Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
Taarifa yenyewe inajikontradict vibaya mno mara wamekaa na wakristo kinyemela mara wakristo wanawalalamkia waislamu kwanini hawakuhudhuria nk nk...ilimradi ukurasa ujae upuuzi ule ule, malalamiko yasiyo na kichwa wala miguu watu mnaacha kufanya mambo yatakayowakwamua mnawekeza kwenye malalamiko ya kupotoshana. by the way habari ni ya wizara picha ya Ndalichako ya nini? Kwasababu Kawambwa ni Mwislamu mwenzenu? Mna kazi sana mnaoumiza macho kusoma hivi vijarida
Sishangai kwa serikali ya tz kufanya maamuzi hayo kwa kuwashirikisha wakristo pekee, hili jambo nilitarajia sana, kinafuata sasahivi watakuja na dini mseto na wataitahini na wataifanya iwe compulsory kama civics, kiswahili na maths zilivolaazima kuzifaulu kwa ordinary level, si tatizo sana serikali kujitoa but ilipaswa kuwashirikisha wadau wa pande zote kuepuka uvunjifu wa amani, hili nalo ni miongoni mwa kichochezi cha chuki. Hivi unafikiri alie muislam ataiweka serikali upandea upi hapa? Mwenye akili timamu atakubali uwepo wa mfumo kristo necta hata kama hatokubali na kuusema kwauwazi.
siyo waislamu pekee watakao athirika, it is an end of sacramental doctarates, maana wengi wanajiita DRs lakini ukifuatilia background unaona mtu kaaza certificate ya theology, diploma sijui ya christian law mara ghafla masters in church music then baadae doctor, nasi tunaimba dr SL****
PLOLENI MUM, MMU, SAUT, TUMAIN ....ushauri wangu kiundwe chombo huru kingine cha kutahini masomo hayo kama ilivo cambridge na oxford examination boards
O.K lakini mbona walipoamua kuifuta walijifungia chumbani peke yao na Wakristo? kwa nini Waislamu pia ambao somo lao lilikuwa likitahiniwa hawakushirikishwa?
Ndugu zangu; Sifa za habari za uchochezi kwenye chombo chochote cha habari ni kuwa na maneno kama haya "Yasemekana, chanzo cha habari ambacho hakikutaka kutajwa kimeeleza, msemaji hakutaka kutaja jina, mwandishi amesikia, mpango wa siri kubwa, Hata hivyo haifahamiki, inafikiriwa kwamba, kwa vyovyote vile itakuwa, haikujulikana nani aliesema, hata hivyo habari ambazo hazikuthibitika zinaeleza.., alipotafutwa kuhojiwa hakupatikana, waliokuwepo walisimulia hata hivyo hawakutaka tutajwa, alietupa taarifa anadai kuambiwa ,na kuweka picha na vielelezo na picha visivyohusiana na habari."
Ndugu zangu; kokote mtakapoona maneno haya yametumika, someni habari hiyo kwa macho matatu.
Sielewi kajarida kama haka kanawezaje kuendelea kua hewani miaka yote hii? Habari nzima haina hata direct quote kutoka kwa mtu halisi hata mmoja na imejaa cheap shots za uchochezi throughout, na inajikanganya tangia mwanzo! na kuna watu teyari wameshaichukulia taarifa hii kama absolute truth...halafu kesho serikali hiihii dhaifu na ya ajabu itashangaa kwanini extremism inakua kwa kasi Tanzania/
kwahiyo unataka kutuambia wahusika wa pande zote walihusishwa kwenye mchakato wa kutotahini hiyo mitihan? hivi nchi hii lini mtakuwa wakweli? lini mtakuwa na akili ya kupima mambo bila kuegemea kamzizi mliojichagulia, ningekuona wa maana ungehoji ukweli wa kuwakutanisha watu wa upande mmoja tu huku wengine wakipewa taarifa tu.Sielewi kajarida kama haka kanawezaje kuendelea kua hewani miaka yote hii? Habari nzima haina hata direct quote kutoka kwa mtu halisi hata mmoja na imejaa cheap shots za uchochezi throughout, na inajikanganya tangia mwanzo! na kuna watu teyari wameshaichukulia taarifa hii kama absolute truth...halafu kesho serikali hiihii dhaifu na ya ajabu itashangaa kwanini extremism inakua kwa kasi Tanzania/
Sishangai kwa serikali ya tz kufanya maamuzi hayo kwa kuwashirikisha wakristo pekee, hili jambo nilitarajia sana, kinafuata sasahivi watakuja na dini mseto na wataitahini na wataifanya iwe compulsory kama civics, kiswahili na maths zilivolaazima kuzifaulu kwa ordinary level, si tatizo sana serikali kujitoa but ilipaswa kuwashirikisha wadau wa pande zote kuepuka uvunjifu wa amani, hili nalo ni miongoni mwa kichochezi cha chuki. Hivi unafikiri alie muislam ataiweka serikali upandea upi hapa? Mwenye akili timamu atakubali uwepo wa mfumo kristo necta hata kama hatokubali na kuusema kwauwazi.
ok sawa lakini hebu niambie ni nani kaiwakilisha panel ya islamic knowledge? bakwata hawakuhusishwa, naomba niambie au labda alihusishwa ponda? SIKU ZOTE NTAPINGANA NA USIRI KTK MAAMUZI YANAYOGUSA JAMII KAMA HILI.Kwa akili yako unafikiri kuna kitu hicho cha kushirikisha Wakiristo tu? Hebu tuwe ni wapembuzi zaidi ya kulaumu.
Una maana Kawambwa anaitumia Wizara kuendesha Kikiristo? Hamtaamini mpaka lini? Au ukiona Sheikh momoja ameshika nafasi hizo ndo utaona nafuu.
Ila Ukweli hujifitini hata siku moja
Nina shaka na hii thread kama sio mojawapo ya mikakati ya uchochezi wa kidini. Siamini kama Necta wanaweza kufanya kosa kama hilo.O.K lakini mbona walipoamua kuifuta walijifungia chumbani peke yao na Wakristo? kwa nini Waislamu pia ambao somo lao lilikuwa likitahiniwa hawakushirikishwa?
Wewe unaonaje? Msifikiri wote humu ni vichwa maji kama ninyi, wengine tunao uelewa wa kutosha jinsi wizara ya elimu inavyofanya kazi, na chain command na nani wa kulaumiwa hapa.kwahiyo unataka kutuambia wahusika wa pande zote walihusishwa kwenye mchakato wa kutotahini hiyo mitihan?
Siku tukianza kutumia akili za Annuur nadhani mtafurahi sana, but news flash, hio siku haitokaa itokee. Watu walishavuka reasoning ya kiwango hicho kidogo karne kadha wa kadha zilizopita. Poleni/hivi nchi hii lini mtakuwa wakweli? lini mtakuwa na akili ya kupima mambo bila kuegemea kamzizi mliojichagulia, ningekuona wa maana ungehoji ukweli wa kuwakutanisha watu wa upande mmoja tu huku wengine wakipewa taarifa tu.