Another BossLady in the House, Hodiii

Huu Uzi unaenda tu.. Kweli tz ni nchi ya matukio
 
Ebo!! Huyu dada aliyeweka picha zake page No 1 anafafana sana na house girl wangu aliyetoka na simu yangu. Nitampata wapi maana nina RB yake.
 
Hahaaahahaha sasa hata hujajua nakuitia nini jamani? I know you. Njoo

Nimetoka kuona ulipo sasa na umevaaaje... ha ha haaaaa

Kumbe ni wewe... na mimi unajua nakujua ha ha haaa

Story za abunuasi hizi, ngoja nicheke tu. JF burudani atiii wewe mpenda picha za Nyerere.
 
Hahahaaaaaa!! Nimeona hii quote nikajua ni pm, walahi kidogo nitoke baru!!!

How are you mama, naona your back!!!
Missed you.
Haaa haaaaaa.Don't worry.Big mama knows how to handle things!
 
Chezea kuitwa pm na heloo wewe!!!
Haaaàaaaaa haaaaaa haaaaaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Boss Lady Vituko haviwezi kuisha mama account yako ina tirioni ngapi? Mpaka Magu anamaliza Mda wake kazi hipo
 
Si mchezo... Uzi unakaribia kudondoka kwa uzito....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jf ina vituko sana
 
Una kitovu kizuriii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…