Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
Ndugu zangu; Sifa za habari za uchochezi kwenye chombo chochote cha habari ni kuwa na maneno kama haya "Yasemekana, chanzo cha habari ambacho hakikutaka kutajwa kimeeleza, msemaji hakutaka kutaja jina, mwandishi amesikia, mpango wa siri kubwa, Hata hivyo haifahamiki, inafikiriwa kwamba, kwa vyovyote vile itakuwa, haikujulikana nani aliesema, hata hivyo habari ambazo hazikuthibitika zinaeleza.., alipotafutwa kuhojiwa hakupatikana, waliokuwepo walisimulia hata hivyo hawakutaka tutajwa, alietupa taarifa anadai kuambiwa ,na kuweka picha na vielelezo na picha visivyohusiana na habari."
Ndugu zangu; kokote mtakapoona maneno haya yametumika, someni habari hiyo kwa macho matatu.
Ndugu zangu; kokote mtakapoona maneno haya yametumika, someni habari hiyo kwa macho matatu.