Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Apumzike Kwa amani Mzee wako na pole kwa msiba Mkuu...! Me bana sio Atheist au niseme bado sijawa Atheist ila ni mkristo ambae nimelelewa na kukulia katika misingi ya Imani hiyo

ila napenda tu kusoma kuhusu mada mbali mbali ambazo zinafikirisha juu ya uumbwaji wa mwanadamu maana Kuna contraindications nyingi sana kwenye hizi Imani zetu na ukiwa mtu wa kuhoji lazima utataka kuujua ukweli

Na Kwa namna Moja au ingine jf imechangia sana me Leo Kuwa vile nilivo maana haya mambo huwezi Kuta mtaani watu wanajadili, hivo mbarikiwe mnaoleta mada kama hizi, ningependa siku 1 nikutane na Atheist ili anipe mwanga zaidi, on how they operate and everything about them
hahahah Mkuu Sawa Sawa ila kiufupi Atheists ni watu wanaoishi Maisha real sana Tena hua tunakua na Morals ya kiwango Cha juu sana,hua tunaamini katika nadharia ya kitu "usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio"
Pia hua tuaamini katika upendo na kujali,Love is everything na ni kitu Cha mhimu sana kwetu,
Utu,maadili,kujali, Upendo Kwa kila kitu especial Nature
Hua tunapenda sana Nature Yaani kama Mimi hua nachukia sana uharibifu wa mazingira kwasababu Dunia ndio sehemu yetu ya kusurvive there is no Earth B
Tukiharibu hapa leo watoto zetu wataishi wapi ingali hatuna pahari pa kukimbilia,
Hua nachukia sana watu wa Dini wanavyo sema Dunia sio yetu,kwetu mbinguni hiyo ni kauli Mbaya sana inayoonesha kutojali kitu na ndio chanzo Cha uharibifu maana Mtu atafanya vurugu kama kukata miti,kuchafua mazingira na mengine mengi ya kuiharibu Dunia Huko akiwa ana Imani ataenda sehemu inaitwa mbinguni wakati kinadharia ukifika mbinguni kule unakua ni mgeni mhamiaji,
Mfano Leo Muha aharibu kwao kigoma harafu awe anajipa matumaini Daslamu ndio kwao sababu soon atapanda treni kwenda Huko kiharakati na kimakazi na hatarudi Tena kigoma huku akisahau anaacha ndugu huku nyuma ambao watateseka Kwa uharibifu wake!

Ndio hiyo Mkuu nimekuonesha angalau mwanga kivipi Atheist tunaishi na tunaamini!
 
Vatican ni hatari sana, nikisema niandike na tuchambue kuhusu siri za Vatican, mada inaweza kuchukua mwaka mzima. Nimesoma vitabu vitano tu kuhusu Vatican, machozi yalinilenga.
Vatican ni hatari Kwa mstakabari wa Dunia hao jamaa ni mafia sana sikuamini pale niliposoma ya kwamba kumbe ndio founder wa Islam religion Kupitia ajent wao Father Waraqa na Mohammed Abdulla daaaa nikabaki kujisemea Hawa jamaa ni taasisi hatari sana!
Ila Sasa wenye dini zao ukiwaeleza watakuelewa basi?
🤔🤔🤔
 
Vatican ni hatari Kwa mstakabari wa Dunia hao jamaa ni mafia sana sikuamini pale niliposoma ya kwamba kumbe ndio founder wa Islam religion Kupitia ajent wao Father Waraqa na Mohammed Abdulla daaaa nikabaki kujisemea Hawa jamaa ni taasisi hatari sana!
Ila Sasa wenye dini zao ukiwaeleza watakuelewa basi?
🤔🤔🤔
Ni hatari sana, ndiyo wao through false flags kwa kushirikiana na CIA, Jana nimesikia Pope amesema neno kuhusu mgogoro wa Ukraine, ukisikia hivyo ujue kuna jambo, holy city haikurupukagi kutoa statement.

Kwahiyo yote tunayo yajadili hapa wenye dini zao, wanayafahamu kwa kina.
 
Ni hatari sana, ndiyo wao through false flags kwa kushirikiana na CIA, Jana nimesikia Pope amesema neno kuhusu mgogoro wa Ukraine, ukisikia hivyo ujue kuna jambo, holy city haikurupukagi kutoa statement.

Kwahiyo yote tunayo yajadili hapa wenye dini zao, wanayafahamu kwa kina.
na ndio maana ukikaa na ma Padre wengi ni Maatheist huwezi amini na hua wanafunguka ukiwa nao Karibu na ukagusia maswala Haya wao wanajua wapo pale Kwa mission maalum,na ndio maana utakuta wapo happy mbususu wanachakata na pombe wanakunywa na hata huyo Mungu hawamuogopi sababu wanajua Ukweli ya kwamba huwezi chonga kinyago kinachokutisha
eboooo!
😁😁😁
 
na ndio maana ukikaa na ma Padre wengi ni Maatheist huwezi amini na hua wanafunguka ukiwa nao Karibu na ukagusia maswala Haya wao wanajua wapo pale Kwa mission maalum,na ndio maana utakuta wapo happy mbususu wanachakata na pombe wanakunywa na hata huyo Mungu hawamuogopi sababu wanajua Ukweli ya kwamba huwezi chonga kinyago kinachokutisha
eboooo!
[emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo ni kama nimekupata, kama unakuja hiviii

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
na ndio maana ukikaa na ma Padre wengi ni Maatheist huwezi amini na hua wanafunguka ukiwa nao Karibu na ukagusia maswala Haya wao wanajua wapo pale Kwa mission maalum,na ndio maana utakuta wapo happy mbususu wanachakata na pombe wanakunywa na hata huyo Mungu hawamuogopi sababu wanajua Ukweli ya kwamba huwezi chonga kinyago kinachokutisha
eboooo!
[emoji16][emoji16][emoji16]
Kama Shirika la Jesuit father ni hatar sana....doctrine zao ni za ndan sana..unakuta hata pope mwenyew hajui kinachoendelea..anatumwa tuu..especialy hawa ma pope waa sikuhiz..naona vatican imeamua kuto disclose siri zake kwa hawa ma pope wa kizaz kipya....na hawa ma pope kwa unyeti wa hyo nafasi...huandaliwa mapema sana hata kabla hawajawa mapadre..bila kujijua...watu huwa wanahis ni random selection..hakuna kitu random kwenye nafas za kidunia ..everythn ni planned.
 
usemacho ni kweli Hata Mimi nikiri ukweli katika Maisha yangu na mienendo yangu wengi huadhani ni mtumishi wa Mungu maana hua naongea maneno ya kujenga sana na yenye fact,wengi hua wanafunguka kiroho mfano ni wiki mbili zimepita tangu nimhabarishe Mzee mmoja ambaye ni mgonjwa wa muda mrefu kidogo alikua anasumbuliwa na tumbo lilijaa maji nikawa naenda mtaani kwake anapokaa tunakaa sehemu tunajadili maswala mbali mbali alikua mcheshi sana akawa ananipa habari kwamba yeye kafanya kazi na wazungu wengi na wote walikua maatheist akasema walimfunza mengi sana kiasi kwamba akafunguka akili,
Mimi nikagongelea msumari kuhusu Waafrika kupata mapokeo ya kidini bila ufahamu wowote na nilianza kumueleza dhana ya Mungu Kwa mtazamo tofauti sana,
Nilimwambia Mungu Sio kiumbe kama Kile mlichokaririshwa na viongozi wa dini,Mungu ni Sheria pamoja na kanuni kuu zinazouendesha huu ulimwengu ziwe hasi au chanya na hizo Nguvu Sio kiumbe chochote maana zipo juu ya Kila kitu,

Na kiroho Kila kiumbe katika ulimwengu huzitumia Kwa manufaa yake Kuna viumbe huzitumia Kwa mambo chanya hao huitaa
Mungu na wale wanaozitumia Kwa mambo hasi huita Shetani

Ila hiyo nguvu kuu haipo upande wowote katika hao watumiaji ila watumiaji ndio hupata matokeo either kujenga au kubomoa
Na matokeo hujulikana
Ukizifanyia ubaya zile nguvu matokeo utapata ni uharibifu na ukizifanyia wema matokeo utapata kujenga,
Kitakachowahukumu ni zile Sheria na kanuni mlizojiwekea maana mbaya lazima atawajibishwa Kwa kutumia nguvu vibaya na kuleta uhalibifu na mwema atalipwa mema sawa na matendo yake,

Yule Mzee nilimfunulia mengi akakiri hiyo Elimu kubwa hajawahi Pata popote yaani alinistaajabu sana maana nilimpa maneno ya kumfariji mno kiasi kwamba akawa ananitambulisha Kwa Kila mtu pale akawa anasema aaah Aisee huyu jamaa ni mtumishi wa bwana wa ukweli kabisa maana nilimpa na mbinu za kuomba kufungua milango ya mbinguni Bila kumtumia wakala anayeitwa mchungaji nikamwambia Kila binadamu ana nguvu ila wengi hushindwa zitumia kufungua milango ya kiroho kutuma maombi Kwa Mungu direct bila kupata muombezi,
Na aliniahidi atabadilika na taanza kumtegemea Mungu Kwa roho na kweli bila msaada wa kiumbe yeyote hapa Duniani,
Siku ya pili nikakutana nae akasema SoMo ulilonipa nimelitafakari na limenifungua na furaha sana moyoni Sina hofu na chochote
Daaaa so sad haijapita hata wiki mbili tumbo likaanza msumbua Tena maana lilivimba Kwa Miaka miwili Sasa akaenda hospital akamwaga maji yote akawa kawaida anatembea fresh na Kuna jirani akaenda kumpa hai akaniliulizia maana nilipata salamu zake maana nilishindwa kwenda kumuona sababu nilikua na changamoto pia baada ya siku kadhaa akahamishwa hospital juzi kafariki Jana kazikwa moyo unaniuma sana,
Maana alipanga akirudi tutaongea mengi sana ya kujenga
Na ndio maana aliniulizia kule hospital licha ya kua ni mgonjwa

So sad R.I.P
Hua natafakari kuhusu hizo kanuni je ndio universal laws?? If yes nijuze nitazisoma wapi na kuzielewa ni muumini wa hizi laws and i do believe zinafanya kazi.

2. Hiyo habari ya kuomba (kuwasiliana na Mungu) bila wakala ningependa kujua mkuu, kwa hapa au dm vyovyote itakavyokupendeza mkuu.

Nipo kuutafuta ukweli ili kupata amani ya moyoni isiyotegemea uwepo wa kitu ili iwepo.

Ahsante.
 
Kwakweli hapa tulipo yawezekana mpaka viongozi wazito wa dini wanajua yaliyo sirini hasa wale wa Vatican.
Mungu wa huruma aache watu aliowaumba wauane, wafe kwa njaa, waumwe na kuteseka.
Impossible
Hua naamini hivi pia.
Mkuu nimejiuliza iwe vipi wao wamesoma kinaga ubaga kua kuna mbingu na moto na chanzo/vyanzo cha/vya kwenda huko wanakijua wanavijua ila wanakifanya/kuvifanya kwa pande zote mbili.

Kuna nini nyuma yake??
 
Shangaa na wewe Mkuu, ikiwa sie tu binadamu hatuwezi kufanya hayo Kwa watoto wetu ndio ije Kuwa Mungu?

Hizi dini km zingekuja zama hizi wangepata wafuasi wachache sana maana watu saizi wame elimika sana na sio kukubali tu Kila kitu bila kuhoji

Ndomana China hawataki ata kuskia haya mambo na km unafanya basi Ufanye Kwa Siri hawataki watu wao wapumbazwe maana wanajua madhara yake ni makubwa sana
Hapo wangepata wafuasi wachache yes, nakubaliana na wewe.
Nje ya mada ila huenda ikswa na uhusiano kwa kiasi chake.
Hua nawaza huenda Nyerere angekutana na usasa angepingwa vikali licha ya tunavyomchukulia leo.
 
Hapo wangepata wafuasi wachache yes, nakubaliana na wewe.
Nje ya mada ila huenda ikswa na uhusiano kwa kiasi chake.
Hua nawaza huenda Nyerere angekutana na usasa angepingwa vikali licha ya tunavyomchukulia leo.
Uko sahihi Mkuu
 
hahahah Mkuu Sawa Sawa ila kiufupi Atheists ni watu wanaoishi Maisha real sana Tena hua tunakua na Morals ya kiwango Cha juu sana,hua tunaamini katika nadharia ya kitu "usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio"
Pia hua tuaamini katika upendo na kujali,Love is everything na ni kitu Cha mhimu sana kwetu,
Utu,maadili,kujali, Upendo Kwa kila kitu especial Nature
Hua tunapenda sana Nature Yaani kama Mimi hua nachukia sana uharibifu wa mazingira kwasababu Dunia ndio sehemu yetu ya kusurvive there is no Earth B
Tukiharibu hapa leo watoto zetu wataishi wapi ingali hatuna pahari pa kukimbilia,
Hua nachukia sana watu wa Dini wanavyo sema Dunia sio yetu,kwetu mbinguni hiyo ni kauli Mbaya sana inayoonesha kutojali kitu na ndio chanzo Cha uharibifu maana Mtu atafanya vurugu kama kukata miti,kuchafua mazingira na mengine mengi ya kuiharibu Dunia Huko akiwa ana Imani ataenda sehemu inaitwa mbinguni wakati kinadharia ukifika mbinguni kule unakua ni mgeni mhamiaji,
Mfano Leo Muha aharibu kwao kigoma harafu awe anajipa matumaini Daslamu ndio kwao sababu soon atapanda treni kwenda Huko kiharakati na kimakazi na hatarudi Tena kigoma huku akisahau anaacha ndugu huku nyuma ambao watateseka Kwa uharibifu wake!

Ndio hiyo Mkuu nimekuonesha angalau mwanga kivipi Atheist tunaishi na tunaamini!
According to definition ya Atheist ni kwamba hamuamini katika uwepo wa God or any other Gods, ila hapa tupo tunajadili Gods na tunaenda vizuri tu so hapa we unapinga au unaunga mkono hii mada na kama ndio why?

Mnaamini katika nini hasa?

Je nyie mnaamini nini hasa chimbuko la mwanadamu?

And lastly je Mnasali? Kama jibu ni ndio how?
 
According to definition ya Atheist ni kwamba hamuamini katika uwepo wa God or any other Gods, ila hapa tupo tunajadili Gods na tunaenda vizuri tu so hapa we unapinga au unaunga mkono hii mada na kama ndio why?

Mnaamini katika nini hasa?

Je nyie mnaamini nini hasa chimbuko la mwanadamu?

And lastly je Mnasali? Kama jibu ni ndio how?
Swali zuri sana hili, na mimi katika sehemu inayofuata ya kumi 12 itakuwa na majibu pia kuhusu Atheists.
 
According to definition ya Atheist ni kwamba hamuamini katika uwepo wa God or any other Gods, ila hapa tupo tunajadili Gods na tunaenda vizuri tu so hapa we unapinga au unaunga mkono hii mada na kama ndio why?

Mnaamini katika nini hasa?

Je nyie mnaamini nini hasa chimbuko la mwanadamu?

And lastly je Mnasali? Kama jibu ni ndio how?
ngoja mwamba Artificial intelligence ashushe majibu kwenye sehemu itakayofuata then nitajazia Hapo kuhusu swala la atheists maana kaahidi kuiweka kwenye sehemu itakayofuata
Keep waiting!
 
Vatican ni hatari Kwa mstakabari wa Dunia hao jamaa ni mafia sana sikuamini pale niliposoma ya kwamba kumbe ndio founder wa Islam religion Kupitia ajent wao Father Waraqa na Mohammed Abdulla daaaa nikabaki kujisemea Hawa jamaa ni taasisi hatari sana!
Ila Sasa wenye dini zao ukiwaeleza watakuelewa basi?
🤔🤔🤔
Nakililia kizazi cha Afrika , wametutenga kimafungu mafungu kwa ideology zao waendelee kututawala na kuchota rasilimali za Afrika, mara ukristo, uislam, ubudha, upagani hatujui tushike lipi. Kila siku tuna sali Mungu atuoneshe Shetani, kumbe tunaishi nae tumefumbwa macho.
 
Nakililia kizazi cha Afrika , wametutenga kimafungu mafungu kwa ideology zao waendelee kututawala na kuchota rasilimali za Afrika, mara ukristo, uislam, ubudha, upagani hatujui tushike lipi. Kila siku tuna sali Mungu atuoneshe Shetani, kumbe tunaishi nae tumefumbwa macho.
hahahaha hatari kuna movie Moja nimeisahau jina Kuna Kuna kubwa la maadui alikua natafutwa balaa ila hajulikani sura Wala sehemu anapoishi,basi wale maajent wakawa wanamtafuta Dunia nzima wakiongozwa na mkuu wao wa operation bila mafanikio maana Kila wakipiga hatua ushahidi unazidi kua mgumu
Mwisho wa picha kumbe anaewatuma kazi Yaani mkuu wa kitengo ndie adui mkuu na ndio alikua mastremind wa mchezo
Na wametumia gharama kubwa sana na Muda kumtafuta kumbe hawajui wanamtafuta aliyewatuma wamtafute ikawa balaa ndio maswala haya
Kuhusu Dini,Yaani watu wanaenda Mbali kumtafuta Shetani kumbe shetani ndio wao wenyewe!
 
Anasema pyramid zilijengwa Kwa ajili ya kuzikwa pharaohs, sa ilikuaje watumie technology kubwa kiasi kile kwenye makabuli tu na sio makazi Yao? kama pyramid ni kwa ajili ya pharaoh je zile za America kusini Zilikuwa zinazikiwa kina nani?
Tuanzie hapa kwanza, ni miili ya mafarao wangapi imeisha kutwa kwenye hizo pyramids?
 
Back
Top Bottom