Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Gold is the international currency, unajua America, Europe, Asia especially supper economic country Wana reserve ya gold kiasi gani?. Vipi vifaa ya electronics navyo vinatumia gold, je pia unafahamu vifaa vya ulembo vinagold kiasi?
Napata shaka na ufahamu wako Kamanda hivi unajua ni kiwango Gani Cha dhahabu kimechimbwa Duniani Toka kale?
Hivi unayajua machimbo ya makubwa mno kuwahi chimbwa Duniani yakitokea miaka ya zaidi ya 450,000 BC kiasi ambacho kinashangaza Watafiti mpaka Leo?
Je unajua kiwango hicho Cha dhahabu kilichochimbwa kilipotelea wapi na Watafiti wanasema kama dhahabu ingetumika kama malighafi ya kawaida kama mapambo tu na thamani Leo hii dhahabu isingekua kitu Cha thamani Tena na yangegeuka Mawe na kuwa kama kokoto tu?
Yakhe acha masikhara yaani mataifa makubwa yahifadhi dhahabu nyingi hivyo kwenye reserve Ili inufaike na Nini?
Hujiulizi vifaa vya vinavyohitaji dhahabu ni 10% kati 💯% ya Dhahabu zote zinazochimbwa Kwa maelfu ya Tani Kila mwaka?

Wake up dude Upo kizani sana acha kufikiri vitu Kwa narrow thinking capacity!

Anyway hujachelewa unayo nafasi ya kujifunza!
 
Mm nimejibu kuendana na nilivyo muelewa mtoa mada.

Swali lako mm sina jibu lake maana jibu lake litakuwa na mkanganyiko ambao scientifically sizan kama unauthibitisho mfano: maandiko yanasema Mungu aliumba binadamu na wanyama, na binadamu na wanyama nao pia wakiunfanisha sperm na yai la mwanamke/jike wanapata kiumbe chao(mtoto) hapo Mungu hausiki labda kwa mara chache(miujiza) na anaweza hasihusike pia(miujiza). Nahis had happ umeisha ona contradiction zinavyoweza kutokea (sio mara zote) unapohusisha sayansi na iman
Safi Mkuu, atleast wewe una ufahamu mzuri. Ila naomba nikurekebishe kidogo tu. Kwenye kauli yako kwamba Mungu hausiki hapo ondoa. Mungu anahusika kwa 100%

Kwanini?
Kwa sababu yeye Mungu ndie alieumba kiumbe "ME" na "KE", akawaumbia mifumo mbalimbali katika miili ya viumbe Me na Ke, mfumo kama ya uzazi, organs mbalimbali n.k

Mifumo hiyo ndio husaidia kuzalishwa kwa mbegu na urutubishwaji wake mpaka kiumbe kinapatikana na kuzaliwa.

Hivyo Mungu amehusika kwa 100%, kama Mungu asingeumba kiumbe "Me" na "Ke" unafikiri kungekua na kuzaliana?
 
Kama kiumbe "ANU" na kiumbe "KI" ni viumbe "ME" na "KE" wenye mwili(physical in shape). Je ni nani aliewaumba viumbe hawa wenye mwili ANU na KI?
Umeathirika kimtazamo mpaka uulizaji wako unadhihirisha udhaifu ulionao

Kama unajielewa huwezi uliza swali 'ni na nani' alifanya moja mbili tatu

Maana inakuwa kama unalazimisha jibu lije kwa muktadha gani

Kwanini usiulize waliwezaje kufanikisha hilo au kipi kiliwezesha hilo
 
Acha uongo, hakuna sanyansi inayozungumuzia binadamu aliumbwa na annuanaki.
Kama ungekuwa mfuatiliaji wa mada vizuri usingeshindwa kutambua kwamba mtoa mada kaleta nadharia yenye asilimia nyingi kidogo ya uthibitisho kuliko ile ya dini yako

Wala hajadai kama [emoji817]% ni kweli

Ni moja ya utafiti mzuri wa mapokeo yenye kujaribu kuthibitisha kuliko hayo mapokeo yenu ya mzobemzobe ya washiba futari
 
Napata shaka na ufahamu wako Kamanda hivi unajua ni kiwango Gani Cha dhahabu kimechimbwa Duniani Toka kale?
Hivi unayajua machimbo ya makubwa mno kuwahi chimbwa Duniani yakitokea miaka ya zaidi ya 450,000 BC kiasi ambacho kinashangaza Watafiti mpaka Leo?
Je unajua kiwango hicho Cha dhahabu kilichochimbwa kilipotelea wapi na Watafiti wanasema kama dhahabu ingetumika kama malighafi ya kawaida kama mapambo tu na thamani Leo hii dhahabu isingekua kitu Cha thamani Tena na yangegeuka Mawe na kuwa kama kokoto tu?
Yakhe acha masikhara yaani mataifa makubwa yahifadhi dhahabu nyingi hivyo kwenye reserve Ili inufaike na Nini?
Hujiulizi vifaa vya vinavyohitaji dhahabu ni 10% kati [emoji817]% ya Dhahabu zote zinazochimbwa Kwa maelfu ya Tani Kila mwaka?

Wake up dude Upo kizani sana acha kufikiri vitu Kwa narrow thinking capacity!

Anyway hujachelewa unayo nafasi ya kujifunza!
Mwaka 450000BC, dhahabu ilianza kuchimbwa??.unaweza kutoa walau mifano kadhaa ya migodi ilichimbwa zamani za kale kuanzia 10000BC kurudi nyuma. Sawa sikatai kwamba gold zimechimbwa Sana hivi umewahi jiuliza Dollar za malekani zimeanza kuchabwa lini????. Mbona huwa hazishuki thamani???, Dollar zinatumika kutengeneza Nini Hadi ziwe zinapanda na kuchapwa kila kukicha???. Gold ni international currency Kuna mataifa mengi tu yenye reserve ya gold za kutosha. Jaribu ku Google walau marekani Ana gold reserve kiasi gani?? Fanya hivyo kwa urusi, na pia mataifa ya Europe. Kwa history ya biblia mfalume sulemani alikuwa na reserve ya gold kubwa. Gold ni utajiri na economic power country wanajivunia gold reserve.
Hakuna connection ya binadamu na viumbe vya kiroho kupeana vitu. Viumbe vya kiroho vinauwezo wa ku access vitu hivyo indirect bila kuhusisha binadamu. Viumbe vya kiroho hutumia uwezo huo kuwadanganya au kuwaimarisha binadamu kwa ahadi ya mali
 
Usichokijua ni kwamba sayansi ya zamani ya theory tu toka 400BC Hadi Sasa inathibitishwa na technology ya Sasa. Hivyo ukisoma habari za Socrates,pythogrus, pilato etc hawa jamaaa wa before Yesu lakini theory zao zinafanya kazi Hadi leo. Hivyo maswala ya miungu na Mungu pia ya zamani swali Mungu wa kweri ni yupi???. Ukisema binadamu aliumbwa na annuanaki swali linabaki je annuanaki ndiyo Mungu??
400 BC ndio Unaona zamani sana Kamanda?
Yaani unamzungumzia kina Socrates,Plato, Algebra NK ambao wamekuja juzi kipindi ambacho Kila kitu Cha Accient civilization kimeshakua magofu Kwa zaidi ya miaka 350,000 BC Huko nyuma na ndio tatizo la wengi sana humu wabishi kama wewe historical time chatline inawapiga chenga Kwa kiwango kikubwa mno,

Accient civilization za kale zilianzia miaka zaidi ya million Moja Huko nyuma yaani
Pre human cloning project
Dunia ulianza kaliwa na Annunak kwanza kabla hawajawafanyia cloning Nephilims au giants

Jicho ni kipindi ambacho ENLIL anajenga mji wa ERIDU na kuwatumia Igigi Aliens kama workers kwenye
Accient gold mining,
Kipindi vita ya kwanza ya Dunia inavyopigwa,
(hapa utastaajabu Najua)
Vita kubwa inayohusisha Nuclear power weapons kati ya Igigi na Annunak binadamu walikua hawajaexist Kabisa katika Uso wa Dunia na baada ya hiyo vita Annunak wanaacha kuwatumia Igigi kama workers na kumproject Nephilims wenye ujuzi na maarifa then wanamproject na Adamu
Ilikua ni miaka mingi mno nyuma

Ila wengi humu habari kuhusu hii Dunia imeanzia Kuumbwa Kwa Adamu na maajabu Hata muumbaji wa huyo Adamu hammjui mnamwita Mungu ila hamjui ni Mungu Gani,Ndie mnayemwabudu na hamjui mnachoabudu
Mnaamini katika nadharia ya Mungu ila hamna ufahamu kumhusu,
Mpo mpo tu mnaleta ubishi wa kijinga jinga hapa
Dini zenyewe mmeletewa na wahuni Ili wawapige wao hawazifuati kamwe sababu wanajua ukweli wa mambo,

Shame to you Brain washed Afrikan!
 
Sasa ikiwa hujawahi kumuona wala kukutananaye unapataje ujasiri wa kutunishia watu kifua kwa uhakiki wa washiba futari waliojiita wanazuoni na kuja kutamba hapa.!?

Uhakiki wa mtoa mada unatokana na wataalam wa kisasa wenye elimu ya uhakiki wa vitu vya kale kwa teknolojia za kisasa kusaidia hayo

Na sio vigano na visasili vya waarabu wenye mtazamo fulani walioamua kuviweka kwenye maandishi kama hadithi za sungura na fisi...
Mbona wapo wengi tu hatujawahi kuwaona lakini kutokana na historia tunaamini walikuepo kama vile hao akina socrates,plato na wengineo..

kwa kuwa hatujawahi kuwaona haimaanishi kwamba tusiamini kama walikuepo,tukienda hivi tutawaondoa watu wengi sana kwwmba hawakuwepo zamani.
Uhakiki wa mtoa mada unatokana na wataalam wa kisasa wenye elimu ya uhakiki wa vitu vya kale kwa teknolojia za kisasa kusaidia hayo
Nitajie technolojia gani ambayo imechunguza na ikasema kwamba kutokana na mabaki ya mifupa fulani basi binadamu kaumbwa na annunaki.

Ni ipi hiyo technology ?
 
Mwaka 450000BC, dhahabu ilianza kuchimbwa??.unaweza kutoa walau mifano kadhaa ya migodi ilichimbwa zamani za kale kuanzia 10000BC kurudi nyuma. Sawa sikatai kwamba gold zimechimbwa Sana hivi umewahi jiuliza Dollar za malekani zimeanza kuchabwa lini????. Mbona huwa hazishuki thamani???, Dollar zinatumika kutengeneza Nini Hadi ziwe zinapanda na kuchapwa kila kukicha???. Gold ni international currency Kuna mataifa mengi tu yenye reserve ya gold za kutosha. Jaribu ku Google walau marekani Ana gold reserve kiasi gani?? Fanya hivyo kwa urusi, na pia mataifa ya Europe. Kwa history ya biblia mfalume sulemani alikuwa na reserve ya gold kubwa. Gold ni utajiri na economic power country wanajivunia gold reserve.
Hakuna connection ya binadamu na viumbe vya kiroho kupeana vitu. Viumbe vya kiroho vinauwezo wa ku access vitu hivyo indirect bila kuhusisha binadamu. Viumbe vya kiroho hutumia uwezo huo kuwadanganya au kuwaimarisha binadamu kwa ahadi ya mali
Unastaajabu Nini Kamanda kuhusu hiyo miaka Toka gold ianze kuchimbwa?
Nenda Kush kajionee historia hapo ndipo gold ilipogunduliwa miaka zaid ya laki nne BC

Unashangaa Nini unajua machimbo ya Mwenemutapa Zimbabwe Yana miaka mingapi na alichimba nani zile dhahabu kule miaka elfu nyingi Tena pre human civilization?
Unajua Accient civilization zote walikua wazalishaji wakubwa wa dhahabu kuliko bidhaa yoyote kiasi kwamba mpaka kumbu kumbu inayoonesha KAZI zao ikiwemo bronze mbali mbali zinazoonesha Mifumo ya kisasa ya uchimbaji dhahabu kiasi ambacho sisi Leo hatujafikia hiyo tech?
 
Kama ungekuwa mfuatiliaji wa mada vizuri usingeshindwa kutambua kwamba mtoa mada kaleta nadharia yenye asilimia nyingi kidogo ya uthibitisho kuliko ile ya dini yako

Wala hajadai kama [emoji817]% ni kweli

Ni moja ya utafiti mzuri wa mapokeo yenye kujaribu kuthibitisha kuliko hayo mapokeo yenu ya mzobemzobe ya washiba futari
Kinachonishangaza ni kwamba empire zote zilizozungumuziwa hapaa ni zile za mashariki ya Kati ambapo hata kwenye dini ya kikristo zimetajwa Sana Tena zikiwa na muingiliano mkubwa wa mwanzo wa dini ya kikristo. Na dini zingine Kama uisilamu na uyahudi. Kama unakubali story za mleta maada hujui zinasibitisha ukweri wa mandiko ya ukristo???. Ukristo imetokana na mapambano ya dini mbalimbali zilizokuwapo mashariki ya Kati. Sasa huoni inathibisha uwepo wa ukweri wa biblia??.. Kuna empire iliyotajwa na mleta maada ambayo aikutajwa kwenye biblia??. Connect dot Mkuu. Swala la tofauti ni kwamba katika kila empire ilikuwa na masimulizi yake ya asili ya binadamu hili halipingiki lipo wazi hivyo hata baazi ya nyaraka za empire hizo utakuta walikuwa wanaimani yao ya asili yetu binadamu. Swala hapa ipi ni ya kweri?. Annuanaki ni moja story ya chanzo Cha binadamu kutokana na Imani ya watu wa maeneo husika. Hii haijadhibitishwa kisayansi eti ndiyo proved origin of human.

Jiulize Mkuu swala moja kwa Nini ukristo uliovertake hizo imani zingine kwa kusambaa zaidi?. Kumbuka hata wazungu walipambana kuufuta ukristo ukawashinda badae wakaukumbatia na kusaidia kuusambaza baada ya kushindwa kuufuta na pia wao ukifatilia Roma, ugiriki, uk walikuwa na Imani zao but ukristo toka mashariki ulienda kuziua, why not annuanaki Imani ilshindwa kwenda huko na kuenea??
 
Umeathirika kimtazamo mpaka uulizaji wako unadhihirisha udhaifu ulionao

Kama unajielewa huwezi uliza swali 'ni na nani' alifanya moja mbili tatu

Maana inakuwa kama unalazimisha jibu lije kwa muktadha gani

Kwanini usiulize waliwezaje kufanikisha hilo au kipi kiliwezesha hilo
Mkuu, mbona unasema mtazamo wangu kuhoji nani aliewaumba "ANU" na "KI" kwamba ni mtazamo hasi.

Ikiwa mada hii imejikita kuonesha ni "NANI" alieumba kiumbe binadamu.

Huoni kama unajichanganya, nina haki ya kuhoji ni nani aliewaumba ANU na KI ikiwa kama mada hii ilivyojikita kuonesha "NI NANI" aliyeumba binadamu
 
Mbona wapo wengi tu hatujawahi kuwaona lakini kutokana na historia tunaamini walikuepo kama vile hao akina socrates,plato na wengineo..
Ndio muelekeze huyo ndugu yako katika imani

Kwamba masimulizi ya habari zilizopita bila uthibitisho ni Hadithi na ya yanapokuwa na uthibitisho inakuwa historia, ajue kutofautisha hayo, hao uliowataja historia inawatambua

kwa kuwa hatujawahi kuwaona haimaanishi kwamba tusiamini kama walikuepo,tukienda hivi tutawaondoa watu wengi sana kwwmba hawakuwepo zamani
sasa ukilijua hili ndio unatakiwa kuwa na adabu na ufahamu unapouliza maswali kwa habari zilizopita

Ikiwa mimi na wewe tupo 2022 unataka uthibitisho tena kwa idadi wa watu 10 walioandika habari mwanzo za anunaki mbali na mabamba na histocal site utakuwa unamaana gani.?

Nitajie technolojia gani ambayo imechunguza na ikasema kwamba kutokana na mabaki ya mifupa fulani basi binadamu kaumbwa na annunaki.
sikiliza wewe, teknolojia ni nyenzo itumikayo kwenye uhakiki wa habari fulani na si kwamba ina mdomo wa kukuambia hawa ni anunaki

Kuna procedure za kufuata kwenye observation ya kitu chochote na si kwa kukurupuka kama muonavyo

Na kama ungekuwa umesoma vizuri uzi kwa sehemu zote usingeuliza swali dhaifu kama hili

Mtoa mada kagusia kwamba hawa anunaki walifanya Gene manipulation kwaiyo kama unataka uhakiki wa kijenetik basi kapime mwili wako utatambua kuwa kuna junk DNA ambazo bado wataalam bado wanafanyia utafiti na wala usisumbuke kwenda kutafuta mifupa Makkah
Ni ipi iyo technology.?
Itategemea na kipi unataka kupima
 
Mwaka 450000BC, dhahabu ilianza kuchimbwa??.unaweza kutoa walau mifano kadhaa ya migodi ilichimbwa zamani za kale kuanzia 10000BC kurudi nyuma. Sawa sikatai kwamba gold zimechimbwa Sana hivi umewahi jiuliza Dollar za malekani zimeanza kuchabwa lini????. Mbona huwa hazishuki thamani???, Dollar zinatumika kutengeneza Nini Hadi ziwe zinapanda na kuchapwa kila kukicha???. Gold ni international currency Kuna mataifa mengi tu yenye reserve ya gold za kutosha. Jaribu ku Google walau marekani Ana gold reserve kiasi gani?? Fanya hivyo kwa urusi, na pia mataifa ya Europe. Kwa history ya biblia mfalume sulemani alikuwa na reserve ya gold kubwa. Gold ni utajiri na economic power country wanajivunia gold reserve.
Hakuna connection ya binadamu na viumbe vya kiroho kupeana vitu. Viumbe vya kiroho vinauwezo wa ku access vitu hivyo indirect bila kuhusisha binadamu. Viumbe vya kiroho hutumia uwezo huo kuwadanganya au kuwaimarisha binadamu kwa ahadi ya mali
Rekodi tulizonazo zinaonyesha uhakika wa usahihi wa taarifa tulizonazo mpaka leo, kuanzia angalau 650 BC. Kabla ya hapo ni PURE GUESS WORK. Kusema kuwa dhahadu ilianza kuchimbwa maelfu ya hiyo miaka KK hiyo inakuwa ni fantancy!
 
Ikiwa mada hii imejikita kuonesha ni "NANI" alieumba kiumbe binadamu.
Nani alimuumba mtu ndio mada, na si anunaki kaumbwa na nani huu ni ujuha

Huoni kama unajichanganya, nina haki ya kuhoji ni nani aliewaumba ANU na KI ikiwa kama mada hii ilivyojikita kuonesha "NI NANI" aliyeumba binadamu
shida yako unasoma bila ufahamu

Kama unahisi una haki ya kuuliza nani kamuumba Anu na Ki basi usishindwe kuumpa haki mwenzako akiuliza Mungu wako kaumbwa na nani ?
 
400 BC ndio Unaona zamani sana Kamanda?
Yaani unamzungumzia kina Socrates,Plato, Algebra NK ambao wamekuja juzi kipindi ambacho Kila kitu Cha Accient civilization kimeshakua magofu Kwa zaidi ya miaka 350,000 BC Huko nyuma na ndio tatizo la wengi sana humu wabishi kama wewe historical time chatline inawapiga chenga Kwa kiwango kikubwa mno,

Accient civilization za kale zilianzia miaka zaidi ya million Moja Huko nyuma yaani
Pre human cloning project
Dunia ulianza kaliwa na Annunak kwanza kabla hawajawafanyia cloning Nephilims au giants

Jicho ni kipindi ambacho ENLIL anajenga mji wa ERIDU na kuwatumia Igigi Aliens kama workers kwenye
Accient gold mining,
Kipindi vita ya kwanza ya Dunia inavyopigwa,
(hapa utastaajabu Najua)
Vita kubwa inayohusisha Nuclear power weapons kati ya Igigi na Annunak binadamu walikua hawajaexist Kabisa katika Uso wa Dunia na baada ya hiyo vita Annunak wanaacha kuwatumia Igigi kama workers na kumproject Nephilims wenye ujuzi na maarifa then wanamproject na Adamu
Ilikua ni miaka mingi mno nyuma

Ila wengi humu habari kuhusu hii Dunia imeanzia Kuumbwa Kwa Adamu na maajabu Hata muumbaji wa huyo Adamu hammjui mnamwita Mungu ila hamjui ni Mungu Gani,Ndie mnayemwabudu na hamjui mnachoabudu
Mnaamini katika nadharia ya Mungu ila hamna ufahamu kumhusu,
Mpo mpo tu mnaleta ubishi wa kijinga jinga hapa
Dini zenyewe mmeletewa na wahuni Ili wawapige wao hawazifuati kamwe sababu wanajua ukweli wa mambo,

Shame to you Brain washed Afrikan!
History ya dunia kuanzia 15 billion years ya sollar system then 4.5 billion years ya sayari yetu ya dunia. Naifahamu. Kuanzia kutoweka kwa mijuzi Hadi binadamu kuingia etc. Hapa hakuna history ya viumbe vya kiroho physically. Nakubalina na wewe kabisa Kuna viumbe vya kiroho whatever utakavyoviita either alliens, annunak etc na nikweri vinaushawishi katika maisha ya binadamu. Hoja yangu ni kwamba hoja za kufikrika za annuanaki ziwe za kweri Bali hoja za ukristo ziwe za uongo na wakati huo story za annuanaki zimetoka mazingira Yale Yale ya ukristo???
Screenshot_20220221-121445.jpg
 
History ya dunia kuanzia 15 billion years ya sollar system then 4.5 billion years ya sayari yetu ya dunia. Naifahamu. Kuanzia kutoweka kwa mijuzi Hadi binadamu kuingia etc. Hapa hakuna history ya viumbe vya kiroho physically. Nakubalina na wewe kabisa Kuna viumbe vya kiroho whatever utakavyoviita either alliens, annunak etc na nikweri vinaushawishi katika maisha ya binadamu. Hoja yangu ni kwamba hoja za kufikrika za annuanaki ziwe za kweri Bali hoja za ukristo ziwe za uongo na wakati huo story za annuanaki zimetoka mazingira Yale Yale ya ukristo???View attachment 2125950
wewe jamaa hivi unajielewa kweli
Habari za Annunak kule India zilitoka kwenye ukristo?
Habari za Annunak kule mexico na Meso America zimetoka kwenye ukristo?
Habari za Annunak kule Mali kwenye kabila la Dogon zimetoka kwenye ukristo?
Habari za Annunak kule Misri na Mesopotamia zimetoka kwenye ukristo?
Habari za Annunak kule Antarctica zimetoka kwenye ukristo?

Vipi habari za Annunak walizokuta kule Mwezini wanaanga na NASA zimetokana na ukristo?

Acha kua brain washed Kamanda inaonesha jinsi Gani ulivyo mtupu kichwani na hutaki kujifunza ila kuleta ubishani wa kijinga tu

Huo ukristo wa kina Constantine pale Nicea committee Constantinople Uturuki mwaka 100AD unafahamu Nini kuhusu Accient civilization za kale kama Sumerians,Assyrian,Babylon Egyptian, Kush, Aztec,Maya, Peru Indus valley, china, India na Dogon ?
Una masikhara wewe!
 
Kitu huwa napinga toka nikiwa mtoto ni kuchomwa Moto milele na kuimba kushangilia milele
Hivi vitu vina maana gani?
Nina swali mfanano. Mathalani mimi mimezika mtu ninayempenda saaana. Halafu siku ya mwisho nikajua huyo mtu ninaye mpenda saana atakuwa anaungua milele. Halafu mimi ninafurahi milele na nina utashi kuwa yule ninayempenda anaungua milele. Au utashi wetu utakuwa tofauti?
Hichi kitu nakifikiriaga sana.
 
Back
Top Bottom