Tz mbongo
Kisai
Quez
Nyote nyinyi hamueleweki zaidi mswali yenu hayan logic zaidi y udini mtupu
Wewe Kisai ubongo wako umeharibiwa na masimulizi ya waharabu tu, nje na hapo una unachokijua.
Umekomlia udini, yani dini ya Muslim kwako wewe ndiyo kila kitu, dini inayofundisha udini na kuleta matabaka kwa watu, dini ambayo watu wake Iran, Libya, Syria, n.k wanachinjana kama kuku na kumwaga damu, dini inayohimizi kufuga na kuishi na majini, dini inayofundisha nyinyi n bora kulko wengine, nyinyi ndiyo wenye haki wengine makafiri, dini inayofundisha kumpiga mtu mawe hadi kufa, dini inayofundisha kumkata n kumchinja mtu endapo atahama dini, hii kwako ndiyo bora ?na unaimini.
AI mada yake iko open kabisa, kwamba mtu aliumbwa na Annunaki mada haisemi Mungu wenu hakumuumba, inawezekana Annunaki ndiyo Mungu wenu ila nyny hamjuhi, ndiyo mjue kuanzia sasa,
Kisai umekomaa chain chain, mleta mada alikuwa family tree ikionyesha kuanzia kwa Enki kabla hata hao mitume wenu uchwara hawajazaliwa, hukuona?, unataka uonyeshwe video mtu wa sumer akisimulia hayo, ww unaweza kutuonyesha mtu aliyemuhoji Muhammed? , hiyo chain ww uliipataje kama n vitabu huna tofauti n mleta mada naye katumia vitabu, unaleta habar za uhakiki kwa kutumia kitabu chako, mleta mada naye vitabu vyake vimehaliliwa, au unataka afanye time travel akawahoji sumerians mwenyewe?, huo ndiyo uhakiki unataka? Unaamini katik historia iliyo hakikiwa na watu wengine, ila yeye mleta mada akitumia historia hiyo hiyo iliyohakikiwa na wengine kama reference hutaki, why?
Mleta mada amekuuliza uliwahi kumuhoji Muhammed mwenyewe kama njia ya kuhakiki ulichokisoma, umeruka ruka kama maharage, au tuonyeshe kwamba huu hapa n mfupa wake ili tukuamini, hamna unacholeta unaruka ruka na masimulizi ya waharabu hao, ambao hata Allah hakuwaumba, ila hujuhi upo upo tu.
Quez umekazania muumbaj wa anunak, kashakuambia wametoka sayari nyingine siyo hii ya Mungu wenu wa dunia. Mfano akihamua kukujibu anu ndiye Muumbaji na Mungu wao, vip utalizika?
Tz mbongo wewe n egoism zinaksumbua kwa mleta mada, masimuliz ya Qaran ambayo hata Allah hujawahi kuona fuvu lake umekomaa kuyaamini, ila haya hutaki umekomaa uhandishi tatiz, labda umfuatilii AI hapa Jf intelligence, kasome ujipime, mnapomuuliz maswal yasiyokuw n logic na yeye lazima awaulize n kwa mwendo huo hamuwezi kuafikiana kihoja, kila mwamba ngoma anavutia kwake.
Quez unauliza solar system n nini? Sirias kabisa, kwenye dini zenu kuna mahali pameandikwa Mungu aliumba solar system?, imeandikwa ameumba dunia, binadamu na vilivyoma, ktk solar system tuna sayar zaidi ya 13, kwhy kama aliumba dunia tu, kuna waumbaji waliomuzidi akili kwa kuumba sayari nyingine na viumbe wengine, kwahiyo na yeye Mungu aliumbwa.
Kwahiyo kam hutak mleta mada atumia reference za vitabu, basi na ww usitumie reference za vitabu, hivyo bas hili uwe sahihi kuliko yeye huo uhakiki uwe umeufanya ww mwenyewe, yaan umekutana Mungu au mitume na kufanya nao mahojiano, then utuwekee hapa tuone, tofauti n hapo itakuw n yale yale.