Another BossLady in the House, Hodiii

Another BossLady in the House, Hodiii

Hodi humu!

Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:

* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social
Karibu sana Mnyamwezi wewe.

Nimependa icho ki2mbo asee njoo pm fasta tubadilishane uzoefu.
 
Achana nao hao wanakuonea wivu hao.njoo PM nikwambie ni emergency.

Nimetaka kuja nami niwe paparazi wa kujua ni emergency gani, kumbe ume block PM shaaaaaa
Eeeeh

(Nakutania) ila ungefungua ungepata hata mademu mia leo ha ha haaaaa

CIAO
 
Waalimu wa mwendo kasi! Wanafunzi wanakazi ya ziada kuelewa unachosimamia
 
Karibu tunataka kapic ka wowowo basi kwani wengine wangonjwa huko
 
Back
Top Bottom