanzishwe ila anakuja kubishia history ambayo ipo Kwa Malaki ya miaka nyuma na ikiwa inafanana na maandiko ya Imani yake ila haelewi sa huyu mtu unamfanyaje? Ni wazi kwamba wanaendeshwa na hofu tu na hawataki kutumia ata theruthi ya Ubongo wao kufikiria
 
Nimesema,time will tell kama mimi ni mjinga.Nimesema pia kwamba hizo story za akina Annunaki is rubbish,wenzenu tunazijua,ila kwa kuwa we are intelligent tumezidharau.

Dumas,mimi sisomi kitabu kimoja,nasoma kweli kweli,ila heresy kama za akina Anunaki naacha pembeni.Ni upuuzi.
Acha Uongo na ujuha kama unazijua hizo Hadith za Annunaki ungeshare hapa maana ndio lengo la Uzi Kila Mmoja angeona maoni Yako,Tatizo lako hujui kitu ila unaleta ubishi wako wa kijuha hapa,kwanza Sio ANUNNAK tu ambao huwajui hata huyo Mungu unayemwabudu pamoja na maajent wake kina Jesus hata huwajui umewazoma tu Kwenye Bible iliyochapishwa na kina king Constantine pale Nicea committee Constantinople city,
Nje ya hapo huna maarifa Kwa lolote kuanzia historia ya Abrahamic Religion Wala Elimu kuhusu ulimwengu,
Kiufupi wewe ni mlokole masalia wale wajinga first class!
Hata Wewe unavyojinadi Humu unajua mipango ya Lucifer kuuhadaa ulimwengu huna ufahamu kumhusu yeye Wala huyo Mungu wako na nakiri nimekuzidi mbali Kwa ufahamu kiasi kwamba kikiamua kuzitumia kama tools kuuhadaa watu hakuna mbongo mjinga hataacha kuniita Nabii na kunifuata niwe mtumishi wake na uwezo huo Tena mkubwa sana,
Naweza pia kuendesha ibada na mikutano mbali mbali yenye ushawishi Kwa kutumia jina la Yesu na hata Wewe nikakuteka ukawa mfuasi Wangu,
Mtaani nakoishi na sehemu zote ambazo hua napita hua wananinita mtumishi na huwa naheshimiwa nikikaa hata Kwenye vijiwe vya kahawa nikiongea nao maswala ya Dini Kwa ajili ya kujenga good morals and dogma katika Jamii via Religion
Ila kiukweli hawajui ndani yangu
Mimi ni Atheist grade one
So wewe Mathanzua huna hoja na hujanizidi Kwa lolote japo hua unajifanya mfia dini ila ni empty head nenda kasome sana ndio uje ubishane na Kijana wako hapa bila hivyo nitakutoa baruti na ipo siku nitaanzisha maada ya uchambuzi wa bible verses nikihubiri humu halafu nitakutag uniprove wrong!

Wake up!
 
Kuwa mtu wa dini Haina maana kwamba ndio Uwe mjinga mjinga, Kuna watu wa dini wako very smart na kwenye hii mada wangeenda toe to toe na mtoa mada Kwa kutoa facts na hoja zenye kufikirisha, Kuna watu wa dini kumuingia na hizi mambo ujipange haswaaa maana unaweza kutoka Kapa Kwa jinsi alivo smart Kichwani

ila huyo Mkuu ye hana points Wala facts anazochangia kwenye huu Uzi ambazo zinaweza kumfikirisha mtu ambae ni free minded, ukisoma comment zake zote ni mtu aliejaa hofu tu na hakuna ata sehemu Moja ambayo ameuliza au kuchangia kitu chenye kufikirisha, ni wazi Kuwa ana matumizi mabaya ya Akili zake

Atakwambia we unaringia uzima huo ulionao sa Kwani Kuna mtu ataishi milele kisa ahoji mambo ya uumbaji? Sa mtu wa namna hii unamweka kwenye kundi la watu Gani ndugu yangu?

Hapo alipo ye ata haelewi objective ya huu Uzi, ye Anajua huu Uzi upo kwa ajili ya kupinga kwamba hakuna Mungu, kwahiyo Kwa lugha nyepesi sana jamaa anauwekea limitations Ubongo wake kwamba hiki siulizi Wala sihoji na hiki acha nibishe tu

Unajiuliza mtu anapata wapi ujasiri wa kuuliza hao Annunaki waliumbwa na nani? ila at the same time anaridhika na jibu la Kuwa Mungu wake ye hajaumbwa Wala hajazaliwa na hana guts za kuuliza viongozi wake wa dini, we mtu wa namna hii unahangaika nae wa nini?

Mtu anauliza sasa kama hao Annunaki walikuwa na technology kubwa ya kuweza kuumba binadamu sa Kwa nini aumbe kiumbe dhaifu kuliko wao kimsaidie kuchimba dhahabu? ila hajawahi kuuliza kama Mungu ameumba Kila kitu tena Kwa kunena,anaona Kila kitu,Anajua kila kitu ilikuaje akaumba viumbe dhaifu kuliko yeye Malika ili wawe wasaidizi wake ikiwa ye ni complete package?

Anasema pyramid zilijengwa Kwa ajili ya kuzikwa pharaohs, sa ilikuaje watumie technology kubwa kiasi kile kwenye makabuli tu na sio makazi Yao? kama pyramid ni kwa ajili ya pharaoh je zile za America kusini Zilikuwa zinazikiwa kina nani?

Mtu ambae anaamini Kuwa unaweza kuchoma moto wa milele watoto wako kisa tu wamedhini, kisa tu wamesema uongo,kisa tu wamemkubali zaidi baba wa Kambo kuliko wewe, na wakati huo huo wanasema we ni baba mwenye huruma na unapenda watoto wako sa hii ni Akili au matope?

Mtu ambae anaamini Imani ambayo ndo kwanza unakuta ina miaka 1500 tangu inanzishwe ila anakuja kubishia history ambayo ipo Kwa Malaki ya miaka nyuma na ikiwa inafanana na maandiko ya Imani yake ila haelewi sa huyu mtu unamfanyaje? Ni wazi kwamba wanaendeshwa na hofu tu na hawataki kutumia ata theruthi ya Ubongo wao kufikiria
usemacho ni kweli Hata Mimi nikiri ukweli katika Maisha yangu na mienendo yangu wengi huadhani ni mtumishi wa Mungu maana hua naongea maneno ya kujenga sana na yenye fact,wengi hua wanafunguka kiroho mfano ni wiki mbili zimepita tangu nimhabarishe Mzee mmoja ambaye ni mgonjwa wa muda mrefu kidogo alikua anasumbuliwa na tumbo lilijaa maji nikawa naenda mtaani kwake anapokaa tunakaa sehemu tunajadili maswala mbali mbali alikua mcheshi sana akawa ananipa habari kwamba yeye kafanya kazi na wazungu wengi na wote walikua maatheist akasema walimfunza mengi sana kiasi kwamba akafunguka akili,
Mimi nikagongelea msumari kuhusu Waafrika kupata mapokeo ya kidini bila ufahamu wowote na nilianza kumueleza dhana ya Mungu Kwa mtazamo tofauti sana,
Nilimwambia Mungu Sio kiumbe kama Kile mlichokaririshwa na viongozi wa dini,Mungu ni Sheria pamoja na kanuni kuu zinazouendesha huu ulimwengu ziwe hasi au chanya na hizo Nguvu Sio kiumbe chochote maana zipo juu ya Kila kitu,

Na kiroho Kila kiumbe katika ulimwengu huzitumia Kwa manufaa yake Kuna viumbe huzitumia Kwa mambo chanya hao huitaa
Mungu na wale wanaozitumia Kwa mambo hasi huita Shetani

Ila hiyo nguvu kuu haipo upande wowote katika hao watumiaji ila watumiaji ndio hupata matokeo either kujenga au kubomoa
Na matokeo hujulikana
Ukizifanyia ubaya zile nguvu matokeo utapata ni uharibifu na ukizifanyia wema matokeo utapata kujenga,
Kitakachowahukumu ni zile Sheria na kanuni mlizojiwekea maana mbaya lazima atawajibishwa Kwa kutumia nguvu vibaya na kuleta uhalibifu na mwema atalipwa mema sawa na matendo yake,

Yule Mzee nilimfunulia mengi akakiri hiyo Elimu kubwa hajawahi Pata popote yaani alinistaajabu sana maana nilimpa maneno ya kumfariji mno kiasi kwamba akawa ananitambulisha Kwa Kila mtu pale akawa anasema aaah Aisee huyu jamaa ni mtumishi wa bwana wa ukweli kabisa maana nilimpa na mbinu za kuomba kufungua milango ya mbinguni Bila kumtumia wakala anayeitwa mchungaji nikamwambia Kila binadamu ana nguvu ila wengi hushindwa zitumia kufungua milango ya kiroho kutuma maombi Kwa Mungu direct bila kupata muombezi,
Na aliniahidi atabadilika na taanza kumtegemea Mungu Kwa roho na kweli bila msaada wa kiumbe yeyote hapa Duniani,
Siku ya pili nikakutana nae akasema SoMo ulilonipa nimelitafakari na limenifungua na furaha sana moyoni Sina hofu na chochote
Daaaa so sad haijapita hata wiki mbili tumbo likaanza msumbua Tena maana lilivimba Kwa Miaka miwili Sasa akaenda hospital akamwaga maji yote akawa kawaida anatembea fresh na Kuna jirani akaenda kumpa hai akaniliulizia maana nilipata salamu zake maana nilishindwa kwenda kumuona sababu nilikua na changamoto pia baada ya siku kadhaa akahamishwa hospital juzi kafariki Jana kazikwa moyo unaniuma sana,
Maana alipanga akirudi tutaongea mengi sana ya kujenga
Na ndio maana aliniulizia kule hospital licha ya kua ni mgonjwa

So sad R.I.P
 
Kwakweli hapa tulipo yawezekana mpaka viongozi wazito wa dini wanajua yaliyo sirini hasa wale wa Vatican.
Mungu wa huruma aache watu aliowaumba wauane, wafe kwa njaa, waumwe na kuteseka.
Impossible
Kuwa mtu wa dini Haina maana kwamba ndio Uwe mjinga mjinga, Kuna watu wa dini wako very smart na kwenye hii mada wangeenda toe to toe na mtoa mada Kwa kutoa facts na hoja zenye kufikirisha, Kuna watu wa dini kumuingia na hizi mambo ujipange haswaaa maana unaweza kutoka Kapa Kwa jinsi alivo smart Kichwani

ila huyo Mkuu ye hana points Wala facts anazochangia kwenye huu Uzi ambazo zinaweza kumfikirisha mtu ambae ni free minded, ukisoma comment zake zote ni mtu aliejaa hofu tu na hakuna ata sehemu Moja ambayo ameuliza au kuchangia kitu chenye kufikirisha, ni wazi Kuwa ana matumizi mabaya ya Akili zake

Atakwambia we unaringia uzima huo ulionao sa Kwani Kuna mtu ataishi milele kisa ahoji mambo ya uumbaji? Sa mtu wa namna hii unamweka kwenye kundi la watu Gani ndugu yangu?

Hapo alipo ye ata haelewi objective ya huu Uzi, ye Anajua huu Uzi upo kwa ajili ya kupinga kwamba hakuna Mungu, kwahiyo Kwa lugha nyepesi sana jamaa anauwekea limitations Ubongo wake kwamba hiki siulizi Wala sihoji na hiki acha nibishe tu

Unajiuliza mtu anapata wapi ujasiri wa kuuliza hao Annunaki waliumbwa na nani? ila at the same time anaridhika na jibu la Kuwa Mungu wake ye hajaumbwa Wala hajazaliwa na hana guts za kuuliza viongozi wake wa dini, we mtu wa namna hii unahangaika nae wa nini?

Mtu anauliza sasa kama hao Annunaki walikuwa na technology kubwa ya kuweza kuumba binadamu sa Kwa nini aumbe kiumbe dhaifu kuliko wao kimsaidie kuchimba dhahabu? ila hajawahi kuuliza kama Mungu ameumba Kila kitu tena Kwa kunena,anaona Kila kitu,Anajua kila kitu ilikuaje akaumba viumbe dhaifu kuliko yeye Malika ili wawe wasaidizi wake ikiwa ye ni complete package?

Anasema pyramid zilijengwa Kwa ajili ya kuzikwa pharaohs, sa ilikuaje watumie technology kubwa kiasi kile kwenye makabuli tu na sio makazi Yao? kama pyramid ni kwa ajili ya pharaoh je zile za America kusini Zilikuwa zinazikiwa kina nani?

Mtu ambae anaamini Kuwa unaweza kuchoma moto wa milele watoto wako kisa tu wamedhini, kisa tu wamesema uongo,kisa tu wamemkubali zaidi baba wa Kambo kuliko wewe, na wakati huo huo wanasema we ni baba mwenye huruma na unapenda watoto wako sa hii ni Akili au matope?

Mtu ambae anaamini Imani ambayo ndo kwanza unakuta ina miaka 1500 tangu inanzishwe ila anakuja kubishia history ambayo ipo Kwa Malaki ya miaka nyuma na ikiwa inafanana na maandiko ya Imani yake ila haelewi sa huyu mtu unamfanyaje? Ni wazi kwamba wanaendeshwa na hofu tu na hawataki kutumia ata theruthi ya Ubongo wao kufikiria
 
Acha Uongo na ujuha kama unazijua hizo Hadith za Annunaki ungeshare hapa maana ndio lengo la Uzi Kila Mmoja angeona maoni Yako,Tatizo lako hujui kitu ila unaleta ubishi wako wa kijuha hapa,kwanza Sio ANUNNAK tu ambao huwajui hata huyo Mungu unayemwabudu pamoja na maajent wake kina Jesus hata huwajui umewazoma tu Kwenye Bible iliyochapishwa na kina king Constantine pale Nicea committee Constantinople city,
Nje ya hapo huna maarifa Kwa lolote kuanzia historia ya Abrahamic Religion Wala Elimu kuhusu ulimwengu,
Kiufupi wewe ni mlokole masalia wale wajinga first class!
Hata Wewe unavyojinadi Humu unajua mipango ya Lucifer kuuhadaa ulimwengu huna ufahamu kumhusu yeye Wala huyo Mungu wako na nakiri nimekuzidi mbali Kwa ufahamu kiasi kwamba kikiamua kuzitumia kama tools kuuhadaa watu hakuna mbongo mjinga hataacha kuniita Nabii na kunifuata niwe mtumishi wake na uwezo huo Tena mkubwa sana,
Naweza pia kuendesha ibada na mikutano mbali mbali yenye ushawishi Kwa kutumia jina la Yesu na hata Wewe nikakuteka ukawa mfuasi Wangu,
Mtaani nakoishi na sehemu zote ambazo hua napita hua wananinita mtumishi na huwa naheshimiwa nikikaa hata Kwenye vijiwe vya kahawa nikiongea nao maswala ya Dini Kwa ajili ya kujenga good morals and dogma katika Jamii via Religion
Ila kiukweli hawajui ndani yangu
Mimi ni Atheist grade one
So wewe Mathanzua huna hoja na hujanizidi Kwa lolote japo hua unajifanya mfia dini ila ni empty head nenda kasome sana ndio uje ubishane na Kijana wako hapa bila hivyo nitakutoa baruti na ipo siku nitaanzisha maada ya uchambuzi wa bible verses nikihubiri humu halafu nitakutag uniprove wrong!

Wake up!
Upo sahihi hakuna mahala nimekashfu dini. Tunajadili kile kilichoandikwa kwenye vitabu vya dini, ambacho kimefichwa na watu wanashindwa kukielewa. Mtu mwenye akili zake timamu akisoma ataelewa vizuri nini tunajadili hapa. Hapa jamvini wapo watu wengi wa dini, wachungaji, mapadri, wainjilisti n.k, kwahiyo wapo ambao wanasoma na kupotezea, wapo wanaosoma na kupata kitu na kuamua kwenda kuchimba zaidi kwenye vitabu vya na mafundisho yao n.k, kingine theologian anaweza taka kujibu ila visible references hana, hivyo akaogopa maswali na kuibua mijadala mingine inayoweza kumuyumbisha kiimani, kingine mimi katika kujadili hili bado natumia bible kama reference na kuambatanisha visible references, kwahiyo kuyahamisha maneno tu, ujibu vitu real vilivyothibitishwa na kuonekana kidogo lazima ilete ugumu.
 
usemacho ni kweli Hata Mimi nikiri ukweli katika Maisha yangu na mienendo yangu wengi huadhani ni mtumishi wa Mungu maana hua naongea maneno ya kujenga sana na yenye fact,wengi hua wanafunguka kiroho mfano ni wiki mbili zimepita tangu nimhabarishe Mzee mmoja ambaye ni mgonjwa wa muda mrefu kidogo alikua anasumbuliwa na tumbo lilijaa maji nikawa naenda mtaani kwake anapokaa tunakaa sehemu tunajadili maswala mbali mbali alikua mcheshi sana akawa ananipa habari kwamba yeye kafanya kazi na wazungu wengi na wote walikua maatheist akasema walimfunza mengi sana kiasi kwamba akafunguka akili,
Mimi nikagongelea msumari kuhusu Waafrika kupata mapokeo ya kidini bila ufahamu wowote na nilianza kumueleza dhana ya Mungu Kwa mtazamo tofauti sana,
Nilimwambia Mungu Sio kiumbe kama Kile mlichokaririshwa na viongozi wa dini,Mungu ni Sheria pamoja na kanuni kuu zinazouendesha huu ulimwengu ziwe hasi au chanya na hizo Nguvu Sio kiumbe chochote maana zipo juu ya Kila kitu,

Na kiroho Kila kiumbe katika ulimwengu huzitumia Kwa manufaa yake Kuna viumbe huzitumia Kwa mambo chanya hao huitaa
Mungu na wale wanaozitumia Kwa mambo hasi huita Shetani

Ila hiyo nguvu kuu haipo upande wowote katika hao watumiaji ila watumiaji ndio hupata matokeo either kujenga au kubomoa
Na matokeo hujulikana
Ukizifanyia ubaya zile nguvu matokeo utapata ni uharibifu na ukizifanyia wema matokeo utapata kujenga,
Kitakachowahukumu ni zile Sheria na kanuni mlizojiwekea maana mbaya lazima atawajibishwa Kwa kutumia nguvu vibaya na kuleta uhalibifu na mwema atalipwa mema sawa na matendo yake,

Yule Mzee nilimfunulia mengi akakiri hiyo Elimu kubwa hajawahi Pata popote yaani alinistaajabu sana maana nilimpa maneno ya kumfariji mno kiasi kwamba akawa ananitambulisha Kwa Kila mtu pale akawa anasema aaah Aisee huyu jamaa ni mtumishi wa bwana wa ukweli kabisa maana nilimpa na mbinu za kuomba kufungua milango ya mbinguni Bila kumtumia wakala anayeitwa mchungaji nikamwambia Kila binadamu ana nguvu ila wengi hushindwa zitumia kufungua milango ya kiroho kutuma maombi Kwa Mungu direct bila kupata muombezi,
Na aliniahidi atabadilika na taanza kumtegemea Mungu Kwa roho na kweli bila msaada wa kiumbe yeyote hapa Duniani,
Siku ya pili nikakutana nae akasema SoMo ulilonipa nimelitafakari na limenifungua na furaha sana moyoni Sina hofu na chochote
Daaaa so sad haijapita hata wiki mbili tumbo likaanza msumbua Tena maana lilivimba Kwa Miaka miwili Sasa akaenda hospital akamwaga maji yote akawa kawaida anatembea fresh na Kuna jirani akaenda kumpa hai akaniliulizia maana nilipata salamu zake maana nilishindwa kwenda kumuona sababu nilikua na changamoto pia baada ya siku kadhaa akahamishwa hospital juzi kafariki Jana kazikwa moyo unaniuma sana,
Maana alipanga akirudi tutaongea mengi sana ya kujenga
Na ndio maana aliniulizia kule hospital licha ya kua ni mgonjwa

So sad R.I.P
Apumzike Kwa amani Mzee wako na pole kwa msiba Mkuu...! Me bana sio Atheist au niseme bado sijawa Atheist ila ni mkristo ambae nimelelewa na kukulia katika misingi ya Imani hiyo

ila napenda tu kusoma kuhusu mada mbali mbali ambazo zinafikirisha juu ya uumbwaji wa mwanadamu maana Kuna contraindications nyingi sana kwenye hizi Imani zetu na ukiwa mtu wa kuhoji lazima utataka kuujua ukweli

Na Kwa namna Moja au ingine jf imechangia sana me Leo Kuwa vile nilivo maana haya mambo huwezi Kuta mtaani watu wanajadili, hivo mbarikiwe mnaoleta mada kama hizi, ningependa siku 1 nikutane na Atheist ili anipe mwanga zaidi, on how they operate and everything about them
 
usemacho ni kweli Hata Mimi nikiri ukweli katika Maisha yangu na mienendo yangu wengi huadhani ni mtumishi wa Mungu maana hua naongea maneno ya kujenga sana na yenye fact,wengi hua wanafunguka kiroho mfano ni wiki mbili zimepita tangu nimhabarishe Mzee mmoja ambaye ni mgonjwa wa muda mrefu kidogo alikua anasumbuliwa na tumbo lilijaa maji nikawa naenda mtaani kwake anapokaa tunakaa sehemu tunajadili maswala mbali mbali alikua mcheshi sana akawa ananipa habari kwamba yeye kafanya kazi na wazungu wengi na wote walikua maatheist akasema walimfunza mengi sana kiasi kwamba akafunguka akili,
Mimi nikagongelea msumari kuhusu Waafrika kupata mapokeo ya kidini bila ufahamu wowote na nilianza kumueleza dhana ya Mungu Kwa mtazamo tofauti sana,
Nilimwambia Mungu Sio kiumbe kama Kile mlichokaririshwa na viongozi wa dini,Mungu ni Sheria pamoja na kanuni kuu zinazouendesha huu ulimwengu ziwe hasi au chanya na hizo Nguvu Sio kiumbe chochote maana zipo juu ya Kila kitu,

Na kiroho Kila kiumbe katika ulimwengu huzitumia Kwa manufaa yake Kuna viumbe huzitumia Kwa mambo chanya hao huitaa
Mungu na wale wanaozitumia Kwa mambo hasi huita Shetani

Ila hiyo nguvu kuu haipo upande wowote katika hao watumiaji ila watumiaji ndio hupata matokeo either kujenga au kubomoa
Na matokeo hujulikana
Ukizifanyia ubaya zile nguvu matokeo utapata ni uharibifu na ukizifanyia wema matokeo utapata kujenga,
Kitakachowahukumu ni zile Sheria na kanuni mlizojiwekea maana mbaya lazima atawajibishwa Kwa kutumia nguvu vibaya na kuleta uhalibifu na mwema atalipwa mema sawa na matendo yake,

Yule Mzee nilimfunulia mengi akakiri hiyo Elimu kubwa hajawahi Pata popote yaani alinistaajabu sana maana nilimpa maneno ya kumfariji mno kiasi kwamba akawa ananitambulisha Kwa Kila mtu pale akawa anasema aaah Aisee huyu jamaa ni mtumishi wa bwana wa ukweli kabisa maana nilimpa na mbinu za kuomba kufungua milango ya mbinguni Bila kumtumia wakala anayeitwa mchungaji nikamwambia Kila binadamu ana nguvu ila wengi hushindwa zitumia kufungua milango ya kiroho kutuma maombi Kwa Mungu direct bila kupata muombezi,
Na aliniahidi atabadilika na taanza kumtegemea Mungu Kwa roho na kweli bila msaada wa kiumbe yeyote hapa Duniani,
Siku ya pili nikakutana nae akasema SoMo ulilonipa nimelitafakari na limenifungua na furaha sana moyoni Sina hofu na chochote
Daaaa so sad haijapita hata wiki mbili tumbo likaanza msumbua Tena maana lilivimba Kwa Miaka miwili Sasa akaenda hospital akamwaga maji yote akawa kawaida anatembea fresh na Kuna jirani akaenda kumpa hai akaniliulizia maana nilipata salamu zake maana nilishindwa kwenda kumuona sababu nilikua na changamoto pia baada ya siku kadhaa akahamishwa hospital juzi kafariki Jana kazikwa moyo unaniuma sana,
Maana alipanga akirudi tutaongea mengi sana ya kujenga
Na ndio maana aliniulizia kule hospital licha ya kua ni mgonjwa

So sad R.I.P
Pole sana ndg.
 
Kwakweli hapa tulipo yawezekana mpaka viongozi wazito wa dini wanajua yaliyo sirini hasa wale wa Vatican.
Mungu wa huruma aache watu aliowaumba wauane, wafe kwa njaa, waumwe na kuteseka.
Impossible
Shangaa na wewe Mkuu, ikiwa sie tu binadamu hatuwezi kufanya hayo Kwa watoto wetu ndio ije Kuwa Mungu?

Hizi dini km zingekuja zama hizi wangepata wafuasi wachache sana maana watu saizi wame elimika sana na sio kukubali tu Kila kitu bila kuhoji

Ndomana China hawataki ata kuskia haya mambo na km unafanya basi Ufanye Kwa Siri hawataki watu wao wapumbazwe maana wanajua madhara yake ni makubwa sana
 
Kwakweli hapa tulipo yawezekana mpaka viongozi wazito wa dini wanajua yaliyo sirini hasa wale wa Vatican.
Mungu wa huruma aache watu aliowaumba wauane, wafe kwa njaa, waumwe na kuteseka.
Impossible
Vatican ni hatari sana, nikisema niandike na tuchambue kuhusu siri za Vatican, mada inaweza kuchukua mwaka mzima. Nimesoma vitabu vitano tu kuhusu Vatican, machozi yalinilenga.
 
Back
Top Bottom