Another BossLady in the House, Hodiii

Another BossLady in the House, Hodiii

Unayaweza mapenzi?isije ooo nataka kuolewa wakati Mahaba hujui na Mapenzi huwezi, kumbuka kuna mwendo wa sindano tano za moto kila Ck, tatu kila uchwao mbili kila mawio utaweza? Habari za nimechoka, naumwa ,sijisikii utaziacha hapo ulipoketi,
 
Ha ha ha, nadhani ni wakati muafaka members wote kuweka picha tufahamiane vizuri, husna kaonyesha njia
 
Yaani instagram kumewashinda sasa mnakimbilia huku?? anyway mtoto huko vizuri nimependa tumidomo.
 
Nimetaka kuja nami niwe paparazi wa kujua ni emergency gani, kumbe ume block PM shaaaaaa
Eeeeh

(Nakutania) ila ungefungua ungepata hata mademu mia leo ha ha haaaaa

CIAO
Njoo sija block. Njoo nikwambie kitu
 
Back
Top Bottom