emanugulilo
Member
- Jun 22, 2017
- 39
- 29
Unayaweza mapenzi?isije ooo nataka kuolewa wakati Mahaba hujui na Mapenzi huwezi, kumbuka kuna mwendo wa sindano tano za moto kila Ck, tatu kila uchwao mbili kila mawio utaweza? Habari za nimechoka, naumwa ,sijisikii utaziacha hapo ulipoketi,