Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Hakuna Elimu uchwara hapa kamanda hiyo Elimu ipo long time before abrahamic Religion,Hizo dini unazojinasibu ni za Mungu wako waanzilishi ni hao Hao Annunak halafu Leo unakuja kunyamba nyamba hapa
Au hujui Abraham na baba yake Terra walitoka Uru ya Ukaldayo Huko Mesopotamia ambako ndio kulikua ustaarabu wa kuabudu Miungu na Mungu wa Abraham anaitwa El Moja ya Miungu Annunak?
Pumbaf kasome historia ndio uje ubishane na Mimi
Eboooo!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sometimes your contradicting yourself. Ibrahim alipoitwa kutoka Uru ilikuwa akaanzishe Safari ya dini ya kweri na aache za uongo Soma kitabu Cha Yoshua 24:15
[15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
And if it seem evil unto you to serve the LORD, choose you this day whom ye will serve; whether the gods which your fathers served that were on the other side of the flood, or the gods of the Amorites, in whose land ye dwell: but as for me and my house, we will serve the LORD. Kuelewa zaidi Soma Yoshua 24:1-15.
Ni kweri miungu ilikuwepo toka enzi na Ibrahim aliitwa kuiacha ili afate ya kweri.
Mkuu unazungumuziaje hiyo habari???
 
mkuu ni huku Afrika tu ndio hawajui Hizo mambo Huko mbele Wazungu walishaujua ukweli long ndio maana unaona wengi hawashobokei dini na hawaamini katika nadharia zasza Mungu sababu wanajua mwanzo wao,
Hiyo ilikuja baadae ya kupata ushahidi na maandiko ya kale ya Sumerian, Assyrian, Babylon, Egyptian, Kush, Aztec, Maya, Peru, Indus valley civilization Kwamba Annunak ndio aliyeproject Kila kitu na ndio maana dini wakitumia kama mwamvuli kupimbaza wajinga huku Afrika Ili tuendelee kupigwa Kwa ujuha wetu!
Siyo huku mkuuu, kumbuka dini ya kikristo imetokana na dini za sehemu ulizozitaja. Swali no kwamba ni juhudi ya Nani aliyeifanya kutengeneza story kutoka kwa Ibrahim Hadi kwa Yesu?. Alikuwa mzungu?, Au hao hao wa mashariki walikuwa wanapingana kuanzia ashuru, bablion, uajemi, etc . Kila jamii ya mashariki ya Kati ilikuwa na miungu yake. Je dini ya annuaki ya ukweri ni ippi? Ya bablion?, Ashuru?, Umedi??, Uajemi??? Hao wote ni mashariki ya Kati.
 
wewe elewa ya Kwamba Annunak ndio waliowaongezea DNA Babu zako Zamadam wakawa Homo Sapiens kimili na kuwapa mission ya kuchimba dhahabu Kule kush na Huko Zimbabwe ya kale
Hujiulizi kwanini Oldupai gorge waligundua fuvu na nyayo za kale sana Kuliko historia ya vitabu vya dini vinavyodai Binadamu kaumbwa Miaka 6000 BC Hapo nyuma na hao Zamadam walikuwepo millions of years nyuma?
Unajua nani aliyeanza kuwapa Binadamu ujuzi mkubwa Hapo kale?
Unajua dhahabu zote zilizochimbwa Toka Miaka maelfu na maelfu Kwa billion of Tani zilipotelea wapi ghafla tu?
Kaa Kwa kutulia upate elimu kijana soon utakuja kupata maarifa ni nani aliyejenga Pyramids zote duniani Miaka elfu nyingi Huko nyuma na still hazina hata ufa,
Utaelewa tu subiri movie kamili!
Gold is the international currency, unajua America, Europe, Asia especially supper economic country Wana reserve ya gold kiasi gani?. Vipi vifaa ya electronics navyo vinatumia gold, je pia unafahamu vifaa vya ulembo vinagold kiasi?
 
amekuuliza hiyo dhana umeipata wapi, mjibu kwanza
Mbona ameshajijibu mwenyewe kwenye maelezo yake. Kwamba ili kiumbe chenye mwili kiwepo lazima kuwe na muunganiko wa kiumbe "Me" na "Ke" ili mbegu ipatikane.

Uwepo wa kiumbe ME na Ke ni viumbe wenye mwili, hawawezi kuwepo bila kuwa na muumbaji alieumba kwanza hicho kiumbe "Me" na "Ke" ili vizaliane.

Kwa mujibu wa maelezo yake. Kiumbe "ANU" ni "Me" na kiumbe "KI" ni "Ke". Viumbe hawa annunaki wana mwili.

Sasa, Je ni nani aliewaumba hawa viumbe ANU na KI ili wazaliane?
 
Japo hizi ni story tu kama zile za kwenye kahawa.

Lakini mimi huwa siamini kabisa haya madhahabu yote yanayochimbwa duniani yanatumika kutengeneza mikufu, saa, cheni and the likes pekee.

Tani zote zile ni kwa ajili ya vito vya thamani pekee. Hapana kuna sehemu hawa wazungu wanapeleka.
Mbona gold reserve zipo tu. Gold ni pesa. Swali lako ni sawa na kuuliza pesa zinazofyatuliwa mfano za Tanzania huwa zinaenda wapi?
 
Kwa jinsi alivyo elezea mtoa mada sizan kama inashindikana kitu. Maana walichokifanya hao annunaki ni kuunganisha gene zao pamoja na viumbe wengne na udongo. hiki hata sasa binadamu wanakifanya wanaonganisha genes za wanyama na binadamu ili kupata kiumbe kipya na nchi kama japan hii issue nilisikia imepitishwa
Unaweza kuonesha uthibitisho (Scientifically) kwamba kiumbe chenye mwili, kilichoumbwa na muumbaji kimeumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai wa kuishi?
 
Usichokijua ni kwamba sayansi ya zamani ya theory tu toka 400BC Hadi Sasa inathibitishwa na technology ya Sasa. Hivyo ukisoma habari za Socrates,pythogrus, pilato etc hawa jamaaa wa before Yesu lakini theory zao zinafanya kazi Hadi leo. Hivyo maswala ya miungu na Mungu pia ya zamani swali Mungu wa kweri ni yupi???. Ukisema binadamu aliumbwa na annuanaki swali linabaki je annuanaki ndiyo Mungu??
 
Hapa hatuingizi udini bali tuna hakiki habari tujue ukweli wa mambo uko vipi.

Kingine je kama ukweli wa mambo upo kwenye dini unataka, tuache dini tufate visasili ? Huu ni mfano tu.

Tujifunze kuhoji kwa usahihi haya mambo.

Una hakika kama unaweza kuhakiki mambo yaliyopita na ukajua ukweli.?

Hivi unaweza kuthibitisha Muhammad unayemuamini kawahi kuishi duniani.?

Na wala isiwe hila za wafanya biashara waarabu kusambaza utamaduni wao kwa wapumbavu.!
 
Unaweza kuonesha uthibitisho (Scientifically) kwamba kiumbe chenye mwili, kilichoumbwa na muumbaji kimeumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai wa kuishi?

Mm nimejibu kuendana na nilivyo muelewa mtoa mada.

Swali lako mm sina jibu lake maana jibu lake litakuwa na mkanganyiko ambao scientifically sizan kama unauthibitisho mfano: maandiko yanasema Mungu aliumba binadamu na wanyama, na binadamu na wanyama nao pia wakiunfanisha sperm na yai la mwanamke/jike wanapata kiumbe chao(mtoto) hapo Mungu hausiki labda kwa mara chache(miujiza) na anaweza hasihusike pia(miujiza). Nahis had happ umeisha ona contradiction zinavyoweza kutokea (sio mara zote) unapohusisha sayansi na iman
 
Sometimes your contradicting yourself. Ibrahim alipoitwa kutoka Uru ilikuwa akaanzishe Safari ya dini ya kweri na aache za uongo Soma kitabu Cha Yoshua 24:15
[15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
And if it seem evil unto you to serve the LORD, choose you this day whom ye will serve; whether the gods which your fathers served that were on the other side of the flood, or the gods of the Amorites, in whose land ye dwell: but as for me and my house, we will serve the LORD. Kuelewa zaidi Soma Yoshua 24:1-15.
Ni kweri miungu ilikuwepo toka enzi na Ibrahim aliitwa kuiacha ili afate ya kweri.
Mkuu unazungumuziaje hiyo habari???
Dini ya kweli unaipimaje Kamanda,kipimo Gani kinatumika kwamba Dini ya Abraham ilikua ya kweli kuliko zile nyingine alizoacha huko Ashuru?
 
Asante Mkuu, umejibu kwamba kikanuni kiumbe "KE" kinahitaji kiumbe "ME" ili uzao upatikane baada ya mbegu kupatikana kutoka kwa ME kuingia kwa KE.

Sasa nakuuliza kuna kiumbe chenye mwili kiwe ni kiumbe KE au ME ambacho kinaweza kuwepo chenyewe bila kuwa na muumbaji aliekiumba hicho kiumbe?

Kama kiumbe "ANU" na kiumbe "KI" ni viumbe "ME" na "KE" wenye mwili(physical in shape). Je ni nani aliewaumba viumbe hawa wenye mwili ANU na KI?
Kwanini usile majani kama ng'ombe unacho uliza unajibiwa ila unakazana kuuliza tena
 
Mtume Muhammad wala sijamuona wala kukutana naye ila yapo masimulizi yaliyo hakikiwa mpaka kufika bila kukatila kwa "chain".

Sasa ikiwa hujawahi kumuona wala kukutananaye unapataje ujasiri wa kutunishia watu kifua kwa uhakiki wa washiba futari waliojiita wanazuoni na kuja kutamba hapa.!?

Uhakiki wa mtoa mada unatokana na wataalam wa kisasa wenye elimu ya uhakiki wa vitu vya kale kwa teknolojia za kisasa kusaidia hayo

Na sio vigano na visasili vya waarabu wenye mtazamo fulani walioamua kuviweka kwenye maandishi kama hadithi za sungura na fisi...SAWA
 
Sasa ikiwa hujawahi kumuona wala kukutananaye unapataje ujasiri wa kutunishia watu kifua kwa uhakiki wa washiba futari waliojiita wanazuoni na kuja kutamba hapa.!?

Uhakiki wa mtoa mada unatokana na wataalam wa kisasa wenye elimu ya uhakiki wa vitu vya kale kwa teknolojia za kisasa kusaidia hayo

Na sio vigano na visasili vya waarabu wenye mtazamo fulani walioamua kuviweka kwenye maandishi kama hadithi za sungura na fisi...SAWA
Shukrani.
 
Siyo huku mkuuu, kumbuka dini ya kikristo imetokana na dini za sehemu ulizozitaja. Swali no kwamba ni juhudi ya Nani aliyeifanya kutengeneza story kutoka kwa Ibrahim Hadi kwa Yesu?. Alikuwa mzungu?, Au hao hao wa mashariki walikuwa wanapingana kuanzia ashuru, bablion, uajemi, etc . Kila jamii ya mashariki ya Kati ilikuwa na miungu yake. Je dini ya annuaki ya ukweri ni ippi? Ya bablion?, Ashuru?, Umedi??, Uajemi??? Hao wote ni mashariki ya Kati.
Tatizo lako unaangalia historia ya Abraham Kwa jicho la kawaida Sana Kumbuka yeye alitoka Mesopotamia ilikozaliwa nadharia ya Mungu/Miungu hivyo hata yeye alikua kwenye chain Ile Ile hakuna maajabu yoyote nae alimwabudu Mungu El/YWH/JEHOVAH
Moja ya Miungu ya Summerians ila yeye ndie alitoka kwao na nadharia ya Mungu El Mpaka Kaanan kitendo kilichowafanya wenyeji wa nchi aliyoifikia kumshangaa maana alikua ni Mtu mkuu na tajiri wa Mali na dhahabu vile vile alikua ni Mzee mwenye hekima kiasi kwamba aliweza shawishi jamii nyingi zikamuelewa na kumsikiliza ndio maana Kila alipoenda alipokelewa vizuri kitendo ambacho ni kigumu Sana hasa Kwa jamii zile na maeneo aliyopita walikua Barbarian ila Kwa Abraham walimheshimu Sana mpaka kumruhusu apite nchi zao bila kikwazo maana aliacha Neema Kwa wenyeji,

Hicho kitendo kiliwafanya watu wengi waanze kufuata hekima zake maana alionesha matendo mengi Civilized maana alitokea jamii za Mesopotamian zenye ustaarabu wa Annunak Toka hapo kale,

Kingine Kipindi ambacho Abraham anazaliwa ANNUNAK walikua wameshaondoka miaka zaidi ya elfu Moja nyuma yake Hata yeye aliona ustaarabu wa kujenga Pyramids umeshapita miaka mingi mno kama tuonavyo Mimi na wewe Leo,

Haya Kamanda kuhusu kutengeneza story za Ibrahimu ni yeye na kizazi chake walikua na ujuzi wa kutunza kumbukumbu maana huo ndio ustaarabu wao na Wajukuu yake ambao ni Israelites waliendelea na utamaduni huo mpaka Leo hii kumbukumbu zao zipo kuanzia walipotokea mpaka idadi ya wafalme wao wote,
Hiyobilichagizwa na Asili Yao ambapo watu wa Mesopotamia na jamii nyingi zilizopitia utamaduni wa ANNUNAK hua wanahifadhi kumbukumbu kwenye tablets
Kuanzia kule
Sumerian, Babylon, Egyptian, Mexico, Aztec, Maya, Peru, Indus valley, china, India,Dogon wote Hao walipitia Accient civilization za kale Kwa kupewa na ANNUNAK Wana kumbu kumbu hizo na still Hata ukienda Leo Unaona KAZI za mikono Yao Kwa ushahidi na idhibati,

Kwahiyo Haya mambo hayapo kama unavyofikiria Soma historia wewe acha kukariri Aya za vitabu vya kiyahudu kama chanzo kikuu utapotea na kuona Malue Lue!
😁🔥
 
Una hakika kama unaweza kuhakiki mambo yaliyopita na ukajua ukweli.?

Hivi unaweza kuthibitisha Muhammad unayemuamini kawahi kuishi duniani.?

Na wala isiwe hila za wafanya biashara waarabu kusambaza utamaduni wao kwa wapumbavu.!
Sina uhakika.

Siwezi kuthibitisha.

Shukrani.
 
Dini ya kweli unaipimaje Kamanda,kipimo Gani kinatumika kwamba Dini ya Abraham ilikua ya kweli kuliko zile nyingine alizoacha huko Ashuru?
Kama ndiyo hivyo kwa Nini unasema dini ya kikristo ni ya uongo? Na ndini annuanaki ndiyo ya kweri??. Tena unaendambali kwa kusema wakrito na waisilamu wanadanganywa tu?. Unatoa wapi kigezo Cha kusema hivyo???. Maana Kama ukristo ni wa kufikrika tu je hiyo annuanaki siyo ya kufikrika tu???. Kunawakati binadamu tunasubuliwa na Tamaa ya kujitafasilia wenyewe.
 
Sasa ikiwa hujawahi kumuona wala kukutananaye unapataje ujasiri wa kutunishia watu kifua kwa uhakiki wa washiba futari waliojiita wanazuoni na kuja kutamba hapa.!?

Uhakiki wa mtoa mada unatokana na wataalam wa kisasa wenye elimu ya uhakiki wa vitu vya kale kwa teknolojia za kisasa kusaidia hayo

Na sio vigano na visasili vya waarabu wenye mtazamo fulani walioamua kuviweka kwenye maandishi kama hadithi za sungura na fisi...SAWA
Acha uongo, hakuna sanyansi inayozungumuzia binadamu aliumbwa na annuanaki.
 
Back
Top Bottom