Another BossLady in the House, Hodiii

Another BossLady in the House, Hodiii

Hahahahaa umenichekesha nimepiga picha babu wa watu ana mawazo tele hahahaah yupo anatuchora tu hapa akiwaza atuzukieje kwa mbwembwe zipi ili asiambiwe njoo pm
Mzee yupo mapumzikoni baada ya kutoka kifungoni, sijui wamemfanyia kitu gani huko gerezani maana anaonekana ameathirika kisaikolojia kabisa, kazi hataki kufanya, mafile yamelala mezani tu.
 
Hahahahaa umenichekesha nimepiga picha babu wa watu ana mawazo tele hahahaah yupo anatuchora tu hapa akiwaza atuzukieje kwa mbwembwe zipi ili asiambiwe njoo pm

Wanasema ukiona Kobe kainama ujue anatunga sheria, nadhani anaweka mikakati ya revenge kwa waliompeleka gerezani.

Asprin kuna file liko mezani kwako, lifanyie kazi.
 
Uzi huu mbona umejaa wenye uchu... Ngoja nisirudi nguma
 
Back
Top Bottom