Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
Kama ni mtego anachokitafuta atakipata.Kuna mtu anatafutwa hapa. Wakaka kuweni makini ee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni mtego anachokitafuta atakipata.Kuna mtu anatafutwa hapa. Wakaka kuweni makini ee
Mzee yupo mapumzikoni baada ya kutoka kifungoni, sijui wamemfanyia kitu gani huko gerezani maana anaonekana ameathirika kisaikolojia kabisa, kazi hataki kufanya, mafile yamelala mezani tu.
Kama ni mtego anachokitafuta atakipata.
Hahahahaa umenichekesha nimepiga picha babu wa watu ana mawazo tele hahahaah yupo anatuchora tu hapa akiwaza atuzukieje kwa mbwembwe zipi ili asiambiwe njoo pm
Nakupendaga bure tu[emoji28][emoji28]
Wanasema ukiona Kobe kainama ujue anatunga sheria, nadhani anaweka mikakati ya revenge kwa waliompeleka gerezani.
Asprin kuna file liko mezani kwako, lifanyie kazi.
Ushaambiwa hajaolewa... Mbona unaanza woga mazeeumeolewa ??
Mieee sijasemaaa
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimekuelewa sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji38] [emoji38] we jamaa.Karibu Sana boss lady, Kabla sijaleta tongozo Langu huko PM tutajie Kwanza ID yako ya zamani ili tuliokutongoza tujue Kabisa kuwa tunaenda kufanya Paper two.