hii Dunia Ina wajinga sana hahahahha
Nilikua nacheki series ya Vikings Kuna character anaitwa flok jamaa walitoka kwao Huko Scandinavian kwenda kuvamia great Britain wakafika Huko kituo Cha kwanza church mwenye cathedral Moja hivi Sasa wale vikings ni Pagans na hawajui taratibu za Christian,wakaua na kupora treasures zote za kanisa,mwisho aakamteka father,
Flock akamuuliza father mbona kwenye mahekalu yenu mnajaza vitu vya thamani kama gold,fedha nk Kwa wingi?
Father:Watu wanamtolea Mungu sadaka
Flok:Kwahiyo Mungu wenu anapenda Mali?
Father:Hapana Yaani tunaamini dhahabu na vyote ni Mali yake hivyo tunamrudishia yeye Mungu mtukufu aliyeumba vyote
Flok:[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie wajinga sana Yaani Mungu kawapa halafu nyie mnamrudushia Tena,ina maana hampendi utajiri ama?
Father:[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
Flock:Sisi Vikings tunatafuta Mali Kwa shida nyie mnajaza kwa mahekalu yenu bila matumizi yoyote et mnamtolea Mungu wenu,Sasa tutawaonesha vikings hatupendi ujinga!
Flok: jamaa(anaonesha msalaba Kwa father)
Huyu ndie Mungu wenu?
Father:hapana ni Yesu kristo mwana wa Mungu alikuja duniani kutukomboa dhambi zetu,alikufa msalabani Ili binadamu tupate ukombozi
Flok:[emoji44][emoji44][emoji44]
Ina maana Mungu wenu alikufa?
Father:ndio ila alifufuka siku ya tatu na akapaa mbinguni
Flok:[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo utajifunza kitu,Kupitia wale Nordic people nilijifunza kitu japo ni movie ila wale vikings walikua na hoja sana na ndio maana utaona wafalme wao walikataa kupokea dini za kigeni,mpaka mmoja wa mfalme wao aliwahi sema
" Ni Bora nife nikiwa mpagani nikachomwe moto kuzimu na Babu zangu,Kuliko Kuliko niwe mkristo niende mbinguni nikakutane na maadui zangu"
Religion is Opium!