Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,265
- 2,252
- Thread starter
- #841
Kina madini ya ukweli hicho ndiyo maana walikiondoa.ok.mkuu kitabu kinaonekana kina madini adimu.tupatie verse zingine mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina madini ya ukweli hicho ndiyo maana walikiondoa.ok.mkuu kitabu kinaonekana kina madini adimu.tupatie verse zingine mkuu
Atheists hawaamini katika chochote.Tatizo hawa jamaa huwa wanajiona wana akili sana mimi huwa nawachora tu, kinacho watatiza ni ile hali ya kutaka kuridhisha tu nafsi kwamba kwa kujipa matumaini kwamba wapo sahihi kwa kutokuamini Mungu au vitabu vya dini.
Mimi mwenyewe nilikuwa nashangaa atheist kuamini haya masimulizi inawezekanaje!
kinaonekana kimebeba ukweli fulan hvKina madini ya ukweli hicho ndiyo maana walikiondoa.
Unatumia vipimo gani kujua kwamba ndoto hii unayooneshwa ina ukweli ndani yake mkuu ?Mkuu anunaki siyo story wakikupenda wanajionesha kwenye ndoto zako mimi nimewashuhudia.
Ukisoma katika epic of babylonian, inasemekana ni moja wapo ya uwepo wa Annunaki.Mnazungumziaje na Mnara wa babeli, nacho ni kithibitisho cha uwepo wa Annunaki au histor ake inasema nini ?
Artificial intelligence Dumas the terrible
Sio kweli,wanadai tu lskini uhalisia wanaamini katika kitu fulani.Atheists hawaamini katika chochote.
Kina madini kweli kweli, ukikisoma Kwa utulivuKina madini ya ukweli hicho ndiyo maana walikiondoa.
Sawa mkuu. Kwahiyo watoto wanamjua baba yao, ila baba yao hakuwahi kuzaa?. Wakristu wanasali kwa "jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu". Nguvu ya utatu huo mtakatifu katika nadharia nzima ya imani ya mwanadamu ni ipi?Anajulikana! Narudia tena, anajulikana na watoto wake! Watoto wamjua baba yao na baba awajua watoto wake! Tunamjua BABA yetu!
Ni kweli walikuwa wakiishi kawaida ila kwa kuomba na kuabudu Mungu wao waliyomjua wao kabla ya kuletewa nadharia mpya ya Mungu na hizo dini, vipi hili nalo unaweza kulizungumziaje.😂😂😂😂😂 mkuu wao bado wanaimani zao ila wakijua kwamba kuna Mungu mmoja mbona wataamini tu..
Mwazo hizi dini zilikuwa hazipo na watu bado walikuwa wanaishi kama kwaida...
Kwahiyo muda wao ukifika mbona wataamini tu...Mimi binafsi naamini wapo ambao wanamuabudu Mungu mmoja katika hizo nchi ulizo zitaja na pia huko china mbona makanisa na misikiti ipo kama kawaida.
Huyu Annunaki yeye aliumbwa na nani mkuu? Na huyo aliyemuumba Annunaki yeye aliumbwa na nani?Vitabu kutoka Mesopotamia vimeweka wazi ya kwamba Annunaki alimtengeneza binadamu wa sasa kwa tabu sana akifanya majaribio zaidi ya mara 40 usiku na mchana. Baadhi ya mistari kutoka kwenye vitabu hivyo imeweka wazi:
For 10 periods they suffered the toil,
For 20 periods they suffered the toli,
For 30 periods they suffered the toil,
For 40 periods they suffered the toil.
Maandiko ya kale na vitabu vilitumia neno "ma" kuonyesha muda(period), neno period limetafsiriwa kama mwaka (year). Annunaki alifika duniani miaka 400,000 iliyopita na utengenezwaji wa binadamu wa sasa ulitokea miaka 300,000 iliyopita. Nefilim (Annunaki) akutengeneza mammals, primates wala hominids bali homo sapiens(sisi binadamu wa leo). Adam wa kwenye biblia hakuwa genus ya Homo, bali Homo sapiens wa kwanza.
Nefilim alikutana na kiumbe mtu mwenye kufanana na mnyama duniani, ukisoma epic of Gilgamesh inaelezea Enkidu kiumbe aliyewekuwepo kabla haja sitarabika alikuwaje:
Shaggy with hair is his whole body,
he is endowed with head like a woman.
He knows neither people nor land,
Garbed he is like one of the green field,
With gazelles he feeds on grass,
With the wild beasts he jostles,
at the watering place.
With the teeming creatures in the water
his heart delights.
Viumbe hao wa apes walikuwa na manyoya, nusu mtu nusu mnyama, hawakuwa na ufahamu kuhusu watu au ardhi, walikula majani, na waliishi na wanyama. Kwa maneno mengine ni kwamba aliwalinda wanyama wenzake wasishambuliwe na kuuliwa na alien.
Baada ya Nefilim kuwa amefika duniani na kukumbana na tatizo la nguvu kazi ndipo akapata wazo la kumtengeneza mtu kutoka kwenye hao viumbe(tutaona mbeleni) ili awe kijakazi wake wa kutafuta na kuchimba dhahabu.
Hapa chini ni picha ya kwanza iliyotolewa kwenye michoro ya vitabu vya kale ikionyesha apes human like being walivyofanana.
View attachment 2101258
View attachment 2101684
View attachment 2101689
Ndiyo maana baadhi wanasema, inawezekana Mungu mkuu wa yote na vyote ni miongoni mwa family of Annunaki, kama itakuwa hivyo, itakuwa ni sawa kusema tumetokana na Annunaki.Wewe Tatizo lako hujaelewa mada na hujaisoma yote,Tatizo lako ni Moja tu ni ufahamu wa uchambuzi wa mada,Huu Uzi unawahusu Annunak waliomtemgeneza Modern man,Soma kichwa Cha mada uelewe,pia Soma maandiko yote Humu tuliyojadili Mimi kusema Annunak Ndio walimuumba binadamu Ndio nikubali kuwa wao ni Mungu?
Kule nilibishana na wewe binadamu hajaumbwa na Mungu sababu dhana ya Mungu inabase Kwa Annunak kitu ambacho ningeanza kujadili na wewe ungenibeza kama ulivyo nibeza hapa
Sasa iko Hivi kamanda kuhusu Ile nadharia nilikwambia kwenye Ile mada Mpaka tukabishana Mimi nilibase Kwa pre human cloning project ya viumbe wale Annunak maana kabla yake kulikuwepo na Primitive au kwenye maandiko ya Accient Sumerian au Epic of Girgamesh wanawaita Enkidu Hawa ni viumbe waliofanana na viumbe watu wakiishi Duniani Miaka millions nyingi kabla ya human manipulation na Ndio hao hao waliofanyiwa majaribio mengi
Mpaka wakawa modern human!
Kwahiyo tuelewane misimamo ya kule na huku ipo vile vile haibafiliki hakuna ndumilakuwili hapa kama unavyosema ila hapa nimeeleza kiundani tu,
Halafu wewe jamaa una vituko sana kwahiyo unaona Bible Ndio boonge la kitabu kilichoelezea uumbaji na wewe ukaridhika kabisa na kunyoosha mikono Juu na kusema hakika ni kweli!😁
Pole Sana kama Bado hujajua hiyo bible ya kina Constantine waliomtemgeneza pale Nicea committee Constantinople Uturuki ni ya kijanja na kikanjanja Kwa kucopy maandiko Toka Accient writings za Mesopotamian huko huko ambako Mimi na wenzangu Haya mambo tumeyapata in deep zaidi nakupa pole Sana Kwa kua
brain washed na huyo Mungu wenu mnaedhania yupo na ni Mungu wenu yaani
El/YWH/Jehova ambae Israelites na Babu Zao kina Abraham walimuabudu ni mmoja wa miungu wale wale wa Sumerians usingejihangaisha kuja kumpa maujiko kama Muumbaji wa Mbingu na Dunia na Ndie alimuumba Humanoids yeyote hizo ni hekaya za kiyahudi tu
Hata yeye huyo Mungu yupo Ndani ya sycle ya ANNUNAK!
Nimeishia hapa!
Lecheminduroi
Kama alimuumba mtu mweusi tu, basi tukubaliene kwamba Dini zimeupotosha ulimwengu juu ya uumbwaji wa mwanadamu.Mungu alimuumba mtu mweusi tu, watu wa Asia na wa magharibi walitokana na Muingiliano baina ya watchers/Annunaki na Wanawake weusi,
Wazungu na Wa Asia sio wote wamekwisha hukumiwa, ivyo ivyo kwa watu weusi kuna ambao wamesha ziuza nafsi zao kuzimu/underworld, hawa tayari hukumu yao imeisha pita.
Waliokwisha kuhukumiwa ni wale watchers/Annunaki na kizazi chao kilicho angamizwa enzi za Gharika ya nuhu.
Yesu, naongelea kwa imani ya Ukristo alikuja kukikoboa kizazi Kilicho tokana na Muingiliano wa watchers na watu weusi(kizazi cha Nyoka) ili nacho kipate kukombelewa siku za mwisho,
Ukiangalia dhambi nyingi apa duniani zimeletwa na watu wa magharibi, tukirejea kwenye biblia agano la kale, mfano kuharibiwa kwa miji ya sodoma na gomola, pompei, nk yote haya walikuwa wanaletewa kwa sababu ya uovu wao.
Tukija kwa upande wa Afrika, hakuna historia iliyo rekodiwa ya kuharibiwa kwa miji/watu weusi kutokana na dhambi kama ilivyo kwa watu wa magharibi na Asia, hivyo hivyo kwenye majanga ya asili, kama matetemeko, vimbunga ni nadra kuzikumba nchi za Afrika.
Hivi hizo nyayo zinazokutwa kwenye jiwe ina maana ya kwamba mawe ya zamani walipokanyaga yalikuwa yanabonyea ?moja ni ule unyayo mkubwaaaa wa Africa kusini uko kwenye jiwe!!
Je kwa maelezo haya, tukubaliane kwamba dini zimeudanganya ulimwengu juu ya uumbwaji wa mwanadamu?Uumbwaji wa binadamu/watu umegawanyika kwenye makundi mawili, kuna walio umbwa mwanzo( watu weusi) na walio tokana na watchers/Annunaki.
Ukisoma theory za wazungu kuna ile ya out of Afrika, kwamba wao wametokana na mtu mweusi, baadae wakaama bara la Afrika na kukimbilia Asia/Europe. hapa kuna kitu huwa kinafichwa hakiwekwi wazi.
Pia kuna nadharia ya kugawanyika kwa Dunia/Pangea., kutoa mabara mbali mbali, pia hii nadharia inakitu kilicho sababisha, Mungu hakutaka jamii ya watu weusi iingiliane na jamii za Asia na Ulaya, kutunza uzao wa asili alio uumba. Pia alijua tukichangamana nao lazima tutaanza kutanga mbali na kufanya dhambi kama ilivyo hivi sasa, dhambi nyingi na matendo wa ajabu yamekuja baada ya kuanza kuchangamana na jamii za watu wa Ulaya na Asia.
Yees!! nakuunga mkono kwa hilio!Ndiyo maana baadhi wanasema, inawezekana Mungu mkuu wa yote na vyote ni miongoni mwa family of Annunaki, kama itakuwa hivyo, itakuwa ni sawa kusema tumetokana na Annunaki.
Hongera mno, umesoma maandiko na kuyaelewa. Ila niulize tena Mungu anaweza kuonekana kwa macho au ni kwa ishara & miujiza tu?Mkuu inategeme nani ana muabudu huyo mungu!! wapi na wakati gani!!! Biblia inatamka wazi kabisaaa kuwa ''Imani ya Mungu siyo Mali ya kila mtu, yeye aliumba viumbe vyote vilivyomo hii ikiwa ni pamoja na shetani majini, nk kumbuka shetani alikuwa ni malaika wa sifa kabla ya uasi!! yaani ''Lucifer"
huyu Alikuwa na uwezo vibaya sana, tena akiongoza mammilioni ya Malaika mbinguni!! ambao hao walikuwa ni theluthi mbili ya malaika wote walio muunga mkono shetani. ivo walimuamini sana.
Pia hakuna sehemu yeyote kwenye Biblia inayoonyesha kuwa shetani alipokonywa uwezo huo maridhawa! anao mpaka leo, tena anapiga story na Mungu km kawaida, si unakumbuka kisa cha ayubu?
Mfano Kibiblia Cain!! huyu Bwana ni mtoto wa shetani kabisaaa!! tena baada ya kutoka Bustanini kuelekea Kaskazini mwa Bustani! hakutajwa tena kizazi chake,, kwa hiyo hao wapo mpaka leo wanasumbua humu Duniani!
Mungu hakumuua alienda akazaaa huko vizazi na vizazi..... ambavyo havikusikika tena, Bali kizazi kilichoendelea kusikika ni cha Seth!! Mpaka wkt wa Nuhu!...Abrahamu na hadi Wana wa Israel !
kwa Muktadha huo nasema hivi ''Mungu wa kweli anayeabudiwa anajulikana sana tu!! kwa walio wake'' km nilivyosema hapo juu yeye mwenyewe aliwahi sema ivi ''siyo kila aniitae Bwana bwana ataingia ktk ufalme wa Mungu''
Hao ni wale wanao mtaja sembuse wasio mjua?? Hata Biblia yeyenyewe imewataja miungu wengi tu na iliwasaidia wanao iabudu mfano ni mungu Dagoni, hata mungu wa wafilisti aliwasaidia kumtia Samsoni adui yao mikononi mwao!
Na wakasherehekea kweli na mfalme wao hao wafilisti wkt huo samsoni anasota kwa kuwasagia nafaka, siku mbili tatu vinywele vya samsoni vikaota tena. Samsoni huyuhuyu akatubu kwa dhati ya moyo!!..Mungu wake akamsikia!
Alikamata zile nguzo za kati kwa mikono yake miwili ambamo wafilisti walikusanyika kumzomea akawaua wooote pamoja na Delila!! hata kuliko alio wahi kuwaua!! .......nakwambia haya ujue kwamba Miungu kibiblia imetajwa na kutambuliwa na Mungu mwenyewe na ni mingi pia imetajwa huko!
Kama kipindi cha Biblica era ilikuwepo miungu!! kwa nini siku hizi isiwepo?? Binadamu mtaokoka ni kwa Neema tu!! lkn kuna mengi yatawachanganya!
Exactly.Kwa kuongezea hapo Mkuu Biblia ukiiangalia sana inahusu watu weusi tu!! Bustani ya Edeni ilikuwa na mito minne''
Euphrates River.
Tigris River
Pishon River.
Gihon River .
Lkn sasa wao wazungu wanaongelea mito miwili tu ya juu!! lkn hii mingine miwili iko wapi?......jibu ni Africa ya leo! sasa hivi! yaani Whites and Blue Nile....(wao wazungu wanasema eti ile mito miwili mingine ilipotea).
Bado E.African Valley tuko ndani ya Bustani ya Eden na hili bonde la ufa kama mko vizuri ki jiogragia mnajua geografia vizuri limeanzia Middle East yoote , Isarael ya leo! linakujaaaa!! linaimeza Tanzania yooote!
then linapandishia ziwa Tanganyika kuelekea Uganda mpaka Misri, huwezi kutaja Isarel Bila E.A! ndo maana mazayoni wana i mind sana Uganda! mpaka kesho idd amini alistuka!!
EA tuko kwenye hati hati za kumezwa na mayahudi kadiri uzayoni unavo sambaa duniani...lkn wao hawataki tujue haya!! Kenya inatumiwa saaaana na Israel, na wamejiimalisha hapo si kawaida.
haya yooote ni kwa sababu tumo ndani ya Ramani ya Bustani ya Edeni! amabayo wayahudi wa leo wanaota kila siku!
..........
Hivi shetani asili yake ni ipi yani malaika au kiumbe gani?Mkuu inategeme nani ana muabudu huyo mungu!! wapi na wakati gani!!! Biblia inatamka wazi kabisaaa kuwa ''Imani ya Mungu siyo Mali ya kila mtu, yeye aliumba viumbe vyote vilivyomo hii ikiwa ni pamoja na shetani majini, nk kumbuka shetani alikuwa ni malaika wa sifa kabla ya uasi!! yaani ''Lucifer"
huyu Alikuwa na uwezo vibaya sana, tena akiongoza mammilioni ya Malaika mbinguni!! ambao hao walikuwa ni theluthi mbili ya malaika wote walio muunga mkono shetani. ivo walimuamini sana.
Pia hakuna sehemu yeyote kwenye Biblia inayoonyesha kuwa shetani alipokonywa uwezo huo maridhawa! anao mpaka leo, tena anapiga story na Mungu km kawaida, si unakumbuka kisa cha ayubu?
Mfano Kibiblia Cain!! huyu Bwana ni mtoto wa shetani kabisaaa!! tena baada ya kutoka Bustanini kuelekea Kaskazini mwa Bustani! hakutajwa tena kizazi chake,, kwa hiyo hao wapo mpaka leo wanasumbua humu Duniani!
Mungu hakumuua alienda akazaaa huko vizazi na vizazi..... ambavyo havikusikika tena, Bali kizazi kilichoendelea kusikika ni cha Seth!! Mpaka wkt wa Nuhu!...Abrahamu na hadi Wana wa Israel !
kwa Muktadha huo nasema hivi ''Mungu wa kweli anayeabudiwa anajulikana sana tu!! kwa walio wake'' km nilivyosema hapo juu yeye mwenyewe aliwahi sema ivi ''siyo kila aniitae Bwana bwana ataingia ktk ufalme wa Mungu''
Hao ni wale wanao mtaja sembuse wasio mjua?? Hata Biblia yeyenyewe imewataja miungu wengi tu na iliwasaidia wanao iabudu mfano ni mungu Dagoni, hata mungu wa wafilisti aliwasaidia kumtia Samsoni adui yao mikononi mwao!
Na wakasherehekea kweli na mfalme wao hao wafilisti wkt huo samsoni anasota kwa kuwasagia nafaka, siku mbili tatu vinywele vya samsoni vikaota tena. Samsoni huyuhuyu akatubu kwa dhati ya moyo!!..Mungu wake akamsikia!
Alikamata zile nguzo za kati kwa mikono yake miwili ambamo wafilisti walikusanyika kumzomea akawaua wooote pamoja na Delila!! hata kuliko alio wahi kuwaua!! .......nakwambia haya ujue kwamba Miungu kibiblia imetajwa na kutambuliwa na Mungu mwenyewe na ni mingi pia imetajwa huko!
Kama kipindi cha Biblica era ilikuwepo miungu!! kwa nini siku hizi isiwepo?? Binadamu mtaokoka ni kwa Neema tu!! lkn kuna mengi yatawachanganya!
Uumbwaji wa Binadamu kwa nadaharia ya Dini na vitabu vya Dini haujaelezewa kiundani na vitabu tunavyo vitumia, tusijifunge kwa kutumia reference moja tu ya vitabu tulivyo letewa na wazungu na waarabu, Vitabu orijino waliviiba kwenye maktaba ya Alexandria Misri, wakaiteketeza maktaba, wakaendanavyo kwao(Vatican) baadae wakavichakachua, wakaacha mambo yanayo wafeva wao, wakatuletea Afrika, ili waweze kututawala na kunyonya rasilimali zetu.Je kwa maelezo haya, tukubaliane kwamba dini zimeudanganya ulimwengu juu ya uumbwaji wa mwanadamu?
Kiuhalisia hakuna asiyeamini chochote tatizo ni kufikiri kwamba imani kuwa inatumika tu kwenye masuala ya mungu dini vitabu vya dini au miujiza.Atheists hawaamini katika chochote.