Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliona mbali kiongoziHaaaaaa
Huyo dume mkuu aisee sio KEMi natafta kazi boss
rap beast
Sifa za kuigiza labda...U boss lady wa JF SIO REALLady boss eeheeh ....bas sawa lady boss,,umetukuta
Una sifa za kuwa bosslady
wasiwasi ndio akili, KULA LIKE ULIKUWA SAHIHI KABISA![]()
Huez kua mgeni humu alafu post yako kwanza ikawa hii... hii ni mwenyeji ila ni ID mpya tu!
![]()
Wasiwasi wangi ni kua unaeza kua mwanaume asee! Sio kwa fujo hizo za new id
vyema mkuuHii ni ID nyingine ya mwenyeji wetu kabisaaaa. Unaonekana sio mgeni na JF
Sasa hivi umeiona mpya nadhani huyu alikuwa anatuchoraSema kwanza ID yako ya siku zote ndo tuendelee
Boss itakuwa Bongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duh watu wana guts balaa!karibu le boss!
Watch outBoss lady naomba kazi basi ya kusafisha chumba chako
Huyu ni DUMEHusna weka picha unayo onekana clear bila miwani ili kuondoa doubts za kuwa ww ni mwanaume.
Kweliii na kimenuka sasaKitendo cha kutuma pics Zako h ah ahahah utakuja kujilaum mbele mbele huko
Erick ni mwanamke tangu lini???mbona wanawake wenzangu mnamshambulia mgeni? mlitaka nidanganye kazi, nilipo, kabila...au mlitaka nijitambulisheje mashosti?!
Huo mrejesho wa PM vipi kwa maana huyu ni ME sio KEKaribu Sana boss lady, Kabla sijaleta tongozo Langu huko PM tutajie Kwanza ID yako ya zamani ili tuliokutongoza tujue Kabisa kuwa tunaenda kufanya Paper two.